Si kweli kiongozi,hiyo foundation program haiwahusu wanafunzi wenye elimu ya kidato cha 4,inawahusu wanafunzi wenye elimu ya kidato cha sita,wenye principle pass moja na subsidiary,ambao hawawezi kusoma degree moja kwa moja,na wanafunzi waliosoma diploma wenye GPA below 2.9,ambao hawawezi kupata udahili moja kwa moja kusoma degree! Makundi hayo mawili tu ndo yanayoweza kusoma hiyo foundation program,huyo wa form four aanze na cheti then diploma,kama atapata GPA 3.0-5.0,atapata fursa ya kusoma degree moja kwa moja,kama atapata GPA ya 2.9 kushuka chini itambidi asome sasa hiyo foundation program.