Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Next Episode soon itakuwa kwa Air.
F6KokkAXAAA_qug.jpeg

Waiting 😁
Rayns
 
Ndugu zangu wana Jf habari zenu.

Unajua kwenye haya maisha tunapitia mengi sana hasa katika utafutaji kwa upande wa Wanaume. Tunakutana na mambo mengi sana ya aibu, kukatishwa tamaa, kuachwa na tuwapendao na mauzauza mengi sana.

Nakumbuka mzee mmoja alinambia mapambano ya kupata maisha mazuri sio rahisi inatakiwa ujasiri, kujitoa na kuwa na maamuzi magumu sana. Kila aliyefanikiwa ana siri nyingi ambazo sio rahisi kushare na mtu mwingine, sometimes tunakutana humu jf, tuna marafiki zetu wote hapa duniani tuna matatizo lakini matatizo yetu yametofautiana.

Mimi INSIDER nimepitia mambo mengi sana kiasi kwamba nilikata tamaa ya maisha unaweza ukasoma huu uzi wangu “Sitaomba kazi acha niwe jeuri tu”

Sitaomba kazi tena, wacha niwe jeuri tu!!

https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/Sitaomba-kazi-tena%2C-wacha-niwe-jeuri-tu%21%21.1619876/ , na story yangu itaanzia hapa, ilikuaje mpaka nikaingia kwenye biashara ya uber??.
Hii ni story ya kweli na siyo ya kutunga, lengo langu nataka ndugu zangu mpate ujumbe kuhusu haya maisha. Kiufupi usikubali kukata tamaa hata kidogo, no matter what you fall, keep fighting, God has plans for all of us. Kwa wale ndugu zangu wa Uber/Bolt ambao mnataka kuingia kwenye hii biashara utaweza kupata mwanga mzuri kuhusu hii biashara maana nina experience ya kutosha. Tusichoshane acha nianze kumwaga asalii……..,,

…….wakati naandika ule uzi wa “ Sitaomba kazi tena wacha niwe jeuri” , nilikua nimerudi mkoani kwa wazazi kuwasalimia. Ofcourse maisha ya mkoani na niko home sikua na wasiwasi kabisa wazungu wanasema “HOME SWEET HOME””. Chuo mimi nimemaliza moja ya chuo kikubwa hapa Dsm, baada ya kumaliza chuo sikutaka kurudi home kabisa. Maana niliwaza hata nikienda home kule nitafanya nini? Nikakae na mama tu? Niwe nakula na kulala? nikakukumbuka ule msemo unaosema mtoto kwa mama hakui bali analemaa akili.
Niliamua kwenda kwa Uncle wangu kukaa huku nikiendelea kutafuta kazi hapa mjini, alikua anaishi Mikocheni. Kipindi cha weekend nilikua natoka chuo nakwenda Mikocheni nashinda kule kwa Uncle then jumatatu narudi chuo, pale palikua kama home tu.

Nikaanza kusambaza CV kwenye mataasisi, makampuni, NGO’s kwenye mabank na sehem nyingi tu hapa Dsm lakini patupu sikufanikiwa kupata sehemu hata ya kujitolea. Kuna siku nilikuwa nimekaa na Uncle tunaongea akaniuliza umemaliza chuo sasa una mpango gani?. Nikamwambia abc zote kwamba nimepeleka maombi yangu sehemu mbalimbali nasubiri majibu kama nitafanikiwa ama laah. Akanambia kuanzia jumatatu tutaanza kwenda wote kazini, lakini utaweza mikiki ya Kariakoo?, nikamwambia ni bora nishinde huko kuliko kubaki hapa home, I hate that.

Kweli jumatatu ikafika tukaenda huko kwa Wachina, ile siku sikutaka kuuliza ni kazi gani lakini nilikua najua Uncle anafanya kazi kiwanda cha mabag. Tulivyofika pale kiwandani Uncle akanitambulisha kwa Mchina.

UNCLE: Hey Mr ping that is my Uncle, My sister’s son. Call him INSIDER.

MCHINA: Ooh you look alike I thought is your son, akacheka. huyu mchina alikua hajui kiswahili hata ngeli alikua anaibia kwa mbali. Mchina akanambia hey “Rafiki” karibu.

MIMI: Thank you.

Uncle akaniita niingie store akanambia kazi yangu itakua ni kusupply mabag kule Kariakoo. Hii kampuni yeye alikua ni Sales and Operation manager. Kampuni ilikua inatengeneza journey bags na backpack bags na pilot bags. Canter ilikua imefika pale tayari kwa upakizi, so tukaanza kupakia mabag mle kwa gari na kuyapanga kuyapeleka Kariakoo kwa wateja. “Ipo hivi pale kiwandani sio kwamba ndo wanaanza kutengeneza hapana wanafanya assembling tu, material zote zinatoka China, pale ni kuassemble na kuyapeleka sokoni”.

Ile siku nilipiga sana kazi nakumbuka tulipiga trip 2 ila kila tripu ilikua na bag 200, sio poa kupakua bag pale Kariakoo ni mtihani yaani foleni za watu zilikua zinakera sana. Uncle akawa ananilipa cash kwa siku 10,000/=, wakati naanza alikua ananinulia chakula ila baadae akaanza kunikataa so nikawa najilipia, kuhusu kwenda kazini tulikuwa tunaondoka wote kwa gari asubuhi.

Nikaimasta kazi kwa muda mfupi sana ikafika stage akawa ananiacha niende peke yangu na dereva mitaa ya Kariakoo na wateja nikawa nimewajua tayari haikuwa ngumu kwangu. Uncle akanambia upo vizuri ikafika stage hata madeni nikawa nakwenda kukusanya then napeleka bank, yaani unakuta nimekusanya madeni mpaka 80million, hiki ndo kipindi nilikua nashika pesa nyingi sana.

Nilikua nimejenga urafiki na baadhi ya wafanyakazi wa pale kiwandani, siku katika kupiga story jamaa akanambia naona sikuhizi umepanda cheo unapeleka mabag mwenyewe Kariakoo. Nikamwambia nimemasta kimtindo akanambia safi inabidi mzee wako majukumu yapungue maana umri unakwenda huko Kariakoo atuachie vijana. Jamaa akaniuliza posho si unapewa ukienda kupeleka mzigo?? nikamwambia sio haba kuliko kukaa bure, akauliza kwani unalipwa kiasi gani? nikamjibu 10,000. Jamaa akasema Uncle wako anakupiga atlist angekupa hata 50,000/= nikamwuuliza kwanini?, jamaa akanambia posho ya kwenda kupeleka mabag kwa siku ni 100,000/=

Jamaa akasema mzee wako anakuonea sio haki ile kazi ni risk, “hii kazi kama jamaa anavyosema kweli ni risk sababu unaweza kuibiwa kweupe, Kariakoo si mnaijua? “Kuna siku tulikua tunapakua mabag nilikua na moja ya wafanyakzi wa pale sasa jamaa alichanganya mafile akampa bag muhuni mwingine. Ilibidi akatwe kwenye mshahara, ni hivi tukikaribia Kariakoo tunawapanga wateja mapema. Kama mnavyojua maduka ya kariakoo yako barabarani plus yale mafoleni ni kichefuchef so huwa tunapakua mabag mlemle kwenye foleni. Mhusika anakuja na vijana wake wabebaji, inatakiwa uwakariri vzr maana ukizingua tu unaweza mpa mzigo mtu mwingine.”

Jamaa baada ya kufunguka hayo pia akanambia mzee wako kila bag anapata commision kwa bag la set 3 analipwa 1,000 na set 2 analipwa 700 (Zile bag za safari, set 3 ndani zinakuwa mbili yaani ukifungua zipu za bag kubwa ndani kuna kuwa na bag 2. Na hizi set 2 ukifungua zip ndani kunakuwa na bag 1). Nikawaza hata lunch najilipia, uncle anaplay fouls sio haki. Nikakumbuka matukio mengi tu mfano sometimes nikipeleka mzigo before sijaondoka atanambia ukifika Kariakoo piga simu kwamba TRA wamekukamata risiti sio sahihi, then utasema wanataka million 2, so mchina alikua anatuma hela. Nilikua nafanya hayo yote afu atanipa 50,000 tu au asinipe kabisa, nikikusanya madeni kama na million 30 atanambia ingiza kwa account ya kampuni maybe million 27 then million 3 nampelekea. Zile ndo zilikua commission zake, Uncle wangu alikua anapiga sana hela shida alikua na madem wengi sana.

Kufupisha hii story, Mchina akaanza kunikubali sababu nilikua nampa ushauri baadhi ya mambo, akawa close sana mimi. Hiki kitendo Uncle hakupenda aliona kama nataka kumpokonya ugali wake, nikaona anaanza kunikataa mara anipe kazi ya kwenda kuangalia madogo shuleni, sababu zikawa nyingi mara biashara imekua ngumu sijui mambo yakikaa sawa ataniita. Kama msomi nikajua hapa sina changu, maana jamaa kule kazini alikua ananipa mkanda mzima kinachoendelea. Ukweli hii kazi ilikua inanisaidia sikosi hata pesa za vocha na matumizi yangu binafsi.

Nikaanza kukaa home na Aunt yangu, yeye alikua ni mama wa home tu. Hakuna kitu kigumu kama kuishi na ndugu inahitaji moyo na uvumilivu sana. Aunt yangu ni mvivu sana hata kwenye masuala ya mausafi hayuko active, nafikir ni moja ya sababu Uncle akawa na michepuko mingi. Ubaya sasa Uncle alikua anamsikiliza sana Aunt kwa lolote alilokua anasema yaani ni shida. Sasa hapa home tulikua tunabaki mimi na Aunt, madogo 2 wako boarding mmoja wa kike ndo alikua mdogo ansoma anatoka asbh anarudi jioni.

Nikaanza kuwa house boy wa mle ndani naamka Asubuhi sa12 nimpikie mtoto chai, baada ya hapo nitafanya usafi na kuosha vyombo, mchana nitapika chakula, jioni ninakazi ya kupikia mbwa chakula na kumwagilia miti na maua. Hizo kazi zote nilikua nafanya mwenyewe kila siku na nilikua nafanya kwa moyo wote. Unaweza kushangaa mwanaume nawezaje kufanya hizo kazi lakini nilifunzwa nikiwa mdogo na mama yangu mzazi pamoja na dada yangu. Ikafika stage akaanza kunipa kufua nguo za Uncle na mdogo wangu ambaye ni mtoto wa mwisho (ambaye huwa naamka asubuhi kumpikia chai), nikaona haya mazoea yamezidi sasa.

Kuna siku nilikua natoka pale home Asubuhi kwenda mjini kwaajili ya interview na kusaka fursa, wahenga wanasema fursa haikufuati nyumbani unatakiwa ukaitafute. Sasa nikiondoka pale asubuhi mara nyingi anakua amelala na uncle wangu huwa anatoka sa11 au 12. Sometimes kuepusha makazi kama hayo nilikua nakwenda mjini au kwa washikaji kupoteza muda tu. Aunt wangu akawa anampa taarifa Uncle kwamba huwa naondoka bila kuaga afu narudi usiku. Kuna siku Uncle alinikaripia sana nikamwambia Uncle navyotoka huwa anakua kalala kumwamsha sio busara, napia nikitoka sio naenda kuzurura nakwenda kutafuta kazi. Uncle akasema kama umekua mkubwa humu ndani nenda kapange ili uwe huru. Kama mwanaume niakanza kufikiri namna ya kutoka pale ikiwezekana nikapange nianze maisha yangu ya kujitegemea.

Nikapata wazo tangu nimalize chuo sijawai kwenda home mkoa kusalimia acha niende home nikasalimie wazazi wanipe na baraka. Kuna siku Aunt alinitia hasira sana, ilikua usiku inakwenda saa 2 nikatoka kwenda dukani kununua vocha niliacha simu chumbani. Kumbe wakati nimetoka Uncle alirudi akaniulizia hakunikuta ikabidi apige simu ikawa haipokelewi. Wakati nimerudi nikaona gari ipo uwanjani nikajua mzee karudi naingia ndani namkuta seblen kavimba hatari. Nikamsalimia Uncle shikamoo pole na kazi hakujibu, akaniuliza ulikuwa wapi usiku huu? Maana simu hupokei, kabla sijajibu Aunt akaropoka “huyu alikua kwa kidem chake kule bondeni taarifa zake zote ninazo kazi umalaya tu”. Nikaona hizi dharau sasa nakua kama mtoto nikamwambia Aunt mimi tayari ni mtu mzima hupaswi kunipangia mambo ya kufanya, mimi kama kijana pia nahitaji kuwa na mpenzi na haki yangu naomba uwe na mipaka, nikaenda zangu chumbani. Aunt akasema kama umekua mkubwa si uende ukapange ili uwe huru??, nikajua hapa nishachokwa sipaswi kuendelea kung’ang’ania, akufukuzaye hakwambii toka.

Huyu mwanamke ambaye Aunt alikua anasema kidem changu ndo mama junior wangu mpaka sasa. Ni mke wangu japo sijafunga ndoa ila taratibu zote nimekamilisha kama kulipa mahari, bado ndoa ya kanisani tu. Niseme tumetoka mbali sana from Nothing to something, ni mwanamke anayenipenda sana na kunijari anasifa zote za kuitwa mke. Namshukuru Mungu kwa kuniletea huyu mwanamke kwenye maisha ni moja ya mtu ambaye ameplay part kubwa kwenye mafanikio niliyonayo. Tumebarikiwa kupata mtoto mmoja wa kiume ana miaka 2 sasa tumwite Junior.

Nilikua kwenye dimbwi kubwa la mawazo sana. Wakati niko room nikawaza jumamosi acha niondoke niende home mkoa kusalimia na pia niongee na wazazi juu ya mustakabali wa future yangu. Kesho yake nikamwaga mama Junior alishtuka sana mbona ghafla? something wrong? Nikamwambia NO! nataka nikawasalimie wazazi lakini nitarudi ASAP. Mama Junior akaomba tusex ilikua ni miez 5 toka tuanze mahusiano hatujawai kukutana. Ile jioni nikaona acha niwaage na hawa akina Uncle wanaweza kufikiri vibaya, nikategea Uncle amekaa seblen nikamsalimia, then nikamwambia Uncle Jumamosi mimi nitakwenda home kusalimia then nitarudi. Uncle akashtuka mbona haraka hivyo kulikoni? nikamwambia ni muda sijakwenda huko ni vizuri kwenda kuwajulia hali wazazi. Uncle akanambia bhasi kesho uende hata Kariakoo ununue vitenge vya mama, nikamwambia kesho ambayo ni “ijumaa” nitakwenda chuo kufuatilia cheti changu hivyo sitoweza kwenda Kariakoo. “Kumbe nilikua na timetable na mama Junior”, uncle akatoa hela akanipa kuhesabu ilikua 100,000 cash.

Jumamosi kweli nikaondoka kwenda home jioni nikiwa na bashasha nikafika mkoa nikashangaa jinsi mji ulivyojengeka maana ni miaka 3 ilipita bila kukanyaga. Nikachukua bajaji mpaka home kushuka mama akaja akanikumbatia….

MAMA: waaoohh mwanangu nilikumisi sana jamani, naona umepungua sana shida nini?
MIMI: Mama maisha haya na stress za ajira nitanenepaje?
MAMA: umerudi sasa ule kwa bidii, maziwa, mayai yapo yakutosha akatabasamu, twende ndani. “Maana wakati tunaongea haya tulikua nje getini”.

Kiukweli nilivyofika home nilifarijika sana moyo wangu ulijawa na furaha sana. Bhasi ile jioni tukala dinna as family, wakati tunakula mama akaongea huyu mdogo wako anasoma science lakini hesabu hawezi zero kabisa, itabidi uangalie namna ya kumsaidia. Nikamwambia mama haina shida kesho nitakaa naye chini tuongee vizuri. Baada ya dinna nikakaa na wazee tukaongea sana kuhusu maisha, wakanitia moyo sana, tukafanya maombi tukaenda kulala.

Kipindi naandika ule uzi “Sitaomba kazi acha niwe jeuri tu” nilikua nimeridhika na maisha tayar sina stress niko home. Ilikua ni kucheza PlayStations na masela wa huku home full raha niko home kwa mama stress za maisha natolea wapi!?. Naamka asubuhi chai ya maziwa, mayai 2 ya kuchemsha ya chienyeji, mkate umejaa blue band. Kama unawazazi jitahidi uwapende wazazi wako wakiwa hai, wazazi wanatuombea sana.

Itoshe kusema baada ya kurudi home milango ikafunguka sikukaa muda nikapata kazi.

ENDELEA…

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
Hongera sana kiongozi mana mke bora ni yule ambae mmepitia mengi mazuri na mabaya na bado mkavumiliana, Mungu ni mwema siku zote.
 
EPISODE 65
“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”

TULIKOISHIA
Na mimi niliondoka pale nimemuacha amekaa kwenye coach na nilisikia akiniita na mimi hata sikuwa na habari naye. Baada ya kufika parking sikutaka kupoteza muda niliwasha gari na wakati natoka pale getini kwa upande mwingine nilimwona ametoka pale nje lakini alikuwa kachelewa tayari na niliondoka kwa kasi sana.

ENDELEA….

Niliwaza kwenda kuonana na Lucy muda huu maana alikuwa ameomba sana tuonane lakini sikuweza kwenda, sababu nilikuwa nakwenda Mlimani city kwaajili ya kununua mahitaji ya nyumbani niliona nipitie pale ofisini ili tuonane. Kwa upande mwingine Iryn alikuwa akinipigia sana simu na mimi sikutaka kupokea simu zake kabisa.

Baada ya kuwasili pale ofisini nilimkuta Lucy bado hajatoka na alikuwa anaweka mambo sawa, hivyo alivyoniona alifunga ofisi na tukaanza safari. Wakati na drive gari macho yote yalikuwa kwangu afu nikimtizama alikuwa anatabasamu,

MIMI: “Lucy vipi mama naona unafuraha sana, leo deal zimetema nini? na mimi unipe mgao wangu.?”

LUCY: “Insider mimi nakuangalia afu nawaza the way unavyowateka warembo wakali, leo nimeshinda na Bossy ofisini ana furaha sana, japo hutaki kunambia ukweli lakini naamini umemt*mba ile siku.”

MIMI: “Hahahaa Lucy unanifurahisha sana kwanza unajua nilimtongoza afu akanitolea nje?”

LUCY: “Safi sana umefanya jambo la maana sana hata kama amekataa kwasasa utakuwa huru na umeweka green light ya yeye kujileta kwako maana wewe ushamwambia ukweli.”

MIMI: “Eti anasema mimi na mke hawezi kukubali kuwa mchepuko kwani ameachana na Grizz kwa sababu hii.”

LUCY: “Insider Iryn anakupenda sana ni vile hataki kujirahisisha kwako na mimi nilikushauri ufanye hivi ili maamuzi yabaki kwake. Mimi nakushauri kwa sasa mind your business ikiwezekana acha hata mazoea na mademu wa ofisi zote.”

Kwa upande mwingine simu ya Lucy ilianza kuita na baada ya kuitoa kwenye mkoba wake alinambia ni Iryn anapiga

“Insider Iryn anapiga simu”

Kwa upande wangu nilijua lazima anampigia simu Lucy sababu ya lile sakata la muda mfupi uliopita wala sio kingine, na mimi nilimwambia Lucy aweke loudspeaker,

LUCY: “Hi Bossy.”

IRYN: “Lucy upo wapi?”

LUCY: “Niko hapa Mwenge mataa ndo naelekea home.”

IRYN: “Okay unaweza kuja hapa kwangu now? please nitakurudishia gharama za usafiri.”

Ilibidi nimuoneshe ishara Lucy ya kukataa maana nilijua anachomuitia,

LUCY: “Bossy umepata matatizo? maana huu muda ni wa kwenda kuonana na mama kabla hajalala.”

IRYN: “Am not in trouble but kama unawahi kwa mama it’s okay.”

LUCY: “Shida ni nini?”

IRYN: “Insider amefound out nilikuwa namspy kule Masaki kupitia Rebby hata sijui amejuaje na nimempigia simu Rebby anasema Insider aliomba simu yake ndo akaona chats zetu. Insider amekuja kwangu sio muda mrefu amegomba sana na sijawahi kumuona akiwa na hasira kama leo, mpaka nimeogopa.”

LUCY: “Pole sana lazima angemind, mimi nitakuja kesho tuongee mapema sana ili tuyamalize ila muombe msamaha kwa hili hata mimi ningejisikia vibaya..”

IRYN: “Hapokei simu zangu naomba umwambie apokee niongee naye.”

Baada ya Iryn kukata simu kwa upande mwingine Lucy ilibidi aanze kuniuliza maswali kuhusu kilichotokea. Kwa upande wangu nilimwambia mkanda wote kuhusu kilichokuwa kinaendelea, hata Lucy naye alishangaa kusikia haya.

LUCY: “Insider unaonaa, nikikwambia Iryn anakupenda wewe mbishi, tena this time kapagawa kabisa.”

MIMI: “Lucy nakudrop hapa, mimi naingia ndani Mlimani city kununua mahitaji ya nyumbani.”

LUCY: “Usije ukawa una mchepuko huko unakwenda onana naye, subiri nikupe mgao wako”

MIMI: “Wow thank you umejuaje sina hela leo?”

LUCY: “Laki 3 hizo na kesho lile deal linaweza kutiki hivyo nitakujulisha.”

MIMI: “Sawa mummy.”

Tuliagana na Lucy pale na mimi niliingia ndani Mlimani city kununua mahitaji maana toka tuhamie makazi mapya sikuwai kununua mahitaji yoyote wife alikuwa hayupo, nilijikuta mpaka dawa ya meno imeisha ndani.

Nilitumia kama nusu saa pale Mlimani city na niliondoka maeneo haya kurudi home. Baada ya kurudi home kwa Upande mwingine niliwasiliana na mama wa2 na alikuwa ananikumbusha kuwa kesho anahamia kwenye kibanda chake hivyo niandae usafiri mapema na pia niwahi kwenda kumkampani. Kwa upande mwingine Iryn alikuwa akipiga simu sana lakini sikuwa napokea wala kureply text zake na nikaamua kumtia block kama yeye alivyonifanyia.

Tangu mama wa2 achukue emergence ofisini kwaajili ya kukamilisha zoezi la uhamiaji katika nyumba yake mpya, na mimi kwa upande wangu ratiba za asubuhi zilibadilika. Nilikuwa naamka saa 12 asubuhi nakwenda jogging maana ratiba za kumchukua mama wa2 ile asubuhi zilikuwa zimekufa hivyo sasa nilikuwa huru kufanya jogging na mazoezi.

Baada ya kutoka jogging nilijiandaa nikapata breakfast na nikaanza safari ya kwenda mzigoni kufanya majukumu yangu ya kila siku. Baada ya kuwasili Masaki nilipark gari nikaingia ndani na niliwakuta dada wakifanya usafi pale reception na mimi niliwasalimia nikaenda moja kwa moja ofisini kwenda kuangalia ripoti kama Asmah alituma.

Wakati naendelea kukagua ripoti kwa upande mwingine Asmah naye aliwasili hivyo alikuja ofisini kwangu na kwa upande wake alionekana kuwa na furaha sana.

MIMI: “Nambie dear wangu nakuona unafuraha sana.”

ASMAH: “Insider nilikuwa nina wasiwasi juu yako kumbe hamna mahusiano yoyote ya ki mapenzi na Iryn.”

MIMI: “Wewe nani kakwambia haya?”

ASMAH: “Rebby jana kaniomba msamaha ndo akanambia haya.”

MIMI: “Ni Kweli hatuna mahusiano yoyote dear.”

ASMAH: “Sasa mbona Bossy anakuwa na wivu juu yako.?”

MIMI: “Tuachane na haya Asmah, ndomana unafuraha sana?”

ASMAH: “Sasa mbona hukuwahi nambia kipindi chote hiki.?”

MIMI: “Sababu hukuwahi kuuliza, tuachane na haya nipe Slip kama hujaingiza bado nipe pesa nikaweke bank.”

ASMAH: “Nimeshaingiza uwe unaangalia whatsapp zako maana hata ukitafutwa hureply.”

MIMI: “Sorry jana ilikuwa busy day.”

Niliondoka pale Masaki na nilikwenda moja kwa moja mpaka Mikocheni na baada ya kuwasili pale sikumkuta Lucy na mimi nilijua lazima atakuwa kwa Iryn na sikutaka kumpigia simu. Nilikwenda ofisini na nilikuta pesa za mauzo zipo kwa droo na mimi baada ya kujiridhisha na mazingira ya pale niliamua kuondoka kwenda kuweka pesa then niende kwa mama wa2

Saa 6 mchana nilikuwa tayari nimewasili kwa mama wa2 kwa upande mwingine alikuwa ameshapanga vitu tayari kwaajili ya kuhama na alikuwa na rafiki yake pale wakisaidiana. Baada ya kuniona aliishia kufurahi na tulianza maongezi pale,

MAMA WA2: “Insider nataka uanze kupeleka baadhi ya vitu kule Madale na vitu vingine vidogo kwaajili ya usalama.”

MIMI: “Usijali ndomana nimekuja mapema sana afu navyotoka huko nitapitia pale shule kutafuta mtu wa canter nafikiri litatosha.”

MAMA WA2: “Na wewe utanichaji kiasi gani? Si unaona vitu vingi? utakuwa na root nyingi sana leo.”

MIMI: “Wewe nijazie mafuta full tank na nihakikishie lunch ya uhakika kuhusu malipo potezea.”

MAMA WA2: “Mhh Ahsante mkwe.”

Nilianza kazi ya kubeba vitu na kupeleka Madale na wakati narudi nilipitia Mbezi shule kutafuta usafiri na nilipata Canter kubwa ambayo ingebeba vitu vyote kwa wakati mmoja. Mpaka saa 12 jioni tulikuwa tumekamilisha kila kitu. Kwa upande wangu sikutaka kuendelea kubaki pale na nilimuaga mama wa2 naondoka. Kwa upande wake alinishukuru sana kwa kumpa kampani na nilimtakia kila la kheri kwenye maisha mapya ya nyumba yake.

Niliondoka Madale na kurudi home ukweli nilikuwa niko hoi sana hivyo baada ya kuwasili home niliingia bafuni kuoga. Baada ya kuoga muda huu niliingia jikoni kupika, kwa upande mwingine Lucy alinipigia simu na baada ya kupokea tulianza mazungumzo,

MIMI: “Mambo Lucy.”

LUCY: “Freshy Insider upo wapi?”

MIMI: “Niko home tu, nilipita asubuhi hukuwepo sijui ulikuwa wapi.”

LUCY: “Nilitoka kidogo, sasa nahitaji kuonana na wewe please.”

MIMI: “Lucy mimi napika hapa sidhani kama itawezekana kwa leo, kwanza nimechoka tufanye kesho asubuhi.”

LUCY: “Nielekeze unakokaa nije kama umebanwa ni muhimu sana ndomana.”

MIMI: “Huwezi kuongea kwa simu?”

LUCY: “Ndomana nikaomba tuonane Insider kama hutojali nitumie location nije chap.”

MIMI: “Sitaki uje maana utanitia nyege tu huku.”

LUCY: “ Insider acha utani niko serious ujue.”

MIMI: “Ok nakutumia kwa Whatsapp soon.”

Baada ya kukata simu nilimtumia location kwa whatsapp na mimi niliendelea kupika pale jikoni.

Baada ya nusu saa simu yangu ilianza kuita tena na alikuwa ni Lucy na nikapokea,

LUCY: “Insider nimeshaingia mtaa wenu nitajie house namba.”

MIMI: “Ok house No.09 gate la kijivu.”

LUCY: “Ok soon niko hapo.”

Baada ya dakika 3 alinipiga simu tena na kunipa taarifa kuwa amefika yuko nje getini hivyo nitoke.

Na mimi nilitoka kwenda kufungua geti na baada ya kucheki niliiona gari Audi ikiwa imesimama pembeni getini na mimi nikajua Lucy kaamua kuja na Iryn. Kwa upande wangu nilislide gate ili waingie ndani na gari iliingia ikapark pale uwanjani lakini nilishangaa kuona Iryn akishuka pake yake na alikuwa amewaka sana. Iryn nguo zake nyingi ni pensi za kombati zenye mifuko pembeni na long sleeve tops.

Tulisalimiana na mimi nilimkaribisha ndani kwa upande mwingine jirani yangu wa pembeni alikuwa ametoka nje na dem wake tukawasalimia pale,

JIRANI: “Kaka habari nyie ndo mmeingia hapa?”

MIMI: “Ndio Brother nina mwezi tayari sema hatuonani majirani.”

JIRANI: “Karibuni sana majirani hata sisi hatuna muda sana hapa na tumepishana kidogo tu.”

MIMI: “Ahsante sana kaka itabidi tubadilishane namba just incase of anything.”

JIRANI: “Yeah sure nipe yako.”

Baada ya kubadilishana namba tuliingia ndani kwa upande mwingine walikuwa wanamshanga sana Iryn.

Ukweli kuwa karibu na Iryn kumenipa sana heshima hasa hapa mjini Dar kwa wanawake na wanaume. Wahuni kibao huwa wananifuata wananisifia kuwa na pisi kali mpaka mademu nao huwa wananipa sifa. Kuna stage mpaka wanauliza nimempataje maana ni kama zali la mentali. Nikiingia maeneo ni heshima, niliamini hapa mjini ili uheshimike kuwa na kitu cha utofauti na wengine kama pisi kali na Pesa bhasi utaheshimika sana.

Tuendelee na story, muda huu Iryn alikuwa anashangaa sana mazingira ya pale seblen na alianza kuzishangaa picha za Junior, zilikuwa ni mpya nzuri ambazo mama yake alizitengeneza zenye ukubwa tofauti wa A4 na A3 na alikuwa amezipanga vizuri sana.

IRYN: “Insider Hii picha ya Junior nimeipenda sana can I have it?”

MIMI: “Achana na picha za Junior niambie kilichokuleta hapa kwangu ni nini?, si unaona mama J hayupo kuendelea kukaa na wewe hapa muda mrefu kutaleta picha mbaya.”

IRYN: “Okay Insider I’m really sorry for what happened.”

MIMI: “Alright kilicho nikera mimi ni wewe kunispy afu umejazwa maneno ya uongo na wewe unaamini, nataka leo niprove kwako mimi sijafanya chochote na Sumaiya.”

IRYN: “Insider kwamba nothing happened? haimake sense.”

MIMI: “Angalia chats zake za jana hizi”

Na muda huu nilimuonesha chats zangu na Sumaiya baada ya kutoka kwa mama Janeth, Sumaiya alikuwa anataka anitunuku pussy kama ahsante lakini mimi nilikuwa namtolea nje.

Na texy yake ilisomeka hivi,

SUMAIYA: “Insider thank you, shida yako kila nikitaka nikupe coochie unakuwa unaringa, wewe mwanaume unanipaga maswali sana, hii jeuri unaitolea wapi.?”

“Hapo sasa umeamini mimi na Sumaiya hakuna tulichofanya zaidi ya utani, na kama hujui vingi alikuwa anafanya mbele yako kwa makusudi maana anajua unanipenda.”

Kwa upande wa Iryn alikuwa kimya sana na hakuwa na cha kuongea kabisa na aliishia kuniangalia tu pale na mimi niliendelea kuongea.

“Mimi nimekusamehe, wanaume huwa hatuweki vitu moyoni nakuchana yanaisha. Twende jikoni ukanisaidie kutengeneza juice.”

Tulikwenda jikoni na yeye kwa upande wake alinisaidia kutengeneza juice ya nanasi na tulipata dinna ya pamoja. Baada ya dinna tuliendelea kuongea pale seblen na kubwa alisema october anakwenda South Africa kuendelea na masomo na mimi nilimwambia ijumaa nitakwenda Dodoma.

IRYN: “Insider huko Dodoma kuna nini eti?, tutakwenda wote this time ili nikaijue Dodoma sijawahi fika.”

MIMI: “Mummy mimi nakwenda na gari hii safari ndefu sana wewe pumzika jiandae na shule.”

IRYN: “Nikiangalia hapa nauli ya Dodoma kwa flight ni 230,000/= ukitumia gari cost zinakuwa kubwa na unachosha gari, tutakwenda na flight.”

MIMI: “Mimi sina nauli ya ndege na ninakwenda na gari najua sitakosa vichwa njiani na pia nataka kuipima perfomance ya gari barabarani haijakwenda masafa marefu.”

IRYN: “Nauli nitalipa mimi mpaka hotel, wewe nisaidie hotel gani nzuri kwa kule.”

MIMI: “Hotel nzuri kwa Dodoma ni Morena Hotel ni ya level zako.”

IRYN: “Ok niachie mimi nitafanya booking mapema.”

Kwa upande mwingine sikutaka kumkatalia niliona busara kwenda naye ili akaijue na Dodoma. Tuliendelea kukaa na Iryn mpaka saa4 usiku ndo aliondoka lakini wakati anaondoka aliiomba picha ya Junior ambayo ilikuwa seblen na mimi nilimpa ili aridhike.

Baada ya Iryn kuondoka nilimpigia simu Lucy na ilibidi nimuulize ilikuwaje wakatengeneza ile movie?. Kwa uaonde wake Lucy alicheka sana na alinambia alitaka kunikutanisha na Iryn ili tuyamalize sasa baada ya kumwambia siwezi bhasi Iryn akamwambia aseme anakuja kwangu ndo yeye akaja. Tuliishia kucheka na mimi nilimwambia tumeyamaliza kwasasa na pia nimeweka heshima tayari na tukaagana. Actually nilitaka Iryn aingie kwenye mfumo wangu hata kumvimbia nilikuwa na pretend nione reaction yake.

Alhamis mchana nilikwenda kwa Jane ili kujua afya yake kabla sijaondoka na pia kuzungumza jambo lake alilotaka kunambia ile siku. Kwa upande mwingine nilikuwa namuangalia Jane kwa jicho la pekee sana maana nilikuwa nakazi kubwa sana ya kuhakikisha usalama wake.

Baada ya kuwasili pale Mbweni niliingia seblen moja kwa moja maana pale mimi ni kama home, kwa upande mwingine Jane alikuwa jikoni anapika na mimi niliamua kwenda hukohuko.

Kwa upande wangu nilishangaa kumuona akipika peke yake pale Jikoni na ilibidi nimuulize kwanini anapika na hali yake ilivyo?. Jane alinambia akina Vicky wamekwenda sokoni kununua chakula cha mbwa maana wanakula sana kama mchwa.

Muda huu na mimi niliendelea kumsaidia baadhi ya kazi huku tunapiga story na kubwa nilimwambia lengo la kwenda kwake ni kumuaga sababu nina safari ya kwenda Dodoma ijumaa. Kwa upande wake alisema hakuna jambo lolote kama Mbwa Vicky yuko vizuri na amewa-masta na mimi nilimshauri na yey awe anacheza nao ili wamzoee.

Tuliendelea kuongea mambo mengi na pia nilimpa gharama za ku import Ist kutoka Japan maana sikutaka kwenda showroom. Nilimwambia gharama za kuimport Ist ni 15 million na gharama za kupimp gari pamoja na Bima ni 2million hivyo jumla ni 17million. Kwa upande wake hakuwa na tatizo na alisema atanikabidhi pesa nikirudi kutoka Dodoma.

Kwa upande mwingine ilibidi nimkumbushie lile jambo alilotaka kunambia ile siku,

MIMI: “Shem ulikuwa na jambo gani ile siku?”

JANE: “It’s crazy but kuna jambo unatakiwa ulifahamu kuhusu best yako Mary.”

MIMI: “Nambie Mary kafanyaje tena.”

JANE: “Unajua Mary kwangu ni kama mdogo wangu na ni rafiki yangu kwasasa na anakuja sana hapa home hata jana tulikuwa wote ananifundisha kuendesha gari.”

MIMI: “Mary anajua kudrive kumbe? Sijawai fahamu hili kwakweli. Umepata best mzuri.”

JANE: “Nisikilize sasa Insider, Mary anakupenda sana hujui tu. Mpe mtoto wa watu anachotaka, sitaki kuona mdogo wangu anakosa raha kwaajili yako.”

MIMI: “Ndo amekutuma uyaseme haya kwangu.?”

JANE: “No hajanituma ila katika maongezi yetu nimejua anakupenda japo hataki kufunguka direct, na nilimwambia una mke.”

MIMI: “Hahahaa sawa bhana ila kuna kitu bado hajakwambia, mimi nimetoka na mdogo wake na tumeachana juzi hapa. Nimetoka na mdogo wake then nidate na yeye haitakuwa sawa hata yeye sidhani kama yuko tayari kwa hili.”

JANE: “Insider wewe ni hatari kumbe umelamba mpaka mdogo wake aisee hii hatari, wewe mle tu aridhike sio lazima mdate…., naona anakitu moyoni juu yako.”

MIMI: “Mmhh wewe endelea kubashiri tu ila Mary anajielewa sana.”

JANE: “Mwanamke akikupenda hata awe smart kiasi gani anakuwa fala tu, afu yule nyege zinamsumbua namwona anakiu sana ya kusuguliwa, kanambia ana mwaka hayuko kwa mahusiano.”

MIMI: “Hajataka tu ila kwa uzuri alionao hawezi kosa mtu wa kuwa naye.”

Kwa upande mwingine akina Vicky walikuwa wamerudi kutoka sokoni sasa vicky alivyoniona jikoni alinipiga na teke la kichokozi na akaondoka. Nafikiri Vicky hakujua kama dada yake yuko jikoni na Jane alinipiga jicho akaishia kutikisa kichwa cha kusikitika na akacheka.

JANE: “Dogo langu naye ameshazama mazima nazionaga movement zake Kwako.”

MIMI: “Hahahaa Vicky ni charming tu anapendaga matani tu.”

JANE: “Kwamba wewe unamjua Vicky kuliko mimi.?”

MIMI: “Pia kuna vitu kwako anahide kuliko akiwa na mimi, niseme namjua kiasi chake.”

Nilishinda na Jane pale mpaka jioni na pia niliwaogesha mbwa na nikawaaga naondoka, kwa upande mwingine Jane alisema akijifungua anategemea kuanza kufanya biashara.

*******
Ijumaa ilikuwa safari ya kwenda Dodoma na tulikuwa tunatarajia kuondoka na ndege ya saa 10 jioni. Kwa upande mwingine nilifanya mawasiliano na wife ili kumpa taarifa ya kwenda Dodoma na kwa upande wake alinisisitiza sana niangalie maendeleo ya maua yake.

Saa 6 mchana mapema nilimpitia Iryn pale kwake na alikuwa amejiandaa tayari na tukaanza safari ya kwenda JNIA na tulirequest bolt ya kutupeleka. Ofcourse tulifika mapema sana Terminal 2, hivyo tulikaa pale BAO cafe tukiendelea kupoteza muda huku tunakula bites na tulikuwa tunapiga sana story,

IRYN: “Hivi Insider mpaka sasa umefanya jambo gani la maendeleo?”

MIMI: “Kitendo cha kukuvua chupi kwangu mimi ni maendeleo makubwa sana.”

Iryn alicheka kwa nguvu sana mpaka akapaliwa na juice aliyokuwa anakunywa mpaka watu ilibidi wageuke maana kicheko kilikuwa kikubwa na sauti yake nzuri.

IRYN: “Insider wewe ni mshenzi sana hilo kwako ndo maendeleo?”

MIMI: “Sasa nitakuja kupata mwanamke mzuri kama wewe lini? maana wewe ulinipa bure lakini wengine watataka pesa.”

IRYN: “Be serious umefanya jambo gani?”

MIMI: “Utaona kesho kwa macho yako mwenyewe ndo linalo tupeleka huku Dodoma.”

IRYN: “Sawa Baba Junior afu babe wangu anarudi lini? nime mmiss sana kwakweli.”

MIMI: “Yuko uchagani huko atarudi tu, nafikiri by next week. Umepata room? maana ukikosa mimi nitakulaza vichochoroni.”

IRYN: “Haina shida hata huko tunalala wote.”

Muda ulivyowadia tulikwenda kucheck-in kwaajili ya kuanza safari ya kwenda Dodoma na tuliwasili Dodoma saa 12 jioni. Baada ya kuwasili pale Airport ilibidi tutafute usafiri wa kutupeleka hotelini,

IRYN: “Insider request usafiri wa kutupeleka Nashera Hotel, Morena nilikosa rooms.”

MIMI: “Na hii hotel umeijuaje?”

IRYN: “Booking.com.”

Baada ya dakika chache bolt alikuwa amefika na alitupeleka mpaka hotelini, kwa upande mwingine tulipokelewa vizuri sana na Iryn alijitambulisha pale reception na baada dakika kadhaa tuliongozana na mhudumu mpaka room.

DADA: “Rooms zote ni sawa sasa sijui maamuzi yenu.”

Iryn alimkatisha dada na maongezi yake, na mimi muda huu nilikuwa bado nashangaa kuona Iryn amebook rooms mbili za kulala, yaani kila mtu na yake.

IRYN: “Dada wewe nenda sisi tumefika tayari.”

Na dada aliondoka pale na alionesha tabasamu kubwa sana kwa Iryn, kwa upande wangu nilikuwa nimemind sana.

MIMI: “Kwanini umebook rooms mbili?, si unachezea hela tu.”

IRYN: “Yeah kwani kuna shida gani kila mtu kulala room yake. Why are you mad?”

MIMI: “Sawa bossy lady mimi sina neno.”

IRYN: “Kuwa na amani, weka bag tupumzike badae tukale dinna, ndomana nilikwambia hili suala niachie mimi.”

Kwa upande wangu nilimind sana maana nilikuwa nawaza kuila coochie yake ofcourse nilikuwa frustrated sana, tangu niko kwenye ndege nilikuwa naiwaza coochie yake na nilikuwa nimempania sana, lakini alinipiga na kitu kizito sana.

Baada ya kuingia ndani niliwasiliana na Mzee Mollel maana alisema nikiwasili Dodoma nimpe taarifa na lengo lake kubwa ni kunikabidhi nyumba, baada ya kuongea na Mzee Mollel tulikubaliana tuonane Jumapili. Niliwasiliana pia na Aggy na yeye nilimpa taarifa niko Dodoma na kwa upande wake alitaka kuniachia gari yake lakini nilimkatalia.

Saa 2 usiku Iryn alinipigia simu nitoke ili tukapate dinna na tulikwenda restaurant ya palepale hotelin kupata msosi. Mhudumu alikuja kutusikiliza na kila mtu aliagiza chakula anachotaka na tukaendelea na maongezi pale,

IRYN: “Insider kumbe Dodoma kuna baridi hivi?”

MIMI: “Sorry nilisahau kukwambia ubebe hata sweta, nitakupa prova yangu uvae.”

MIMI: “Na wewe utavaa nini?, hakuna duka jirani tukanunue?.”

MIMI: “Hali ya hewa ya huku nimeizoea usiwe na wasiwasi, kesho tunanunua.”

IRYN: “Kesho tunaondoka sangapi?”

MIMI: “Saa 4 asubuhi mummy.”

Baada ya kupata dinna nilijaribu kumshawishi Iryn tunywe wine na lengo langu impe nyege lakini alinigomea kabisa na alisema hajisikii kunywa na mpango wangu ukawa umefeli.

Baada ya kupata dinna tuliongozana mpaka chumbani kwake na tulikuwa tumekaa kwenye coach na muda huu alikuwa ananionesha picha zake za simu. Ofcourse picha zake zilikuwa zinasimumua sana ukiziangalia maana kuna ambazo alikuwa anapiga yuko swimming pamoja na video, zingine alikuwa anajichukua akiwa anacheza.

Muda huu mimi mawazo yangu kichwani yalikuwa yanawaza kumla tu wala sio kingine hata mnara ulikuwa upo active muda sana. Nilianza kumfanyia kashikashi pale kama kumchezea kiuno chake lakini kila nikipandisha mkono kumshika boobs zake alikuwa anakaza.

IRYN: “Insider stop this, It's not going to happen again". What happened that day was an accident.”

MIMI: “I don’t trust you, Ingekua accident usingetoa kelele za mahaba kama zile.”

IRYN: “Remember I told you, mama Junior ni rafiki yangu wa karibu na nina muheshimu sana ile siku hata sijui ilikuwaje tukasex.”

MIMI: “Acha unafiki wako hapa, umeshatembea na mme wake afu unaanza kuleta habari za heshima sahivi?, bado itabaki mimi na wewe tume-sex iwe mara moja au mara 100 ukweli ndo huu. Acha mimi niwahi nikalale kesho saa 4 asubuhi tutakwenda huko Makulu then tutamalizia na Iyumbu.

Niliondoka kwenda room yangu, ukweli nilikuwa nimefura sana muda huu hata sikuelewa kwanini Iryn anakaza coochie yake namna hii, nilishangaa sana.

Mary alinipigia simu muda huu na alinilalamikia sana kwanini nimekwenda Dodoma bila kumpa taarifa? na mimi nikaelewa Jane atakuwa kampasha habari. Kwa upande mwingine alilamika nimemchunia sana kipindi hiki tangu niachane na Prisca nimekuwa sina time naye na mimi nilimwomba msamaha nikamuahidi kumtafuta nikirudi Dar.

Saa 4 asubuhi baada ya kupata breakfast tulindoka kwenda Makulu mpaka site, kwa upande wake Iryn alikuwa na shauku sana ya kujua ni jambo gani ambalo lilinileta huku. Baada ya kuwasili pale site nilifungua geti tukaingia ndani na ukweli nyumba ilionekana kung’aa sana na ilipendeza balaa,

MIMI: “Bossy hii ndo project yangu na niliianza muda sana hata kabla hatujafahamiana.”

IRYN: “Really? Is this your house?”

MIMI: “Ndio mummy ila na madeni balaa, mshahara wote naopata nalipa mikopo.”

IRYN: “Congratulations umenifurahisha sana kwahili, I’m really proud of you.”

MIMI: “Thank you so much.”

Kwa upande wake alifurahi sana na tuliingia ndani kukagua kwakweli Mzee Mollel alikuwa amefanya kazi kubwa sana afu nzuri hata Iryn alisifia kwakweli. Tulitumia kama lisaa pale na tukaondoka kwenda Iyumbu kwenda kuangalia kiwanja.

Baada ya kuwasili pale pia nilimwambia Iryn hii nayo ni project yangu na yeye aliishia kushangaa sana. Na pia nilipanga kupanda miti kuzunguka mipaka ya kiwanja,

MIMI: “Mummy leo utanisaidia kupanda miti.”

IRYN: “Miti yenyewe iko wapi?”

MIMI: “Tunakwenda kununua barabarani hapo.”

Nilitafuta mtu wa kuchimba mashimo na sisi tulikwenda kununua miti na palepale tulikonunua miti tulipata na mbolea. Baada ya kurudi kwa upande mwingine tulikuta jamaa ameshamaliza kuchimba mashimo na tulianza kupanda miti.

Wakati zoezi likiendelea kwa upande wa Iryn alianza kupiga kelele kama mtoto na mimi ilibidi nisogee,

IRYN: “Insider nimejichoma na mwiba.” Na alikuwa akitoa sauti ya kudeka,

MIMI: “Pole mummy mpaka turudi Dar utakuwa umefubaa sana hii ndo Dodoma hakunaga warembo huku kabisa, hali ya hewa ya huku haipatani na warembo.”

Ilibidi na jamaa aanze kucheka muda huu,

MIMI: “Kaka uongo? na mfundisha mama maisha hapa si unaona mtoto laini bado ngozi yake haijazoea shida kama sisi.”

JAMAA: “Kweli kabisa hata hivyo una mke mzuri sana.”

MIMI: “Ahaste sana kwa kulitambua hili ndugu yangu, si unaona amefurahi mwenyewe kusifiwa.”

IRYN: “Insider stop this.” Na aliishia kunipiga na ngumi ya mgongo.

Muda tuliotumia Iyumbu ni kama masaa 4 mpaka tuna maliza kupanda mitu na pia nilimpa kazi jamaa ya kumwagilia maji ile miti.

IRYN: “Kaka hakikisha hii miti haikauki sawa?”

JAMAA: “Msijali mabosi zangu kila kitu kitakuwa sawa.”

Na sisi tuliondoka maeneo haya na tulirudi hotelini, kwa upande wa Iryn alionekana kuchoka sana hata tulivyofika hotelini alikwenda moja kwa moja room yake hata hamu ya kula hakuwa nayo.

Saa 2 usiku nilimpigia simu tukapate dinna pale Golden fork lakini alisema amechoka sana hawezi kwenda ila tutatoka kesho, hivyo tuliamua kwenda kula palepale hotelini. Wakati tunakula Pale kwa upande mwingine Bossy lady alionekana kuchoka sana, si mnajua jua la Dodoma linavyochosha,

“Mummy umechoka sana.”

Aliniangalia na akatikisha kichwa kukubaliana na kauli yangu, ukweli alipiga sana kazi hii siku kwa mwanamke ambaye hajazoea hii mikiki lazima apoteane. Ukweli Iryn anabadilika kutokana na mazingira na hanaga ile ya kujionesha kwamba yeye anapesa au ni mzuri hanaga hizi tabia.

“Pole sana, niagize wine?”

“No hata sijisikii kunywa, nipeleke nikalale.”

“Ok lets go.”

Tuliachana pale na mimi niliingia room yangu na muda huu niliwaza nitoke hata out nikapoteze muda kama usingizi nilikuwa sina. Saa yangu ilikuwa inasoma saa 3 usiku hivyo nilibadilika chap sana na nikaondoka kwenda Bambalaga.

Sikutaka kumwaga Iryn maana nilijua atakuwa amelala tu hivyo niliondoka kimya kimya mpaka Bambalaga. Kwa upande mwingine niliwaza kumpandia Maggy lakini niliona itakuwa ni bad idea maana sikumpa taarifa kama niko mjini. Na baada ya kuwasili pale Bambalaga nilikuta kuna watu wengi tu, hivyo nilipiga jicho angle zote nikapata sehemu nzuri ya kukaa lakini kulikuwa na dada yuko peke yake.

Nilisogea mpaka kwenye ile meza nikamsalimia yule dada na mimi nikakaa na niliagiza heineken kama kawaida yangu. Niliendelea kumjasusi dada ili story ziwe zinaendelea na alikuwa anatoa ushirikiano sana na story ziliendelea kukolea pale.

Baada ya lisaa kupita simu yangu ilianza kuita na Iryn ndo alikuwa akipiga muda huu lakini sikupokea simu yake sababu ya kelele. Na palepale nilimtumia ujumbe kwa haraka,

“Mummy niko kwenye kelele unasemaje?”

Alipiga tena simu ikabidi nipokee hivyo hivyo kibishi lakini tukawa hatuelewani vizuri na palepale akanitumia ujumbe,

IRYN: “Insider sikuelewi kwani uko wapi?.”

MIMI: “Nimetoka out mummy sikutaka kukusumbua kwasababu ya uchovu.”

IRYN: “Upo na nani?”

MIMI: “Niko peke yangu hapa.”

IRYN: “Nitumie location ulipo I am coming.”

MIMI: “No, wewe pumzika mimi narudi sio muda.”

IRYN: “Sikuelewi ujue mimi niko sawa send me the exact location.”

MIMI: “Okay request bolt ikulete BAMBALAGA, ndo niko hapa.”

Baada ya dakika 20 Iryn aliwasili pale na mimi nilimtuma mhudumu anisaidie kumfuata na amlete nilipo, baada ya dakika chache alikuwa amemleta na kwa upande wake aliagiza wine. Kwa upande mwingine yule dada aliishia kumtazama Iryn kwa macho ya kiwizi wizi sana maana hakuamini kama ninamiliki mrembo mkali kama yule. Kama mnavyojua Dodoma hakuna warembo kabisa, mtu kama Iryn akionekana anakuwa kivutio sana machoni pa watu.

Kwa upande wa Iryn alikuwa bado haelewi kinachoendelea pale na alihisi yule dada nimekuja naye maana tuliendelea kupiga story na yule dada kama kawaida, lakini nilimwambia IRYN tumekutana palepale.

IRYN: “Insider huyu dada ni nani? ndo umekuja naye.?”

MIMI: “Hapana mimi ndo nimemkuta hapa ndo nikajoin”

IRYN: “Mara hii mmezoena tayari kwa muda mfupi?”

MIMI: “si unajua Bar ndo sehemu ambayo inawakutanisha watu mbalimbali tofauti na mnavibe?”

IRYN: “Bila mimi kuja najua ungeondoka naye tu.”

MIMI: “Acha kunichukulia cheap sana, wewe unaona huyu dada wa kulala na mimi?”

Kwa upande mwingine pale Bambalaga niliweka heshima maana kila mtu aliyekuwa around alikuwa anamuangalia Iryn, japo yeye alikuwa ameshazoea hii hali na alikuwa anaona kawaida tu, hata mimi kwa upande wangu nilikuwa namwona Iryn wa kawaida tu maana nilikuwa nishazoea kuwa naye.

Saa 6 usiku nilimwambia Iryn tuondoke na yeye kwa upande wake alikuwa amekunywa wine nusu tu. Nilifanya malipo na kabla hatujaondoka nilimwaga dada na nilimshukuru kwa kampani yake na sisi tukaondoka kurudi hotelini.

Baada ya kuwasili hotelini kila mtu alikwenda room yake na mimi kwa upande wangu sikutaka kumlazimisha alale na mimi maana niliwaza mpaka amebook vyumba 2 ni kweli amemaanisha hivyo sitakiwi kutumia nguvu kwenye hili jambo na niwe mpole tu.

Muda huu nilichukua laptop yangu na nikaanza kuandika mkataba wa kupangisha nyumba na plan zangu zilikuwa navyoondoka Dom niwe nishapata hata wateja wa kuingia pale nianze kupata hela.

Wakati nikiendelea kuwa busy na laptop yangu kwa upande mwingine nilisikia mlango unagongwa kwa mbali hivyo ilibidi nisogee nikafungue, na kabla sijafungua ilibidi niulize nani, na kwa mbali nilisikia sauti ya Iryn.

EPISODE 66
Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
 
EPISODE 65
“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”

TULIKOISHIA
Na mimi niliondoka pale nimemuacha amekaa kwenye coach na nilisikia akiniita na mimi hata sikuwa na habari naye. Baada ya kufika parking sikutaka kupoteza muda niliwasha gari na wakati natoka pale getini kwa upande mwingine nilimwona ametoka pale nje lakini alikuwa kachelewa tayari na niliondoka kwa kasi sana.

ENDELEA….

Niliwaza kwenda kuonana na Lucy muda huu maana alikuwa ameomba sana tuonane lakini sikuweza kwenda, sababu nilikuwa nakwenda Mlimani city kwaajili ya kununua mahitaji ya nyumbani niliona nipitie pale ofisini ili tuonane. Kwa upande mwingine Iryn alikuwa akinipigia sana simu na mimi sikutaka kupokea simu zake kabisa.

Baada ya kuwasili pale ofisini nilimkuta Lucy bado hajatoka na alikuwa anaweka mambo sawa, hivyo alivyoniona alifunga ofisi na tukaanza safari. Wakati na drive gari macho yote yalikuwa kwangu afu nikimtizama alikuwa anatabasamu,

MIMI: “Lucy vipi mama naona unafuraha sana, leo deal zimetema nini? na mimi unipe mgao wangu.?”

LUCY: “Insider mimi nakuangalia afu nawaza the way unavyowateka warembo wakali, leo nimeshinda na Bossy ofisini ana furaha sana, japo hutaki kunambia ukweli lakini naamini umemt*mba ile siku.”

MIMI: “Hahahaa Lucy unanifurahisha sana kwanza unajua nilimtongoza afu akanitolea nje?”

LUCY: “Safi sana umefanya jambo la maana sana hata kama amekataa kwasasa utakuwa huru na umeweka green light ya yeye kujileta kwako maana wewe ushamwambia ukweli.”

MIMI: “Eti anasema mimi na mke hawezi kukubali kuwa mchepuko kwani ameachana na Grizz kwa sababu hii.”

LUCY: “Insider Iryn anakupenda sana ni vile hataki kujirahisisha kwako na mimi nilikushauri ufanye hivi ili maamuzi yabaki kwake. Mimi nakushauri kwa sasa mind your business ikiwezekana acha hata mazoea na mademu wa ofisi zote.”

Kwa upande mwingine simu ya Lucy ilianza kuita na baada ya kuitoa kwenye mkoba wake alinambia ni Iryn anapiga

“Insider Iryn anapiga simu”

Kwa upande wangu nilijua lazima anampigia simu Lucy sababu ya lile sakata la muda mfupi uliopita wala sio kingine, na mimi nilimwambia Lucy aweke loudspeaker,

LUCY: “Hi Bossy.”

IRYN: “Lucy upo wapi?”

LUCY: “Niko hapa Mwenge mataa ndo naelekea home.”

IRYN: “Okay unaweza kuja hapa kwangu now? please nitakurudishia gharama za usafiri.”

Ilibidi nimuoneshe ishara Lucy ya kukataa maana nilijua anachomuitia,

LUCY: “Bossy umepata matatizo? maana huu muda ni wa kwenda kuonana na mama kabla hajalala.”

IRYN: “Am not in trouble but kama unawahi kwa mama it’s okay.”

LUCY: “Shida ni nini?”

IRYN: “Insider amefound out nilikuwa namspy kule Masaki kupitia Rebby hata sijui amejuaje na nimempigia simu Rebby anasema Insider aliomba simu yake ndo akaona chats zetu. Insider amekuja kwangu sio muda mrefu amegomba sana na sijawahi kumuona akiwa na hasira kama leo, mpaka nimeogopa.”

LUCY: “Pole sana lazima angemind, mimi nitakuja kesho tuongee mapema sana ili tuyamalize ila muombe msamaha kwa hili hata mimi ningejisikia vibaya..”

IRYN: “Hapokei simu zangu naomba umwambie apokee niongee naye.”

Baada ya Iryn kukata simu kwa upande mwingine Lucy ilibidi aanze kuniuliza maswali kuhusu kilichotokea. Kwa upande wangu nilimwambia mkanda wote kuhusu kilichokuwa kinaendelea, hata Lucy naye alishangaa kusikia haya.

LUCY: “Insider unaonaa, nikikwambia Iryn anakupenda wewe mbishi, tena this time kapagawa kabisa.”

MIMI: “Lucy nakudrop hapa, mimi naingia ndani Mlimani city kununua mahitaji ya nyumbani.”

LUCY: “Usije ukawa una mchepuko huko unakwenda onana naye, subiri nikupe mgao wako”

MIMI: “Wow thank you umejuaje sina hela leo?”

LUCY: “Laki 3 hizo na kesho lile deal linaweza kutiki hivyo nitakujulisha.”

MIMI: “Sawa mummy.”

Tuliagana na Lucy pale na mimi niliingia ndani Mlimani city kununua mahitaji maana toka tuhamie makazi mapya sikuwai kununua mahitaji yoyote wife alikuwa hayupo, nilijikuta mpaka dawa ya meno imeisha ndani.

Nilitumia kama nusu saa pale Mlimani city na niliondoka maeneo haya kurudi home. Baada ya kurudi home kwa Upande mwingine niliwasiliana na mama wa2 na alikuwa ananikumbusha kuwa kesho anahamia kwenye kibanda chake hivyo niandae usafiri mapema na pia niwahi kwenda kumkampani. Kwa upande mwingine Iryn alikuwa akipiga simu sana lakini sikuwa napokea wala kureply text zake na nikaamua kumtia block kama yeye alivyonifanyia.

Tangu mama wa2 achukue emergence ofisini kwaajili ya kukamilisha zoezi la uhamiaji katika nyumba yake mpya, na mimi kwa upande wangu ratiba za asubuhi zilibadilika. Nilikuwa naamka saa 12 asubuhi nakwenda jogging maana ratiba za kumchukua mama wa2 ile asubuhi zilikuwa zimekufa hivyo sasa nilikuwa huru kufanya jogging na mazoezi.

Baada ya kutoka jogging nilijiandaa nikapata breakfast na nikaanza safari ya kwenda mzigoni kufanya majukumu yangu ya kila siku. Baada ya kuwasili Masaki nilipark gari nikaingia ndani na niliwakuta dada wakifanya usafi pale reception na mimi niliwasalimia nikaenda moja kwa moja ofisini kwenda kuangalia ripoti kama Asmah alituma.

Wakati naendelea kukagua ripoti kwa upande mwingine Asmah naye aliwasili hivyo alikuja ofisini kwangu na kwa upande wake alionekana kuwa na furaha sana.

MIMI: “Nambie dear wangu nakuona unafuraha sana.”

ASMAH: “Insider nilikuwa nina wasiwasi juu yako kumbe hamna mahusiano yoyote ya ki mapenzi na Iryn.”

MIMI: “Wewe nani kakwambia haya?”

ASMAH: “Rebby jana kaniomba msamaha ndo akanambia haya.”

MIMI: “Ni Kweli hatuna mahusiano yoyote dear.”

ASMAH: “Sasa mbona Bossy anakuwa na wivu juu yako.?”

MIMI: “Tuachane na haya Asmah, ndomana unafuraha sana?”

ASMAH: “Sasa mbona hukuwahi nambia kipindi chote hiki.?”

MIMI: “Sababu hukuwahi kuuliza, tuachane na haya nipe Slip kama hujaingiza bado nipe pesa nikaweke bank.”

ASMAH: “Nimeshaingiza uwe unaangalia whatsapp zako maana hata ukitafutwa hureply.”

MIMI: “Sorry jana ilikuwa busy day.”

Niliondoka pale Masaki na nilikwenda moja kwa moja mpaka Mikocheni na baada ya kuwasili pale sikumkuta Lucy na mimi nilijua lazima atakuwa kwa Iryn na sikutaka kumpigia simu. Nilikwenda ofisini na nilikuta pesa za mauzo zipo kwa droo na mimi baada ya kujiridhisha na mazingira ya pale niliamua kuondoka kwenda kuweka pesa then niende kwa mama wa2

Saa 6 mchana nilikuwa tayari nimewasili kwa mama wa2 kwa upande mwingine alikuwa ameshapanga vitu tayari kwaajili ya kuhama na alikuwa na rafiki yake pale wakisaidiana. Baada ya kuniona aliishia kufurahi na tulianza maongezi pale,

MAMA WA2: “Insider nataka uanze kupeleka baadhi ya vitu kule Madale na vitu vingine vidogo kwaajili ya usalama.”

MIMI: “Usijali ndomana nimekuja mapema sana afu navyotoka huko nitapitia pale shule kutafuta mtu wa canter nafikiri litatosha.”

MAMA WA2: “Na wewe utanichaji kiasi gani? Si unaona vitu vingi? utakuwa na root nyingi sana leo.”

MIMI: “Wewe nijazie mafuta full tank na nihakikishie lunch ya uhakika kuhusu malipo potezea.”

MAMA WA2: “Mhh Ahsante mkwe.”

Nilianza kazi ya kubeba vitu na kupeleka Madale na wakati narudi nilipitia Mbezi shule kutafuta usafiri na nilipata Canter kubwa ambayo ingebeba vitu vyote kwa wakati mmoja. Mpaka saa 12 jioni tulikuwa tumekamilisha kila kitu. Kwa upande wangu sikutaka kuendelea kubaki pale na nilimuaga mama wa2 naondoka. Kwa upande wake alinishukuru sana kwa kumpa kampani na nilimtakia kila la kheri kwenye maisha mapya ya nyumba yake.

Niliondoka Madale na kurudi home ukweli nilikuwa niko hoi sana hivyo baada ya kuwasili home niliingia bafuni kuoga. Baada ya kuoga muda huu niliingia jikoni kupika, kwa upande mwingine Lucy alinipigia simu na baada ya kupokea tulianza mazungumzo,

MIMI: “Mambo Lucy.”

LUCY: “Freshy Insider upo wapi?”

MIMI: “Niko home tu, nilipita asubuhi hukuwepo sijui ulikuwa wapi.”

LUCY: “Nilitoka kidogo, sasa nahitaji kuonana na wewe please.”

MIMI: “Lucy mimi napika hapa sidhani kama itawezekana kwa leo, kwanza nimechoka tufanye kesho asubuhi.”

LUCY: “Nielekeze unakokaa nije kama umebanwa ni muhimu sana ndomana.”

MIMI: “Huwezi kuongea kwa simu?”

LUCY: “Ndomana nikaomba tuonane Insider kama hutojali nitumie location nije chap.”

MIMI: “Sitaki uje maana utanitia nyege tu huku.”

LUCY: “ Insider acha utani niko serious ujue.”

MIMI: “Ok nakutumia kwa Whatsapp soon.”

Baada ya kukata simu nilimtumia location kwa whatsapp na mimi niliendelea kupika pale jikoni.

Baada ya nusu saa simu yangu ilianza kuita tena na alikuwa ni Lucy na nikapokea,

LUCY: “Insider nimeshaingia mtaa wenu nitajie house namba.”

MIMI: “Ok house No.09 gate la kijivu.”

LUCY: “Ok soon niko hapo.”

Baada ya dakika 3 alinipiga simu tena na kunipa taarifa kuwa amefika yuko nje getini hivyo nitoke.

Na mimi nilitoka kwenda kufungua geti na baada ya kucheki niliiona gari Audi ikiwa imesimama pembeni getini na mimi nikajua Lucy kaamua kuja na Iryn. Kwa upande wangu nilislide gate ili waingie ndani na gari iliingia ikapark pale uwanjani lakini nilishangaa kuona Iryn akishuka pake yake na alikuwa amewaka sana. Iryn nguo zake nyingi ni pensi za kombati zenye mifuko pembeni na long sleeve tops.

Tulisalimiana na mimi nilimkaribisha ndani kwa upande mwingine jirani yangu wa pembeni alikuwa ametoka nje na dem wake tukawasalimia pale,

JIRANI: “Kaka habari nyie ndo mmeingia hapa?”

MIMI: “Ndio Brother nina mwezi tayari sema hatuonani majirani.”

JIRANI: “Karibuni sana majirani hata sisi hatuna muda sana hapa na tumepishana kidogo tu.”

MIMI: “Ahsante sana kaka itabidi tubadilishane namba just incase of anything.”

JIRANI: “Yeah sure nipe yako.”

Baada ya kubadilishana namba tuliingia ndani kwa upande mwingine walikuwa wanamshanga sana Iryn.

Ukweli kuwa karibu na Iryn kumenipa sana heshima hasa hapa mjini Dar kwa wanawake na wanaume. Wahuni kibao huwa wananifuata wananisifia kuwa na pisi kali mpaka mademu nao huwa wananipa sifa. Kuna stage mpaka wanauliza nimempataje maana ni kama zali la mentali. Nikiingia maeneo ni heshima, niliamini hapa mjini ili uheshimike kuwa na kitu cha utofauti na wengine kama pisi kali na Pesa bhasi utaheshimika sana.

Tuendelee na story, muda huu Iryn alikuwa anashangaa sana mazingira ya pale seblen na alianza kuzishangaa picha za Junior, zilikuwa ni mpya nzuri ambazo mama yake alizitengeneza zenye ukubwa tofauti wa A4 na A3 na alikuwa amezipanga vizuri sana.

IRYN: “Insider Hii picha ya Junior nimeipenda sana can I have it?”

MIMI: “Achana na picha za Junior niambie kilichokuleta hapa kwangu ni nini?, si unaona mama J hayupo kuendelea kukaa na wewe hapa muda mrefu kutaleta picha mbaya.”

IRYN: “Okay Insider I’m really sorry for what happened.”

MIMI: “Alright kilicho nikera mimi ni wewe kunispy afu umejazwa maneno ya uongo na wewe unaamini, nataka leo niprove kwako mimi sijafanya chochote na Sumaiya.”

IRYN: “Insider kwamba nothing happened? haimake sense.”

MIMI: “Angalia chats zake za jana hizi”

Na muda huu nilimuonesha chats zangu na Sumaiya baada ya kutoka kwa mama Janeth, Sumaiya alikuwa anataka anitunuku pussy kama ahsante lakini mimi nilikuwa namtolea nje.

Na texy yake ilisomeka hivi,

SUMAIYA: “Insider thank you, shida yako kila nikitaka nikupe coochie unakuwa unaringa, wewe mwanaume unanipaga maswali sana, hii jeuri unaitolea wapi.?”

“Hapo sasa umeamini mimi na Sumaiya hakuna tulichofanya zaidi ya utani, na kama hujui vingi alikuwa anafanya mbele yako kwa makusudi maana anajua unanipenda.”

Kwa upande wa Iryn alikuwa kimya sana na hakuwa na cha kuongea kabisa na aliishia kuniangalia tu pale na mimi niliendelea kuongea.

“Mimi nimekusamehe, wanaume huwa hatuweki vitu moyoni nakuchana yanaisha. Twende jikoni ukanisaidie kutengeneza juice.”

Tulikwenda jikoni na yeye kwa upande wake alinisaidia kutengeneza juice ya nanasi na tulipata dinna ya pamoja. Baada ya dinna tuliendelea kuongea pale seblen na kubwa alisema october anakwenda South Africa kuendelea na masomo na mimi nilimwambia ijumaa nitakwenda Dodoma.

IRYN: “Insider huko Dodoma kuna nini eti?, tutakwenda wote this time ili nikaijue Dodoma sijawahi fika.”

MIMI: “Mummy mimi nakwenda na gari hii safari ndefu sana wewe pumzika jiandae na shule.”

IRYN: “Nikiangalia hapa nauli ya Dodoma kwa flight ni 230,000/= ukitumia gari cost zinakuwa kubwa na unachosha gari, tutakwenda na flight.”

MIMI: “Mimi sina nauli ya ndege na ninakwenda na gari najua sitakosa vichwa njiani na pia nataka kuipima perfomance ya gari barabarani haijakwenda masafa marefu.”

IRYN: “Nauli nitalipa mimi mpaka hotel, wewe nisaidie hotel gani nzuri kwa kule.”

MIMI: “Hotel nzuri kwa Dodoma ni Morena Hotel ni ya level zako.”

IRYN: “Ok niachie mimi nitafanya booking mapema.”

Kwa upande mwingine sikutaka kumkatalia niliona busara kwenda naye ili akaijue na Dodoma. Tuliendelea kukaa na Iryn mpaka saa4 usiku ndo aliondoka lakini wakati anaondoka aliiomba picha ya Junior ambayo ilikuwa seblen na mimi nilimpa ili aridhike.

Baada ya Iryn kuondoka nilimpigia simu Lucy na ilibidi nimuulize ilikuwaje wakatengeneza ile movie?. Kwa uaonde wake Lucy alicheka sana na alinambia alitaka kunikutanisha na Iryn ili tuyamalize sasa baada ya kumwambia siwezi bhasi Iryn akamwambia aseme anakuja kwangu ndo yeye akaja. Tuliishia kucheka na mimi nilimwambia tumeyamaliza kwasasa na pia nimeweka heshima tayari na tukaagana. Actually nilitaka Iryn aingie kwenye mfumo wangu hata kumvimbia nilikuwa na pretend nione reaction yake.

Alhamis mchana nilikwenda kwa Jane ili kujua afya yake kabla sijaondoka na pia kuzungumza jambo lake alilotaka kunambia ile siku. Kwa upande mwingine nilikuwa namuangalia Jane kwa jicho la pekee sana maana nilikuwa nakazi kubwa sana ya kuhakikisha usalama wake.

Baada ya kuwasili pale Mbweni niliingia seblen moja kwa moja maana pale mimi ni kama home, kwa upande mwingine Jane alikuwa jikoni anapika na mimi niliamua kwenda hukohuko.

Kwa upande wangu nilishangaa kumuona akipika peke yake pale Jikoni na ilibidi nimuulize kwanini anapika na hali yake ilivyo?. Jane alinambia akina Vicky wamekwenda sokoni kununua chakula cha mbwa maana wanakula sana kama mchwa.

Muda huu na mimi niliendelea kumsaidia baadhi ya kazi huku tunapiga story na kubwa nilimwambia lengo la kwenda kwake ni kumuaga sababu nina safari ya kwenda Dodoma ijumaa. Kwa upande wake alisema hakuna jambo lolote kama Mbwa Vicky yuko vizuri na amewa-masta na mimi nilimshauri na yey awe anacheza nao ili wamzoee.

Tuliendelea kuongea mambo mengi na pia nilimpa gharama za ku import Ist kutoka Japan maana sikutaka kwenda showroom. Nilimwambia gharama za kuimport Ist ni 15 million na gharama za kupimp gari pamoja na Bima ni 2million hivyo jumla ni 17million. Kwa upande wake hakuwa na tatizo na alisema atanikabidhi pesa nikirudi kutoka Dodoma.

Kwa upande mwingine ilibidi nimkumbushie lile jambo alilotaka kunambia ile siku,

MIMI: “Shem ulikuwa na jambo gani ile siku?”

JANE: “It’s crazy but kuna jambo unatakiwa ulifahamu kuhusu best yako Mary.”

MIMI: “Nambie Mary kafanyaje tena.”

JANE: “Unajua Mary kwangu ni kama mdogo wangu na ni rafiki yangu kwasasa na anakuja sana hapa home hata jana tulikuwa wote ananifundisha kuendesha gari.”

MIMI: “Mary anajua kudrive kumbe? Sijawai fahamu hili kwakweli. Umepata best mzuri.”

JANE: “Nisikilize sasa Insider, Mary anakupenda sana hujui tu. Mpe mtoto wa watu anachotaka, sitaki kuona mdogo wangu anakosa raha kwaajili yako.”

MIMI: “Ndo amekutuma uyaseme haya kwangu.?”

JANE: “No hajanituma ila katika maongezi yetu nimejua anakupenda japo hataki kufunguka direct, na nilimwambia una mke.”

MIMI: “Hahahaa sawa bhana ila kuna kitu bado hajakwambia, mimi nimetoka na mdogo wake na tumeachana juzi hapa. Nimetoka na mdogo wake then nidate na yeye haitakuwa sawa hata yeye sidhani kama yuko tayari kwa hili.”

JANE: “Insider wewe ni hatari kumbe umelamba mpaka mdogo wake aisee hii hatari, wewe mle tu aridhike sio lazima mdate…., naona anakitu moyoni juu yako.”

MIMI: “Mmhh wewe endelea kubashiri tu ila Mary anajielewa sana.”

JANE: “Mwanamke akikupenda hata awe smart kiasi gani anakuwa fala tu, afu yule nyege zinamsumbua namwona anakiu sana ya kusuguliwa, kanambia ana mwaka hayuko kwa mahusiano.”

MIMI: “Hajataka tu ila kwa uzuri alionao hawezi kosa mtu wa kuwa naye.”

Kwa upande mwingine akina Vicky walikuwa wamerudi kutoka sokoni sasa vicky alivyoniona jikoni alinipiga na teke la kichokozi na akaondoka. Nafikiri Vicky hakujua kama dada yake yuko jikoni na Jane alinipiga jicho akaishia kutikisa kichwa cha kusikitika na akacheka.

JANE: “Dogo langu naye ameshazama mazima nazionaga movement zake Kwako.”

MIMI: “Hahahaa Vicky ni charming tu anapendaga matani tu.”

JANE: “Kwamba wewe unamjua Vicky kuliko mimi.?”

MIMI: “Pia kuna vitu kwako anahide kuliko akiwa na mimi, niseme namjua kiasi chake.”

Nilishinda na Jane pale mpaka jioni na pia niliwaogesha mbwa na nikawaaga naondoka, kwa upande mwingine Jane alisema akijifungua anategemea kuanza kufanya biashara.

*******
Ijumaa ilikuwa safari ya kwenda Dodoma na tulikuwa tunatarajia kuondoka na ndege ya saa 10 jioni. Kwa upande mwingine nilifanya mawasiliano na wife ili kumpa taarifa ya kwenda Dodoma na kwa upande wake alinisisitiza sana niangalie maendeleo ya maua yake.

Saa 6 mchana mapema nilimpitia Iryn pale kwake na alikuwa amejiandaa tayari na tukaanza safari ya kwenda JNIA na tulirequest bolt ya kutupeleka. Ofcourse tulifika mapema sana Terminal 2, hivyo tulikaa pale BAO cafe tukiendelea kupoteza muda huku tunakula bites na tulikuwa tunapiga sana story,

IRYN: “Hivi Insider mpaka sasa umefanya jambo gani la maendeleo?”

MIMI: “Kitendo cha kukuvua chupi kwangu mimi ni maendeleo makubwa sana.”

Iryn alicheka kwa nguvu sana mpaka akapaliwa na juice aliyokuwa anakunywa mpaka watu ilibidi wageuke maana kicheko kilikuwa kikubwa na sauti yake nzuri.

IRYN: “Insider wewe ni mshenzi sana hilo kwako ndo maendeleo?”

MIMI: “Sasa nitakuja kupata mwanamke mzuri kama wewe lini? maana wewe ulinipa bure lakini wengine watataka pesa.”

IRYN: “Be serious umefanya jambo gani?”

MIMI: “Utaona kesho kwa macho yako mwenyewe ndo linalo tupeleka huku Dodoma.”

IRYN: “Sawa Baba Junior afu babe wangu anarudi lini? nime mmiss sana kwakweli.”

MIMI: “Yuko uchagani huko atarudi tu, nafikiri by next week. Umepata room? maana ukikosa mimi nitakulaza vichochoroni.”

IRYN: “Haina shida hata huko tunalala wote.”

Muda ulivyowadia tulikwenda kucheck-in kwaajili ya kuanza safari ya kwenda Dodoma na tuliwasili Dodoma saa 12 jioni. Baada ya kuwasili pale Airport ilibidi tutafute usafiri wa kutupeleka hotelini,

IRYN: “Insider request usafiri wa kutupeleka Nashera Hotel, Morena nilikosa rooms.”

MIMI: “Na hii hotel umeijuaje?”

IRYN: “Booking.com.”

Baada ya dakika chache bolt alikuwa amefika na alitupeleka mpaka hotelini, kwa upande mwingine tulipokelewa vizuri sana na Iryn alijitambulisha pale reception na baada dakika kadhaa tuliongozana na mhudumu mpaka room.

DADA: “Rooms zote ni sawa sasa sijui maamuzi yenu.”

Iryn alimkatisha dada na maongezi yake, na mimi muda huu nilikuwa bado nashangaa kuona Iryn amebook rooms mbili za kulala, yaani kila mtu na yake.

IRYN: “Dada wewe nenda sisi tumefika tayari.”

Na dada aliondoka pale na alionesha tabasamu kubwa sana kwa Iryn, kwa upande wangu nilikuwa nimemind sana.

MIMI: “Kwanini umebook rooms mbili?, si unachezea hela tu.”

IRYN: “Yeah kwani kuna shida gani kila mtu kulala room yake. Why are you mad?”

MIMI: “Sawa bossy lady mimi sina neno.”

IRYN: “Kuwa na amani, weka bag tupumzike badae tukale dinna, ndomana nilikwambia hili suala niachie mimi.”

Kwa upande wangu nilimind sana maana nilikuwa nawaza kuila coochie yake ofcourse nilikuwa frustrated sana, tangu niko kwenye ndege nilikuwa naiwaza coochie yake na nilikuwa nimempania sana, lakini alinipiga na kitu kizito sana.

Baada ya kuingia ndani niliwasiliana na Mzee Mollel maana alisema nikiwasili Dodoma nimpe taarifa na lengo lake kubwa ni kunikabidhi nyumba, baada ya kuongea na Mzee Mollel tulikubaliana tuonane Jumapili. Niliwasiliana pia na Aggy na yeye nilimpa taarifa niko Dodoma na kwa upande wake alitaka kuniachia gari yake lakini nilimkatalia.

Saa 2 usiku Iryn alinipigia simu nitoke ili tukapate dinna na tulikwenda restaurant ya palepale hotelin kupata msosi. Mhudumu alikuja kutusikiliza na kila mtu aliagiza chakula anachotaka na tukaendelea na maongezi pale,

IRYN: “Insider kumbe Dodoma kuna baridi hivi?”

MIMI: “Sorry nilisahau kukwambia ubebe hata sweta, nitakupa prova yangu uvae.”

MIMI: “Na wewe utavaa nini?, hakuna duka jirani tukanunue?.”

MIMI: “Hali ya hewa ya huku nimeizoea usiwe na wasiwasi, kesho tunanunua.”

IRYN: “Kesho tunaondoka sangapi?”

MIMI: “Saa 4 asubuhi mummy.”

Baada ya kupata dinna nilijaribu kumshawishi Iryn tunywe wine na lengo langu impe nyege lakini alinigomea kabisa na alisema hajisikii kunywa na mpango wangu ukawa umefeli.

Baada ya kupata dinna tuliongozana mpaka chumbani kwake na tulikuwa tumekaa kwenye coach na muda huu alikuwa ananionesha picha zake za simu. Ofcourse picha zake zilikuwa zinasimumua sana ukiziangalia maana kuna ambazo alikuwa anapiga yuko swimming pamoja na video, zingine alikuwa anajichukua akiwa anacheza.

Muda huu mimi mawazo yangu kichwani yalikuwa yanawaza kumla tu wala sio kingine hata mnara ulikuwa upo active muda sana. Nilianza kumfanyia kashikashi pale kama kumchezea kiuno chake lakini kila nikipandisha mkono kumshika boobs zake alikuwa anakaza.

IRYN: “Insider stop this, It's not going to happen again". What happened that day was an accident.”

MIMI: “I don’t trust you, Ingekua accident usingetoa kelele za mahaba kama zile.”

IRYN: “Remember I told you, mama Junior ni rafiki yangu wa karibu na nina muheshimu sana ile siku hata sijui ilikuwaje tukasex.”

MIMI: “Acha unafiki wako hapa, umeshatembea na mme wake afu unaanza kuleta habari za heshima sahivi?, bado itabaki mimi na wewe tume-sex iwe mara moja au mara 100 ukweli ndo huu. Acha mimi niwahi nikalale kesho saa 4 asubuhi tutakwenda huko Makulu then tutamalizia na Iyumbu.

Niliondoka kwenda room yangu, ukweli nilikuwa nimefura sana muda huu hata sikuelewa kwanini Iryn anakaza coochie yake namna hii, nilishangaa sana.

Mary alinipigia simu muda huu na alinilalamikia sana kwanini nimekwenda Dodoma bila kumpa taarifa? na mimi nikaelewa Jane atakuwa kampasha habari. Kwa upande mwingine alilamika nimemchunia sana kipindi hiki tangu niachane na Prisca nimekuwa sina time naye na mimi nilimwomba msamaha nikamuahidi kumtafuta nikirudi Dar.

Saa 4 asubuhi baada ya kupata breakfast tulindoka kwenda Makulu mpaka site, kwa upande wake Iryn alikuwa na shauku sana ya kujua ni jambo gani ambalo lilinileta huku. Baada ya kuwasili pale site nilifungua geti tukaingia ndani na ukweli nyumba ilionekana kung’aa sana na ilipendeza balaa,

MIMI: “Bossy hii ndo project yangu na niliianza muda sana hata kabla hatujafahamiana.”

IRYN: “Really? Is this your house?”

MIMI: “Ndio mummy ila na madeni balaa, mshahara wote naopata nalipa mikopo.”

IRYN: “Congratulations umenifurahisha sana kwahili, I’m really proud of you.”

MIMI: “Thank you so much.”

Kwa upande wake alifurahi sana na tuliingia ndani kukagua kwakweli Mzee Mollel alikuwa amefanya kazi kubwa sana afu nzuri hata Iryn alisifia kwakweli. Tulitumia kama lisaa pale na tukaondoka kwenda Iyumbu kwenda kuangalia kiwanja.

Baada ya kuwasili pale pia nilimwambia Iryn hii nayo ni project yangu na yeye aliishia kushangaa sana. Na pia nilipanga kupanda miti kuzunguka mipaka ya kiwanja,

MIMI: “Mummy leo utanisaidia kupanda miti.”

IRYN: “Miti yenyewe iko wapi?”

MIMI: “Tunakwenda kununua barabarani hapo.”

Nilitafuta mtu wa kuchimba mashimo na sisi tulikwenda kununua miti na palepale tulikonunua miti tulipata na mbolea. Baada ya kurudi kwa upande mwingine tulikuta jamaa ameshamaliza kuchimba mashimo na tulianza kupanda miti.

Wakati zoezi likiendelea kwa upande wa Iryn alianza kupiga kelele kama mtoto na mimi ilibidi nisogee,

IRYN: “Insider nimejichoma na mwiba.” Na alikuwa akitoa sauti ya kudeka,

MIMI: “Pole mummy mpaka turudi Dar utakuwa umefubaa sana hii ndo Dodoma hakunaga warembo huku kabisa, hali ya hewa ya huku haipatani na warembo.”

Ilibidi na jamaa aanze kucheka muda huu,

MIMI: “Kaka uongo? na mfundisha mama maisha hapa si unaona mtoto laini bado ngozi yake haijazoea shida kama sisi.”

JAMAA: “Kweli kabisa hata hivyo una mke mzuri sana.”

MIMI: “Ahaste sana kwa kulitambua hili ndugu yangu, si unaona amefurahi mwenyewe kusifiwa.”

IRYN: “Insider stop this.” Na aliishia kunipiga na ngumi ya mgongo.

Muda tuliotumia Iyumbu ni kama masaa 4 mpaka tuna maliza kupanda mitu na pia nilimpa kazi jamaa ya kumwagilia maji ile miti.

IRYN: “Kaka hakikisha hii miti haikauki sawa?”

JAMAA: “Msijali mabosi zangu kila kitu kitakuwa sawa.”

Na sisi tuliondoka maeneo haya na tulirudi hotelini, kwa upande wa Iryn alionekana kuchoka sana hata tulivyofika hotelini alikwenda moja kwa moja room yake hata hamu ya kula hakuwa nayo.

Saa 2 usiku nilimpigia simu tukapate dinna pale Golden fork lakini alisema amechoka sana hawezi kwenda ila tutatoka kesho, hivyo tuliamua kwenda kula palepale hotelini. Wakati tunakula Pale kwa upande mwingine Bossy lady alionekana kuchoka sana, si mnajua jua la Dodoma linavyochosha,

“Mummy umechoka sana.”

Aliniangalia na akatikisha kichwa kukubaliana na kauli yangu, ukweli alipiga sana kazi hii siku kwa mwanamke ambaye hajazoea hii mikiki lazima apoteane. Ukweli Iryn anabadilika kutokana na mazingira na hanaga ile ya kujionesha kwamba yeye anapesa au ni mzuri hanaga hizi tabia.

“Pole sana, niagize wine?”

“No hata sijisikii kunywa, nipeleke nikalale.”

“Ok lets go.”

Tuliachana pale na mimi niliingia room yangu na muda huu niliwaza nitoke hata out nikapoteze muda kama usingizi nilikuwa sina. Saa yangu ilikuwa inasoma saa 3 usiku hivyo nilibadilika chap sana na nikaondoka kwenda Bambalaga.

Sikutaka kumwaga Iryn maana nilijua atakuwa amelala tu hivyo niliondoka kimya kimya mpaka Bambalaga. Kwa upande mwingine niliwaza kumpandia Maggy lakini niliona itakuwa ni bad idea maana sikumpa taarifa kama niko mjini. Na baada ya kuwasili pale Bambalaga nilikuta kuna watu wengi tu, hivyo nilipiga jicho angle zote nikapata sehemu nzuri ya kukaa lakini kulikuwa na dada yuko peke yake.

Nilisogea mpaka kwenye ile meza nikamsalimia yule dada na mimi nikakaa na niliagiza heineken kama kawaida yangu. Niliendelea kumjasusi dada ili story ziwe zinaendelea na alikuwa anatoa ushirikiano sana na story ziliendelea kukolea pale.

Baada ya lisaa kupita simu yangu ilianza kuita na Iryn ndo alikuwa akipiga muda huu lakini sikupokea simu yake sababu ya kelele. Na palepale nilimtumia ujumbe kwa haraka,

“Mummy niko kwenye kelele unasemaje?”

Alipiga tena simu ikabidi nipokee hivyo hivyo kibishi lakini tukawa hatuelewani vizuri na palepale akanitumia ujumbe,

IRYN: “Insider sikuelewi kwani uko wapi?.”

MIMI: “Nimetoka out mummy sikutaka kukusumbua kwasababu ya uchovu.”

IRYN: “Upo na nani?”

MIMI: “Niko peke yangu hapa.”

IRYN: “Nitumie location ulipo I am coming.”

MIMI: “No, wewe pumzika mimi narudi sio muda.”

IRYN: “Sikuelewi ujue mimi niko sawa send me the exact location.”

MIMI: “Okay request bolt ikulete BAMBALAGA, ndo niko hapa.”

Baada ya dakika 20 Iryn aliwasili pale na mimi nilimtuma mhudumu anisaidie kumfuata na amlete nilipo, baada ya dakika chache alikuwa amemleta na kwa upande wake aliagiza wine. Kwa upande mwingine yule dada aliishia kumtazama Iryn kwa macho ya kiwizi wizi sana maana hakuamini kama ninamiliki mrembo mkali kama yule. Kama mnavyojua Dodoma hakuna warembo kabisa, mtu kama Iryn akionekana anakuwa kivutio sana machoni pa watu.

Kwa upande wa Iryn alikuwa bado haelewi kinachoendelea pale na alihisi yule dada nimekuja naye maana tuliendelea kupiga story na yule dada kama kawaida, lakini nilimwambia IRYN tumekutana palepale.

IRYN: “Insider huyu dada ni nani? ndo umekuja naye.?”

MIMI: “Hapana mimi ndo nimemkuta hapa ndo nikajoin”

IRYN: “Mara hii mmezoena tayari kwa muda mfupi?”

MIMI: “si unajua Bar ndo sehemu ambayo inawakutanisha watu mbalimbali tofauti na mnavibe?”

IRYN: “Bila mimi kuja najua ungeondoka naye tu.”

MIMI: “Acha kunichukulia cheap sana, wewe unaona huyu dada wa kulala na mimi?”

Kwa upande mwingine pale Bambalaga niliweka heshima maana kila mtu aliyekuwa around alikuwa anamuangalia Iryn, japo yeye alikuwa ameshazoea hii hali na alikuwa anaona kawaida tu, hata mimi kwa upande wangu nilikuwa namwona Iryn wa kawaida tu maana nilikuwa nishazoea kuwa naye.

Saa 6 usiku nilimwambia Iryn tuondoke na yeye kwa upande wake alikuwa amekunywa wine nusu tu. Nilifanya malipo na kabla hatujaondoka nilimwaga dada na nilimshukuru kwa kampani yake na sisi tukaondoka kurudi hotelini.

Baada ya kuwasili hotelini kila mtu alikwenda room yake na mimi kwa upande wangu sikutaka kumlazimisha alale na mimi maana niliwaza mpaka amebook vyumba 2 ni kweli amemaanisha hivyo sitakiwi kutumia nguvu kwenye hili jambo na niwe mpole tu.

Muda huu nilichukua laptop yangu na nikaanza kuandika mkataba wa kupangisha nyumba na plan zangu zilikuwa navyoondoka Dom niwe nishapata hata wateja wa kuingia pale nianze kupata hela.

Wakati nikiendelea kuwa busy na laptop yangu kwa upande mwingine nilisikia mlango unagongwa kwa mbali hivyo ilibidi nisogee nikafungue, na kabla sijafungua ilibidi niulize nani, na kwa mbali nilisikia sauti ya Iryn.

ITAENDELEA
Tupe chai mkuu, sisi tupo pamoja na wewe mpaka Iryn (Gennevieve) apate ujauzito wako
 
EPISODE 65
“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”

TULIKOISHIA
Na mimi niliondoka pale nimemuacha amekaa kwenye coach na nilisikia akiniita na mimi hata sikuwa na habari naye. Baada ya kufika parking sikutaka kupoteza muda niliwasha gari na wakati natoka pale getini kwa upande mwingine nilimwona ametoka pale nje lakini alikuwa kachelewa tayari na niliondoka kwa kasi sana.

ENDELEA….

Niliwaza kwenda kuonana na Lucy muda huu maana alikuwa ameomba sana tuonane lakini sikuweza kwenda, sababu nilikuwa nakwenda Mlimani city kwaajili ya kununua mahitaji ya nyumbani niliona nipitie pale ofisini ili tuonane. Kwa upande mwingine Iryn alikuwa akinipigia sana simu na mimi sikutaka kupokea simu zake kabisa.

Baada ya kuwasili pale ofisini nilimkuta Lucy bado hajatoka na alikuwa anaweka mambo sawa, hivyo alivyoniona alifunga ofisi na tukaanza safari. Wakati na drive gari macho yote yalikuwa kwangu afu nikimtizama alikuwa anatabasamu,

MIMI: “Lucy vipi mama naona unafuraha sana, leo deal zimetema nini? na mimi unipe mgao wangu.?”

LUCY: “Insider mimi nakuangalia afu nawaza the way unavyowateka warembo wakali, leo nimeshinda na Bossy ofisini ana furaha sana, japo hutaki kunambia ukweli lakini naamini umemt*mba ile siku.”

MIMI: “Hahahaa Lucy unanifurahisha sana kwanza unajua nilimtongoza afu akanitolea nje?”

LUCY: “Safi sana umefanya jambo la maana sana hata kama amekataa kwasasa utakuwa huru na umeweka green light ya yeye kujileta kwako maana wewe ushamwambia ukweli.”

MIMI: “Eti anasema mimi na mke hawezi kukubali kuwa mchepuko kwani ameachana na Grizz kwa sababu hii.”

LUCY: “Insider Iryn anakupenda sana ni vile hataki kujirahisisha kwako na mimi nilikushauri ufanye hivi ili maamuzi yabaki kwake. Mimi nakushauri kwa sasa mind your business ikiwezekana acha hata mazoea na mademu wa ofisi zote.”

Kwa upande mwingine simu ya Lucy ilianza kuita na baada ya kuitoa kwenye mkoba wake alinambia ni Iryn anapiga

“Insider Iryn anapiga simu”

Kwa upande wangu nilijua lazima anampigia simu Lucy sababu ya lile sakata la muda mfupi uliopita wala sio kingine, na mimi nilimwambia Lucy aweke loudspeaker,

LUCY: “Hi Bossy.”

IRYN: “Lucy upo wapi?”

LUCY: “Niko hapa Mwenge mataa ndo naelekea home.”

IRYN: “Okay unaweza kuja hapa kwangu now? please nitakurudishia gharama za usafiri.”

Ilibidi nimuoneshe ishara Lucy ya kukataa maana nilijua anachomuitia,

LUCY: “Bossy umepata matatizo? maana huu muda ni wa kwenda kuonana na mama kabla hajalala.”

IRYN: “Am not in trouble but kama unawahi kwa mama it’s okay.”

LUCY: “Shida ni nini?”

IRYN: “Insider amefound out nilikuwa namspy kule Masaki kupitia Rebby hata sijui amejuaje na nimempigia simu Rebby anasema Insider aliomba simu yake ndo akaona chats zetu. Insider amekuja kwangu sio muda mrefu amegomba sana na sijawahi kumuona akiwa na hasira kama leo, mpaka nimeogopa.”

LUCY: “Pole sana lazima angemind, mimi nitakuja kesho tuongee mapema sana ili tuyamalize ila muombe msamaha kwa hili hata mimi ningejisikia vibaya..”

IRYN: “Hapokei simu zangu naomba umwambie apokee niongee naye.”

Baada ya Iryn kukata simu kwa upande mwingine Lucy ilibidi aanze kuniuliza maswali kuhusu kilichotokea. Kwa upande wangu nilimwambia mkanda wote kuhusu kilichokuwa kinaendelea, hata Lucy naye alishangaa kusikia haya.

LUCY: “Insider unaonaa, nikikwambia Iryn anakupenda wewe mbishi, tena this time kapagawa kabisa.”

MIMI: “Lucy nakudrop hapa, mimi naingia ndani Mlimani city kununua mahitaji ya nyumbani.”

LUCY: “Usije ukawa una mchepuko huko unakwenda onana naye, subiri nikupe mgao wako”

MIMI: “Wow thank you umejuaje sina hela leo?”

LUCY: “Laki 3 hizo na kesho lile deal linaweza kutiki hivyo nitakujulisha.”

MIMI: “Sawa mummy.”

Tuliagana na Lucy pale na mimi niliingia ndani Mlimani city kununua mahitaji maana toka tuhamie makazi mapya sikuwai kununua mahitaji yoyote wife alikuwa hayupo, nilijikuta mpaka dawa ya meno imeisha ndani.

Nilitumia kama nusu saa pale Mlimani city na niliondoka maeneo haya kurudi home. Baada ya kurudi home kwa Upande mwingine niliwasiliana na mama wa2 na alikuwa ananikumbusha kuwa kesho anahamia kwenye kibanda chake hivyo niandae usafiri mapema na pia niwahi kwenda kumkampani. Kwa upande mwingine Iryn alikuwa akipiga simu sana lakini sikuwa napokea wala kureply text zake na nikaamua kumtia block kama yeye alivyonifanyia.

Tangu mama wa2 achukue emergence ofisini kwaajili ya kukamilisha zoezi la uhamiaji katika nyumba yake mpya, na mimi kwa upande wangu ratiba za asubuhi zilibadilika. Nilikuwa naamka saa 12 asubuhi nakwenda jogging maana ratiba za kumchukua mama wa2 ile asubuhi zilikuwa zimekufa hivyo sasa nilikuwa huru kufanya jogging na mazoezi.

Baada ya kutoka jogging nilijiandaa nikapata breakfast na nikaanza safari ya kwenda mzigoni kufanya majukumu yangu ya kila siku. Baada ya kuwasili Masaki nilipark gari nikaingia ndani na niliwakuta dada wakifanya usafi pale reception na mimi niliwasalimia nikaenda moja kwa moja ofisini kwenda kuangalia ripoti kama Asmah alituma.

Wakati naendelea kukagua ripoti kwa upande mwingine Asmah naye aliwasili hivyo alikuja ofisini kwangu na kwa upande wake alionekana kuwa na furaha sana.

MIMI: “Nambie dear wangu nakuona unafuraha sana.”

ASMAH: “Insider nilikuwa nina wasiwasi juu yako kumbe hamna mahusiano yoyote ya ki mapenzi na Iryn.”

MIMI: “Wewe nani kakwambia haya?”

ASMAH: “Rebby jana kaniomba msamaha ndo akanambia haya.”

MIMI: “Ni Kweli hatuna mahusiano yoyote dear.”

ASMAH: “Sasa mbona Bossy anakuwa na wivu juu yako.?”

MIMI: “Tuachane na haya Asmah, ndomana unafuraha sana?”

ASMAH: “Sasa mbona hukuwahi nambia kipindi chote hiki.?”

MIMI: “Sababu hukuwahi kuuliza, tuachane na haya nipe Slip kama hujaingiza bado nipe pesa nikaweke bank.”

ASMAH: “Nimeshaingiza uwe unaangalia whatsapp zako maana hata ukitafutwa hureply.”

MIMI: “Sorry jana ilikuwa busy day.”

Niliondoka pale Masaki na nilikwenda moja kwa moja mpaka Mikocheni na baada ya kuwasili pale sikumkuta Lucy na mimi nilijua lazima atakuwa kwa Iryn na sikutaka kumpigia simu. Nilikwenda ofisini na nilikuta pesa za mauzo zipo kwa droo na mimi baada ya kujiridhisha na mazingira ya pale niliamua kuondoka kwenda kuweka pesa then niende kwa mama wa2

Saa 6 mchana nilikuwa tayari nimewasili kwa mama wa2 kwa upande mwingine alikuwa ameshapanga vitu tayari kwaajili ya kuhama na alikuwa na rafiki yake pale wakisaidiana. Baada ya kuniona aliishia kufurahi na tulianza maongezi pale,

MAMA WA2: “Insider nataka uanze kupeleka baadhi ya vitu kule Madale na vitu vingine vidogo kwaajili ya usalama.”

MIMI: “Usijali ndomana nimekuja mapema sana afu navyotoka huko nitapitia pale shule kutafuta mtu wa canter nafikiri litatosha.”

MAMA WA2: “Na wewe utanichaji kiasi gani? Si unaona vitu vingi? utakuwa na root nyingi sana leo.”

MIMI: “Wewe nijazie mafuta full tank na nihakikishie lunch ya uhakika kuhusu malipo potezea.”

MAMA WA2: “Mhh Ahsante mkwe.”

Nilianza kazi ya kubeba vitu na kupeleka Madale na wakati narudi nilipitia Mbezi shule kutafuta usafiri na nilipata Canter kubwa ambayo ingebeba vitu vyote kwa wakati mmoja. Mpaka saa 12 jioni tulikuwa tumekamilisha kila kitu. Kwa upande wangu sikutaka kuendelea kubaki pale na nilimuaga mama wa2 naondoka. Kwa upande wake alinishukuru sana kwa kumpa kampani na nilimtakia kila la kheri kwenye maisha mapya ya nyumba yake.

Niliondoka Madale na kurudi home ukweli nilikuwa niko hoi sana hivyo baada ya kuwasili home niliingia bafuni kuoga. Baada ya kuoga muda huu niliingia jikoni kupika, kwa upande mwingine Lucy alinipigia simu na baada ya kupokea tulianza mazungumzo,

MIMI: “Mambo Lucy.”

LUCY: “Freshy Insider upo wapi?”

MIMI: “Niko home tu, nilipita asubuhi hukuwepo sijui ulikuwa wapi.”

LUCY: “Nilitoka kidogo, sasa nahitaji kuonana na wewe please.”

MIMI: “Lucy mimi napika hapa sidhani kama itawezekana kwa leo, kwanza nimechoka tufanye kesho asubuhi.”

LUCY: “Nielekeze unakokaa nije kama umebanwa ni muhimu sana ndomana.”

MIMI: “Huwezi kuongea kwa simu?”

LUCY: “Ndomana nikaomba tuonane Insider kama hutojali nitumie location nije chap.”

MIMI: “Sitaki uje maana utanitia nyege tu huku.”

LUCY: “ Insider acha utani niko serious ujue.”

MIMI: “Ok nakutumia kwa Whatsapp soon.”

Baada ya kukata simu nilimtumia location kwa whatsapp na mimi niliendelea kupika pale jikoni.

Baada ya nusu saa simu yangu ilianza kuita tena na alikuwa ni Lucy na nikapokea,

LUCY: “Insider nimeshaingia mtaa wenu nitajie house namba.”

MIMI: “Ok house No.09 gate la kijivu.”

LUCY: “Ok soon niko hapo.”

Baada ya dakika 3 alinipiga simu tena na kunipa taarifa kuwa amefika yuko nje getini hivyo nitoke.

Na mimi nilitoka kwenda kufungua geti na baada ya kucheki niliiona gari Audi ikiwa imesimama pembeni getini na mimi nikajua Lucy kaamua kuja na Iryn. Kwa upande wangu nilislide gate ili waingie ndani na gari iliingia ikapark pale uwanjani lakini nilishangaa kuona Iryn akishuka pake yake na alikuwa amewaka sana. Iryn nguo zake nyingi ni pensi za kombati zenye mifuko pembeni na long sleeve tops.

Tulisalimiana na mimi nilimkaribisha ndani kwa upande mwingine jirani yangu wa pembeni alikuwa ametoka nje na dem wake tukawasalimia pale,

JIRANI: “Kaka habari nyie ndo mmeingia hapa?”

MIMI: “Ndio Brother nina mwezi tayari sema hatuonani majirani.”

JIRANI: “Karibuni sana majirani hata sisi hatuna muda sana hapa na tumepishana kidogo tu.”

MIMI: “Ahsante sana kaka itabidi tubadilishane namba just incase of anything.”

JIRANI: “Yeah sure nipe yako.”

Baada ya kubadilishana namba tuliingia ndani kwa upande mwingine walikuwa wanamshanga sana Iryn.

Ukweli kuwa karibu na Iryn kumenipa sana heshima hasa hapa mjini Dar kwa wanawake na wanaume. Wahuni kibao huwa wananifuata wananisifia kuwa na pisi kali mpaka mademu nao huwa wananipa sifa. Kuna stage mpaka wanauliza nimempataje maana ni kama zali la mentali. Nikiingia maeneo ni heshima, niliamini hapa mjini ili uheshimike kuwa na kitu cha utofauti na wengine kama pisi kali na Pesa bhasi utaheshimika sana.

Tuendelee na story, muda huu Iryn alikuwa anashangaa sana mazingira ya pale seblen na alianza kuzishangaa picha za Junior, zilikuwa ni mpya nzuri ambazo mama yake alizitengeneza zenye ukubwa tofauti wa A4 na A3 na alikuwa amezipanga vizuri sana.

IRYN: “Insider Hii picha ya Junior nimeipenda sana can I have it?”

MIMI: “Achana na picha za Junior niambie kilichokuleta hapa kwangu ni nini?, si unaona mama J hayupo kuendelea kukaa na wewe hapa muda mrefu kutaleta picha mbaya.”

IRYN: “Okay Insider I’m really sorry for what happened.”

MIMI: “Alright kilicho nikera mimi ni wewe kunispy afu umejazwa maneno ya uongo na wewe unaamini, nataka leo niprove kwako mimi sijafanya chochote na Sumaiya.”

IRYN: “Insider kwamba nothing happened? haimake sense.”

MIMI: “Angalia chats zake za jana hizi”

Na muda huu nilimuonesha chats zangu na Sumaiya baada ya kutoka kwa mama Janeth, Sumaiya alikuwa anataka anitunuku pussy kama ahsante lakini mimi nilikuwa namtolea nje.

Na texy yake ilisomeka hivi,

SUMAIYA: “Insider thank you, shida yako kila nikitaka nikupe coochie unakuwa unaringa, wewe mwanaume unanipaga maswali sana, hii jeuri unaitolea wapi.?”

“Hapo sasa umeamini mimi na Sumaiya hakuna tulichofanya zaidi ya utani, na kama hujui vingi alikuwa anafanya mbele yako kwa makusudi maana anajua unanipenda.”

Kwa upande wa Iryn alikuwa kimya sana na hakuwa na cha kuongea kabisa na aliishia kuniangalia tu pale na mimi niliendelea kuongea.

“Mimi nimekusamehe, wanaume huwa hatuweki vitu moyoni nakuchana yanaisha. Twende jikoni ukanisaidie kutengeneza juice.”

Tulikwenda jikoni na yeye kwa upande wake alinisaidia kutengeneza juice ya nanasi na tulipata dinna ya pamoja. Baada ya dinna tuliendelea kuongea pale seblen na kubwa alisema october anakwenda South Africa kuendelea na masomo na mimi nilimwambia ijumaa nitakwenda Dodoma.

IRYN: “Insider huko Dodoma kuna nini eti?, tutakwenda wote this time ili nikaijue Dodoma sijawahi fika.”

MIMI: “Mummy mimi nakwenda na gari hii safari ndefu sana wewe pumzika jiandae na shule.”

IRYN: “Nikiangalia hapa nauli ya Dodoma kwa flight ni 230,000/= ukitumia gari cost zinakuwa kubwa na unachosha gari, tutakwenda na flight.”

MIMI: “Mimi sina nauli ya ndege na ninakwenda na gari najua sitakosa vichwa njiani na pia nataka kuipima perfomance ya gari barabarani haijakwenda masafa marefu.”

IRYN: “Nauli nitalipa mimi mpaka hotel, wewe nisaidie hotel gani nzuri kwa kule.”

MIMI: “Hotel nzuri kwa Dodoma ni Morena Hotel ni ya level zako.”

IRYN: “Ok niachie mimi nitafanya booking mapema.”

Kwa upande mwingine sikutaka kumkatalia niliona busara kwenda naye ili akaijue na Dodoma. Tuliendelea kukaa na Iryn mpaka saa4 usiku ndo aliondoka lakini wakati anaondoka aliiomba picha ya Junior ambayo ilikuwa seblen na mimi nilimpa ili aridhike.

Baada ya Iryn kuondoka nilimpigia simu Lucy na ilibidi nimuulize ilikuwaje wakatengeneza ile movie?. Kwa uaonde wake Lucy alicheka sana na alinambia alitaka kunikutanisha na Iryn ili tuyamalize sasa baada ya kumwambia siwezi bhasi Iryn akamwambia aseme anakuja kwangu ndo yeye akaja. Tuliishia kucheka na mimi nilimwambia tumeyamaliza kwasasa na pia nimeweka heshima tayari na tukaagana. Actually nilitaka Iryn aingie kwenye mfumo wangu hata kumvimbia nilikuwa na pretend nione reaction yake.

Alhamis mchana nilikwenda kwa Jane ili kujua afya yake kabla sijaondoka na pia kuzungumza jambo lake alilotaka kunambia ile siku. Kwa upande mwingine nilikuwa namuangalia Jane kwa jicho la pekee sana maana nilikuwa nakazi kubwa sana ya kuhakikisha usalama wake.

Baada ya kuwasili pale Mbweni niliingia seblen moja kwa moja maana pale mimi ni kama home, kwa upande mwingine Jane alikuwa jikoni anapika na mimi niliamua kwenda hukohuko.

Kwa upande wangu nilishangaa kumuona akipika peke yake pale Jikoni na ilibidi nimuulize kwanini anapika na hali yake ilivyo?. Jane alinambia akina Vicky wamekwenda sokoni kununua chakula cha mbwa maana wanakula sana kama mchwa.

Muda huu na mimi niliendelea kumsaidia baadhi ya kazi huku tunapiga story na kubwa nilimwambia lengo la kwenda kwake ni kumuaga sababu nina safari ya kwenda Dodoma ijumaa. Kwa upande wake alisema hakuna jambo lolote kama Mbwa Vicky yuko vizuri na amewa-masta na mimi nilimshauri na yey awe anacheza nao ili wamzoee.

Tuliendelea kuongea mambo mengi na pia nilimpa gharama za ku import Ist kutoka Japan maana sikutaka kwenda showroom. Nilimwambia gharama za kuimport Ist ni 15 million na gharama za kupimp gari pamoja na Bima ni 2million hivyo jumla ni 17million. Kwa upande wake hakuwa na tatizo na alisema atanikabidhi pesa nikirudi kutoka Dodoma.

Kwa upande mwingine ilibidi nimkumbushie lile jambo alilotaka kunambia ile siku,

MIMI: “Shem ulikuwa na jambo gani ile siku?”

JANE: “It’s crazy but kuna jambo unatakiwa ulifahamu kuhusu best yako Mary.”

MIMI: “Nambie Mary kafanyaje tena.”

JANE: “Unajua Mary kwangu ni kama mdogo wangu na ni rafiki yangu kwasasa na anakuja sana hapa home hata jana tulikuwa wote ananifundisha kuendesha gari.”

MIMI: “Mary anajua kudrive kumbe? Sijawai fahamu hili kwakweli. Umepata best mzuri.”

JANE: “Nisikilize sasa Insider, Mary anakupenda sana hujui tu. Mpe mtoto wa watu anachotaka, sitaki kuona mdogo wangu anakosa raha kwaajili yako.”

MIMI: “Ndo amekutuma uyaseme haya kwangu.?”

JANE: “No hajanituma ila katika maongezi yetu nimejua anakupenda japo hataki kufunguka direct, na nilimwambia una mke.”

MIMI: “Hahahaa sawa bhana ila kuna kitu bado hajakwambia, mimi nimetoka na mdogo wake na tumeachana juzi hapa. Nimetoka na mdogo wake then nidate na yeye haitakuwa sawa hata yeye sidhani kama yuko tayari kwa hili.”

JANE: “Insider wewe ni hatari kumbe umelamba mpaka mdogo wake aisee hii hatari, wewe mle tu aridhike sio lazima mdate…., naona anakitu moyoni juu yako.”

MIMI: “Mmhh wewe endelea kubashiri tu ila Mary anajielewa sana.”

JANE: “Mwanamke akikupenda hata awe smart kiasi gani anakuwa fala tu, afu yule nyege zinamsumbua namwona anakiu sana ya kusuguliwa, kanambia ana mwaka hayuko kwa mahusiano.”

MIMI: “Hajataka tu ila kwa uzuri alionao hawezi kosa mtu wa kuwa naye.”

Kwa upande mwingine akina Vicky walikuwa wamerudi kutoka sokoni sasa vicky alivyoniona jikoni alinipiga na teke la kichokozi na akaondoka. Nafikiri Vicky hakujua kama dada yake yuko jikoni na Jane alinipiga jicho akaishia kutikisa kichwa cha kusikitika na akacheka.

JANE: “Dogo langu naye ameshazama mazima nazionaga movement zake Kwako.”

MIMI: “Hahahaa Vicky ni charming tu anapendaga matani tu.”

JANE: “Kwamba wewe unamjua Vicky kuliko mimi.?”

MIMI: “Pia kuna vitu kwako anahide kuliko akiwa na mimi, niseme namjua kiasi chake.”

Nilishinda na Jane pale mpaka jioni na pia niliwaogesha mbwa na nikawaaga naondoka, kwa upande mwingine Jane alisema akijifungua anategemea kuanza kufanya biashara.

*******
Ijumaa ilikuwa safari ya kwenda Dodoma na tulikuwa tunatarajia kuondoka na ndege ya saa 10 jioni. Kwa upande mwingine nilifanya mawasiliano na wife ili kumpa taarifa ya kwenda Dodoma na kwa upande wake alinisisitiza sana niangalie maendeleo ya maua yake.

Saa 6 mchana mapema nilimpitia Iryn pale kwake na alikuwa amejiandaa tayari na tukaanza safari ya kwenda JNIA na tulirequest bolt ya kutupeleka. Ofcourse tulifika mapema sana Terminal 2, hivyo tulikaa pale BAO cafe tukiendelea kupoteza muda huku tunakula bites na tulikuwa tunapiga sana story,

IRYN: “Hivi Insider mpaka sasa umefanya jambo gani la maendeleo?”

MIMI: “Kitendo cha kukuvua chupi kwangu mimi ni maendeleo makubwa sana.”

Iryn alicheka kwa nguvu sana mpaka akapaliwa na juice aliyokuwa anakunywa mpaka watu ilibidi wageuke maana kicheko kilikuwa kikubwa na sauti yake nzuri.

IRYN: “Insider wewe ni mshenzi sana hilo kwako ndo maendeleo?”

MIMI: “Sasa nitakuja kupata mwanamke mzuri kama wewe lini? maana wewe ulinipa bure lakini wengine watataka pesa.”

IRYN: “Be serious umefanya jambo gani?”

MIMI: “Utaona kesho kwa macho yako mwenyewe ndo linalo tupeleka huku Dodoma.”

IRYN: “Sawa Baba Junior afu babe wangu anarudi lini? nime mmiss sana kwakweli.”

MIMI: “Yuko uchagani huko atarudi tu, nafikiri by next week. Umepata room? maana ukikosa mimi nitakulaza vichochoroni.”

IRYN: “Haina shida hata huko tunalala wote.”

Muda ulivyowadia tulikwenda kucheck-in kwaajili ya kuanza safari ya kwenda Dodoma na tuliwasili Dodoma saa 12 jioni. Baada ya kuwasili pale Airport ilibidi tutafute usafiri wa kutupeleka hotelini,

IRYN: “Insider request usafiri wa kutupeleka Nashera Hotel, Morena nilikosa rooms.”

MIMI: “Na hii hotel umeijuaje?”

IRYN: “Booking.com.”

Baada ya dakika chache bolt alikuwa amefika na alitupeleka mpaka hotelini, kwa upande mwingine tulipokelewa vizuri sana na Iryn alijitambulisha pale reception na baada dakika kadhaa tuliongozana na mhudumu mpaka room.

DADA: “Rooms zote ni sawa sasa sijui maamuzi yenu.”

Iryn alimkatisha dada na maongezi yake, na mimi muda huu nilikuwa bado nashangaa kuona Iryn amebook rooms mbili za kulala, yaani kila mtu na yake.

IRYN: “Dada wewe nenda sisi tumefika tayari.”

Na dada aliondoka pale na alionesha tabasamu kubwa sana kwa Iryn, kwa upande wangu nilikuwa nimemind sana.

MIMI: “Kwanini umebook rooms mbili?, si unachezea hela tu.”

IRYN: “Yeah kwani kuna shida gani kila mtu kulala room yake. Why are you mad?”

MIMI: “Sawa bossy lady mimi sina neno.”

IRYN: “Kuwa na amani, weka bag tupumzike badae tukale dinna, ndomana nilikwambia hili suala niachie mimi.”

Kwa upande wangu nilimind sana maana nilikuwa nawaza kuila coochie yake ofcourse nilikuwa frustrated sana, tangu niko kwenye ndege nilikuwa naiwaza coochie yake na nilikuwa nimempania sana, lakini alinipiga na kitu kizito sana.

Baada ya kuingia ndani niliwasiliana na Mzee Mollel maana alisema nikiwasili Dodoma nimpe taarifa na lengo lake kubwa ni kunikabidhi nyumba, baada ya kuongea na Mzee Mollel tulikubaliana tuonane Jumapili. Niliwasiliana pia na Aggy na yeye nilimpa taarifa niko Dodoma na kwa upande wake alitaka kuniachia gari yake lakini nilimkatalia.

Saa 2 usiku Iryn alinipigia simu nitoke ili tukapate dinna na tulikwenda restaurant ya palepale hotelin kupata msosi. Mhudumu alikuja kutusikiliza na kila mtu aliagiza chakula anachotaka na tukaendelea na maongezi pale,

IRYN: “Insider kumbe Dodoma kuna baridi hivi?”

MIMI: “Sorry nilisahau kukwambia ubebe hata sweta, nitakupa prova yangu uvae.”

MIMI: “Na wewe utavaa nini?, hakuna duka jirani tukanunue?.”

MIMI: “Hali ya hewa ya huku nimeizoea usiwe na wasiwasi, kesho tunanunua.”

IRYN: “Kesho tunaondoka sangapi?”

MIMI: “Saa 4 asubuhi mummy.”

Baada ya kupata dinna nilijaribu kumshawishi Iryn tunywe wine na lengo langu impe nyege lakini alinigomea kabisa na alisema hajisikii kunywa na mpango wangu ukawa umefeli.

Baada ya kupata dinna tuliongozana mpaka chumbani kwake na tulikuwa tumekaa kwenye coach na muda huu alikuwa ananionesha picha zake za simu. Ofcourse picha zake zilikuwa zinasimumua sana ukiziangalia maana kuna ambazo alikuwa anapiga yuko swimming pamoja na video, zingine alikuwa anajichukua akiwa anacheza.

Muda huu mimi mawazo yangu kichwani yalikuwa yanawaza kumla tu wala sio kingine hata mnara ulikuwa upo active muda sana. Nilianza kumfanyia kashikashi pale kama kumchezea kiuno chake lakini kila nikipandisha mkono kumshika boobs zake alikuwa anakaza.

IRYN: “Insider stop this, It's not going to happen again". What happened that day was an accident.”

MIMI: “I don’t trust you, Ingekua accident usingetoa kelele za mahaba kama zile.”

IRYN: “Remember I told you, mama Junior ni rafiki yangu wa karibu na nina muheshimu sana ile siku hata sijui ilikuwaje tukasex.”

MIMI: “Acha unafiki wako hapa, umeshatembea na mme wake afu unaanza kuleta habari za heshima sahivi?, bado itabaki mimi na wewe tume-sex iwe mara moja au mara 100 ukweli ndo huu. Acha mimi niwahi nikalale kesho saa 4 asubuhi tutakwenda huko Makulu then tutamalizia na Iyumbu.

Niliondoka kwenda room yangu, ukweli nilikuwa nimefura sana muda huu hata sikuelewa kwanini Iryn anakaza coochie yake namna hii, nilishangaa sana.

Mary alinipigia simu muda huu na alinilalamikia sana kwanini nimekwenda Dodoma bila kumpa taarifa? na mimi nikaelewa Jane atakuwa kampasha habari. Kwa upande mwingine alilamika nimemchunia sana kipindi hiki tangu niachane na Prisca nimekuwa sina time naye na mimi nilimwomba msamaha nikamuahidi kumtafuta nikirudi Dar.

Saa 4 asubuhi baada ya kupata breakfast tulindoka kwenda Makulu mpaka site, kwa upande wake Iryn alikuwa na shauku sana ya kujua ni jambo gani ambalo lilinileta huku. Baada ya kuwasili pale site nilifungua geti tukaingia ndani na ukweli nyumba ilionekana kung’aa sana na ilipendeza balaa,

MIMI: “Bossy hii ndo project yangu na niliianza muda sana hata kabla hatujafahamiana.”

IRYN: “Really? Is this your house?”

MIMI: “Ndio mummy ila na madeni balaa, mshahara wote naopata nalipa mikopo.”

IRYN: “Congratulations umenifurahisha sana kwahili, I’m really proud of you.”

MIMI: “Thank you so much.”

Kwa upande wake alifurahi sana na tuliingia ndani kukagua kwakweli Mzee Mollel alikuwa amefanya kazi kubwa sana afu nzuri hata Iryn alisifia kwakweli. Tulitumia kama lisaa pale na tukaondoka kwenda Iyumbu kwenda kuangalia kiwanja.

Baada ya kuwasili pale pia nilimwambia Iryn hii nayo ni project yangu na yeye aliishia kushangaa sana. Na pia nilipanga kupanda miti kuzunguka mipaka ya kiwanja,

MIMI: “Mummy leo utanisaidia kupanda miti.”

IRYN: “Miti yenyewe iko wapi?”

MIMI: “Tunakwenda kununua barabarani hapo.”

Nilitafuta mtu wa kuchimba mashimo na sisi tulikwenda kununua miti na palepale tulikonunua miti tulipata na mbolea. Baada ya kurudi kwa upande mwingine tulikuta jamaa ameshamaliza kuchimba mashimo na tulianza kupanda miti.

Wakati zoezi likiendelea kwa upande wa Iryn alianza kupiga kelele kama mtoto na mimi ilibidi nisogee,

IRYN: “Insider nimejichoma na mwiba.” Na alikuwa akitoa sauti ya kudeka,

MIMI: “Pole mummy mpaka turudi Dar utakuwa umefubaa sana hii ndo Dodoma hakunaga warembo huku kabisa, hali ya hewa ya huku haipatani na warembo.”

Ilibidi na jamaa aanze kucheka muda huu,

MIMI: “Kaka uongo? na mfundisha mama maisha hapa si unaona mtoto laini bado ngozi yake haijazoea shida kama sisi.”

JAMAA: “Kweli kabisa hata hivyo una mke mzuri sana.”

MIMI: “Ahaste sana kwa kulitambua hili ndugu yangu, si unaona amefurahi mwenyewe kusifiwa.”

IRYN: “Insider stop this.” Na aliishia kunipiga na ngumi ya mgongo.

Muda tuliotumia Iyumbu ni kama masaa 4 mpaka tuna maliza kupanda mitu na pia nilimpa kazi jamaa ya kumwagilia maji ile miti.

IRYN: “Kaka hakikisha hii miti haikauki sawa?”

JAMAA: “Msijali mabosi zangu kila kitu kitakuwa sawa.”

Na sisi tuliondoka maeneo haya na tulirudi hotelini, kwa upande wa Iryn alionekana kuchoka sana hata tulivyofika hotelini alikwenda moja kwa moja room yake hata hamu ya kula hakuwa nayo.

Saa 2 usiku nilimpigia simu tukapate dinna pale Golden fork lakini alisema amechoka sana hawezi kwenda ila tutatoka kesho, hivyo tuliamua kwenda kula palepale hotelini. Wakati tunakula Pale kwa upande mwingine Bossy lady alionekana kuchoka sana, si mnajua jua la Dodoma linavyochosha,

“Mummy umechoka sana.”

Aliniangalia na akatikisha kichwa kukubaliana na kauli yangu, ukweli alipiga sana kazi hii siku kwa mwanamke ambaye hajazoea hii mikiki lazima apoteane. Ukweli Iryn anabadilika kutokana na mazingira na hanaga ile ya kujionesha kwamba yeye anapesa au ni mzuri hanaga hizi tabia.

“Pole sana, niagize wine?”

“No hata sijisikii kunywa, nipeleke nikalale.”

“Ok lets go.”

Tuliachana pale na mimi niliingia room yangu na muda huu niliwaza nitoke hata out nikapoteze muda kama usingizi nilikuwa sina. Saa yangu ilikuwa inasoma saa 3 usiku hivyo nilibadilika chap sana na nikaondoka kwenda Bambalaga.

Sikutaka kumwaga Iryn maana nilijua atakuwa amelala tu hivyo niliondoka kimya kimya mpaka Bambalaga. Kwa upande mwingine niliwaza kumpandia Maggy lakini niliona itakuwa ni bad idea maana sikumpa taarifa kama niko mjini. Na baada ya kuwasili pale Bambalaga nilikuta kuna watu wengi tu, hivyo nilipiga jicho angle zote nikapata sehemu nzuri ya kukaa lakini kulikuwa na dada yuko peke yake.

Nilisogea mpaka kwenye ile meza nikamsalimia yule dada na mimi nikakaa na niliagiza heineken kama kawaida yangu. Niliendelea kumjasusi dada ili story ziwe zinaendelea na alikuwa anatoa ushirikiano sana na story ziliendelea kukolea pale.

Baada ya lisaa kupita simu yangu ilianza kuita na Iryn ndo alikuwa akipiga muda huu lakini sikupokea simu yake sababu ya kelele. Na palepale nilimtumia ujumbe kwa haraka,

“Mummy niko kwenye kelele unasemaje?”

Alipiga tena simu ikabidi nipokee hivyo hivyo kibishi lakini tukawa hatuelewani vizuri na palepale akanitumia ujumbe,

IRYN: “Insider sikuelewi kwani uko wapi?.”

MIMI: “Nimetoka out mummy sikutaka kukusumbua kwasababu ya uchovu.”

IRYN: “Upo na nani?”

MIMI: “Niko peke yangu hapa.”

IRYN: “Nitumie location ulipo I am coming.”

MIMI: “No, wewe pumzika mimi narudi sio muda.”

IRYN: “Sikuelewi ujue mimi niko sawa send me the exact location.”

MIMI: “Okay request bolt ikulete BAMBALAGA, ndo niko hapa.”

Baada ya dakika 20 Iryn aliwasili pale na mimi nilimtuma mhudumu anisaidie kumfuata na amlete nilipo, baada ya dakika chache alikuwa amemleta na kwa upande wake aliagiza wine. Kwa upande mwingine yule dada aliishia kumtazama Iryn kwa macho ya kiwizi wizi sana maana hakuamini kama ninamiliki mrembo mkali kama yule. Kama mnavyojua Dodoma hakuna warembo kabisa, mtu kama Iryn akionekana anakuwa kivutio sana machoni pa watu.

Kwa upande wa Iryn alikuwa bado haelewi kinachoendelea pale na alihisi yule dada nimekuja naye maana tuliendelea kupiga story na yule dada kama kawaida, lakini nilimwambia IRYN tumekutana palepale.

IRYN: “Insider huyu dada ni nani? ndo umekuja naye.?”

MIMI: “Hapana mimi ndo nimemkuta hapa ndo nikajoin”

IRYN: “Mara hii mmezoena tayari kwa muda mfupi?”

MIMI: “si unajua Bar ndo sehemu ambayo inawakutanisha watu mbalimbali tofauti na mnavibe?”

IRYN: “Bila mimi kuja najua ungeondoka naye tu.”

MIMI: “Acha kunichukulia cheap sana, wewe unaona huyu dada wa kulala na mimi?”

Kwa upande mwingine pale Bambalaga niliweka heshima maana kila mtu aliyekuwa around alikuwa anamuangalia Iryn, japo yeye alikuwa ameshazoea hii hali na alikuwa anaona kawaida tu, hata mimi kwa upande wangu nilikuwa namwona Iryn wa kawaida tu maana nilikuwa nishazoea kuwa naye.

Saa 6 usiku nilimwambia Iryn tuondoke na yeye kwa upande wake alikuwa amekunywa wine nusu tu. Nilifanya malipo na kabla hatujaondoka nilimwaga dada na nilimshukuru kwa kampani yake na sisi tukaondoka kurudi hotelini.

Baada ya kuwasili hotelini kila mtu alikwenda room yake na mimi kwa upande wangu sikutaka kumlazimisha alale na mimi maana niliwaza mpaka amebook vyumba 2 ni kweli amemaanisha hivyo sitakiwi kutumia nguvu kwenye hili jambo na niwe mpole tu.

Muda huu nilichukua laptop yangu na nikaanza kuandika mkataba wa kupangisha nyumba na plan zangu zilikuwa navyoondoka Dom niwe nishapata hata wateja wa kuingia pale nianze kupata hela.

Wakati nikiendelea kuwa busy na laptop yangu kwa upande mwingine nilisikia mlango unagongwa kwa mbali hivyo ilibidi nisogee nikafungue, na kabla sijafungua ilibidi niulize nani, na kwa mbali nilisikia sauti ya Iryn.

ITAENDELEA
Duh imeishia kwenye kwenda kupigana pumbu
 
EPISODE 46

“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”

Nilifanya kurequest usafiri kwaajili ya Mary na mimi nilichukua bajaji kwenda Changanyikeni kulala kwa Prisca.

CONTINUE..

Baada ya kuwasili kwa mama kijacho wangu Prisca nilimkuta hajalala na alikuwa bado yuko seblen anaangalia movie. Niligonga mlango na akatoka kunifungulia, muda huu aliishia kunikumbatia na makisi juu. Pale nje kuna jamaa alikuwa anaanika nguo na aliishia kutukodolea macho kwa wivu.

“Baby I have missed you so much.”

“Remember I promised you nitakuja leo.”

“Pole na Msiba hunny, da Mary umemwacha wapi?”

“Tuliachana ubungo pale yeye karudi home.”

“Kaoge kwanza then uje ule sawa?”

“Twende ukaniogeshe bwana au hutaki kuniogesha Baba Kijacho?”

“Mhh sawa honey tangulia nakuja.”

Baada ya kuoga tulikuwa chumbani tukipiga story na muda huu nilikuwa namchezea Prisca tumbo lake na yeye alikuwa ametulia tulii anasikia raha. Kwa upande mwingine Prisca alikuwa kabadilika sana kimaongezi, ule utoto wake ulikuwa umekwisha, kulikuwa na mabadiliko makubwa sana.

Tuliishia kulala tu maana nilikuwa nimechoka na uchovu sana wa safari.

Asubuhi niliamshwa kwaajili ya breakfast na kwenye simu Iryn, Mary, Muajemi, na Mama J walikuwa wamenipigia simu. Ilibidi nianze kumpigia simu Mama J na niliongea naye mbele ya Prisca huku akisikia.

WIFE: “Baba J Unaendeleaje jana ulisema unarudi mbona hujarudi?”

MIMI: “Wife sorry tulichelewa kutoka then tukapata shida njiani, hivyo tulilala Moro na soon tutaanza safari ya kurudi.”

WIFE: “Ok husband, Iryn amesema leo anaondoka jioni kwenda kwake.”

MIMI: “Sawa! Lakini mwambie asiondoke kwanza, mimi mchana nitakuwa hapo, nitampigia simu soon niongee naye.”

Na wakati naongea na mama J kwa simu Prisca alikuwa akinitizama sana na baada ya kumaliza maongezi akaanza kucheka.

“Honey una masters ya uongo inaonekana hata mimi unanidanganya vingi sana.”

“So ulitaka niseme ukweli kwamba niko kwa mchepuko?”

“Nooo! I like the way ulivyomdanganya na ameridhika kabisa hajawa na maswali tena.”

Na mimi nilikwenda zangu kulala tena maana nilikuwa na uchovu muda huu, ukijumlisha kutoka kule Mbweni mpaka Tabora nilikuwa nakosa muda wa kulala kabisa.

Mchana muda wa saa 9 nilipigiwa simu na mama wa2 na akanambia jioni atakuja kwangu kunitembelea, pia alisema ana mazungumzo na mimi kuna jambo anataka kunishirikisha.

Muda huu ilibidi nimuage Prisca na nikaondoka kurudi home Mbezi. Nilitumia bodaboda kurudi nyumbani na ilinichukua dakika 20 kufika pale, na baada ya kushuka na kuingia ndani mama J alikuja akani hug na Iryn akafuatia.

Muda huu tulitumia kuongea kuhusu habari za msiba za kule Tabora na baada ya kumaliza maongezi ya msiba nilimpa mama J taarifa za ujio wa mgeni.

MAMA J: “Vipi kuhusu Iryn tulikuwa tunapanga tuondoke ukirudi wewe.”

MIMI: “Iryn kwanini tusiondoke kesho mummy nikusaidie kutoa na vitu kule Kijitonyama?”

IRYN: “No problem Insider usiwe na wasiwasi, mama J tutakwenda kesho tuandae dina kwaajili ya wageni baadae.”

Saa 12 jioni mama wa2 alikuja nyumbani pamoja na mwanae Rachel lakini nilishangaa kuona haja ongozana na Pili.

“Mama mkwe karibu ndani hapa ndo nyumbani jisikie upo kwako.”

“Ahsante sana mkwe ukweli nimefurahi sana kupajua pia pole sana kwa msiba jamani.”

“Ahsante sana kwakweli Mzee tulijuana kwa muda mfupi na ametangulia mbele za haki, alikuwa kama mzee kwangu. Vipi mke wangu Pili yuko wapi? mbona hujaja nae?.”

“Pili amekwenda Mwanza kumsalimia Baba yake.”

“Ohh! habari njema hizi ni haki yake.”

Kipindi niko msibani mama wa2 alinijulisha kuwa Pili anafunga shule, hivyo nikamchukue lakini nilishindwa sababu ya kuwa busy na msiba.

Nilitumia muda huu kufanya utambulisho na nilianza na mama J ambaye nilimtambulisha kama mke wangu na nilimtambulisha Iryn kama ndugu yangu. Na baada ya hapo nilimtambulisha mama wa2 kama ndugu yangu wa karibu sana, na muda huu alikuwa amemshika Junior akimchezea.

“Insider una mtoto mzuri hivi napendaje watoto wa kiume mimi, yaani so handsome kama Baba yake.”

“Mama naomba nimshike mtoto na mimi please” ni sauti ya Rachel alikuwa akimwomba mama yake. Na mama wa2 alimpa mtoto Rachel ili amshike.

Saa 1 usiku tulipata dina ya pamoja na baada ya dina akina mama J waliondoka wote pale nyumbani. Waliaga wanatoka out, hivyo nikabaki mimi na mama wa2 pale nyumbani.

Baada ya kuondoka tulikuwa free kufanya maongezi pale kwa kujiachia,

“Insider ukweli nimefurahi sana kufika kwako na kuijua familia yako. Huyo dada umesema ni ndugu yako lakini anaonekana kama sio Mtanzania she’s so beautiful kuna watu walipendelewa kuumbwa.”

“Wazazi wake sio Watanzania kwa kuzaliwa ila wameishi hapa. Nambie ulisema una mazungumzo mengine na mimi.”

“Insider nashukuru Mungu nimepandishwa cheo pale ofisini na sasa nitakwenda HQ na mshahara nitalipwa mara ya 3 ya huu ninaolipwa sasa.”

“Jamani nimefurahi sana kusikia hivyo mama mkwe, mafanikio yako ni yangu. Hongera sana na Mungu akutangulie. Unategemea kuanza lini majukumu mapya?.”

“Mwezi ujao nafikiri, na vipi kuhusu suala lako la kazi nitumie CV yako au hutaki kufanya kazi Bank?”

“Napenda ila kuna deal Marehemu alisema ananitafutia so baada ya kifo chake kuna mtu amemwachia maagizo ambaye tutaonana akirudi kutoka Tabora. Acha nimsikilize afu nitakupa mrejesho mama mkwe.”

“Usiwe na wasiwasi anytime utanambia ili tufanye maarifa.”

“Vipi ni connection au uchapakazi wako tu?”

“Insider ukweli Baba Rachel kanisaidia kupanda cheo.”

“Ndo raha hii ya kuzaa na wakubwa.”

“Hahahah Insider umeanza. Nafikiri tukukimbie sasa ili nikajiandae na ratiba za kesho.”

“Acha niwapeleke ili na mimi niende kule msibani nikaangalie na maendeleo maana toka nirudi jana sijakwenda kabisa.”

Tuliondoka na mama wa2 na nilitumia ile Dualis maana Ist walikuwa wameondoka nayo akina Iryn. Na muda huu nilifanya kuwasiliana na Mary nikamwambia nampitia baada ya dakika 20 ajiandae ili twende Mbweni.

Baada ya kuingia kwa gari Mama wa2 alikuwa akishangaa sana kuona na gari nyingine.

“Insider hii ni gari mpya kabisa umenunua?”

“Hapana hii ni ya Mzee alinununua kwaajili ya mchepuko wake, alisema nisimpe mpaka awe vizuri barabarani, sasa ndo kimetokea kifo chake.”

“Aisee sijui huyo dada anahali gani kwasasa, inaonekana Mzee alikuamini sana, kukuachia gari sio kitu kidogo ujue.”

“Unachoongea ni sahihi Mama mkwe.”

Tulitumia dakika 10 kuwasili pale kwake na niliwashusha na wakati tunaagana Rachel alikuwa akiongea na mimi.

RACHEL: “Uncle Insider utakuwa unakuja kunichukua ili nikacheze na Junior sindio?”

MIMI: “Usijali Rachel nitakuwa nakuja weekend sawa?”

MAMA WA2: “Insider kafunga shule huyu hata katikati ya week sio mbaya.”

MIMI: “Sawa haina shida nitakuwa nakuja kukuchua, wewe ukim-miss nipigie simu tu.”

RACHEL: “Ok byee Uncle.” Na tuliishia kugonga mikono.

Tuliachana pale na mimi nilikwenda kumchukua Mary pale kwao na tukaanza safari ya kwenda Mbweni. Kwa upande mwingine Mary alishangaa kuona nina gari mpya na mimi sikutaka kumwambia chochote.

“Kumbe siku ile usiku ni wewe uliyemshusha Prisca pale home na hii hii gari.”

“Hahahaa ni mimi ila sikutaka kukupa salamu ile siku maana niliona muda umekwenda.”

“Tabia mbaya hiyo Insider unajua nilimfikiria vibaya sana Prisca ile siku, hata yeye hakutaka kusema ni wewe.”

Tuliwasili pale Mbweni na nilimkuta yule mlinzi pale getini akiendelea na majukumu yake. Niliamua ku-park gari nje kabisa ya geti, sikutaka kuingia nayo ndani.

Tuliingia ndani na nikawakuta baadhi ya ndugu wa Jane na marafiki zake baadhi walikuwepo na wengine walikuwa wanakuja kutoa pole. Pis Kuna baadhi ya ndugu walikuwa wameondoka tayari.

Tuliwasalimia wote na mama yake alikuwa pale sebleni nikamsogelea karibu. Nilisalimiana na mama na aliulizia mazishi yalikwendaje kule Tabora. Kwa upande mwingine mama alikuwa na wasiwasi sana kuhusu mwanae kukosa stahiki zake, maana Jane hakuwa mke halali wa ndoa.

Nilimtoa hofu mama muda huu na nikamwambia Mzee alisoma waraka kuwatambulisha wake zake wote hata Jane ametambulika kama mke wake. Na imani atapata urithi maana Mzee aliandika ameacha barua ya mirathi.

“Na wasiwasi mwanangu wasije mnyang’anya na hii nyumba, Jane akaanza kutaabika.”

“Hamna mama Mzee alisema hii nyumba kamjengea Jane, nafikiri hata hati itakuwa na Jina la Jane naamini hivyo.”

Kwa upande mwingine mama yake alinishukuru sana kwa yote niliyoyafanya pale na kujitoa kwangu kipindi chote cha msiba. Na sisi hatukaa sana bali tuliwaaga tukaondoka pale Mbweni na tulikwenda mpaka “The Wave” ya kule chini Whitesand.

Baada ya kuwasili pale, tuliingia ndani na tulitafuta angle nzuri tukakaa. Tuliagiza wine ambayo tulifanya kushara na Mary na muda huu tulikuwa tukipiga story mbalimbali.

“Insider umejitoa sana kwenye huu msiba Mungu atakulipa hata Mzee huko aliko atakuwa anaona must be proud of you.”

“Hata wewe pia Mary ulijitoa sana sikutegemea ungenipa kampani namna ile, ulijitoa kuliko hata ndugu zake Jane.”

“Insider, unajua Mzee japo nilimwona kwa mara 2, ila kifo chake kilinishtua sana.”

“Unajua mimi mpaka sasa siamini amini kama kweli Mzee ametutoka naona kama ndoto. Nikikumbuka wakati tunaongea na alikuwa akinisisitiza sana kumwangalia Jane.”

“Ni kama alikuwa anaona kifo chake inabidi uwe bega kwa bega na Jane, nafikiri Mzee alikupa Task hakutaka kukwambia ukweli.”

“Hata mimi nahisi hivyo, Mzee alinipa task Mungu asaidie Jane ajifungue salama. Nafikiri hii ndo task nayotakiwa kuhakikisha inafanikiwa.”

“Hiyo ndo point hata hivyo Insider unabahati sana ya kukutana na watu wenye hadhi tukianza na Mzee sikutegemea angekuwa na ukwasi wa namna ile.“

“Unajua sikuwahi kumwuliza Mzee kuhusu personal life yake hata siku moja, ila nilipanga this time angerudi ningemwuliza maana alisema angenitafutia kazi.”

“Nilisikia unaongea na Mzee Juma naamini atakusaidia kama kweli alipewa maagizo kutoka kwa mzee na jinsi ulivyojitoa kwenye huu msiba naamini atafanya jambo.”

“Anyway acha tuone Mzee pekee ndo angelichukulia hili suala kwa uzito sana maana kuna sehemu nilikuwa namgusa, how about Mzee Juma??”

“Ni kweli unayosema ila siamini kama anaweza kukuchinjia baharini.”

Tulitumia kama masaa 2 pale “The wave” na tuliamua kuondoka kwenda kulala. Na muda huu niliwaza kumpa pesa kidogo Mary maana nilijua lazima kafulia.

Kipindi niko msibani Tabora niliwasiliana na Muajemi na nilimpa taarifa za msiba na alinitumia milion 1 ya pole. Pia Nilimuahidi nikirudi Dar jumamosi ningemcheki maana alisema anataka tuongee kuhusu sakata la Iryn.

Hivyo, nilikuwa na million 1 kutoka kwa Muajemi, laki 5 kutoka kwa Iryn na laki 3 alizonipa Mzee Juma. Jumla nilikuwa na 1,800,000/= na sikutumia hata cent kwenye hizi pesa.

Nilimpeleka Mary mpaka kwao na wakati tuko nje getini tuliendelea kupiga story na Mary mle ndani ya gari. Baada ya nusu saa hivi tuliagana na nilimpa laki 3 kama shukrani yangu kwake.

******
Jumatatu asubuhi niliondoka pamoja na Iryn kwenda kwenye apartment yake mpya. Na toka alipie alikuwa hajawai kwenda tena maeneo yale. Baada ya kuwasili pale getini kulikuwa na mlinzi, hivyo tukafanya utambulisho kwanza.

“Kaka mimi naitwa Iryn mpangaji mpya niko “Block A” floor ya 1.”

“Karibu sana Bossy na samahani kwa usumbufu.”

“Usijali ni kazi yako hakuna ulichokosea.”

Muda huu tulifunguliwa geti na tulikwenda moja kwa moja mpaka usawa wa apartment ya Iryn ndo nikapark gari.

Baada ya kuingia ndani ya apartment Iryn alikuwa anaangalia vitu vya kununua. Baada ya hapo tuliondoka kwenda Kijitonyama kwanza, kwenda kuchukua vitu vyake.

Baada ya kuwasili pale Kijitonyama tuliingia ndani na Iryn aliingia chumbani kuanza kupanga nguo na kuweka kwenye bag. Mimi muda huu nilikuwa nafungua Home thieta maana ilikuwa inaondoka na baada ya kumaliza nilikwenda kumsaidia kutoa vitu vya chumbani na kupeleka kwenye gari.

Nilifungua drow na nikaanza kutoa vitu vya mle ndani na nilivyofungua drow ambalo lina simu nikaanza kuzitoa na kuzipanga.

IRYN: “Insider hizo simu ulisema utanitafutia mteja uliishia wapi?”

MIMI: “Nilisahau ila leo kuna mtu nitampigia naona ziko 10 idadi ni sawa?”

IRYN: “Ni sawa moja kuna dada nilimpa pale Sinza niliona peke yake hana simu inayoeleweka. Na wewe unaweza kuchukua simu moja hapo utakayoipenda.”

MIMI: “Thank you Bossy, mimi nina chukua hii 13 Pro.”

IRYN: “Kwanini sasa? Chukua hio Pro Max.”

MIMI: “Napenda simu ndogo hiyo Promax hapana.”

IRYN: “Sawa ni wewe tu mimi nimekupa uchague unayotaka kama umeipenda Pro haina shida.”

MIMI: “Na hizi zilizobaki niuzaje?”

IRYN: “Uza hizo 13 Pro Max na hiyo Samsung, hizo 13 Pro ziweke kuna dada tutawapa Saloon. Kwa hizo simu 7 zilizobaki niletee milion 14 cash, ukiuza zaidi ya hapo ni yako.”

MIMI: “Sawa afu nilikuwa nawazo, kwanini ile Saloon ya Sinza isifungwe? Wateja wa pale tukawa direct Mikocheni? Maana nimefanya Research nimegundua wateja wengi hawatoki Sinza pale.”

IRYN: “Wazo lako ni zuri sana nafikiri mwisho wa mwezi huu tuta achana na Sinza. Hata pale Mikocheni tunahama kuna ofisi kubwa niliipata tutaweza hata kupata sehemu ya storage.”

MIMI: “Ooh! hukuwahi kunishirikisha hili kabisa ulianza lini Process?”

IRYN: “Ni muda toka kipindi kile nime-kusimamisha, pia naomba week hii utaorganize kikao kila kitu utapanga wewe. Mimi utanipa ratiba, location na cost zote tutakazo incur. Nataka kuongea na wafanyakazi wangu wote mpaka wa Masaki.”

MIMI: “Sawa haina shida, nitalifanyia kazi then nitakupa mrejesho mapema.”

Baada ya hapo tuliondoka pale Kijitonyama na tulikwenda Mlimani City ambapo alikuwa anafanya shopping ya kununua vitu vya ndani pamoja na chakula. Na baada ya kumaliza shopping tuliondoka na kurudi Kawe kwenye apartment mpya.

Nilishinda pale na Iryn na siku hii nilimpigia Ugali na yeye alikuwa anapika mboga. Na baada ya lunch nilimwaga nakwenda Mbweni kwaajili ya kuangalia maendeleo ya pale.

Nilipitia pale Jambo Supermarket Bahari Beach nikanunua baadhi ya mazaga ya jikoni ya kupika na nilinunua mchele, unga, Nyama ya ng’ombe na Kuku. Nilihisi huenda wakawa wameishiwa vitu vya kupika hivyo nilijiongeza tu kwa upande wangu.

Baada ya kuwasili pale na mazaga dada alikuja kunipokea na nilimsaidia kubeba mpaka jikoni. Nilikuwa nimefaulu ule mtihani maana walikuwa wameishiwa vitu ndani.

“Kaka umejuaje kama vitu vilikuwa vimeisha ndani maana nilikuwa nawaza kukupigia lakini mama akasema niache utakuja.”

“Ungepiga tu hata msiwe na wasiwasi kwa siku nyingine.”

Na muda huu nilikwenda Seblen kuonana na mama na nilimsalimia pia pale kulikuwa na ndugu wengine wa Jane. Mpaka leo walikuwa watu watano tu wamebaki pale kwa Jane.

MAMA: “Mwanangu huyu ni mdogo wake Jane anaitwa Vicky ndo bint yangu wa mwisho. Sikuwai kukutambulisha kipindi kile cha msiba na kila ukija anakuwa ndani.”

MIMI: “Hongera mama naona pia wamefanana sana na Jane, nilikuwa namwona ila nilihisi ni mdogo wake.”

Na mudaa huu nilisalimiana na Vicky, pia alikuwa anasoma chuo hapa Dar na alikuwa 1st year.

VICKY: “Ahsante kaka tunashukuru kwa yote na kujitolea kwako kwenye familia yetu.”

MIMI: “Msijali tuko Pamoja sana ndugu zangu.”

MAMA: “Umewasiliana na Jane? na maendeleo yake yapoje? Mimi simpati kwa simu.”

MIMI: “Nimeongea naye asubuhi na weekend hii ataweza kurudi. Wakati naongea naye alikuwa kidogo kachangamka tuendelee kumwombea.”

MAMA: “Ahsante sana kidogo na amani.”

Na muda huu simu yangu alianza kuita na ile kucheki alikuwa ni Muajemi akipiga na mimi nilipokea simu yake na tukaanza mazungumzo.

Muajemi alikuwa anaomba tuonane jioni ya saa 11 ontime na mimi nilimkubalia sikuwa na pingamizi lolote.

Nilishinda pale Mbweni mpaka saa 10 jioni na niliaga nikaondoka maeneo yale. Njiani nilifanya mawasiliano na Muajemi na akanambia tukutane pale Namanga.

Niliendesha gari mpaka Namanga na mapema nilikuwa nimefika tayari. Baada ya kufika maeneo yale nilimpigia simu na akaniambia yuko showroom ambayo ipo opposite na mataa ya Namanga.

Nilidrive mpaka pale Showroom na nikapark gari nje nikaingia ndani. Baada ya kuingia ndani niliweza kuonana na Muajemi na tukasalimiana kwa kugonga tano. Na muda huu tulianza kuongea na alinipa pole ya Msiba na maongezi mengine mengi yaliendelea.

“Bro! sitaki kukupotezea muda ila nina zawadi kwaajili ya Iryn naomba uipeleke kwa niaba yangu.”

“Ni zawadi gani hiyo Bro?”

“Twende nikuoneshe Bro!.”

Tuliongozana na Muajemi na baada ya mwendo wa hatua 10 hivi alinionesha gari kama zawadi ya Iryn. Mbele yangu ilikuwa inaonekana Mercedes Benz kwa nyuma ikisomeka “S-550” something like that. Na colour yake ni rangi ya maziwa “pearl” na ilikuwa inang’aa sana muda huu.

“Nataka umpelekee Iryn hii gari.”

EPISODE 47
Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
Aseee,,,,nitarudiii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom