Jinsi Elimu ya SUA ilivypoteza dira kwenye labour market, TCU imulikeni kwa macho mawili

SUA watoe kozi relevant kibongobongo
1 . Mechanical Engineering (digrii ya kushika spana isiwe nadharia,wajengewe engineering lab kama COET) na engineering nyingine
2. Pharmacy tuna uhaba wa wataalamu eneo hilo
3. Funzeni walimu taifa linahitaji walimu Sana hili
4. Medical practices kwa ujumla wake
5. Kwenye agriculture hapo bakizeni kozi chache hizo digrii za nzige,na nyuki zipunguzeni mzisabstityuti na relevant science & social courses

Wekeni hata journalism halafu si mna redio na TV nyie hapo

My two siblings wamehitimu hapo wote ni walimu sasa walisoma kozi hata majina kuyashika ni shida...

Naweza kusahihishwa lakini hoja ya mleta sledi ina mashiko SUA jichunguzeni upya
 
Sio SUA elimu ya bongo hasa mavyuon n hopless kabisa .....sikujua kama mavyuoni n sehemu ya kumeza madesa,theory nying kuliko practice .......nawaonea huruma hawa civil,electrical wanaishia kusove mahesabu na maformular marefu ,formular kubwa kama train inataka kuanguka, ,,,mwisho wa siku anahitimu yaani alivyosoma havina relation na maisha halis ya mtaan .....so saddddddd
 
Na wewe pia tutamulika umetoka chuo gani, 'mhimbiri' badala ya 'muhimbili' kweli....?!
 
Tuwe waangalifu na hili. SUA "imebobea" kwenye program za kilimo (kilimo, misitu, veterinary, science education, uhandisi kilimo, rural development etc). Hakuna chuo kingine hadi sasa kimetoa vijana wenye itaalamu huo. Hivyo kuwaona wanafanya kazi amazo umeziita cheap labour haina maana ya kuwa elimu ya SUA imepoteza dira na ya vyuo vingine ndo iko sawa. Swala ni je kuna kazi gani za kuwaajiri au wao wenyewe kujiajiri? Nchi inamipango gani kuwawezesha kuji ajiri na je kilimo kwa mukutadha wa sasa kinalipa? Tujiulize je tatizo lilisemwa hapo juu ni kubwa kiasi gani au ni hisia tu.



Hii ni mpya kuwa SUA ina cut na ku paste programs za mashariki ya kati. Nakuchallenge uthibitishe hili.



Mkuu hapa unatulisha matango pori. Kuna vijana wengi wenye ufaulu mzuri tu ambao huweka SUA kama choice yao ya kwanza hata enzi ya CAS. Pili kama wamefeli watapataje SUA? SUA inachukua watu wenye ufaulu unaokubalika na TCU. Sijasikia Division 4 kuingia chuo kikuu degree. Usiniambie SUA imeshuka kiasi hicho. Tafadhali thibitisha.

SUA inaweza kuwa na matatizo yake ambayo yanatokana na jinsi serikali inavyo gharamia elimu ya juu Tanzania as such utayakuta pia vyuo vingine.
Huyo anajiropokea tu, hajui SUA ni one of the best universities in Africa.
 
SUA.ni chuo kikuu kilichoanza kuwa jipu tangu 2994.tulipoanza hapo na kumaliza bila kuajiriwa na serikali mwisho tukaingia wizara ya elimu na kuanza kuamba kazi ya ualimu .Sua inahitaji wajipange.sio chiuo salama kwa maisha salama
Mwaka 2994?!?! Kweli?
 
Habari wakuu.

Labda niende straight:

Katika vyuo jipu nchini kimojawapo ni SUA.

Kinatoa kozi ambazo kiuhalisia kwenye labor market ufanisi wake ni mdogo sana, Mitaala na Programmes za SUA kwa ujumla zinachangia kuongeza idadi ya majobless nchini kwa kutoa taaluma zisizoendana na mazingira yetu.

Mitaala na programmes za SUA ni copy & paste kutoka nchi za mashariki ya kati, ambapo haziendani na mazimgira halisi ya kitanzania na Africa.

Nina jamaa zangu wengi waliomalizia SUA kozi za kilimo kama Agribusiness, misitu, sayansi ya nzige, Usimamizi wa Asali etc sahivi ni mabank tellers kwa malipo ya kusikitisha hadi laki 2 , hii imepelekea hadi graduates wa SUA kupewa jina la "Cheap labors" na hii imekuwa common wajiri wengi wakitaka kuajiri mtu wa kumyonya huvuta vijana wa SUA, sasa hawana added skills.

Heslb wanatumia mabilion ya fedha kutoa mikopo kwenye vyuo ambavyo havipo relevant na uhalsia wa nje.

Vijana wengi wa PCB/PCM/CBG ambao walikuwa ndoto ya kusoma udaktari na uengeneer, wanapofeli Form 6 na kupata division 3 chafu na div 4 wote hukimbilia SUA, hivyo husomea vitu ambavyo hawakuwah kuwaza kuvisoma.

Hongera kwa UDSM, Mzumbe na Mhimbiri kwa kuendelea kutoa elimu inayongeza ufanisi kwenye jamii, SUA wanatakiwa wajifunze kutoka kwenu.
Hujui hata unachozungumza.... kama mtu amesomea nzige na anaenda kwenye interview ya bank inayohitaji watu waliosoma banking, accounting, finance nk. then bank inaamua kumchukua mtaalamu wa nzige na kuwaacha hao wengine wakiendelea kuzunguka na bahasha, huoni kuwa hiki chuo kinatoa graduate versatile na bora zaidi kuliko vyuo vingine?
 
Ushabiki wa Vyuo umemtawala siyo bure,Wahitimu wa SUA wapo kwa kada mbalimbali (Kilimo,Uchumi,Ualimu,Uhandisi,Udaktari,TEHAMA,Mipango& Maendeleo,Biashara,Watunza Kumbukumbu,Lishe,Taaluma ya Maabara,Sayansi ya Chakula,Mazingira n.k) Hivyo kulingana na mahitaji ya soko Mhitimu anaweza kufit popote kulingana na Machaguo ya masomo ndani ya kada.Mfano Mimi nimehitimu Uhandisi hapo SUA lakini Micro and Macro Economics nimeipiga vizuri na niliwahi kukutana na Wachumi kutoka Vyuo vingine na walikaaa kwenye Usaili,
 
Habari wakuu.

Labda niende straight:

Katika vyuo jipu nchini kimojawapo ni SUA.

Kinatoa kozi ambazo kiuhalisia kwenye labor market ufanisi wake ni mdogo sana, Mitaala na Programmes za SUA kwa ujumla zinachangia kuongeza idadi ya majobless nchini kwa kutoa taaluma zisizoendana na mazingira yetu.

Mitaala na programmes za SUA ni copy & paste kutoka nchi za mashariki ya kati, ambapo haziendani na mazimgira halisi ya kitanzania na Africa.

Nina jamaa zangu wengi waliomalizia SUA kozi za kilimo kama Agribusiness, misitu, sayansi ya nzige, Usimamizi wa Asali etc sahivi ni mabank tellers kwa malipo ya kusikitisha hadi laki 2 , hii imepelekea hadi graduates wa SUA kupewa jina la "Cheap labors" na hii imekuwa common wajiri wengi wakitaka kuajiri mtu wa kumyonya huvuta vijana wa SUA, sasa hawana added skills.

Heslb wanatumia mabilion ya fedha kutoa mikopo kwenye vyuo ambavyo havipo relevant na uhalsia wa nje.

Vijana wengi wa PCB/PCM/CBG ambao walikuwa ndoto ya kusoma udaktari na uengeneer, wanapofeli Form 6 na kupata division 3 chafu na div 4 wote hukimbilia SUA, hivyo husomea vitu ambavyo hawakuwah kuwaza kuvisoma.

Hongera kwa UDSM, Mzumbe na Mhimbiri kwa kuendelea kutoa elimu inayongeza ufanisi kwenye jamii, SUA wanatakiwa wajifunze kutoka kwenu.
Div Four Anadahiliwa chuo gani? Mkuu

Na wewe eti ni Advocate

Nchi hii ina laana ya watu kama nyie
 
Habari wakuu.

Labda niende straight:

Katika vyuo jipu nchini kimojawapo ni SUA.

Kinatoa kozi ambazo kiuhalisia kwenye labor market ufanisi wake ni mdogo sana, Mitaala na Programmes za SUA kwa ujumla zinachangia kuongeza idadi ya majobless nchini kwa kutoa taaluma zisizoendana na mazingira yetu.

Mitaala na programmes za SUA ni copy & paste kutoka nchi za mashariki ya kati, ambapo haziendani na mazimgira halisi ya kitanzania na Africa.

Nina jamaa zangu wengi waliomalizia SUA kozi za kilimo kama Agribusiness, misitu, sayansi ya nzige, Usimamizi wa Asali etc sahivi ni mabank tellers kwa malipo ya kusikitisha hadi laki 2 , hii imepelekea hadi graduates wa SUA kupewa jina la "Cheap labors" na hii imekuwa common wajiri wengi wakitaka kuajiri mtu wa kumyonya huvuta vijana wa SUA, sasa hawana added skills.

Heslb wanatumia mabilion ya fedha kutoa mikopo kwenye vyuo ambavyo havipo relevant na uhalsia wa nje.

Vijana wengi wa PCB/PCM/CBG ambao walikuwa ndoto ya kusoma udaktari na uengeneer, wanapofeli Form 6 na kupata division 3 chafu na div 4 wote hukimbilia SUA, hivyo husomea vitu ambavyo hawakuwah kuwaza kuvisoma.

Hongera kwa UDSM, Mzumbe na Mhimbiri kwa kuendelea kutoa elimu inayongeza ufanisi kwenye jamii, SUA wanatakiwa wajifunze kutoka kwenu.
Yaani labor/labour unaita laboir

Duuhh hivi vyuo baada ya UDSM na SUA ni vichache vyenye uweledi Wa wasomi ndio maana Magufuli anatoa Teuzi nyingi toka SUA na Udsm ,juzi ndio katoa Saut lakini huyu alikuwa lecturer sio Product ya SAUT

Nikutajie SUA Alumni kwa Uchache
- Seleman Jaffo
-Hawa Ghasia
-Anna Tibaijuka
-Jumanne Maghembe
-Prof Musolwa
-Mkurugenzi SIDO
-Mkurugenzi NDC
-Mkurugenzi TAEC
-Dr Turukwa

Wapo wengi list ni ndefu sana na Juzi kati nimeuzulia inauguration ya Prof Mtawala kwa mujibu Wa wasomi presentation yake ilikuwa ndio kiwango cha juu zaidi ,jamaa kasoma Kilimo ,kasoma sheria ,jamaa kasoma telecommunications na mazagazaga kibao


Kijana jielimishe ,na kukutoa tongotongo maana tushafanya udahili Wa wanafunzi pale SUA , kozi kama Veterinary medicine na Biotechnology ni products za Kibaha School n.k wanaosoma CBA ,pia wanaofaulu CBG vizuri huenda SUA ,wanaofaulu vizuri ECA ,HGE wanaenda soma Agriculture economics and Agribusiness ,

Kwa wanaoenda kusoma Engineering , I mean Agricultural engineering ambayo ni kozi mama kwa engineering ilianzia COET baadae ikahamia SUA , na ilianza miaka ya 1970s na ikaenda hadi miaka ya 2000s wakawa miaka miwili wanasoma Udsm na miaka miwili SUA , na Katibu Wa ERB ni product ya SUA (Agricultural Engineering) ,baada ya mahitaji kukua SUA ,miaka ya 2011 wkaanzisha Kozi ya Irrigation and water resources engineering ambao ndio wamejaa halmashauri na manispaa kama mainjinia Wa Maji wameanzia DSM hadi gamboshi simiyu , pia wakaanzisha kozi ya Bio process Engineering ambayo ni sawa na food engineering

Kozi hizo zinachukua kuanzia div 1 hadi Div 3 kwa mujibu Wa TCU na kwa taarifa yako Vijana wengi wanakimbilia hizo kozi kwa sababu ya Ajira kila siku utumishi wanatangza Ajira kuanzia 20 na kuendelea za mainjinia Wa Maji na na umwagiliaji na kilimo

Ningekuelimisha zaidi maana sisi ndio tunajua mwanafunzi wanaoenda huko


Mfano kwa Udsm ,kozi zenye wanafunzi wenye ufaulu Wa div 1 pekee ni Petroleum ENG kwa sasa ,zamani ilikuwa telecommunications miaka ya 2000s ,kurudi nyuma ilikuwa electrical ENG ,civil n.k lakini Leo civil wengi wanajaa div 3 nying, one chache na two chache ,

Sheria wengi wanasoma Udsm , sababu ya historia na ufaulu ni mzuri , ualimu na fani nyingine ni mchanganyiko div 1,2,3

Kwa Mzumbe kozi yenye ufaulu mkubwa enzi hizo 2000-2005 ni BAF lakini sasa sijui kama iko hivo , fani nyingine div 3 nyingi na two chache

Na kwa kuhitimisha siku hizi wanafunzi wasiokuwa na watu juu ,huchagua kozi ambazo serikali Ajira zake nyingi zipo kila kukicha

Muhimbili ni MD ambayo ufaulu ni lazima uwe na One au Two na inategemea na ufaulu Wa mwaka husika


Natamani nikuelimishe zaidi na Uwakili wako Wa kuungaunga ila nachoka kuandika
 
Yaani labor/labour unaita laboir

Duuhh hivi vyuo baada ya UDSM na SUA ni vichache vyenye uweledi Wa wasomi ndio maana Magufuli anatoa Teuzi nyingi toka SUA na Udsm ,juzi ndio katoa Saut lakini huyu alikuwa lecturer sio Product ya SAUT

Nikutajie SUA Alumni kwa Uchache
- Seleman Jaffo
-Hawa Ghasia
-Anna Tibaijuka
-Jumanne Maghembe
-Prof Musolwa
-Mkurugenzi SIDO
-Mkurugenzi NDC
-Mkurugenzi TAEC
-Dr Turukwa

Wapo wengi list ni ndefu sana na Juzi kati nimeuzulia inauguration ya Prof Mtawala kwa mujibu Wa wasomi presentation yake ilikuwa ndio kiwango cha juu zaidi ,jamaa kasoma Kilimo ,kasoma sheria ,jamaa kasoma telecommunications na mazagazaga kibao


Kijana jielimishe ,na kukutoa tongotongo maana tushafanya udahili Wa wanafunzi pale SUA , kozi kama Veterinary medicine na Biotechnology ni products za Kibaha School n.k wanaosoma CBA ,pia wanaofaulu CBG vizuri huenda SUA ,wanaofaulu vizuri ECA ,HGE wanaenda soma Agriculture economics and Agribusiness ,

Kwa wanaoenda kusoma Engineering , I mean Agricultural engineering ambayo ni kozi mama kwa engineering ilianzia COET baadae ikahamia SUA , na ilianza miaka ya 1970s na ikaenda hadi miaka ya 2000s wakawa miaka miwili wanasoma Udsm na miaka miwili SUA , na Katibu Wa ERB ni product ya SUA (Agricultural Engineering) ,baada ya mahitaji kukua SUA ,miaka ya 2011 wkaanzisha Kozi ya Irrigation and water resources engineering ambao ndio wamejaa halmashauri na manispaa kama mainjinia Wa Maji wameanzia DSM hadi gamboshi simiyu , pia wakaanzisha kozi ya Bio process Engineering ambayo ni sawa na food engineering

Kozi hizo zinachukua kuanzia div 1 hadi Div 3 kwa mujibu Wa TCU na kwa taarifa yako Vijana wengi wanakimbilia hizo kozi kwa sababu ya Ajira kila siku utumishi wanatangza Ajira kuanzia 20 na kuendelea za mainjinia Wa Maji na na umwagiliaji na kilimo

Ningekuelimisha zaidi maana sisi ndio tunajua mwanafunzi wanaoenda huko


Mfano kwa Udsm ,kozi zenye wanafunzi wenye ufaulu Wa div 1 pekee ni Petroleum ENG kwa sasa ,zamani ilikuwa telecommunications miaka ya 2000s ,kurudi nyuma ilikuwa electrical ENG ,civil n.k lakini Leo civil wengi wanajaa div 3 nying, one chache na two chache ,

Sheria wengi wanasoma Udsm , sababu ya historia na ufaulu ni mzuri , ualimu na fani nyingine ni mchanganyiko div 1,2,3

Kwa Mzumbe kozi yenye ufaulu mkubwa enzi hizo 2000-2005 ni BAF lakini sasa sijui kama iko hivo , fani nyingine div 3 nyingi na two chache

Na kwa kuhitimisha siku hizi wanafunzi wasiokuwa na watu juu ,huchagua kozi ambazo serikali Ajira zake nyingi zipo kila kukicha

Muhimbili ni MD ambayo ufaulu ni lazima uwe na One au Two na inategemea na ufaulu Wa mwaka husika


Natamani nikuelimishe zaidi na Uwakili wako Wa kuungaunga ila nachoka kuandika
Job Ndugai
Dk Titus kamani
Prof kikula
 
Sio SUA elimu ya bongo hasa mavyuon n hopless kabisa .....sikujua kama mavyuoni n sehemu ya kumeza madesa,theory nying kuliko practice .......nawaonea huruma hawa civil,electrical wanaishia kusove mahesabu na maformular marefu ,formular kubwa kama train inataka kuanguka, ,,,mwisho wa siku anahitimu yaani alivyosoma havina relation na maisha halis ya mtaan .....so saddddddd
Mmmmmmmm,uwezi kukalili nini?but nakupa eko kwa points
 
Habari wakuu.

Labda niende straight:

Katika vyuo jipu nchini kimojawapo ni SUA.

Kinatoa kozi ambazo kiuhalisia kwenye labor market ufanisi wake ni mdogo sana, Mitaala na Programmes za SUA kwa ujumla zinachangia kuongeza idadi ya majobless nchini kwa kutoa taaluma zisizoendana na mazingira yetu.

Mitaala na programmes za SUA ni copy & paste kutoka nchi za mashariki ya kati, ambapo haziendani na mazimgira halisi ya kitanzania na Africa.

Nina jamaa zangu wengi waliomalizia SUA kozi za kilimo kama Agribusiness, misitu, sayansi ya nzige, Usimamizi wa Asali etc sahivi ni mabank tellers kwa malipo ya kusikitisha hadi laki 2 , hii imepelekea hadi graduates wa SUA kupewa jina la "Cheap labors" na hii imekuwa common wajiri wengi wakitaka kuajiri mtu wa kumyonya huvuta vijana wa SUA, sasa hawana added skills.

Heslb wanatumia mabilion ya fedha kutoa mikopo kwenye vyuo ambavyo havipo relevant na uhalsia wa nje.
Chuo kinatoa elimu irrelevant but still graduate wake wanaajiriwa as cheap labors kwenye nchi ambayo ajira zenyewe ni shida!

Hivi huoni ama unajikanganya au unakipa chuo credit?!

Btw; mbona huelekei kwamba you're reasonable?!

Ni bank gani kwa mfano yenye salary scales tofauti; moja ya ma-genius wa UDSM na Mzumbe na nyingine kwa ajili ya vilaza wa SUA?!

My brother alisoma SUA na ajira yake ya kwanza ilikuwa CRDB na 2 years later akala shavu NHIF!

So, according to you; huyu jamaa alikuwa na elimu irrelevant from irrelevant college na ndo maana unadhani aliajiriwa as a cheap labor only because hakuajiriwa kama Bwana Shamba!! Ndyo hoja yako sio?!

Anyway, huyo Bro. alisoma Agric. Economics na nimepitia prospectus ya SUA aliyosoma yeye kuona amesoma nini hasa:
Screenshot_2018-04-02-01-30-34.png

Hapa chini ni Semester 2
2018-04-02 01.38.11.png

Semester 3
2018-04-02 01.43.09.png

Semester 4
2018-04-02 01.59.04.png

Semester 5
2018-04-02 02.01.35.png


Semester 6
2018-04-02 02.05.01.png


Sasa hebu nisaidie jambo moja!!

Bila shaka wewe ni miongoni mwa Wasomi Nguli nchi hii though your arguments don't sound like one!

But I can understand; nyie Wasomi mnakuwa busy sana na tafiti kwahiyo siwezi kushangaa kuona unapitiwa kuweka any supporting evidence au angalau kutumia logical argument ku-support madai yako!

Now tell me:
1. Ni kozi ipi miongoni mwa hizo hapo juu ni irrelevant kwa kuangalia existing labor force demand?

2. Ni kozi ipi hapo juu ina elements za u-Mashariki ya Kati?

3. Kama kweli nawe ni msomi uliyekaa darasani na kuelewa na sio kukariri; hivi kweli unaweza ku-discredit program kama hiyo?!

4. Hivi kabisa unaamini mtu aliyosoma hiyo kozi is an useless product kwa kuangalia na mahitaji ya soko?!

Huo ni mfano wa kozi moja tu na endapo ningekuwa natumia PC, ningekupa mfano wa kozi zingine lakini ningependa kukupa changamoto kwako utoe mfano wa kozi moja kisha ueleze ni namna gani kozi husika ilivyo irrelevant!
 
Kwa Tanzania kama kuna chuo kinatakiwa kidahili wanachuo wengi ni SUA.
Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu,so binadamu wengi wagekuwa na hii Ilmu,ingesaidia sana kukuza uchumi wa nchi hii kwakuwa kuna ardhi yenye rutuba ya kutosha,population nzuri.
Serikali inge boost kwa kuwawezesha wasomi wetu wa kilimo kwa mikopo ili waweze kufungua mashamba makubwa ya kilimo na mifugo,pamoja na mitambo yake.
Kukidharau chuo cha SUA ni upunguani tu
 
Habari wakuu.

Labda niende straight:

Katika vyuo jipu nchini kimojawapo ni SUA.

Kinatoa kozi ambazo kiuhalisia kwenye labor market ufanisi wake ni mdogo sana, Mitaala na Programmes za SUA kwa ujumla zinachangia kuongeza idadi ya majobless nchini kwa kutoa taaluma zisizoendana na mazingira yetu.

Mitaala na programmes za SUA ni copy & paste kutoka nchi za mashariki ya kati, ambapo haziendani na mazimgira halisi ya kitanzania na Africa.

Nina jamaa zangu wengi waliomalizia SUA kozi za kilimo kama Agribusiness, misitu, sayansi ya nzige, Usimamizi wa Asali etc sahivi ni mabank tellers kwa malipo ya kusikitisha hadi laki 2 , hii imepelekea hadi graduates wa SUA kupewa jina la "Cheap labors" na hii imekuwa common wajiri wengi wakitaka kuajiri mtu wa kumyonya huvuta vijana wa SUA, sasa hawana added skills.

Heslb wanatumia mabilion ya fedha kutoa mikopo kwenye vyuo ambavyo havipo relevant na uhalsia wa nje.

Vijana wengi wa PCB/PCM/CBG ambao walikuwa ndoto ya kusoma udaktari na uengeneer, wanapofeli Form 6 na kupata division 3 chafu na div 4 wote hukimbilia SUA, hivyo husomea vitu ambavyo hawakuwah kuwaza kuvisoma.

Hongera kwa UDSM, Mzumbe na Mhimbiri kwa kuendelea kutoa elimu inayongeza ufanisi kwenye jamii, SUA wanatakiwa wajifunze kutoka kwenu.
nachojua sijajuta na sijutii kuwa Agribusiness holder and IT. Kwenye industry ninawakimbisa sana waliosoma uhasibu, uchumi,banking and finance kutoka vyuo mbalimbali hapa nchini
 
Back
Top Bottom