Interest
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 3,433
- 7,055
- Thread starter
- #41
How much older mkuu? Hebu tafiti ilikuwa ni tofauti ipi exactly kabla hujahitimisha kwa kunipinga. Nasisitiza, kama mtu ananipinga aweke ukweli.Ni kweli Joseph was much older than Mary lkn si kwa tofauti hiyo ya miaka. Na Joseph hakuwahi oa wala kuwa na watoto. Soma au sikiliza audio ya kitabu cha "life of virgin Mary".