Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Au ngoja niwaonjeshe kamuendelezo ki
Basi kwa muda ule nilibaki nimesimama tu mlangoni nikiwa nimeishiwa confidence kabisa, kitendo cha kumuona iryn amekaa na mama j sebuleni huku mama j akibubujikwa na machozi huku akinikata jicho kali pasipo kusema jambo kulinivuruga mno, gafla mama j aliinuka kwa hasira na kuingia ndani.

kwa upande mwingine iryn alikuwa ameinamisha kichwa chake chini huku akikwepesha macho yake.

'insider i'm so sorry nimemwambia ukweli mama j kuwa tupo kwenye mahusiano na sipo tayari kukuacha ikiwezekana utuoe wote niwe mke mdogo'

ghafla akili ikasimama , mapigo ya moyo yakazidi kwenda mbio huku kijasho chembamba kikinitoka, mwili ukaniishia nguvu nikajikuta napoteza fahamu na kuanguka chini kama kiroba cha mkaa, pwaaaa!.

nikama nilikuwa kwenye usingizi mzito nafungua macho naona mazingira tofauti ila niligundua nipo hospital baada ya kusoma maandishi ya pazia zilizokuwa dirishani 'agha khan hospital' wakati nageuka upande wa pili nikashtuka kumuona mama angu mzazi na mama j wamekaa kwenye kochi la hospital huku wakiniangalia kwa masikitiko, kwa muda ule nikajikuta mapigo ya moyo yanaenda kasi ,nikazimia tena .

je nitafanikiwa kuamka tena?

itaendelea?


oya ndio kama hivyo wanangu mi nimejitolea kuwapunguzia arosto wakuu wakati tunamsubiria mwanetu magwaya arudi tuishi humo kwanza nitarudi kuwaletea muendelezo wa episode nyingine.
Yaani nimeshaaza kusoma..nikaona Kuna sehem imerukwa. Nikarudia 66 nikaona havihusiani.


Mkuu umenikamata leo
 
EPISODE 67
“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”

PREVIOUS
IRYN: “I’m yours now.”

MIMI: “Are you serious? You’re m…”

Nilijikuta nimevutwa nimepewa ulimi kwa haraka ni kama alikuwa ananinyamazisha,…

CONTINUE…..

Tuliendelea kupeana “French kiss” huku tuko kwenye huba zito sana na alikuwa ameshaanza kunivua mkanda wa Jeans yangu na nikamzuia kwa kumshika mkono wake,

IRYN: “Darling what are you doing?”

MIMI: “Sorry twende tukale dinna afu tukirudi tutaendelea mimi leo nalala kwako, nishakuwa wako huna haja ya kuwa na wasiwasi.”

IRYN: “Okay baby so where are we going?”

MIMI: “Mimi nilitamani ningepata soup.”

IRYN: “No mimi nataka kula Pizza twende Mikocheni Plaza.”

MIMI: “Sawa mummy lets go.”

Tuliondoka pale kwenda Mikocheni plaza na ndani ya muda mfupi tulikuwa tumewasili tayari, nilipark gari na tukashuka. Wakati tunaelekea Pizza hut Iryn alinishika mkono na nilimwacha pale dining kwa nje na mimi nilikwenda ndani kuweka odda. Wakati niko ndani nikifanya malipo simu yangu ilianza kuita na alikuwa ni Asmah akipiga lakini mimi sikutaka kuipokea simu yake na nikaweka silent mode, niliona Asmah ameanza kunichawia maana anapiga simu muda mbaya.

Baada ya dakika kadhaa kupita tuliletewa odda yetu na tukaanza kula pale lakini nilishangaa kuona Iryn akianza kunilisha kipande cha pizza, kwa upande wangu nilikuwa sijazoea haya mambo hasa kwenye maeneo yenye watu wengi lakini sikuwa na jinsi, hivyo ilibidi nitoe ushirikiano na nilianza kumlisha na yeye.

Kwa upande wake hakuwa na wasiwasi kabisa na alionekana kulifurahia hili zoezi.

IRYN: “Baby, don’t you like it?”

MIMI: “No I like it baby.”

Na alionesha kufurahi baada ya kuisikia kauli yangu.

Baada ya kumaliza kula kuna kaka alikuja kusafisha meza na Iryn akamwomba atupige picha za pamoja pale. Hatukutaka kuendelea kupoteza muda pale na tuliamua kuondoka na kama kawaida tulikuwa tumeshikana mikono mpaka tunaingia kwenye gari.

Baada ya kuingia kwenye gari tulianza kupeana romance na ilikuwa ni kuvutana mle ndani kwa kupeana makiss motomoto mpaka alivyo anza kulegea ndo tukaondoka, niseme mapenzi yalianza kuwa moto ukitegemea ni penzi jipya limeanza kuchipua.

Tulivyowasili home tuliingia ndani na palepale nilivutwa kwenye coach na romance zikanza kwa kasi pale sebleni na ndani ya muda mfupi nilianza mpelekea moto. Baadae tuliamia chumbani na moto uliendelea maana ilikuwa ni vuta nikuvute na kwa upande wake alionesha kuwa na hamu sana ya Dudu.

Huu usiku ulikuwa ni mrefu sana maana match ilikuwa na spidi ya hatari afu ya kushambuliana zamu kwa zamu kama ni mpira ni formation ya (4-3-3). Nilipewa style zote na uzuri mwanamke ananyumbulika vizuri kitandani yaani unamweka style yoyote na dudu inapita vizuri kabisa, the way ambavyo Iryn alikuwa anapiga kelele kitandani usingesema huyu ndo boss lady au mwanamke mrembo, alikuwa kama mtoto namkunja navyotaka mimi pale kitandani.

Asubuhi nilichelewa kuamka kutokana na kazi kubwa sana ya usiku na ile kucheki muda ilikuwa ni saa 5 asubuhi na kulikuwa na missed call za mama Junior kama 5 hivi na texts juu, nikajisemea hapa acha nikaoge kwanza afu nikitoka nimpigie simu na nikaitoa simu kwenye silent mode.

Baada ya kutoka kuoga nilikuta Iryn kaamka amekaa kitandani na alikuwa ananiangalia kwa tabasamu zuri sana,

IRYN: “Baby mama J anakupigia simu, msikilize kwanza anasemaje.”

Na mimi niliamua kumpigia simu muda huu ili tuongee na haikuchukua muda akapokea simu,

MIMI: “Nambie mke wangu unaendeleaje huko Moshi?”

WIFE: “Hivi Baba J unashida gani toka asubuhi nakupigia simu hupokei umeanza tabia zako zilezile za mwanzo sindio?.”

MIMI: “Nisamehe sana mke wangu jana nimetoka Dodoma nikaingia usiku, nilikuwa nimechoka sana ndo naamka hapa now.”

WIFE: “Nimefulia sina cash huku na matumizi ya mwanao pia bibi anaumwa sitorudi week hii.”

MIMI: “Poleni sana nitakutumia pesa soon kwaajili ya matumizi na bibi.”

WIFE: “Alright Bae thank you, uwe na kazi njema.”

MIMI: “Byee! Badae nitakupigia simu ili nimsalimie Junior na Bibi.” Na akakata simu.

Baada ya kuagana na wife nilianza kujiandaa pale ili niende ofisini kuweka mambo sawa maana sikuwepo kwa siku 5.

IRYN: “Darling unakwenda wapi.?”

MIMI: “Nakwenda kazini mummy unataka twende wote?.”

IRYN: “No usiende bhana tubaki wote hapa tupumzike kwa leo, I know you’re so tired.”

MIMI: “Hapana Mummy acha niende nikaweke na mambo sawa siku tano ni nyingi sana ukitegemea mimi ni Manager.”

IRYN: “Okay Darling subiri nikakuandalie chochote ule.” Na akanibusu shavuni akakimbia.

Licha ya Iryn kutofurahia mimi kwenda kazini lakini ilibidi akubali vivyohivyo hakuwa na lakusema. Kwa upande wangu sikutaka kuchanganya mapenzi na kazi, japo alikuwa ni bossy wangu lakini nilijisemea lazima niwe makini kwa hili.

Baada ya kujiandaa nilikwenda dining kupata chakula na alikuwa kaniandalia mayai, sausage na maziwa.

IRYN: “Baby hakuna cha kupika wahi kurudi ili twende sokoni.”

MIMI: “Sawa tutakwenda badae.”

IRYN: “Okay you look great”

MIMI: “Thank you, naondoka baby see you soon.” Na nika mkiss mdomoni “mwaah”.

Nilitoka pale saa 6 mchana na wakati niko njiani niliwaza nianze kwanza Masaki then nimalizie na Mikocheni.

Baada ya kuwasili pale Masaki nilimwona Mama Janeth akiwa pale nje na alikuwa anaongea na moja ya dada wa pale ofisini, wakati naingia na gari alikuwa anaingalia sana maana nilikuwa nadrive ile Audi yake.

Ukweli nilishtuka sana kumwona maeneo haya ukitegemea ni mchana afu katikati ya week na sio kawaida yake, niliwaza huenda kuna kitu kinaendelea sijakifahamu bado.

Nilipark gari na baada ya kushuka nilikwenda moja kwa moja mpaka kwake na nikamsalimia pale na yeye kwa upande wake alinisalimia na tukaanza maongezi,

MA’ JANETH: “Nilijua upo na Iryn.”

MIMI: “Yeye nimemuacha home.”

MA’ JANETH: “Za huko Dodoma? Nilizipata picha za huko mlikokua nimefurahi sana, nafikiri nikitoka USA tuta organise ili twende na mimi kituo chochote cha orphans.”

MIMI: “Sawa mama haina shida tena itapendeza sana, nakuona hapa mama muda huu na sio kawaida yako.”

MA’ JANETH: “Nina presentation ya kikao, nikaona nije nitengeneze nywele kidogo. Hata hivyo ninaondoka hapa ungechelewa kidogo usinge nikuta.”

MIMI: “All the best mama, mimi ndo naingia acha niweke mambo sawa.”

MA’ JANETH: “Have a nice day.”

Tuliagana pale aliondoka na mimi nikaingia ndani na nilikwenda moja kwa moja mpaka ofisini na nikampigia simu Asmah ili aje ofisini kwangu. Haikuchukua muda Asmah alikuja ofisini ila alionekana kunichukia sana,

MIMI: “Mummy are you ok?”

ASMAH: “Embu achana na mimi niambie ulichoniitia.”

MIMI: “Ok mimi nimekuitia masuala ya kazi, lakini nambie shida ni nini.”

ASMAH: “Insider nakupigia simu zangu toka ijumaa hupokei unajua unazingua sana afu ukizingatia wewe ni Manager. Kuna vitu nakuwa nataka tushauriane unajua kabisa mimi bado sina experince lakini hunipokelei simu, hivi kwanini unafanya hivi.?”

MIMI: “Sorry kwa hili nilikuwa busy sana, pia nakuacha kama hivi ili upate experince ya kazi ili uwe na maamuzi sahihi, kwahiyo usimind sawa?”

ASMAH: “Insider unaboa sana, najua ulikwenda Dodoma na Iryn vipi mpo kwenye mahusiano.?”

MIMI: “Hapana alinipa kampani ili ayaone mazingira ya kule.”

ASMAH: “Insider unaniona mimi mtoto sana eeh!, kama unadate naye mimi nakupa hongera na mkamie yule mrembo utapata vingi na usimkere she really loves you.”

MIMI: “Sawa bhana acha mimi nipitie hizi reports afu tukapate lunch sawa?”

ASMAH: “Okay I am waiting.”

Baada ya kumaliza kupitia report zote na kujiridhisha nilimpitia Asmah tukaenda kupata lunch kwenye moja ya mgahawa ulio karibu na ofisi yetu na baada ya hapo nilimuaga na nikaondoka kuelekea Mikocheni ili nikaonane na Lucy.

Kwa upande mwingine Lucy sinaga shida naye kabisa hata nikimwachia ofisi nakuwa na amani maana najua ipo chini ya mtu sahihi.

Ndani ya dakika 20 nilikuwa nimewasili pale ofisini Mikocheni na nilimkuta Lucy yuko ofisini na wateja wawili wanaongea, niliwasalimia na sikutaka kuingilia maongezi yao hivyo nikamwaga Lucy, lakini alinizuia na akaniambia kuna umuhimu wa mimi kuwepo kwenye kikao hicho maana nahiatajika pia kwenye kutoa maamuzi.

“Manager bora umekuja hawa ndo wale customer niliokwambia last week kuwa watakuja, wanataka kufanya kazi na kampuni yetu lakini sasa naona wamekuja na mpango wao labda uwasikilize afu utoe neno.”

Kwa ufupi hawa customer wawili walikuwa ni wasimamizi au tuwaite managers wa msanii mkubwa tu hapa nchini na walikuwa wanataka kufanya kazi na sisi.

Walihitaji ofisi yetu isimamie show nzima kwenye upande wa urembo kuanzia wigs, makeups nknk, walikuwa na Video vixen saba (7). Tulishindwana kwenye bei maana wao walikuwa wanataka kufanye bure eti wanatusaidia kutangaza biashara.

Kwa upande wangu niliwakatalia na niliwaambia ofisi yetu hai-hitaji matangazo kwani tayari inafanya vizuri sokoni hivyo itabidi walipie full amount ila tutawapa discount. Baada ya maongezi ya nusu saa walisema wanakwenda kulijadili hili suala afu watarudi, na waliaga wanaondoka na sisi tukawapa kampani mpaka parking.

Wakati tuko parking Lucy alishangaa sana kuiona Audi pale ofisini maana anajua gari ni ya Iryn, na sisi tuliendelea kuongea palepale parking.

LUCY: “Insider mpaka unaachiwa gari kweli kwasasa upo pazuri sana mshikaji wangu. Embu niambie za huko Dodoma, umenificha lakini Iryn kanambia mpo wote na ninategemea hapa habari njema.”

MIMI: “Nilifahamu Iryn lazima akwambie sababu ni best yako. Bila shaka unajua vyote vilivyo endelea kule Dodoma.”

LUCY: “Ume hit?.”

MIMI: “Naanzaje wakati kila mtu amelala room yake kule Dodoma, rafiki yako anazingua sana wewe ongea naye na sijapenda kabisa.”

LUCY: “Mmhh hii mbona hatari sasa, nikiwa naye mbona anaonesha kukupenda sana? mpaka Dodoma huja hit, hii sasa inanipa maswali.”

MIMI: “Wewe yule ni best yako ongea naye.”

Kwa upande wangu sikutaka kumwambia Lucy kuhusu kinachoendelea kati yangu na Iryn, nilitaka Iryn mwenyewe amwambie best yake kuhusu mahusiano yetu. Na muda huu Iryn alianza kupiga simu kwa fujo maana aliona nachelewa kurudi home, na mimi nilimwaga Lucy nikaondoka pale kwenda kwa Iryn.

Baada ya kuwasili pale kwake nilishuka kwa gari na nilisikia sauti yake ikiniita “Baby..”na alikuwa amesimama kwenye balcony juu na baada ya kumwangalia alionekana kufurahi sana. Na mimi niliingia ndani na nikamkuta bado amesimama kwenye balcony na nikamkumbatia kwa nyuma,

MIMI: “Baby mbona unafuraha sana kuna nini?”

IRYN: “Darling Ijumaa tunakwenda Zanzibar mimi na wewe, that time siku enjoy but this this time nita enjoy na wewe, nimeshakata tiketi ya ndege na nimefanya booking ya hotel for us.”

MIMI: “Baby hujachoka na safari ya Dodoma? ungefanya hata next week.”

IRYN: “Baby huu ndo muda wa kuenjoy pamoja before sijakwenda kusoma.”

MIMI: “Sawa mummy will go.”

Wakati nikiwa bado nimemkumbatia kwa nyuma mnara wangu ulikuwa ukifeel joto lake na ukasimama wima, kwa upande wake alikuwa kavaa tight short ile inayobana na inaishia mapajani na nilianza kuishusha taratibu pale na yeye alikuwa hanizuii wala nini,

“Baby unataka ufanye nini.?”

Mazingira ya pale juu kwa balcony ni salama na ni ngumu mtu kujua kinachoendelea maana apartment yake imetizama upande wa bahari. Na mimi nilimuinamisha kidogo na nikamtanua miguu nikatoa mti nikaulainisha kwa maji ya kinywani nikaingiza ndani na nikaendelea kuhit from the back taratibu,

“Baby lets go Inside.”

“Ok mummy after you.”

Na tuliongozana kuelekea ndani kuendelea na kazi pale 6x6. Niseme kila nikimwona Iryn nilikuwa natamani kusex naye tu wala sio kingine, Iryn ni mtamu sana kwakweli yaani nilikuwa napagawa sana kwakweli.

Saa 12 jioni tulitoka kwenda Mliman city kununua mahitaji ya nyumbani na baada ya kuwasili maeneo yale tulikwenda moja kwa moja mpaka shoppers, baada ya kumaliza kununua mahitaji tulirudi home na tukaanza kupika pamoja pale jikoni.

Wakati tunapata dinna Iryn alinambia kwa kesho tutakwenda kuzitembelea ofisi zote pamoja afu baada ya hapo tutakwenda kufanya shopping kwaajili ya kwenda Zanzibar. Kwa upande mwingine niliwaza kwenda kumwona Jane before sijakwenda Zanzibar ili nikamjulie na hali yake maana toka niende Dodoma nilikuwa sijakwenda kumsalimia.

Asubuhi baada ya kupata breakfast tuliondoka kwenda Salon zote kuzitembelea na tulianza kwanza na ofisi ya Mikocheni. Baada ya kuwasili pale tulikwenda moja kwa moja mpaka ndani ofisini na pia nilimshirikisha Iryn kuhusu lile sakata la wale customer wa jana na maamuzi niliyochukua. Kwa Upande wake alinipongeza kwa maamuzi mazuri niliyotoa na mapendekezo niliyokuwa nimewapa.

Tulitumia kama nusu saa na tukaondoka kwenda Masaki, baada ya kuwasili Masaki tuliingia ndani salon huku tumeongozana, nilimwacha Iryn pale reception akiongea na wafanyakazi wake na mimi nilikwenda ofisini na nilimkuta Asmah yuko busy na laptop yake, tulisalimiana pale na mimi nikaanza kufanya kazi zangu huku story zikiendelea taratibu. Baada ya dakika 10 Iryn pia alikuja ndani ofisini na baada ya kumwona Asmah walisalimiana na kisha akakaa kwenye coach.

Asmah alivyomuona Iryn ameingia hakutaka kuendelea kubaki mle ndani hivyo alitoka akatuacha, na baada ya Asmah kutoka Iryn alianza kuongea pale,

IRYN: “Baby sikuelewi na Asmah ujue, why ameondoka?”

MIMI: “Kivipi humuelewi? kumbuka ni Incharge hapa, lazima tukae chini tujadiliane baadhi ya majukumu na wewe ndo ulimpa hii position.”

IRYN: “Ok point yangu uwe na mipaka maana simwamini sana huyu mwanamke japo anajitambua.”

MIMI: “You can trust me baby.”

IRYN: “Kama umemaliza tuondoke twende Mliman City tukafanye shopping kwaajili ya kesho.”

Tuliondoka ofisini na tulielekea Mlimani City kwaajili ya kufanya shopping, na baada ya kumaliza tulishauriana tukapate lunch pale Samakisamaki, na mimi nilimwambia atangulie mitamkuta napeleka vitu kwenye gari.

Wakati tumeachana nikielekea parking simu yangu ilianza kuita na alikuwa ni Jane akipiga simu na nikapokea simu yake chap sana. Jane alikuwa ananisalimia na alisema amenimiss ni muda hajaniona na nilimwambia pale leo nilikuwa na ratiba ya kwenda kumwona na soon nitakuwa Mbweni, kwa upande wake alifurahi sana na alisema ananisubiri.

Wakati tunapata lunch nilimwambia Iryn nitampeleka home then mimi nitakwenda Mbweni kumsalimia Jane, lakini kwa upande wake alitaka twende wote ili na yeye akatoe pole maana hukuwahi kwenda tena baada ya msiba, kwa upande wangu niliona sawa kwenda naye na sikuwa na jinsi ya kumkatalia.

Ilikuwa ni saa 8 mchana tayari wakati tunatoka pale Mlimani city na tulianza safari ya kwenda Mbweni, baada ya kuwasili kwa Jane dada alitoka kufungua geti na baada ya kupark gari tukaingia ndani seblen. Pale seblen kulikuwa na Jane, mama yake na kulikuwa na mgeni ambaye nilikuwa simfahamu, Jane alivyotuona alitukaribisha na alimkumbuka Iryn vizuri.

JANE: “Dada karibu sana toka kipindi kile sijakuona tena.”

IRYN: “Mambo yalikuwa mengi dear, baada ya Insider kunambia anakuja huku nikaona bora tuje wote nikujulie na hali, naona mimba ishakuwa kubwa tayari kipenzi, Mungu akusaidie kwakweli.”

JANE: “Kama unavyoona mambo yanazidi kupamba moto soon nakuletea mchumba.”

Iryn aliishia kucheka pale na story zingine zikaendelea pale seblen,

MIMI: “Vicky wangu yuko wapi? simwoni.”

JANE: “Ametoka sio muda sana ameaga anakwenda kwa rafiki yake. Shem can we talk privately?”

Tulitoka nje tukakaa kibarazani na tukaanza kuongea pale na Jane, alianza kuulizia mahusiano yangu ya Iryn maana alihisi sisi tuko kwenye mahusiano,

JANE: “Insider huyu dada ni nani? ulikuja naye siku ile msibani usiku na leo nakuona naye tena.”

MIMI: “Ni bossy wangu usiwe na wasiwasi.”

JANE: “Aisee! kuna wanawake warembo sana hapa Duniani, mdogo wangu Mary akimwona si atapata presha?”

MIMI: “Anamjua hatahivyo huna haja ya kuwa na wasiwasi.”

JANE: “Sasa nilitaka nikukabidhi zile pesa zako una prefer cash au nitransfer?”

MIMI: “Fanya kutransfer account yangu si unayo?”

JANE: “Sawa haina shida na suala la Mary umefikia wapi?”

MIMI: “Mary nitamtafuta tutaongea hili suala.”

JANE: “Alichukia sana kwenda Dodoma bila kumpa taarifa, unajua yule ni mdogo wangu na ni msaada kwangu sipendi kuona analalamika juu yako.”

MIMI: “Mtu mzima yule acha kubeba majukumu kama yeye ni mtoto.”

JANE: “Alibeba yangu na mimi sinabudi kubeba yake.”

Suala la Mary lilikuwa linaniumiza sana kichwa maana alikuwa msaada sana kipindi cha msiba wa mzee Pama, kudate naye niliona haiwezekani hata kumla pia niliona ni ngumu ukizingatia nilikuwa nishatembea na mdogo wake tayari. Pia niliwaza kama nikimkatalia atanichukuliaje? si atanichukia sana? nilikuwa niko dilemma muda huu na niliona hili jambo linatakiwa nisikirupuke nitumie akili sana.

Baada ya maongezi na Jane nilikwenda kuwaangalia Mbwa wangu na maendeleo yao yalionekana kuwa mazuri sana, nilirudi ndani na nikaaga tukaondoka na Iryn maeneo yale.

******
Ijumaa ilikuwa ndo safari ya kwenda Zanzibar na tulikuwa tunaondoka na ndege ya mchana, asubuhi tuliamka mapema kujiandaa maana tulitakiwa kucheck-in saa 5 asubuhi, tulipanga nguo kwenye bag moja tukaondoka kwenda JNIA na nilifanya kurequest usafiri wa kutupeleka.

Wakati tuko kwenye flight tulikuwa tunapiga story sana na tulikuwa kwenye mahaba mazito sana ni kama tulikuwa tunatamani ndege itue mapema tuwahi eneo la tukio. Kwa upande wa pembeni kuna raia zilikuwa zikituangalia sana lakini sisi hata hatukujali.

IRYN: “Baby leo tunakwenda sehemu nzuri sana hope utaipenda, lakini ni mbali kidogo.”

MIMI: “Wapi huko Mummy?”

IRYN: “Itakuwa surprise wewe utaona ni pazuri sana.”

MIMI: “Mhh! usije ukaenda kuniuza tu maana Junior bado mdogo sana.”

IRYN: “Hamna baby nikikuuza mimi nitaishi na nani?”

Tuliangaliana usoni afu tukaanza kucheka pale,

Saa 8 mchana tuliwasili pale Abeid Amani Karume Airport na kulikuwa na usafiri unatusubiri na tukaanza safari ya kwenda huko. Iryn alikuwa hataki kunambia tunakokwenda maana alisema ni surprise lakini kwa upande wangu nilikuwa natamani sana kujua ni wapi huko tunakwenda?.

Ulikuwa ni mwendo kama wa dakika 45 mpaka tunawasili eneo la tukio, damn! ilikuwa ni MELIÁ HOTEL na mazingira yake yalionekana kuwa mazuri sana, na mimi niliishia kushangaa tu muda huu, kwanza njiani nilikuwa napishana na watu wenye hadhi na wengi walikuwa ni wazungu.

Baada ya kushuka kwa gari tulikaribishwa na wanawake warembo sana na tulipelekwa mpaka ndani reception. Baada ya Iryn kujiandikisha na kuchukuliwa taarifa zetu tulipelekwa moja kwa moja mpaka kwenye room yetu na ilikuwa imejitenga ina view bahari ya Hindi, room ilikuwa ni nzuri sana and very romantic na mimi niliishia kushangaa pale.

IRYN: “Baby we will be here for 3 nights just me and you.”

MIMI: “Baby this is huge surprise to me, I really love this place.”

Alinisogelea tukaanza kupeana mate pale lakini nilimzuia,

MIMI: “Baby tukale kwanza then mengine yaendelee maana hata nguvu ya kusimamisha sina hapa, nina njaa.”

IRYN: “Hata mimi baby, twende bhasi.”

Tuliongozana kwenda restaurant ya karibu na wakati tuko njiani tulikuwa tunapishana na wazungu tu, kwa upande mwingine walionekana watu kwenye gardens wakipenzika kama couples wengine wamekaa wakipiga story nknk.

Baada ya kufika restaurant tuliagiza chakula na wote tuliishia kuagiza seafood na fresh juice, mimi muda huu macho yangu yalikuwa hayatulii kabisa maana maeneo kama haya nilikuwa naishia kuyaona kwenye movie na picha.

Tuliletewa chakula chetu na baada ya dakika kadhaa kupita Iryn alianza kunilisha kwa mdomo, nilishangaa sana kuona hana aibu licha ya uwepo wa watu pale restaurant, na mimi haya mapenzi ukweli sijayazoea kabisa lakini nilikuwa sina jinsi, hivyo ilibidi nitoe ushirikiano tu.

Wakati tunakula pale tulikuwa tunaandaa mipango ya kipindi chote cha muda tutakao kuwepo hotelini, tulikubalina kwa leo Ijumaa tutapumzika tu, kwa kesho jumamosi tutashinda swimming na jioni tutakwenda kunywa, jumapili tutashinda beach na usiku tutakwenda swimming tena, na jumatatu tungerudi Dar.

Baada ya lunch tuliondoka kurudi room yetu na kuna sehemu tulipita kuna kiukuta cha mbao kimejengwa kwa alama ya moyo (), bhasi Iryn aliomba nimpige picha pale na mimi nilimpiga za kutosha. Ukweli hili eneo lilifanya Iryn aonekane mrembo zaidi maana lilieandana sana na yeye kutokana na yale mazingira yake ya kuvutia.

Baada ya kufika room tulikwenda kuoga na kilichoendelea hapo ni kupeana raha za dunia maana ndo kilichokuwa kimetupeleka pale Meliá hotel. Kwa jinsi chumba kilivyokuwa romantic kilikuwa kinatupa hamasa sana ya sex na nilikuwa nikipeleka show ya kipadre yaani slowly na romance juu, ilikuwa ni sex moja ya taratibu afu tamu sana na baada ya hapo tuliishia kulala pale kitandani.

Saa 3 usiku tulikwenda kupata dinna kwenye mgahawa ambao uko ndani ya habarini umezungukwa na maji pande zote na ili ufike kwenye huu mgahawa kuna njia kama kidaraja cha juu kimetokea beach, jina la huu mgahawa ni “Jetty Lounge” ni mzuri sana na ile usiku ulikuwa unang’aa sana.

Hili eneo lilikuwa likivutia kuanzia tunakwenda mpaka tunaingia ndani na liko very romantic kutokana na lilivyodizainiwa na taa zake zilikuwa zinafanya eneo hili liwe zuri zaidi. Asilimia kubwa ya watu waliokuwa kwenye hii lounge zilikuwa ni couples na wapo ambao walionekana kuwa kwenye mahaba mazito sana na kulikuwa na kamziki kwa mbali ukiimba.

Tulikaribishwa vizuri sana na wahudumu wa hii restaurant na tuliagiza chakula pale na wakati tunasubiri tulikuwa tunaongea masuala ya kuhusu familia yangu. Iryn alikuwa ananidadisi kuhusu mama yangu kama vitu anavyopenda na asivyopenda nk na alionekana kutamani sana kumjua mama yangu kwa undani zaidi. Baada ya kupata dinna tulikaa kidogo na tukaondoka kwenda room maana tulipanga kwa siku ya leo tutaitumia kwa kupumzika na sex.

Jumamosi asubuhi baada ya kuamka tulishtua na kimoja pale kitandani na tukaenda kupata breakfast na ilikuwa saa 4 asubuhi tayari. Baada ya kupata breakfast tulirudi room kubadilika ili twende swimming pool, kwa upande wangu nilivaa pensi ya beach na juu nilikuwa na kaushi bila kusahau sunglasses za black. Kwa upande wa Iryn alivaa zile bikini kama zina kamba kiunoni na na juu alikuwa kavaa braa (bikini na braa zilikuwa sare), alijifunga mtandio mwepesi kiunoni na alivaa sunglasses black kama mimi tukaondoka.

Tulikuta swimming ina watu tayari na sisi tukaliunga tukaanza kuswim pale, mimi kuswim siko vizuri sana ni kawaida lakini Iryn ni fundi sana na alikuwa akinifanyia madoido sana mle ndani mpaka nikaona kama ananifanyia dharau hivi. Tuliishia kucheza ndani ya swimming mpaka tukaanza kuoneshana mahaba waziwazi na tulianza kupeana “French kiss”, uzuri ni kwamba kila mtu alikuwa busy na mambo yake na asilimia kubwa zilikuwa couples. Baadae tulitoka tukaenda kukaa pembeni ya swimming kuna vitanda na tukalala pale huku tukiendelea kupiga story, tulishinda pale swimming mchana kutwa hata hamu ya kula hatukuwa nayo zaidi ya kunywa cocktail.

IRYN: “Baby unajua naenjoy sana kuwa na wewe hapa maana najua sitakuwa na wewe tena hivi punde, nitakuwa sipo na busy na masomo.”

MIMI: “Yeah I know lakini sidhani kama itazuia sisi kushindwa kuonana labda uwe hujataka.”

IRYN: “Utaweza kuja South Africa for me?”

MIMI: “Why not? nakuwa nakuja kwaajili yako. You know I love you.”

Na Iryn aliishia kufurahi baada ya kusikia maneno yangu matamu na yakitoka moyoni mwangu.

IRYN: “Baby I love you too, you know huwa siamini kama kweli ni mme wa mtu na sijui kwanini nakupenda sana. Na suala la kuwa na mme wa mtu sijawahi kulifikiria kabisa katika maisha yangu.”

MIMI: “Kuwa mke wangu wa pili kama kweli unanipenda, mama J atabaki kuwa mke mkubwa no matter what, mimi na wewe tunaweza funga ndoa ya siri hata huko huko South Africa na maisha yakaendelea.”

IRYN: “Mimi nakuwa mke wako wa pili? you’re trying to convince me but you can’t”

MIMI: “Sidhani kama upo tayari kuwa na mwanaume ambaye humpendi, anyway I was joking let’s go muda umekwenda sana.”

Iryn alinigeukia akanipa ulimi na tukaanza kunyonyana mate pale, kwa upande mwingine kulikuwa na watu lakini sasa ndo hivo kila mtu alikuwa anamind business zake kuonesha kwamba tunachofanya pale ni cha kawaida, lakini kungekuwa na wabongo wangetushangaa sana na kutupiga picha kabisa.

Ilikua jioni ya saa 11 wakati tunarudi room na wakati tunatoka swimming mnara ulikuwa umesimama muda wote na nilipata shida sana kutembea njiani. Kuongozana na Iryn na jinsi alivyokuwa amevaa kulifanya macho ya mafisi yawe mengi sana, maana alionekana kuwa sexy sana muda huu na uzuri wake ulikuwa hadharani machoni pa watu.

MIMI: “Baby unajua nachukia sana hawa kenge wanavyokuangalia hivi?”

IRYN: “Baby mimi nishazoea macho ya watu, naona kawaida tu na jinsi wanavyoniangalia ndo wananipa confidence.”

MIMI: “Kwa dizaini hii itabidi ninunue gun mapema.”

IRYN: “Insider kweli unanipenda.”

MIMI: “Sitaki kuona unasumbuliwa na kenge yoyote, kama unatoka unanambia tunakwenda wote.”

IRYN: “Don’t worry baby I’m yours”

Na mimi nikambeba hao mpaka room maana mapenzi yalikuwa fire, na baada ya kufika room tulishtua kimoja tukalala.

Saa 2 usiku mapema kabisa tulikwenda kupata Dinna palepale Jetty lounge, kwa upande wangu niliagiza soup ya pweza na Iryn akaagiza seafood. Muda huu Iryn alipigiwa simu na mama Janeth na wakawa wanaongea, maongezi yao yalikuwa yanahusu huku Zanzibar na wakaagana.

MIMI: “Mama anasemaje?”

IRYN: “Alikuwa anauliza kama tumefika salama.”

MIMI: “Anafahamu tuko wote huku?”

IRYN: “Ndio anafahamu nilimwambia nakuja na wewe.”

MIMI: “Kwanini tusingerudi jumapili ili jumatatu niwe ofisini? naona kama naleta mazoea kazini, last week sikuwepo na hii tena sipo sidhani kama mama anafurahia hili afu pale Masaki Asmah bado ni slow learner.”

IRYN: “Baby, mama Janeth hana tatizo na nilimpa taarifa juu ya hili na akabariki, nikiwa happy mimi na mama Janeth anakuwa happy and viceversa vivyohivyo.”

MIMI: “Mhh sawa lakini wasiwasi wangu mimi ni Asmah maana bado ni slow learner, Sumaiya ndo alikuwa kila kitu pale ofisini hata kama sipo nilikuwa na amani.”

IRYN: “Baby kwani umeondoka bila kuwapa taarifa watu wako.?”

MIMI: “No nimewapa mummy.”

IRYN: “Okay stop complain, remember sisi ni wapenzi tunahitaji kuwa pamoja na faragha kama hivi.”

Na mimi nilikuwa nimemaliza kunywa soup yangu lakini nilikuwa bado nasikia njaa, nikamuita mhudumu na nika agiza aniletee seafood na chips pembeni, sasa Iryn alikuwa anashangaa sana kusikia naagiza chakula tena.

IRYN: “Baby hujashiba?”

MIMI: “Ndio wewe si unaona kazi nayofanya kitandani? inabidi nile kwa bidii afu mchana sijala.”

IRYN: “Mimi nimeshiba unaweza kuendeleza hiki.”

Baada ya muda mfupi nililetewa msosi na baada ya kumaliza kula, hapa sasa nikawa fiti na tukaanza kunywa pale, mimi niliagiza heineken kama kawaida yangu. Kwa upande mwingine kulikuwa na watu wenye asili tofauti kama wazungu na watu wa Asia ndo walikuwa wengi zaidi, ngozi nyeusi zilikuwa za kuhesabu.

Sehemu hii ilikuwa ni nzuri sana na asilimia kubwa ya watu walikuwepo eneo hili zilikuwa ni couple na kila mtu alikuwa busy na mambo yake. Kadri muda unavyokwenda na pombe kukolea tulianza kushikana shikana pale na ndani ya muda mfupi tulikuwa kwenye dimbwi kubwa sana la mahaba. Hisia zake zilionekana kuwa juu sana maana nilikuwa namshika shika kiuno chake, mara niyabonyeze makalio yake na uzuri nilikuwa nayajua maeneo yanayo mpandisha hisia zake hivyo sikupata tabu. Kwa upande wake alionekana kuwa kwenye Dunia nyingine muda mrefu sana, na alianza kutoa sauti za mahaba pale,

“Baby I’m wet.”

“Mhhh! really?.”

Na alitingisha kichwa kuonesha ni kweli huku akiniangalia kwa macho ya mahaba,

Na mimi niliingiza mkono kwenye ikulu yake ili kujihakikishia kama ni kweli her coochie is wet?, damn! ilikua so wet na nilikuwa nafeel joto lake kwenye viganja vyangu.

“Baby usitoe please.”

Mimi nilitoa mkono wangu na nikaupeleka mpaka puani nikaunusa, hata ile shombo au harufu ya P*ssy nilikuwa siisikii kabisa na smell niliyokuwa naivuta hapa ilikuwa ni nzuri sana,

“Baby your coochie is smell like Jasmine flower.”

Muda huu Iryn alikuwa hanielewi kabisa na alikuwa akilalamika kwanini nimetoa mkono kwenye coochie yake,

“Please baby touch it again.”

Japo nilikuwa nimekunywa lakini nilikuwa naakili zangu vizuri tu, wasiwasi wangu ulikuwa kwa Iryn maana nilihisi atakuwa kalewa nilikuwa siamini kama ni akili zake muda huu. Na mimi niliendelelea kumchezea antenna yake mpaka akaanza kuhangaika na alinivuta akanipa ulimi wake na tukaendelea kupeana kiss na haikuchukua round aka cumm. Muda huu alikuwa amelowa chapachapa mpaka short tight yake ilikuwa inamchora kwa pale mbele mpaka mapajani afu hakuwa na pichu.

Sehemu tuliyokuwa tumekaa ilikuwa pembeni na kulikuwa na ka ugiza fulani hivi, watu tulikuwa tumekaa kwa mbali mbali kidogo na kila mtu alikuwa busy na mambo yake, so ilikuwa ngumu kujua kinachoendelea pale.

Iryn aliishia kulala kwenye paja zangu na muda huu aliomba twende tukalale room na muda ulikuwa umeenda tayari, hivyo tukaondoka kwenda kulala. Kwa upande wangu nilikuwa niko tayari kwa kuanza mashambulizi na baada ya kufika room sikutaka kupoteza muda na match iliendelea na nilikuwa nikishambulia kwa kasi sana. Hii siku niliona utofauti sana kwa Iryn kwani alikuwa akitoa sauti za juu sana za mahaba, na haikuchukua zaidi ya dakika 10 aka cumm tena, na alianza kulalamika amechoka,

“Baby I’m tired.”

“I haven’t finished yet.”

“I’m sorry.”

Ukweli alionekana kuchoka sana na tuliishia kulala huku kichwa chake ameegesha kwenye kifua changu.

Jumapili ratiba yetu ilikuwa ni kwenda beach na mimi ndo nilikuwa wa kwanza kuamka na nilimuamsha ili tukapate breakfast, baada ya kupata breakfast kwa upande wake alionekana bado kuwa na uchovu sana, hivyo aliishia kulala tena pale kitandani.

Kwa upande wangu nilikuwa niko busy na laptop yangu nikipitia ripoti za ofisini ambazo nimetumiwa, pia muda huu Mary alinipigia simu ili kunijulia hali, aliulizia nilipo maana alipata taarifa nimerudi lakini sikumjulisha na mimi nilimwambia nimepata dharura kidogo niko Zanzibar na nikirudi, this time nitamcheki. Ofcourse nilikuwa najisikia vibaya sana kuona Mary akilalamika namna ile, nilikuwa nampiga sana calendar na nikajiapia pale nikirudi Dar lazima nimtafute.

Pale kitandani Iryn alikuwa bado kalala na mimi nilikuwa nimeanza kusikia uchovu hivyo nikaishia kulala pia, yee ndo alikuwa wa kwanza kuamka na saa 7 mchana aliniamsha tukale lunch kisha twende beach kutembea.

Tulikwenda kupata lunch mgahawa mwingine na wakati tunapata lunch pale restaurant tulikuwa tunapiga story sana na muda huu alionekana kuchangamka sana,

“Baby how are you feeling?”

“I’m okay, thank you for taking care of me”

“Don’t be mummy.”

“I love you Darling.”

Baada ya lunch tulikwenda beach kubarizi na tulikuta watu wengi sana wako beach na wengi wao walikuwa ni wazungu. Iryn alikuwa akivutia sana eneo hili na kila mtu alikuwa akimwangalia, kwa upande wangu nilikuwa najisikia kidume kuona pisi yangu ikiangaliwa kwa matamanio.

Beach tulikuwa tukioneshana mahaba mazito sana tena waziwazi, tulikuwa tunapigana picha nyingi sana na tulikuwa tuna records videos ilikuwa ni burudani kwakweli.

Tulishinda pale beach mpaka jioni na tulikwenda swimming pool kumalizia muda, baada ya hapo tulirudi kuoga then tukaenda Jetty lounge kupata dinna na kunywa. Baada ya kupata dinna tuliagiza Moet na tulianza kunywa taratibu,

IRYN: “Baby this is our last night lets drink.”

MIMI: “Na kesho tunaondoka sangapi?”

IRYN: “Tutaondoka na boat ya saa 6 mchana.”

Moet ya kwanza ilikuwa imeisha na nika agiza moet nyingine na story zilikuwa zinaendelea pale,

MIMI: “Baby jana sijaenjoy kabisa.”

IRYN: “Leo utaenjoy darling, usijali.”

Tulikaa pale bar mpaka saa 7 usiku ndo tukarudi kulala na baada ya kufika room kilichoendelea ni kupeana raha za Dunia. Ulikuwa ni usiku wa mwisho hivyo hatukutaka kulemba kabisa, hii match ilikuwa ni kama farewell. Match ilikuwa ni ndefu na yeye aliishia kulala na mimi sikuwa na usingizi hivyo nilikwenda kukaa kwenye kiti.

Mezani kulikuwa na simu zake mbili hivyo niliichukua simu moja nikaanza kuikagua, passcode nilikuwa nazijua hivyo haikuwa shida kwangu. Nilifungua Whatsapp yake nikaona chats zake na Grizz, chats zao nilionesha kweli hawako kwenye mahusiano na walikuwa wakichat kuhusu masuala ya biashara. Iryn alikuwa analalamika hajaingiziwa dividend yake ya mwezi uliopita na Grizz alisema analifanyia kazi atamuwekea haraka sana.

Niliendelea kukagua simu pale na nilifungua group la chuo alichosoma na alikuwa amepost baadhi ya picha za huku Zanzibar na colleagues walikuwa wanamsifia sana. Nilifungua instagram yake na huku hakuna alichokuwa anapost zaidi ya quotes, nilihamia snapchat na huku ndo nilijua anapenda kuitumiaa maana ile kuifungua DM zilikuwa kibao na alikuwa anapost picha za huku Zanzibar, mitandao mingine niliichana nayo na nikaiweka simu yake.

Niliwaza pale kwenye kiti haya mapenzi nayopewa na Iryn mbona sijawahi kuyapata kwa mwanamke yoyote yule?, maana nilikuwa naona kama hii Dunia ni yangu si kwa haya mahaba motomoto. Ukweli kwa upande wangu hata mimi nilipagawa sana maana Iryn alinipenda kwa dhati na toka moyoni na alikuwa haniwekei mipaka. Alikuwa ananiachia mwili wake niutumie navyotaka, nikimkuta jikoni nilikuwa namuweka, seblen nitamuweka, swimming pool nako nilikuwa namuweka, yaani ni hatari.

Kwa upande wangu sikutamani hata mama Junior arudi home kabisa kwa muda huu mfupi Iryn alikuwa kaniteka tayari. Niligeuka kumtizama na jinsi alivyokuwa amelala pale kitandani alionekana kuwa mrembo zaidi, niliishia kustaajabu uzuri wake na nilikuwa siamini kweli mimi Insider nimefanikiwa kuwa kwenye mahusiano na moja ya mwanamke mrembo hapa duniani?, niliona ni kama bahati na nilijisemea huenda Iryn aliletwa Tanzania kwaajili yangu.

Nilichukua simu yake nikampiga picha akiwa amelala vilevile na mimi nikapanda kitandani kulala.

Jumatatu ilikuwa ndo safari ya kurudi Dar na ile asubuhi mimi ndo nilikuwa wa kwanza kuamka na nilianza kupark vitu kwenye bag kwaajili ya safari. Baadae na yeye aliamka, tukaenda kuoga kwa pamoja na tulishtua kimoja cha kuondokea tukiwa tunaoga.

Wakati tunajiandaa simu yangu ilianza kuita na Iryn alikuwa nayo karibu na akanipa pale, kucheki alikuwa ni Asmah anapiga na nikapokea tukaanza kuongea, Iryn alikuwa makini sana kusikiliza,

ASMAH: “Hi Insider unakuja leo ofisini?”

MIMI: “Nitakuja badae vipi kuna tatizo?”

ASMAH: “Yeah, tumeishiwa Moisturizer na CC cream.”

MIMI: “Wasiliana na Lucy akutumie kwa bodaboda yeye anazo nyingi tu.”

ASMAH: “Ok sawa byee.”

MIMI: “Ok see you later.”

Kwa upande wa Iryn baada ya kukata simu alianza kuongea,

IRYN: “Anataka nini.?”

MIMI: “Wameishiwa mzigo, nimemwambia awasiliane na Lucy.”

IRYN: “CC Cream zimeisha mara hii wakati ile jumatano zilikuwa nyingi tu.”

MIMI: “Huwezi kufaham kama weekend kulikuwa na wateja wengi?”

IRYN: “Sina imani sana na Asmah.”

MIMI: “Wewe ndo umemchagua kuwa mbadala wa Sumaiya, unajua fika lazima niwe na mawasiliano naye maana yeye anaripoti kwangu, kama huna imani naye bhasi niwekee mtu mwingine pale wa kufanya naye kazi. Pia nashangaa kuona huniamini wakati mimi na Asmah hatuna mahusiano Yoyote nje na kazi, baby kwa hili unazingua sana.”

IRYN: “Lets go usafiri umefika tayari inabidi tukale kwanza kabla ya safari.”

Tulimpa dada bag atusaidie kulipeleka reception na Iryn alimpa pesa kama ahsante ya kuwa nasi kipindi chote. Tulikwenda restaurant kupata breakfast na baada ya hapo tuliaga pale reception na tukaondoka kuelea port kwaajili ya kupanda boat.

Niseme MELIÁ Hotel ni bonge moja la sehemu yaani ni hotel nzuri sana, nilipagawa na Hotel Verdé kipindi kile lakini Verde ni cha mtoto mbele ya Melia hotel. Hotel ina restaurant na bar kila kona, bado swimmings, rooms kali, afu asilimia kubwa ya watu wa huku ni wazungu waafrica ni kuwa hesabu sana. Watu wanakula starehe huku asee hata gharama za room zipo juu sana unaweza pitia web yao ujionee sasa sisi room tuliyo kaa inaitwa “Bungalow ocean view.”

Saa 8 mchana tulikuwa tumewasili Dar tayari na tulichukua bolt ya kutupeleka home, baada ya kuwasili home tuliishia kulala tu maana tulikuwa hoi sana.

Saa 12 jioni nilijiandaa ili niende kuzitembelea ofisi zote na wakati natoka Iryn alikuwa pale seblen amekaa na alikuwa akiniangalia sana,

IRYN: “Baby unakwenda wapi usiku huu.”

MIMI: “Nakwenda ofisini kuangalia maendeleo.”

IRYN: “Sema unataka kuonana na Asmah na kwanini uende muda huu kesho si ipo?”

MIMI: “Unajua Asmah simwamini sana nataka nikafanye na stock-taking, mimi sichelewi baby I will be here soon for you. Pia naomba usiniwazie vibaya kwa heshima uliyonipa siwezi nikafanya mambo ya kijinga na nitakuwa mpumbavu, sioni nachokosa kwako baby, please naomba uniamini.”

IRYN: “Sawa baby I trust you. Sijisikii kupika itabidi tukale, usichelewe kurudi.”

MIMI: “Sawa baby Ahsante kwa kunielewa, byee mimi naondoka.” Na nikamkiss kwenye lips zake “Mwaah”.

IRYN: “Byee..”

Niliondoka kuelekea kwanza Masaki na baada ya kuwasili pale ofisini niliwasilimia dada wote na nilianza kuwatania pale na wao walianza kunisanifu,

“Manager umekuwa adimu sana sikuhizi.”

Mwingine akadakia,

“Tumekumiss kwakweli lakini sikuhizi unatukataa kabisa.”

MIMI: “Hamna team yangu nilikuwa busy kidogo kesho nipo na nyinyi hapa nitawapa offa ya lunch wote.”

Waliishia kufurahi na mimi nikaenda ofisini kuonana ka Asmah na nilimkuta yuko busy na laptop,

MIMI: “Nambie mummy pole na kazi.”

ASMAH: “Safi na wewe za safari?”

MIMI: “Nimerudi tayari nipe maendeleo ya ofisi kwanza, kabla sijaanza kukagua report.”

Asmah alinipa abc zote za pale ofisini na kubwa stock ya mzigo ilikuwa imeanza kukata na mimi nilikwenda kufanya ukaguzi na nikarudi ofisini kuendelea na kuandaa ripoti.

Iryn alinipigia simu kuulizia nilikofikia na alikuwa akilalamika sana kuwa anasikia njaa na mimi nikamwambia kama anaweza atangulie nitamkuta pale Golden Fork. Kwa upande mwingine Asmah naye alikuwa busy na kuandaa ripoti zake na mimi baada ya kumaliza nilimwaga naondoka na yeye aliomba nimpe lift nimwache pale Namanga.

Asmah alikuwa anakaa Upanga hivyo pale Namanga ndo ingekuwa sehemu rahisi kwake yeye kupata usafiri wa kumpeleka home na baada ya kumdrop pale tuliagana na mimi nikaendelea na safari yangu.

Nilikunja kulia pale Namanga nikapita na barabara ya Ubalozi wa Yankees na nikaja kuunga na Mwaikibaki Road, sasa wakati niko pale Shoppers simu yangu ilianza kuita na kucheki ilikuwa ni namba ngeni, nikapokea.

Baada ya kupokea simu dada alijitambulisha kuwa yeye ni nesi na amepokea majeruhi wa2 waliokuwa kwenye bodaboda ambao ni kaka na dada na hali zao ni mbaya sana hivyo niende haraka,

When You Have Everything? What could you possibly desire?.

EPISODE 68
Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
 
EPISODE 67
“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”

PREVIOUS
IRYN: “I’m yours now.”

MIMI: “Are you serious? You’re m…”

Nilijikuta nimevutwa nimepewa ulimi kwa haraka ni kama alikuwa ananinyamazisha,…

CONTINUE…..

Tuliendelea kupeana “French kiss” huku tuko kwenye huba zito sana na alikuwa ameshaanza kunivua mkanda wa Jeans yangu na nikamzuia kwa kumshika mkono wake,

IRYN: “Darling what are you doing?”

MIMI: “Sorry twende tukale dinna afu tukirudi tutaendelea mimi leo nalala kwako, nishakuwa wako huna haja ya kuwa na wasiwasi.”

IRYN: “Okay baby so where are we going?”

MIMI: “Mimi nilitamani ningepata soup.”

IRYN: “No mimi nataka kula Pizza twende Mikocheni Plaza.”

MIMI: “Sawa mummy lets go.”

Tuliondoka pale kwenda Mikocheni plaza na ndani ya muda mfupi tulikuwa tumewasili tayari, nilipark gari na tukashuka. Wakati tunaelekea Pizza hut Iryn alinishika mkono na nilimwacha pale dining kwa nje na mimi nilikwenda ndani kuweka odda. Wakati niko ndani nikifanya malipo simu yangu ilianza kuita na alikuwa ni Asmah akipiga lakini mimi sikutaka kuipokea simu yake na nikaweka silent mode, niliona Asmah ameanza kunichawia maana anapiga simu muda mbaya.

Baada ya dakika kadhaa kupita tuliletewa odda yetu na tukaanza kula pale lakini nilishangaa kuona Iryn akianza kunilisha kipande cha pizza, kwa upande wangu nilikuwa sijazoea haya mambo hasa kwenye maeneo yenye watu wengi lakini sikuwa na jinsi, hivyo ilibidi nitoe ushirikiano na nilianza kumlisha na yeye.

Kwa upande wake hakuwa na wasiwasi kabisa na alionekana kulifurahia hili zoezi.

IRYN: “Baby, don’t you like it?”

MIMI: “No I like it baby.”

Na alionesha kufurahi baada ya kuisikia kauli yangu.

Baada ya kumaliza kula kuna kaka alikuja kusafisha meza na Iryn akamwomba atupige picha za pamoja pale. Hatukutaka kuendelea kupoteza muda pale na tuliamua kuondoka na kama kawaida tulikuwa tumeshikana mikono mpaka tunaingia kwenye gari.

Baada ya kuingia kwenye gari tulianza kupeana romance na ilikuwa ni kuvutana mle ndani kwa kupeana makiss motomoto mpaka alivyo anza kulegea ndo tukaondoka, niseme mapenzi yalianza kuwa moto ukitegemea ni penzi jipya limeanza kuchipua.

Tulivyowasili home tuliingia ndani na palepale nilivutwa kwenye coach na romance zikanza kwa kasi pale sebleni na ndani ya muda mfupi nilianza mpelekea moto. Baadae tuliamia chumbani na moto uliendelea maana ilikuwa ni vuta nikuvute na kwa upande wake alionesha kuwa na hamu sana ya Dudu.

Huu usiku ulikuwa ni mrefu sana maana match ilikuwa na spidi ya hatari afu ya kushambuliana zamu kwa zamu kama ni mpira ni formation ya (4-3-3). Nilipewa style zote na uzuri mwanamke ananyumbulika vizuri kitandani yaani unamweka style yoyote na dudu inapita vizuri kabisa, the way ambavyo Iryn alikuwa anapiga kelele kitandani usingesema huyu ndo boss lady au mwanamke mrembo, alikuwa kama mtoto namkunja navyotaka mimi pale kitandani.

Asubuhi nilichelewa kuamka kutokana na kazi kubwa sana ya usiku na ile kucheki muda ilikuwa ni saa 5 asubuhi na kulikuwa na missed call za mama Junior kama 5 hivi na texts juu, nikajisemea hapa acha nikaoge kwanza afu nikitoka nimpigie simu na nikaitoa simu kwenye silent mode.

Baada ya kutoka kuoga nilikuta Iryn kaamka amekaa kitandani na alikuwa ananiangalia kwa tabasamu zuri sana,

IRYN: “Baby mama J anakupigia simu, msikilize kwanza anasemaje.”

Na mimi niliamua kumpigia simu muda huu ili tuongee na haikuchukua muda akapokea simu,

MIMI: “Nambie mke wangu unaendeleaje huko Moshi?”

WIFE: “Hivi Baba J unashida gani toka asubuhi nakupigia simu hupokei umeanza tabia zako zilezile za mwanzo sindio?.”

MIMI: “Nisamehe sana mke wangu jana nimetoka Dodoma nikaingia usiku, nilikuwa nimechoka sana ndo naamka hapa now.”

WIFE: “Nimefulia sina cash huku na matumizi ya mwanao pia bibi anaumwa sitorudi week hii.”

MIMI: “Poleni sana nitakutumia pesa soon kwaajili ya matumizi na bibi.”

WIFE: “Alright Bae thank you, uwe na kazi njema.”

MIMI: “Byee! Badae nitakupigia simu ili nimsalimie Junior na Bibi.” Na akakata simu.

Baada ya kuagana na wife nilianza kujiandaa pale ili niende ofisini kuweka mambo sawa maana sikuwepo kwa siku 5.

IRYN: “Darling unakwenda wapi.?”

MIMI: “Nakwenda kazini mummy unataka twende wote?.”

IRYN: “No usiende bhana tubaki wote hapa tupumzike kwa leo, I know you’re so tired.”

MIMI: “Hapana Mummy acha niende nikaweke na mambo sawa siku tano ni nyingi sana ukitegemea mimi ni Manager.”

IRYN: “Okay Darling subiri nikakuandalie chochote ule.” Na akanibusu shavuni akakimbia.

Licha ya Iryn kutofurahia mimi kwenda kazini lakini ilibidi akubali vivyohivyo hakuwa na lakusema. Kwa upande wangu sikutaka kuchanganya mapenzi na kazi, japo alikuwa ni bossy wangu lakini nilijisemea lazima niwe makini kwa hili.

Baada ya kujiandaa nilikwenda dining kupata chakula na alikuwa kaniandalia mayai, sausage na maziwa.

IRYN: “Baby hakuna cha kupika wahi kurudi ili twende sokoni.”

MIMI: “Sawa tutakwenda badae.”

IRYN: “Okay you look great”

MIMI: “Thank you, naondoka baby see you soon.” Na nika mkiss mdomoni “mwaah”.

Nilitoka pale saa 6 mchana na wakati niko njiani niliwaza nianze kwanza Masaki then nimalizie na Mikocheni.

Baada ya kuwasili pale Masaki nilimwona Mama Janeth akiwa pale nje na alikuwa anaongea na moja ya dada wa pale ofisini, wakati naingia na gari alikuwa anaingalia sana maana nilikuwa nadrive ile Audi yake.

Ukweli nilishtuka sana kumwona maeneo haya ukitegemea ni mchana afu katikati ya week na sio kawaida yake, niliwaza huenda kuna kitu kinaendelea sijakifahamu bado.

Nilipark gari na baada ya kushuka nilikwenda moja kwa moja mpaka kwake na nikamsalimia pale na yeye kwa upande wake alinisalimia na tukaanza maongezi,

MA’ JANETH: “Nilijua upo na Iryn.”

MIMI: “Yeye nimemuacha home.”

MA’ JANETH: “Za huko Dodoma? Nilizipata picha za huko mlikokua nimefurahi sana, nafikiri nikitoka USA tuta organise ili twende na mimi kituo chochote cha orphans.”

MIMI: “Sawa mama haina shida tena itapendeza sana, nakuona hapa mama muda huu na sio kawaida yako.”

MA’ JANETH: “Nina presentation ya kikao, nikaona nije nitengeneze nywele kidogo. Hata hivyo ninaondoka hapa ungechelewa kidogo usinge nikuta.”

MIMI: “All the best mama, mimi ndo naingia acha niweke mambo sawa.”

MA’ JANETH: “Have a nice day.”

Tuliagana pale aliondoka na mimi nikaingia ndani na nilikwenda moja kwa moja mpaka ofisini na nikampigia simu Asmah ili aje ofisini kwangu. Haikuchukua muda Asmah alikuja ofisini ila alionekana kunichukia sana,

MIMI: “Mummy are you ok?”

ASMAH: “Embu achana na mimi niambie ulichoniitia.”

MIMI: “Ok mimi nimekuitia masuala ya kazi, lakini nambie shida ni nini.”

ASMAH: “Insider nakupigia simu zangu toka ijumaa hupokei unajua unazingua sana afu ukizingatia wewe ni Manager. Kuna vitu nakuwa nataka tushauriane unajua kabisa mimi bado sina experince lakini hunipokelei simu, hivi kwanini unafanya hivi.?”

MIMI: “Sorry kwa hili nilikuwa busy sana, pia nakuacha kama hivi ili upate experince ya kazi ili uwe na maamuzi sahihi, kwahiyo usimind sawa?”

ASMAH: “Insider unaboa sana, najua ulikwenda Dodoma na Iryn vipi mpo kwenye mahusiano.?”

MIMI: “Hapana alinipa kampani ili ayaone mazingira ya kule.”

ASMAH: “Insider unaniona mimi mtoto sana eeh!, kama unadate naye mimi nakupa hongera na mkamie yule mrembo utapata vingi na usimkere she really loves you.”

MIMI: “Sawa bhana acha mimi nipitie hizi reports afu tukapate lunch sawa?”

ASMAH: “Okay I am waiting.”

Baada ya kumaliza kupitia report zote na kujiridhisha nilimpitia Asmah tukaenda kupata lunch kwenye moja ya mgahawa ulio karibu na ofisi yetu na baada ya hapo nilimuaga na nikaondoka kuelekea Mikocheni ili nikaonane na Lucy.

Kwa upande mwingine Lucy sinaga shida naye kabisa hata nikimwachia ofisi nakuwa na amani maana najua ipo chini ya mtu sahihi.

Ndani ya dakika 20 nilikuwa nimewasili pale ofisini Mikocheni na nilimkuta Lucy yuko ofisini na wateja wawili wanaongea, niliwasalimia na sikutaka kuingilia maongezi yao hivyo nikamwaga Lucy, lakini alinizuia na akaniambia kuna umuhimu wa mimi kuwepo kwenye kikao hicho maana nahiatajika pia kwenye kutoa maamuzi.

“Manager bora umekuja hawa ndo wale customer niliokwambia last week kuwa watakuja, wanataka kufanya kazi na kampuni yetu lakini sasa naona wamekuja na mpango wao labda uwasikilize afu utoe neno.”

Kwa ufupi hawa customer wawili walikuwa ni wasimamizi au tuwaite managers wa msanii mkubwa tu hapa nchini na walikuwa wanataka kufanya kazi na sisi.

Walihitaji ofisi yetu isimamie show nzima kwenye upande wa urembo kuanzia wigs, makeups nknk, walikuwa na Video vixen saba (7). Tulishindwana kwenye bei maana wao walikuwa wanataka kufanye bure eti wanatusaidia kutangaza biashara.

Kwa upande wangu niliwakatalia na niliwaambia ofisi yetu hai-hitaji matangazo kwani tayari inafanya vizuri sokoni hivyo itabidi walipie full amount ila tutawapa discount. Baada ya maongezi ya nusu saa walisema wanakwenda kulijadili hili suala afu watarudi, na waliaga wanaondoka na sisi tukawapa kampani mpaka parking.

Wakati tuko parking Lucy alishangaa sana kuiona Audi pale ofisini maana anajua gari ni ya Iryn, na sisi tuliendelea kuongea palepale parking.

LUCY: “Insider mpaka unaachiwa gari kweli kwasasa upo pazuri sana mshikaji wangu. Embu niambie za huko Dodoma, umenificha lakini Iryn kanambia mpo wote na ninategemea hapa habari njema.”

MIMI: “Nilifahamu Iryn lazima akwambie sababu ni best yako. Bila shaka unajua vyote vilivyo endelea kule Dodoma.”

LUCY: “Ume hit?.”

MIMI: “Naanzaje wakati kila mtu amelala room yake kule Dodoma, rafiki yako anazingua sana wewe ongea naye na sijapenda kabisa.”

LUCY: “Mmhh hii mbona hatari sasa, nikiwa naye mbona anaonesha kukupenda sana? mpaka Dodoma huja hit, hii sasa inanipa maswali.”

MIMI: “Wewe yule ni best yako ongea naye.”

Kwa upande wangu sikutaka kumwambia Lucy kuhusu kinachoendelea kati yangu na Iryn, nilitaka Iryn mwenyewe amwambie best yake kuhusu mahusiano yetu. Na muda huu Iryn alianza kupiga simu kwa fujo maana aliona nachelewa kurudi home, na mimi nilimwaga Lucy nikaondoka pale kwenda kwa Iryn.

Baada ya kuwasili pale kwake nilishuka kwa gari na nilisikia sauti yake ikiniita “Baby..”na alikuwa amesimama kwenye balcony juu na baada ya kumwangalia alionekana kufurahi sana. Na mimi niliingia ndani na nikamkuta bado amesimama kwenye balcony na nikamkumbatia kwa nyuma,

MIMI: “Baby mbona unafuraha sana kuna nini?”

IRYN: “Darling Ijumaa tunakwenda Zanzibar mimi na wewe, that time siku enjoy but this this time nita enjoy na wewe, nimeshakata tiketi ya ndege na nimefanya booking ya hotel for us.”

MIMI: “Baby hujachoka na safari ya Dodoma? ungefanya hata next week.”

IRYN: “Baby huu ndo muda wa kuenjoy pamoja before sijakwenda kusoma.”

MIMI: “Sawa mummy will go.”

Wakati nikiwa bado nimemkumbatia kwa nyuma mnara wangu ulikuwa ukifeel joto lake na ukasimama wima, kwa upande wake alikuwa kavaa tight short ile inayobana na inaishia mapajani na nilianza kuishusha taratibu pale na yeye alikuwa hanizuii wala nini,

“Baby unataka ufanye nini.?”

Mazingira ya pale juu kwa balcony ni salama na ni ngumu mtu kujua kinachoendelea maana apartment yake imetizama upande wa bahari. Na mimi nilimuinamisha kidogo na nikamtanua miguu nikatoa mti nikaulainisha kwa maji ya kinywani nikaingiza ndani na nikaendelea kuhit from the back taratibu,

“Baby lets go Inside.”

“Ok mummy after you.”

Na tuliongozana kuelekea ndani kuendelea na kazi pale 6x6. Niseme kila nikimwona Iryn nilikuwa natamani kusex naye tu wala sio kingine, Iryn ni mtamu sana kwakweli yaani nilikuwa napagawa sana kwakweli.

Saa 12 jioni tulitoka kwenda Mliman city kununua mahitaji ya nyumbani na baada ya kuwasili maeneo yale tulikwenda moja kwa moja mpaka shoppers, baada ya kumaliza kununua mahitaji tulirudi home na tukaanza kupika pamoja pale jikoni.

Wakati tunapata dinna Iryn alinambia kwa kesho tutakwenda kuzitembelea ofisi zote pamoja afu baada ya hapo tutakwenda kufanya shopping kwaajili ya kwenda Zanzibar. Kwa upande mwingine niliwaza kwenda kumwona Jane before sijakwenda Zanzibar ili nikamjulie na hali yake maana toka niende Dodoma nilikuwa sijakwenda kumsalimia.

Asubuhi baada ya kupata breakfast tuliondoka kwenda Salon zote kuzitembelea na tulianza kwanza na ofisi ya Mikocheni. Baada ya kuwasili pale tulikwenda moja kwa moja mpaka ndani ofisini na pia nilimshirikisha Iryn kuhusu lile sakata la wale customer wa jana na maamuzi niliyochukua. Kwa Upande wake alinipongeza kwa maamuzi mazuri niliyotoa na mapendekezo niliyokuwa nimewapa.

Tulitumia kama nusu saa na tukaondoka kwenda Masaki, baada ya kuwasili Masaki tuliingia ndani salon huku tumeongozana, nilimwacha Iryn pale reception akiongea na wafanyakazi wake na mimi nilikwenda ofisini na nilimkuta Asmah yuko busy na laptop yake, tulisalimiana pale na mimi nikaanza kufanya kazi zangu huku story zikiendelea taratibu. Baada ya dakika 10 Iryn pia alikuja ndani ofisini na baada ya kumwona Asmah walisalimiana na kisha akakaa kwenye coach.

Asmah alivyomuona Iryn ameingia hakutaka kuendelea kubaki mle ndani hivyo alitoka akatuacha, na baada ya Asmah kutoka Iryn alianza kuongea pale,

IRYN: “Baby sikuelewi na Asmah ujue, why ameondoka?”

MIMI: “Kivipi humuelewi? kumbuka ni Incharge hapa, lazima tukae chini tujadiliane baadhi ya majukumu na wewe ndo ulimpa hii position.”

IRYN: “Ok point yangu uwe na mipaka maana simwamini sana huyu mwanamke japo anajitambua.”

MIMI: “You can trust me baby.”

IRYN: “Kama umemaliza tuondoke twende Mliman City tukafanye shopping kwaajili ya kesho.”

Tuliondoka ofisini na tulielekea Mlimani City kwaajili ya kufanya shopping, na baada ya kumaliza tulishauriana tukapate lunch pale Samakisamaki, na mimi nilimwambia atangulie mitamkuta napeleka vitu kwenye gari.

Wakati tumeachana nikielekea parking simu yangu ilianza kuita na alikuwa ni Jane akipiga simu na nikapokea simu yake chap sana. Jane alikuwa ananisalimia na alisema amenimiss ni muda hajaniona na nilimwambia pale leo nilikuwa na ratiba ya kwenda kumwona na soon nitakuwa Mbweni, kwa upande wake alifurahi sana na alisema ananisubiri.

Wakati tunapata lunch nilimwambia Iryn nitampeleka home then mimi nitakwenda Mbweni kumsalimia Jane, lakini kwa upande wake alitaka twende wote ili na yeye akatoe pole maana hukuwahi kwenda tena baada ya msiba, kwa upande wangu niliona sawa kwenda naye na sikuwa na jinsi ya kumkatalia.

Ilikuwa ni saa 8 mchana tayari wakati tunatoka pale Mlimani city na tulianza safari ya kwenda Mbweni, baada ya kuwasili kwa Jane dada alitoka kufungua geti na baada ya kupark gari tukaingia ndani seblen. Pale seblen kulikuwa na Jane, mama yake na kulikuwa na mgeni ambaye nilikuwa simfahamu, Jane alivyotuona alitukaribisha na alimkumbuka Iryn vizuri.

JANE: “Dada karibu sana toka kipindi kile sijakuona tena.”

IRYN: “Mambo yalikuwa mengi dear, baada ya Insider kunambia anakuja huku nikaona bora tuje wote nikujulie na hali, naona mimba ishakuwa kubwa tayari kipenzi, Mungu akusaidie kwakweli.”

JANE: “Kama unavyoona mambo yanazidi kupamba moto soon nakuletea mchumba.”

Iryn aliishia kucheka pale na story zingine zikaendelea pale seblen,

MIMI: “Vicky wangu yuko wapi? simwoni.”

JANE: “Ametoka sio muda sana ameaga anakwenda kwa rafiki yake. Shem can we talk privately?”

Tulitoka nje tukakaa kibarazani na tukaanza kuongea pale na Jane, alianza kuulizia mahusiano yangu ya Iryn maana alihisi sisi tuko kwenye mahusiano,

JANE: “Insider huyu dada ni nani? ulikuja naye siku ile msibani usiku na leo nakuona naye tena.”

MIMI: “Ni bossy wangu usiwe na wasiwasi.”

JANE: “Aisee! kuna wanawake warembo sana hapa Duniani, mdogo wangu Mary akimwona si atapata presha?”

MIMI: “Anamjua hatahivyo huna haja ya kuwa na wasiwasi.”

JANE: “Sasa nilitaka nikukabidhi zile pesa zako una prefer cash au nitransfer?”

MIMI: “Fanya kutransfer account yangu si unayo?”

JANE: “Sawa haina shida na suala la Mary umefikia wapi?”

MIMI: “Mary nitamtafuta tutaongea hili suala.”

JANE: “Alichukia sana kwenda Dodoma bila kumpa taarifa, unajua yule ni mdogo wangu na ni msaada kwangu sipendi kuona analalamika juu yako.”

MIMI: “Mtu mzima yule acha kubeba majukumu kama yeye ni mtoto.”

JANE: “Alibeba yangu na mimi sinabudi kubeba yake.”

Suala la Mary lilikuwa linaniumiza sana kichwa maana alikuwa msaada sana kipindi cha msiba wa mzee Pama, kudate naye niliona haiwezekani hata kumla pia niliona ni ngumu ukizingatia nilikuwa nishatembea na mdogo wake tayari. Pia niliwaza kama nikimkatalia atanichukuliaje? si atanichukia sana? nilikuwa niko dilemma muda huu na niliona hili jambo linatakiwa nisikirupuke nitumie akili sana.

Baada ya maongezi na Jane nilikwenda kuwaangalia Mbwa wangu na maendeleo yao yalionekana kuwa mazuri sana, nilirudi ndani na nikaaga tukaondoka na Iryn maeneo yale.

******
Ijumaa ilikuwa ndo safari ya kwenda Zanzibar na tulikuwa tunaondoka na ndege ya mchana, asubuhi tuliamka mapema kujiandaa maana tulitakiwa kucheck-in saa 5 asubuhi, tulipanga nguo kwenye bag moja tukaondoka kwenda JNIA na nilifanya kurequest usafiri wa kutupeleka.

Wakati tuko kwenye flight tulikuwa tunapiga story sana na tulikuwa kwenye mahaba mazito sana ni kama tulikuwa tunatamani ndege itue mapema tuwahi eneo la tukio. Kwa upande wa pembeni kuna raia zilikuwa zikituangalia sana lakini sisi hata hatukujali.

IRYN: “Baby leo tunakwenda sehemu nzuri sana hope utaipenda, lakini ni mbali kidogo.”

MIMI: “Wapi huko Mummy?”

IRYN: “Itakuwa surprise wewe utaona ni pazuri sana.”

MIMI: “Mhh! usije ukaenda kuniuza tu maana Junior bado mdogo sana.”

IRYN: “Hamna baby nikikuuza mimi nitaishi na nani?”

Tuliangaliana usoni afu tukaanza kucheka pale,

Saa 8 mchana tuliwasili pale Abeid Amani Karume Airport na kulikuwa na usafiri unatusubiri na tukaanza safari ya kwenda huko. Iryn alikuwa hataki kunambia tunakokwenda maana alisema ni surprise lakini kwa upande wangu nilikuwa natamani sana kujua ni wapi huko tunakwenda?.

Ulikuwa ni mwendo kama wa dakika 45 mpaka tunawasili eneo la tukio, damn! ilikuwa ni MELIÁ HOTEL na mazingira yake yalionekana kuwa mazuri sana, na mimi niliishia kushangaa tu muda huu, kwanza njiani nilikuwa napishana na watu wenye hadhi na wengi walikuwa ni wazungu.

Baada ya kushuka kwa gari tulikaribishwa na wanawake warembo sana na tulipelekwa mpaka ndani reception. Baada ya Iryn kujiandikisha na kuchukuliwa taarifa zetu tulipelekwa moja kwa moja mpaka kwenye room yetu na ilikuwa imejitenga ina view bahari ya Hindi, room ilikuwa ni nzuri sana and very romantic na mimi niliishia kushangaa pale.

IRYN: “Baby we will be here for 3 nights just me and you.”

MIMI: “Baby this is huge surprise to me, I really love this place.”

Alinisogelea tukaanza kupeana mate pale lakini nilimzuia,

MIMI: “Baby tukale kwanza then mengine yaendelee maana hata nguvu ya kusimamisha sina hapa, nina njaa.”

IRYN: “Hata mimi baby, twende bhasi.”

Tuliongozana kwenda restaurant ya karibu na wakati tuko njiani tulikuwa tunapishana na wazungu tu, kwa upande mwingine walionekana watu kwenye gardens wakipenzika kama couples wengine wamekaa wakipiga story nknk.

Baada ya kufika restaurant tuliagiza chakula na wote tuliishia kuagiza seafood na fresh juice, mimi muda huu macho yangu yalikuwa hayatulii kabisa maana maeneo kama haya nilikuwa naishia kuyaona kwenye movie na picha.

Tuliletewa chakula chetu na baada ya dakika kadhaa kupita Iryn alianza kunilisha kwa mdomo, nilishangaa sana kuona hana aibu licha ya uwepo wa watu pale restaurant, na mimi haya mapenzi ukweli sijayazoea kabisa lakini nilikuwa sina jinsi, hivyo ilibidi nitoe ushirikiano tu.

Wakati tunakula pale tulikuwa tunaandaa mipango ya kipindi chote cha muda tutakao kuwepo hotelini, tulikubalina kwa leo Ijumaa tutapumzika tu, kwa kesho jumamosi tutashinda swimming na jioni tutakwenda kunywa, jumapili tutashinda beach na usiku tutakwenda swimming tena, na jumatatu tungerudi Dar.

Baada ya lunch tuliondoka kurudi room yetu na kuna sehemu tulipita kuna kiukuta cha mbao kimejengwa kwa alama ya moyo (), bhasi Iryn aliomba nimpige picha pale na mimi nilimpiga za kutosha. Ukweli hili eneo lilifanya Iryn aonekane mrembo zaidi maana lilieandana sana na yeye kutokana na yale mazingira yake ya kuvutia.

Baada ya kufika room tulikwenda kuoga na kilichoendelea hapo ni kupeana raha za dunia maana ndo kilichokuwa kimetupeleka pale Meliá hotel. Kwa jinsi chumba kilivyokuwa romantic kilikuwa kinatupa hamasa sana ya sex na nilikuwa nikipeleka show ya kipadre yaani slowly na romance juu, ilikuwa ni sex moja ya taratibu afu tamu sana na baada ya hapo tuliishia kulala pale kitandani.

Saa 3 usiku tulikwenda kupata dinna kwenye mgahawa ambao uko ndani ya habarini umezungukwa na maji pande zote na ili ufike kwenye huu mgahawa kuna njia kama kidaraja cha juu kimetokea beach, jina la huu mgahawa ni “Jetty Lounge” ni mzuri sana na ile usiku ulikuwa unang’aa sana.

Hili eneo lilikuwa likivutia kuanzia tunakwenda mpaka tunaingia ndani na liko very romantic kutokana na lilivyodizainiwa na taa zake zilikuwa zinafanya eneo hili liwe zuri zaidi. Asilimia kubwa ya watu waliokuwa kwenye hii lounge zilikuwa ni couples na wapo ambao walionekana kuwa kwenye mahaba mazito sana na kulikuwa na kamziki kwa mbali ukiimba.

Tulikaribishwa vizuri sana na wahudumu wa hii restaurant na tuliagiza chakula pale na wakati tunasubiri tulikuwa tunaongea masuala ya kuhusu familia yangu. Iryn alikuwa ananidadisi kuhusu mama yangu kama vitu anavyopenda na asivyopenda nk na alionekana kutamani sana kumjua mama yangu kwa undani zaidi. Baada ya kupata dinna tulikaa kidogo na tukaondoka kwenda room maana tulipanga kwa siku ya leo tutaitumia kwa kupumzika na sex.

Jumamosi asubuhi baada ya kuamka tulishtua na kimoja pale kitandani na tukaenda kupata breakfast na ilikuwa saa 4 asubuhi tayari. Baada ya kupata breakfast tulirudi room kubadilika ili twende swimming pool, kwa upande wangu nilivaa pensi ya beach na juu nilikuwa na kaushi bila kusahau sunglasses za black. Kwa upande wa Iryn alivaa zile bikini kama zina kamba kiunoni na na juu alikuwa kavaa braa (bikini na braa zilikuwa sare), alijifunga mtandio mwepesi kiunoni na alivaa sunglasses black kama mimi tukaondoka.

Tulikuta swimming ina watu tayari na sisi tukaliunga tukaanza kuswim pale, mimi kuswim siko vizuri sana ni kawaida lakini Iryn ni fundi sana na alikuwa akinifanyia madoido sana mle ndani mpaka nikaona kama ananifanyia dharau hivi. Tuliishia kucheza ndani ya swimming mpaka tukaanza kuoneshana mahaba waziwazi na tulianza kupeana “French kiss”, uzuri ni kwamba kila mtu alikuwa busy na mambo yake na asilimia kubwa zilikuwa couples. Baadae tulitoka tukaenda kukaa pembeni ya swimming kuna vitanda na tukalala pale huku tukiendelea kupiga story, tulishinda pale swimming mchana kutwa hata hamu ya kula hatukuwa nayo zaidi ya kunywa cocktail.

IRYN: “Baby unajua naenjoy sana kuwa na wewe hapa maana najua sitakuwa na wewe tena hivi punde, nitakuwa sipo na busy na masomo.”

MIMI: “Yeah I know lakini sidhani kama itazuia sisi kushindwa kuonana labda uwe hujataka.”

IRYN: “Utaweza kuja South Africa for me?”

MIMI: “Why not? nakuwa nakuja kwaajili yako. You know I love you.”

Na Iryn aliishia kufurahi baada ya kusikia maneno yangu matamu na yakitoka moyoni mwangu.

IRYN: “Baby I love you too, you know huwa siamini kama kweli ni mme wa mtu na sijui kwanini nakupenda sana. Na suala la kuwa na mme wa mtu sijawahi kulifikiria kabisa katika maisha yangu.”

MIMI: “Kuwa mke wangu wa pili kama kweli unanipenda, mama J atabaki kuwa mke mkubwa no matter what, mimi na wewe tunaweza funga ndoa ya siri hata huko huko South Africa na maisha yakaendelea.”

IRYN: “Mimi nakuwa mke wako wa pili? you’re trying to convince me but you can’t”

MIMI: “Sidhani kama upo tayari kuwa na mwanaume ambaye humpendi, anyway I was joking let’s go muda umekwenda sana.”

Iryn alinigeukia akanipa ulimi na tukaanza kunyonyana mate pale, kwa upande mwingine kulikuwa na watu lakini sasa ndo hivo kila mtu alikuwa anamind business zake kuonesha kwamba tunachofanya pale ni cha kawaida, lakini kungekuwa na wabongo wangetushangaa sana na kutupiga picha kabisa.

Ilikua jioni ya saa 11 wakati tunarudi room na wakati tunatoka swimming mnara ulikuwa umesimama muda wote na nilipata shida sana kutembea njiani. Kuongozana na Iryn na jinsi alivyokuwa amevaa kulifanya macho ya mafisi yawe mengi sana, maana alionekana kuwa sexy sana muda huu na uzuri wake ulikuwa hadharani machoni pa watu.

MIMI: “Baby unajua nachukia sana hawa kenge wanavyokuangalia hivi?”

IRYN: “Baby mimi nishazoea macho ya watu, naona kawaida tu na jinsi wanavyoniangalia ndo wananipa confidence.”

MIMI: “Kwa dizaini hii itabidi ninunue gun mapema.”

IRYN: “Insider kweli unanipenda.”

MIMI: “Sitaki kuona unasumbuliwa na kenge yoyote, kama unatoka unanambia tunakwenda wote.”

IRYN: “Don’t worry baby I’m yours”

Na mimi nikambeba hao mpaka room maana mapenzi yalikuwa fire, na baada ya kufika room tulishtua kimoja tukalala.

Saa 2 usiku mapema kabisa tulikwenda kupata Dinna palepale Jetty lounge, kwa upande wangu niliagiza soup ya pweza na Iryn akaagiza seafood. Muda huu Iryn alipigiwa simu na mama Janeth na wakawa wanaongea, maongezi yao yalikuwa yanahusu huku Zanzibar na wakaagana.

MIMI: “Mama anasemaje?”

IRYN: “Alikuwa anauliza kama tumefika salama.”

MIMI: “Anafahamu tuko wote huku?”

IRYN: “Ndio anafahamu nilimwambia nakuja na wewe.”

MIMI: “Kwanini tusingerudi jumapili ili jumatatu niwe ofisini? naona kama naleta mazoea kazini, last week sikuwepo na hii tena sipo sidhani kama mama anafurahia hili afu pale Masaki Asmah bado ni slow learner.”

IRYN: “Baby, mama Janeth hana tatizo na nilimpa taarifa juu ya hili na akabariki, nikiwa happy mimi na mama Janeth anakuwa happy and viceversa vivyohivyo.”

MIMI: “Mhh sawa lakini wasiwasi wangu mimi ni Asmah maana bado ni slow learner, Sumaiya ndo alikuwa kila kitu pale ofisini hata kama sipo nilikuwa na amani.”

IRYN: “Baby kwani umeondoka bila kuwapa taarifa watu wako.?”

MIMI: “No nimewapa mummy.”

IRYN: “Okay stop complain, remember sisi ni wapenzi tunahitaji kuwa pamoja na faragha kama hivi.”

Na mimi nilikuwa nimemaliza kunywa soup yangu lakini nilikuwa bado nasikia njaa, nikamuita mhudumu na nika agiza aniletee seafood na chips pembeni, sasa Iryn alikuwa anashangaa sana kusikia naagiza chakula tena.

IRYN: “Baby hujashiba?”

MIMI: “Ndio wewe si unaona kazi nayofanya kitandani? inabidi nile kwa bidii afu mchana sijala.”

IRYN: “Mimi nimeshiba unaweza kuendeleza hiki.”

Baada ya muda mfupi nililetewa msosi na baada ya kumaliza kula, hapa sasa nikawa fiti na tukaanza kunywa pale, mimi niliagiza heineken kama kawaida yangu. Kwa upande mwingine kulikuwa na watu wenye asili tofauti kama wazungu na watu wa Asia ndo walikuwa wengi zaidi, ngozi nyeusi zilikuwa za kuhesabu.

Sehemu hii ilikuwa ni nzuri sana na asilimia kubwa ya watu walikuwepo eneo hili zilikuwa ni couple na kila mtu alikuwa busy na mambo yake. Kadri muda unavyokwenda na pombe kukolea tulianza kushikana shikana pale na ndani ya muda mfupi tulikuwa kwenye dimbwi kubwa sana la mahaba. Hisia zake zilionekana kuwa juu sana maana nilikuwa namshika shika kiuno chake, mara niyabonyeze makalio yake na uzuri nilikuwa nayajua maeneo yanayo mpandisha hisia zake hivyo sikupata tabu. Kwa upande wake alionekana kuwa kwenye Dunia nyingine muda mrefu sana, na alianza kutoa sauti za mahaba pale,

“Baby I’m wet.”

“Mhhh! really?.”

Na alitingisha kichwa kuonesha ni kweli huku akiniangalia kwa macho ya mahaba,

Na mimi niliingiza mkono kwenye ikulu yake ili kujihakikishia kama ni kweli her coochie is wet?, damn! ilikua so wet na nilikuwa nafeel joto lake kwenye viganja vyangu.

“Baby usitoe please.”

Mimi nilitoa mkono wangu na nikaupeleka mpaka puani nikaunusa, hata ile shombo au harufu ya P*ssy nilikuwa siisikii kabisa na smell niliyokuwa naivuta hapa ilikuwa ni nzuri sana,

“Baby your coochie is smell like Jasmine flower.”

Muda huu Iryn alikuwa hanielewi kabisa na alikuwa akilalamika kwanini nimetoa mkono kwenye coochie yake,

“Please baby touch it again.”

Japo nilikuwa nimekunywa lakini nilikuwa naakili zangu vizuri tu, wasiwasi wangu ulikuwa kwa Iryn maana nilihisi atakuwa kalewa nilikuwa siamini kama ni akili zake muda huu. Na mimi niliendelelea kumchezea antenna yake mpaka akaanza kuhangaika na alinivuta akanipa ulimi wake na tukaendelea kupeana kiss na haikuchukua round aka cumm. Muda huu alikuwa amelowa chapachapa mpaka short tight yake ilikuwa inamchora kwa pale mbele mpaka mapajani afu hakuwa na pichu.

Sehemu tuliyokuwa tumekaa ilikuwa pembeni na kulikuwa na ka ugiza fulani hivi, watu tulikuwa tumekaa kwa mbali mbali kidogo na kila mtu alikuwa busy na mambo yake, so ilikuwa ngumu kujua kinachoendelea pale.

Iryn aliishia kulala kwenye paja zangu na muda huu aliomba twende tukalale room na muda ulikuwa umeenda tayari, hivyo tukaondoka kwenda kulala. Kwa upande wangu nilikuwa niko tayari kwa kuanza mashambulizi na baada ya kufika room sikutaka kupoteza muda na match iliendelea na nilikuwa nikishambulia kwa kasi sana. Hii siku niliona utofauti sana kwa Iryn kwani alikuwa akitoa sauti za juu sana za mahaba, na haikuchukua zaidi ya dakika 10 aka cumm tena, na alianza kulalamika amechoka,

“Baby I’m tired.”

“I haven’t finished yet.”

“I’m sorry.”

Ukweli alionekana kuchoka sana na tuliishia kulala huku kichwa chake ameegesha kwenye kifua changu.

Jumapili ratiba yetu ilikuwa ni kwenda beach na mimi ndo nilikuwa wa kwanza kuamka na nilimuamsha ili tukapate breakfast, baada ya kupata breakfast kwa upande wake alionekana bado kuwa na uchovu sana, hivyo aliishia kulala tena pale kitandani.

Kwa upande wangu nilikuwa niko busy na laptop yangu nikipitia ripoti za ofisini ambazo nimetumiwa, pia muda huu Mary alinipigia simu ili kunijulia hali, aliulizia nilipo maana alipata taarifa nimerudi lakini sikumjulisha na mimi nilimwambia nimepata dharura kidogo niko Zanzibar na nikirudi, this time nitamcheki. Ofcourse nilikuwa najisikia vibaya sana kuona Mary akilalamika namna ile, nilikuwa nampiga sana calendar na nikajiapia pale nikirudi Dar lazima nimtafute.

Pale kitandani Iryn alikuwa bado kalala na mimi nilikuwa nimeanza kusikia uchovu hivyo nikaishia kulala pia, yee ndo alikuwa wa kwanza kuamka na saa 7 mchana aliniamsha tukale lunch kisha twende beach kutembea.

Tulikwenda kupata lunch mgahawa mwingine na wakati tunapata lunch pale restaurant tulikuwa tunapiga story sana na muda huu alionekana kuchangamka sana,

“Baby how are you feeling?”

“I’m okay, thank you for taking care of me”

“Don’t be mummy.”

“I love you Darling.”

Baada ya lunch tulikwenda beach kubarizi na tulikuta watu wengi sana wako beach na wengi wao walikuwa ni wazungu. Iryn alikuwa akivutia sana eneo hili na kila mtu alikuwa akimwangalia, kwa upande wangu nilikuwa najisikia kidume kuona pisi yangu ikiangaliwa kwa matamanio.

Beach tulikuwa tukioneshana mahaba mazito sana tena waziwazi, tulikuwa tunapigana picha nyingi sana na tulikuwa tuna records videos ilikuwa ni burudani kwakweli.

Tulishinda pale beach mpaka jioni na tulikwenda swimming pool kumalizia muda, baada ya hapo tulirudi kuoga then tukaenda Jetty lounge kupata dinna na kunywa. Baada ya kupata dinna tuliagiza Moet na tulianza kunywa taratibu,

“Baby this is our last night lets drink.”

“Na kesho tunaondoka sangapi?”

“Tutaondoka na boat ya saa 6 mchana.”

Moet ya kwanza ilikuwa imeisha na nika agiza moet nyingine na story zilikuwa zinaendelea pale,

“Baby jana sijaenjoy kabisa.”

“Leo utaenjoy darling, usijali.”

Tulikaa pale bar mpaka saa 7 usiku ndo tukarudi kulala na baada ya kufika room kilichoendelea ni kupeana raha za Dunia. Ulikuwa ni usiku wa mwisho hivyo hatukutaka kulemba kabisa, hii match ilikuwa ni kama farewell. Match ilikuwa ni ndefu na yeye aliishia kulala na mimi sikuwa na usingizi hivyo nilikwenda kukaa kwenye kiti.

Mezani kulikuwa na simu zake mbili hivyo niliichukua simu moja nikaanza kuikagua, passcode nilikuwa nazijua hivyo haikuwa shida kwangu. Nilifungua Whatsapp yake nikaona chats zake na Grizz, chats zao nilionesha kweli hawako kwenye mahusiano na walikuwa wakichat kuhusu masuala ya biashara. Iryn alikuwa analalamika hajaingiziwa dividend yake ya mwezi uliopita na Grizz alisema analifanyia kazi atamuwekea haraka sana.

Niliendelea kukagua simu pale na nilifungua group la chuo alichosoma na alikuwa amepost baadhi ya picha za huku Zanzibar na colleagues walikuwa wanamsifia sana. Nilifungua instagram yake na huku hakuna alichokuwa anapost zaidi ya quotes, nilihamia snapchat na huku ndo nilijua anapenda kuitumiaa maana ile kuifungua DM zilikuwa kibao na alikuwa anapost picha za huku Zanzibar, mitandao mingine niliichana nayo na nikaiweka simu yake.

Niliwaza pale kwenye kiti haya mapenzi nayopewa na Iryn mbona sijawahi kuyapata kwa mwanamke yoyote yule?, maana nilikuwa naona kama hii Dunia ni yangu si kwa haya mahaba motomoto. Ukweli kwa upande wangu hata mimi nilipagawa sana maana Iryn alinipenda kwa dhati na toka moyoni na alikuwa haniwekei mipaka. Alikuwa ananiachia mwili wake niutumie navyotaka, nikimkuta jikoni nilikuwa namuweka, seblen nitamuweka, swimming pool nako nilikuwa namuweka, yaani ni hatari.

Kwa upande wangu sikutamani hata mama Junior arudi home kabisa kwa muda huu mfupi Iryn alikuwa kaniteka tayari. Niligeuka kumtizama na jinsi alivyokuwa amelala pale kitandani alionekana kuwa mrembo zaidi, niliishia kustaajabu uzuri wake na nilikuwa siamini kweli mimi Insider nimefanikiwa kuwa kwenye mahusiano na moja ya mwanamke mrembo hapa duniani?, niliona ni kama bahati na nilijisemea huenda Iryn aliletwa Tanzania kwaajili yangu.

Nilichukua simu yake nikampiga picha akiwa amelala vilevile na mimi nikapanda kitandani kulala.

Jumatatu ilikuwa ndo safari ya kurudi Dar na ile asubuhi mimi ndo nilikuwa wa kwanza kuamka na nilianza kupark vitu kwenye bag kwaajili ya safari. Baadae na yeye aliamka, tukaenda kuoga kwa pamoja na tulishtua kimoja cha kuondokea tukiwa tunaoga.

Wakati tunajiandaa simu yangu ilianza kuita na Iryn alikuwa nayo karibu na akanipa pale, kucheki alikuwa ni Asmah anapiga na nikapokea tukaanza kuongea, Iryn alikuwa makini sana kusikiliza,

ASMAH: “Hi Insider unakuja leo ofisini?”

MIMI: “Nitakuja badae vipi kuna tatizo?”

ASMAH: “Yeah, tumeishiwa Moisturizer na CC cream.”

MIMI: “Wasiliana na Lucy akutumie kwa bodaboda yeye anazo nyingi tu.”

ASMAH: “Ok sawa byee.”

MIMI: “Ok see you later.”

Kwa upande wa Iryn baada ya kukata simu alianza kuongea,

IRYN: “Anataka nini.?”

MIMI: “Wameishiwa mzigo, nimemwambia awasiliane na Lucy.”

IRYN: “CC Cream zimeisha mara hii wakati ile jumatano zilikuwa nyingi tu.”

MIMI: “Huwezi kufaham kama weekend kulikuwa na wateja wengi?”

IRYN: “Sina imani sana na Asmah.”

MIMI: “Wewe ndo umemchagua kuwa mbadala wa Sumaiya, unajua fika lazima niwe na mawasiliano naye maana yeye anaripoti kwangu, kama huna imani naye bhasi niwekee mtu mwingine pale wa kufanya naye kazi. Pia nashangaa kuona huniamini wakati mimi na Asmah hatuna mahusiano Yoyote nje na kazi, baby kwa hili unazingua sana.”

IRYN: “Lets go usafiri umefika tayari inabidi tukale kwanza kabla ya safari.”

Tulimpa dada bag atusaidie kulipeleka reception na Iryn alimpa pesa kama ahsante ya kuwa nasi kipindi chote. Tulikwenda restaurant kupata breakfast na baada ya hapo tuliaga pale reception na tukaondoka kuelea port kwaajili ya kupanda boat.

Niseme MELIÁ Hotel ni bonge moja la sehemu yaani ni hotel nzuri sana, nilipagawa na Hotel Verdé kipindi kile lakini Verde ni cha mtoto mbele ya Melia hotel. Hotel ina restaurant na bar kila kona, bado swimmings, rooms kali, afu asilimia kubwa ya watu wa huku ni wazungu waafrica ni kuwa hesabu sana. Watu wanakula starehe huku asee hata gharama za room zipo juu sana unaweza pitia web yao ujionee sasa sisi room tuliyo kaa inaitwa “Bungalow ocean view.”

Saa 8 mchana tulikuwa tumewasili Dar tayari na tulichukua bolt ya kutupeleka home, baada ya kuwasili home tuliishia kulala tu maana tulikuwa hoi sana.

Saa 12 jioni nilijiandaa ili niende kuzitembelea ofisi zote na wakati natoka Iryn alikuwa pale seblen amekaa na alikuwa akiniangalia sana,

IRYN: “Baby unakwenda wapi usiku huu.”

MIMI: “Nakwenda ofisini kuangalia maendeleo.”

IRYN: “Sema unataka kuonana na Asmah na kwanini uende muda huu kesho si ipo?”

MIMI: “Unajua Asmah simwamini sana nataka nikafanye na stock-taking, mimi sichelewi baby I will be here soon for you. Pia naomba usiniwazie vibaya kwa heshima uliyonipa siwezi nikafanya mambo ya kijinga na nitakuwa mpumbavu, sioni nachokosa kwako baby, please naomba uniamini.”

IRYN: “Sawa baby I trust you. Sijisikii kupika itabidi tukale, usichelewe kurudi.”

MIMI: “Sawa baby Ahsante kwa kunielewa, byee mimi naondoka.” Na nikamkiss kwenye lips zake “Mwaah”.

IRYN: “Byee..”

Niliondoka kuelekea kwanza Masaki na baada ya kuwasili pale ofisini niliwasilimia dada wote na nilianza kuwatania pale na wao walianza kunisanifu,

“Manager umekuwa adimu sana sikuhizi.”

Mwingine akadakia,

“Tumekumiss kwakweli lakini sikuhizi unatukataa kabisa.”

MIMI: “Hamna team yangu nilikuwa busy kidogo kesho nipo na nyinyi hapa nitawapa offa ya lunch wote.”

Waliishia kufurahi na mimi nikaenda ofisini kuonana ka Asmah na nilimkuta yuko busy na laptop,

MIMI: “Nambie mummy pole na kazi.”

ASMAH: “Safi na wewe za safari?”

MIMI: “Nimerudi tayari nipe maendeleo ya ofisi kwanza, kabla sijaanza kukagua report.”

Asmah alinipa abc zote za pale ofisini na kubwa stock ya mzigo ilikuwa imeanza kukata na mimi nilikwenda kufanya ukaguzi na nikarudi ofisini kuendelea na kuandaa ripoti.

Iryn alinipigia simu kuulizia nilikofikia na alikuwa akilalamika sana kuwa anasikia njaa na mimi nikamwambia kama anaweza atangulie nitamkuta pale Golden Fork. Kwa upande mwingine Asmah naye alikuwa busy na kuandaa ripoti zake na mimi baada ya kumaliza nilimwaga naondoka na yeye aliomba nimpe lift nimwache pale Namanga.

Asmah alikuwa anakaa Upanga hivyo pale Namanga ndo ingekuwa sehemu rahisi kwake yeye kupata usafiri wa kumpeleka home na baada ya kumdrop pale tuliagana na mimi nikaendelea na safari yangu.

Nilikunja kulia pale Namanga nikapita na barabara ya Ubalozi wa Yankees na nikaja kuunga na Mwaikibaki Road, sasa wakati niko pale Shoppers simu yangu ilianza kuita na kucheki ilikuwa ni namba ngeni, nikapokea.

Baada ya kupokea simu dada alijitambulisha kuwa yeye ni nesi na amepokea majeruhi wa2 waliokuwa kwenye bodaboda ambao ni kaka na dada na hali zao ni mbaya sana hivyo niende haraka,

When You Have Everything? What could you possibly desire?.

3 MORE EPISODES TO GO
@Kelvin35 stori iko moto
 
INSIDER MAN dah huyu binti aliyepatwa na ajali ni nani hasa kati ya Iryn na Assmah, maana hawa wawili ndiyo waliokuwa barabarani kwa muda huu kwa maana Iryn ulimwambia atangulie kwenda kula utamkuta na Assamah ukamdrop njiani kwa maana bado alikuwa na safari ila pia wanaweza wasiwe ni hao, kuna Lucy, Prisca, Marry, mdogo wake jane so ngoja tuone insider atakuja na jibu gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom