Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 62,072
- 156,448
Hio ya kusubiria hizo episode 8 zizobaki tutulie jamaa yuko bize kujiandaa na kwenda kujiendeleza kimasomo! Tuwe wapole kwa muda!
Hio ya kusubiria hizo episode 8 zizobaki tutulie jamaa yuko bize kujiandaa na kwenda kujiendeleza kimasomo! Tuwe wapole kwa muda!
Miss you mamaa la mamaa 😘😘!Me jobless ooh!! Hapa nasubiri mchuchu unipe mtaji wa vijora 😜
Ohooo nilisahauu uduguuuWewe udugu me apeche alolo 🤣🤣🤣
Usifanye chino ahairishe kunipa mtaji
Me too darling 😍😘💋Miss you mamaa la mamaa 😘😘!
Nakuona tyuu unavyonipeperushia tajiri 😂😂😂Ohooo nilisahauu uduguuu
Mdomo komaaa😷!
Huyo jamaa ashajiona keki sahv, anafanya makusudi. toka aseme episode zote zipo tayari ameshaweka episode 2, bado anajiadai yupo busy lakin anasoma kila comment...Hio ya kusubiria hizo episode 8 zizobaki tutulie jamaa yuko bize kujiandaa na kwenda kujiendeleza kimasomo! Tuwe wapole kwa muda!
😁😁😁😁😁!Nakuona tyuu unavyonipeperushia tajiri 😂😂😂
SawasawaHuyo ni main character, mpaka hivi sasa anatafuta kulipia watoto bima. Usihofu mkuu
😂😂😂😂😂Hajafa. Yupo nje ya inji.
😂😂Hapana sio mie kipenzi! Mundele Makusu Kaparo Nuhu39 Missy Gf Kigi Makasi mna hio taarifa hapo juu taarifa lakini??? 👆🤠!
Huyu tajiri wa MCHONGO 🤣🤣🤣😁😁😁😁😁!
Nimekoma kuropoka mimiii jamani hebu tajiriii akuje asee!
Khakhakhaaaaaaaa!Huyo jamaa ashajiona keki sahv, anafanya makusudi. toka aseme episode zote zipo tayari ameshaweka episode 2, bado anajiadai yupo busy lakin anasoma kila comment...
Watu wamemiminika inbox kwake ndo maana anaona avute vute muda ili asije akapoteza umaarufu
Sent using Jamii Forums mobile app
Chino Ako vizure uduguuu relaxxxx ule maishaaa!Huyu tajiri wa MCHONGO 🤣🤣🤣
Toka ameahidi kutupa kibunda zaidi ya miezi 3 imepita holaaaa!!!
Me simtaki kwa Kweli 🤣
Chino Ako vizure uduguuu relaxxxx ule maishaaa!
Cheka utanue mapafu uduguuu jf never boring!udugu kichwa kinaniuma naomba usinichekeshe puliiiizz
Cheka utanue mapafu uduguuu jf never boring!
Hebu Nikapumzishe fuvu langu mimii mrare unono wapendwaaa !
Dude what are you talking about?Why some of your readers are insisting this a fiction? It is because, had it been a true story, by this minute, Mama Jr, Priska, Mary and Irene either all or one of them would have sniffed it by now; either through reading it here or being told by a third person. I guess so because you have deeply exposed yourself
Umesahau alimpa Masai wa wavuvi laki 2 mammae kwa maisha ganiSimulizi ni nzuri Sana na inavutia kwakweli kuisoma na kuifuatilia..lkn jambo Moja tu linanishangaza ni matumizi ya pesa ya INSIDER MAN yalivyomakubwa mpaka najiuliza, icho kilikuwa ni kipindi Cha Jk au Mjomba Magu..maana 50,000 unamtowa mlinzi wa geti tu...mmmmh...
Kweli pesa matumizi...
afu usafiri wako na mkeo ni ndege tu, wakati umetoka familia ya kawaida Sana, uwo ujasiri unaupata wapi kwa hizi aina za familia zetu ..
Kazi ya uhakika ni Uber....No Bado sijapata connection...endelea kutupa story bro labda uko mbele ntakusoma.
Lkn hongera Sana kwa kuteka minds zetu kupitia story Yako.