Interest
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 3,434
- 7,055
- Thread starter
- #81
Yote yanawezekana! Though inaelezwa kuwa Joseph alimsaidia Maria kutoroka ili watu wa mji wasimuue. Alihisiwa kuzini.Sio kweli! Maria alikuwa mke halali wa Mzee Joseph. Kugundulika kwa mimba changa ya Yesu hakukuzuia mahusiano ya kindoa baina ya Maria na Joseph. ..Jiongeze!
Hii story sijui niiendeleze? Inaonekana kuna school of thoughts mchanganyiko..