AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Habari wakuu.
Labda niende straight:
Katika vyuo jipu nchini kimojawapo ni SUA.
Kinatoa kozi ambazo kiuhalisia kwenye labor market ufanisi wake ni mdogo sana, Mitaala na Programmes za SUA kwa ujumla zinachangia kuongeza idadi ya majobless nchini kwa kutoa taaluma zisizoendana na mazingira yetu.
Mitaala na programmes za SUA ni copy & paste kutoka nchi za mashariki ya kati, ambapo haziendani na mazimgira halisi ya kitanzania na Africa.
Nina jamaa zangu wengi waliomalizia SUA kozi za kilimo kama Agribusiness, misitu, sayansi ya nzige, Usimamizi wa Asali etc sahivi ni mabank tellers kwa malipo ya kusikitisha hadi laki 2 , hii imepelekea hadi graduates wa SUA kupewa jina la "Cheap labors" na hii imekuwa common wajiri wengi wakitaka kuajiri mtu wa kumyonya huvuta vijana wa SUA, sasa hawana added skills.
Heslb wanatumia mabilion ya fedha kutoa mikopo kwenye vyuo ambavyo havipo relevant na uhalsia wa nje.
Vijana wengi wa PCB/PCM/CBG ambao walikuwa ndoto ya kusoma udaktari na uengeneer, wanapofeli Form 6 na kupata division 3 chafu na div 4 wote hukimbilia SUA, hivyo husomea vitu ambavyo hawakuwah kuwaza kuvisoma.
Hongera kwa UDSM, Mzumbe na Mhimbiri kwa kuendelea kutoa elimu inayongeza ufanisi kwenye jamii, SUA wanatakiwa wajifunze kutoka kwenu.
Labda niende straight:
Katika vyuo jipu nchini kimojawapo ni SUA.
Kinatoa kozi ambazo kiuhalisia kwenye labor market ufanisi wake ni mdogo sana, Mitaala na Programmes za SUA kwa ujumla zinachangia kuongeza idadi ya majobless nchini kwa kutoa taaluma zisizoendana na mazingira yetu.
Mitaala na programmes za SUA ni copy & paste kutoka nchi za mashariki ya kati, ambapo haziendani na mazimgira halisi ya kitanzania na Africa.
Nina jamaa zangu wengi waliomalizia SUA kozi za kilimo kama Agribusiness, misitu, sayansi ya nzige, Usimamizi wa Asali etc sahivi ni mabank tellers kwa malipo ya kusikitisha hadi laki 2 , hii imepelekea hadi graduates wa SUA kupewa jina la "Cheap labors" na hii imekuwa common wajiri wengi wakitaka kuajiri mtu wa kumyonya huvuta vijana wa SUA, sasa hawana added skills.
Heslb wanatumia mabilion ya fedha kutoa mikopo kwenye vyuo ambavyo havipo relevant na uhalsia wa nje.
Vijana wengi wa PCB/PCM/CBG ambao walikuwa ndoto ya kusoma udaktari na uengeneer, wanapofeli Form 6 na kupata division 3 chafu na div 4 wote hukimbilia SUA, hivyo husomea vitu ambavyo hawakuwah kuwaza kuvisoma.
Hongera kwa UDSM, Mzumbe na Mhimbiri kwa kuendelea kutoa elimu inayongeza ufanisi kwenye jamii, SUA wanatakiwa wajifunze kutoka kwenu.