Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

EPISODE: 53

“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”

Ilikuwa ni mwezi tayari umetimia tangu kifo cha Mzee Pama kitokee. Kwa upande wangu ndani ya huu mwezi nilikuwa nimepitia msoto sana kwani nilikuw namuota sana usiku na mara nyingi nilikuwa namuota yuko na mwanae. Nilikuwa naweweseka sana usiku honestly nilipata tabu sana kuzoea kifo chake kwa kipindi hiki, mpaka nilikuwa nawaza huenda Mzee hajafa.

Kwa upande mwingine kutokana na sakata la Muajemi niliwaza kumfanyia jambo la kimafia maana aliniharibia kwa Iryn afu akawa hajibu text. Nilikuwa najua sina maisha marefu sana kwa Iryn kwanza kitendo cha kuchukua gari kwa Mama Janeth kilinipa ukakasi sana.

Nilipanga kumpiga pesa Muajemi ili kulipiza machungu yangu na nilijisemea nitaandaa mpango mzuri wa kumuingia na kufanikisha hili suala. Nilicheki whatsapp nikaona text niliyo mtumia mara ya mwisho ilikuwa iko delivered lakini ilikuwa kama haijasomwa. Nikapata wazo la kumcheki Telegram maana ndo mtandao anaopenda sana kuutumia pia ameweka namba yake ya Iran.

Nilifungua Telegram na nika-scroll mpaka chat history zetu nikamuandikia ujumbe “Bro how are you? I have good news, please call me ASAP.”

Baada ya kumtumia ujumbe mimi niliendelea na mambo yangu muda huu, maana nilijua akiona ile text lazima atanirudia tu.

Wakati nikiendelea kufikiri pale mbinu ya kumpiga hela Muajemi nilipata ujumbe kwenye whatsapp yangu na alikuwa ni dada Gorata (Mbotswana). Baada ya kufungua ujumbe alionitumia alikuwa anataka nimfate Airport na anatarajia ku-land Tanzania saa 11 jioni akitokea Kenya.

Saa 15:30 alasiri niliondoka kwenda JNIA na baada ya kuwasili pale terminal 3 nilipark gari vizuri nikaenda kukaa kwenye kiukuta upande wa arrivals. Nilifika mapema sana maana 16:30 ilinikutia nikiwa pale Airport, na muda huu simu yangu ilianza kuita, naam ni Muajemi alikuwa anapiga.

Nilipokea simu yake kwa haraka sana ni kama nilivyotegemea lazima atapiga tu maana akisikia habari njema anajua ni Iryn, ni jinsi gani alivyokuwa fala kwa Iryn.

MIMI: “Bro! habari yako za ukimya.”

MUAJEMI: “Kaka salama sana, samahani sana nilipata emergence nikaondoka bila kukuaga.”

MIMI: “Toka uongee na Iryn ndo ukapata emergence hata text ukawa hujibu, hata hivyo umepiga sababu nimekwambia na habari njema.”

MUAJEMI: “Hapana bro nimebanwa sana nilikuwa naplan nikirudi nikucheki.”

MIMI: “Anyway tuachane na haya na habari njema kwaajili ya Iryn but naomba kwanza unambie nini kiliendelea ile siku? Maana Iryn alinichukia sana ni vile ananiamini ndomana bado niko naye.”

Kwa ufupi Muajemi alicheza rafu mbaya sana alikuwa anamtongoza Iryn kupitia mgongo wangu. Yaani yeye aliamini kupitia mimi angempata, alimwambia Iryn mimi ndo nili organize kwenda Zanzibar ile siku na mimi ndo ananitegemea kwenye kufanikisha hili suala. Japo alikuwa kuna vitu anahide kusema na mimi sikutaka endelea kumuuliza maswali maana nilikuwa naplan zangu.

MIMI: “Sasa ilikuwaje kaka ukasema hivyo?”

MUAJEMI: “Bro sorry niliingia kwenye trap yake maana alinambia niseme ukweli kuhusu kinachoendelea kati yangu na wewe. Pia bro ile siku niliyokupa pesa kule Zanzibar anasema alikuwepo room na alinibana sana nikafanya kumwambia ukweli. Baada ya kusikia alikuwa room yako niliumia kaka kuona mrembo kuwa analala kwako.”

MIMI: “Aisee bro ulifeli sana Iryn alikuwa anacheza na emotion zako tu yaani umezingua sana, uliingiaje kwa trap kijinga hivyo asee.”

MUAJEMI: “Kaka katika maisha yangu sijawai kutana na mwanamke mwenye challenge kama Iryn ana maswali very technical, nilipoteza mpaka confidence.”

MIMI: “Kaka shida uliingia kwa trap lakini nilikuambia mapema sana, so mlifikia wapi sasa kwenye mazungumzo yenu?.”

MUAJEMI: “Alisema hatuwezi kuwa kwenye mahusiano zaidi ya urafiki tu sababu nina familia. Kaka nafikiri nilikosea kumwambia ukweli suala la familia angekuwa amenikubalia.”

MIMI: “Hahahaha hamna bro! Ulikuwa unampata ila uliharibu pale uliponihusisha na mimi.”

MUAJEMI: “Kaka nimemwambia namjengea nyumba, namnunulia gari anayotaka pamoja na kumfungulia biashara kubwa anayotaka, akubali hata kunizalia tu lakini aligoma. Bro! sijawahi kukutana na mwanamke mgumu kama huyu nimekula warembo wengi ila huyu hatari. Baadae kabisa nikaomba mzigo ndo akanambia atanifikiria, atanipa jibu.”

MIMI: “Ok tuachane na haya, ulikosea padogo sana. Sasa mimi naplan ya wewe kumpata Iryn maana ananisikiliza sana, ila unatakiwa kufanya mambo mawili tu. Jambo la kwanza usimtafute kwasasa wala kumsumbua, la pili nina mpango nimeundaa ila nitahitaji kiasi cha pesa kidogo tu. Kwa huu mpango niliouandaa nakuhakikishia mrembo atakuwa kwenye himaya yako, uzuri mpaka sasa kashajua lengo lako kwa upande wangu haitakuwa shida.”

MUAJEMI: “Bro! always sina shida ila nambie ni mpango gani huo? Maana nishakata tamaa pale tayari.”

MIMI: “Bro! wanawake hawahitaji vitu vikubwa hasa kwa Iryn ambaye hana shida na pesa. Mpango wangu ni simple tu nitakwenda naye Serengeti National Park na tukaa huko hata siku 5 tu zinatosha. Kwa mazingira haya kwanza itakuwa surprise kwake hata nikiongea naye suala lako atakubali tu. Iryn kwa sasa yuko single labda nikwambie hivyo ndo utaelewa, pia unatakiwa utambue mwanamke anaye jitambua huwezi mtongoza papohapo na akakubalia hautakiwi kukata tamaa. Huu mpango unauonaje?”

MUAJEMI: “Bro! your fuckin genious. How much do you want for this plan.”

MIMI: “Kaka hapo kila kitu million 10 inatosha vizuri kabisa.”

MUAJEMI: “Nita transfer hii amount kwenye account yako ya bank soon.”

MIMI: “Ok bro! No problem.”

Baada ya kumaliza maongezi niliishia kumtukana tu muda huu maana niliona Muajemi ni boga-bogast kabisa.

Baada ya lisaa Gorata aliweza kuwasili pale Airport na baada ya kuniona tuliishia kukumbatiana tu muda huu.

“Ooh! my sister I have missed you.”

“Thank you so much for coming.”

Tulielekea parking niliko-park gari na tuliondoka kuelekea Golden Tulip hotel ya Masaki. Njiani tulikuwa tunapiga sana story na pia Gorata alisema hatakaa kabisa Dar kwani Jumatatu ataondoka kwenda Mozambique. Baada ya kuwasili pale Hotelin tulikwenda moja kwa moja mpaka chumba chake alichokuwa amebook.

Jambo lingine alisema kwa kesho jumapili angehitaji saloon ili atengeneze nywele zake. Nilimwambia kwa kesho sitoweza kuwepo lakini jumatatu nitakuwepo kumpeleka Airport na kuhusu saloon nilimwambia nitampa namba za dada (Sumaiya) ili amsaidie.

Ilikuwa saa 12 jioni tayari muda huu na mimi nilimuaga, wakati naondoka alitaka kunilipa lakini nilimkatalia nikamwambia ataunganisha na jumatatu.

******
Jumapili nilipanga kwenda kumkabidhi Jane gari yake na hii siku sikwenda kanisani. Nilianza kwenda pale Juliana kuosha gari ile asubuhi na baada ya gari kuoshwa niliondoka kwenda Namanga pale Mbuyuni.

Lengo la kwenda Namanga nikaonane na wale wauza maua ili waipambe gari kwaajili ya kuipeleka kama zawadi. Baada ya kuwasili pale na kuonana na wahusika niliwakabidhi gari waishughulikie. Gari ilipambwa vizuri sana pande zote mpaka kwenye rim za gari na kutokana na ile rangi yake iling’aa sana na ilipendeza.

Nilimpigia simu Jane na nikampa taarifa za kwenda pale kwake na nikamwambia aniwekee na lunch. Nilitoka pale Namanga na safari yangu ilikuwa ni kwenda Mbweni, ni mwendo wa dakika 45 nilitumia mpaka nawasili pale kwake na baada ya kupiga honi alitoka dada kunifungulia geti.

Niliingiza gari mpaka karibu na usawa wa mlango wa nyuma kibarazani na nikashuka na niliacha gari on pamoja na double hazard. Niliingia ndani na nilimkuta Jane akiwa seblen na mama yake na dada mmoja alikuwa mgeni kwangu.

MIMI: “Shem njoo nina surprise yako.”

JANE: “Surprise gani hiyo shem mbona siioni.”

MIMI: “Wewe njoo iko nje hapo.”

Jane aliinuka na mimi nikamfumba macho kwa nyuma tukasogea mpaka usawa wa gari na nikamwambia “open your eyes”.

“This is your gift shem from Mr.Pama.”

“Insider mbona sikuelewi that is my gift?.”

Muda huu Jane alikuwa kama kapagawa maana alikuwa kama haamini ile gari ni yake, muda huu pia yule dada mgeni pamoja na mama yake walitoka pale nje.

“Ndio Mzee Pama alikununulia hii gari muda mrefu sana hata kabla hujaanza udereva ila alitaka uanze kwanza kujua kuendesha ndo akupe.”

“Jamani! alijuaje naipenda Dualis?”

Muda huu Jane alianza kulia lakini yalikuwa ni yale machozi ya furaha na mimi nikamsogelea nikamkumbatia nikatoa kitambaa nikamfuta machozi.

Jane aliingia kwenye gari akaanza kuishangaa gari mle ndani na hakuishia hapo akazunguka pande zote za gari na muda huu mama yake alikuwa anatabasamu tu.

Jane aliizima gari na akashuka pale,

“Shem mpaka umeipamba kwaajili yangu, leo nafuraha sana, twende tukale kwanza maana nilikuwa nakusubiri wewe tu ili tule pamoja.”

Wakati tunapata lunch nilikuwa namwelezea Jane jinsi tulivyoandaa mpango na Mzee wa yeye kwenda mafunzo na mpaka gari inanunuliwa.

“Shem una Roho nzuri sana, naamini Mungu atakubariki kwenye maisha yako. Suala la gari nilikuwa sijui kabisa kama Pama alinunua.”

“Usijali shem nilikuwa nabuy time ili uwe Dereva mzuri ndo nikupe gari yako maana Mzee alisisitiza sana hili.”

“Hata hivyo nashukuru sana shem kwa yote, itabidi tukitoka hapa tuingie wote barabarani na hio gari.”

Baada ya kupata lunch nilitoka kukaa pale nje kibarazani nikimsubiri Jane atoke tuondoke. Muda huu nikasema acha nimjulie hali mama kijacho wangu Prisca, ili nipate taarifa zozote kuhusu huko kwao. Nilimpigia simu kama mara mbili hivi hakupokea nikaamua kuachana naye, na muda huu Jane alikuwa katoka tayari.

“Shem tuondoke niko tayari.”

Wakati nataka kufungua mlango wa gari simu yangu ilianza kuita kucheki alikuwa ni Prisca na mimi nikapokea simu yake muda huu,

“Nambie swirry ulikuwa wapi? Hupokei simu.”

“Baby Nilikuwa bafuni, hata hivyo kuna jambo nilitaka kukuambia badae, sababu umenipigia acha nikwambie tu now.”

“Jambo gani tena unataka kuniambia?”

“Babe! Baba amejua nina mimba maana mama amemwambia yaani amefoka sana na amesema anataka kuongea na wewe na anataka akufaham”

Nilishusha pumzi zito sana muda huu, ofcourse nilijua ni lazima hili suala litafikia huku na nilijua Mzee lazima amind na pia suala la ndoa litafuata. Maana haiwezekani umjaze mimba mtoto wa watu afu wakuchekee sio kwa utamaduni wa Africa na hakuna mzazi ambaye atakubali huu ujinga.

EPISODE 54
Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
 
EPISODE: 53

“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”

Ilikuwa ni mwezi tayari umetimia tangu kifo cha Mzee Pama kitokee. Kwa upande wangu ndani ya huu mwezi nilikuwa nimepitia msoto sana kwani nilikuw namuota sana usiku na mara nyingi nilikuwa namuota yuko na mwanae. Nilikuwa naweweseka sana usiku honestly nilipata tabu sana kuzoea kifo chake kwa kipindi hiki, mpaka nilikuwa nawaza huenda Mzee hajafa.

Kwa upande mwingine kutokana na sakata la Muajemi niliwaza kumfanyia jambo la kimafia maana aliniharibia kwa Iryn afu akawa hajibu text. Nilikuwa najua sina maisha marefu sana kwa Iryn kwanza kitendo cha kuchukua gari kwa Mama Janeth kilinipa ukakasi sana.

Nilipanga kumpiga pesa Muajemi ili kulipiza machungu yangu na nilijisemea nitaandaa mpango mzuri wa kumuingia na kufanikisha hili suala. Nilicheki whatsapp nikaona text niliyo mtumia mara ya mwisho ilikuwa iko delivered lakini ilikuwa kama haijasomwa. Nikapata wazo la kumcheki Telegram maana ndo mtandao anaopenda sana kuutumia pia ameweka namba yake ya Iran.

Nilifungua Telegram na nika-scroll mpaka chat history zetu nikamuandikia ujumbe “Bro how are you? I have good news, please call me ASAP.”

Baada ya kumtumia ujumbe mimi niliendelea na mambo yangu muda huu, maana nilijua akiona ile text lazima atanirudia tu.

Wakati nikiendelea kufikiri pale mbinu ya kumpiga hela Muajemi nilipata ujumbe kwenye whatsapp yangu na alikuwa ni dada Gorata (Mbotswana). Baada ya kufungua ujumbe alionitumia alikuwa anataka nimfate Airport na anatarajia ku-land Tanzania saa 11 jioni akitokea Kenya.

Saa 15:30 alasiri niliondoka kwenda JNIA na baada ya kuwasili pale terminal 3 nilipark gari vizuri nikaenda kukaa kwenye kiukuta upande wa arrivals. Nilifika mapema sana maana 16:30 ilinikutia nikiwa pale Airport, na muda huu simu yangu ilianza kuita, naam ni Muajemi alikuwa anapiga.

Nilipokea simu yake kwa haraka sana ni kama nilivyotegemea lazima atapiga tu maana akisikia habari njema anajua ni Iryn, ni jinsi gani alivyokuwa fala kwa Iryn.

MIMI: “Bro! habari yako za ukimya.”

MUAJEMI: “Kaka salama sana, samahani sana nilipata emergence nikaondoka bila kukuaga.”

MIMI: “Toka uongee na Iryn ndo ukapata emergence hata text ukawa hujibu, hata hivyo umepiga sababu nimekwambia na habari njema.”

MUAJEMI: “Hapana bro nimebanwa sana nilikuwa naplan nikirudi nikucheki.”

MIMI: “Anyway tuachane na haya na habari njema kwaajili ya Iryn but naomba kwanza unambie nini kiliendelea ile siku? Maana Iryn alinichukia sana ni vile ananiamini ndomana bado niko naye.”

Kwa ufupi Muajemi alicheza rafu mbaya sana alikuwa anamtongoza Iryn kupitia mgongo wangu. Yaani yeye aliamini kupitia mimi angempata, alimwambia Iryn mimi ndo nili organize kwenda Zanzibar ile siku na mimi ndo ananitegemea kwenye kufanikisha hili suala. Japo alikuwa kuna vitu anahide kusema na mimi sikutaka endelea kumuuliza maswali maana nilikuwa naplan zangu.

MIMI: “Sasa ilikuwaje kaka ukasema hivyo?”

MUAJEMI: “Bro sorry niliingia kwenye trap yake maana alinambia niseme ukweli kuhusu kinachoendelea kati yangu na wewe. Pia bro ile siku niliyokupa pesa kule Zanzibar anasema alikuwepo room na alinibana sana nikafanya kumwambia ukweli. Baada ya kusikia alikuwa room yako niliumia kaka kuona mrembo kuwa analala kwako.”

MIMI: “Aisee bro ulifeli sana Iryn alikuwa anacheza na emotion zako tu yaani umezingua sana, uliingiaje kwa trap kijinga hivyo asee.”

MUAJEMI: “Kaka katika maisha yangu sijawai kutana na mwanamke mwenye challenge kama Iryn ana maswali very technical, nilipoteza mpaka confidence.”

MIMI: “Kaka shida uliingia kwa trap lakini nilikuambia mapema sana, so mlifikia wapi sasa kwenye mazungumzo yenu?.”

MUAJEMI: “Alisema hatuwezi kuwa kwenye mahusiano zaidi ya urafiki tu sababu nina familia. Kaka nafikiri nilikosea kumwambia ukweli suala la familia angekuwa amenikubalia.”

MIMI: “Hahahaha hamna bro! Ulikuwa unampata ila uliharibu pale uliponihusisha na mimi.”

MUAJEMI: “Kaka nimemwambia namjengea nyumba, namnunulia gari anayotaka pamoja na kumfungulia biashara kubwa anayotaka, akubali hata kunizalia tu lakini aligoma. Bro! sijawahi kukutana na mwanamke mgumu kama huyu nimekula warembo wengi ila huyu hatari. Baadae kabisa nikaomba mzigo ndo akanambia atanifikiria, atanipa jibu.”

MIMI: “Ok tuachane na haya, ulikosea padogo sana. Sasa mimi naplan ya wewe kumpata Iryn maana ananisikiliza sana, ila unatakiwa kufanya mambo mawili tu. Jambo la kwanza usimtafute kwasasa wala kumsumbua, la pili nina mpango nimeundaa ila nitahitaji kiasi cha pesa kidogo tu. Kwa huu mpango niliouandaa nakuhakikishia mrembo atakuwa kwenye himaya yako, uzuri mpaka sasa kashajua lengo lako kwa upande wangu haitakuwa shida.”

MUAJEMI: “Bro! always sina shida ila nambie ni mpango gani huo? Maana nishakata tamaa pale tayari.”

MIMI: “Bro! wanawake hawahitaji vitu vikubwa hasa kwa Iryn ambaye hana shida na pesa. Mpango wangu ni simple tu nitakwenda naye Serengeti National Park na tukaa huko hata siku 5 tu zinatosha. Kwa mazingira haya kwanza itakuwa surprise kwake hata nikiongea naye suala lako atakubali tu. Iryn kwa sasa yuko single labda nikwambie hivyo ndo utaelewa, pia unatakiwa utambue mwanamke anaye jitambua huwezi mtongoza papohapo na akakubalia hautakiwi kukata tamaa. Huu mpango unauonaje?”

MUAJEMI: “Bro! your fuckin genious. How much do you want for this plan.”

MIMI: “Kaka hapo kila kitu million 10 inatosha vizuri kabisa.”

MUAJEMI: “Nita transfer hii amount kwenye account yako ya bank soon.”

MIMI: “Ok bro! No problem.”

Baada ya kumaliza maongezi niliishia kumtukana tu muda huu maana niliona Muajemi ni boga-bogast kabisa.

Baada ya lisaa Gorata aliweza kuwasili pale Airport na baada ya kuniona tuliishia kukumbatiana tu muda huu.

“Ooh! my sister I have missed you.”

“Thank you so much for coming.”

Tulielekea parking niliko-park gari na tuliondoka kuelekea Golden Tulip hotel ya Masaki. Njiani tulikuwa tunapiga sana story na pia Gorata alisema hatakaa kabisa Dar kwani Jumatatu ataondoka kwenda Mozambique. Baada ya kuwasili pale Hotelin tulikwenda moja kwa moja mpaka chumba chake alichokuwa amebook.

Jambo lingine alisema kwa kesho jumapili angehitaji saloon ili atengeneze nywele zake. Nilimwambia kwa kesho sitoweza kuwepo lakini jumatatu nitakuwepo kumpeleka Airport na kuhusu saloon nilimwambia nitampa namba za dada (Sumaiya) ili amsaidie.

Ilikuwa saa 12 jioni tayari muda huu na mimi nilimuaga, wakati naondoka alitaka kunilipa lakini nilimkatalia nikamwambia ataunganisha na jumatatu.

******
Jumapili nilipanga kwenda kumkabidhi Jane gari yake na hii siku sikwenda kanisani. Nilianza kwenda pale Juliana kuosha gari ile asubuhi na baada ya gari kuoshwa niliondoka kwenda Namanga pale Mbuyuni.

Lengo la kwenda Namanga nikaonane na wale wauza maua ili waipambe gari kwaajili ya kuipeleka kama zawadi. Baada ya kuwasili pale na kuonana na wahusika niliwakabidhi gari waishughulikie. Gari ilipambwa vizuri sana pande zote mpaka kwenye rim za gari na kutokana na ile rangi yake iling’aa sana na ilipendeza.

Nilimpigia simu Jane na nikampa taarifa za kwenda pale kwake na nikamwambia aniwekee na lunch. Nilitoka pale Namanga na safari yangu ilikuwa ni kwenda Mbweni, ni mwendo wa dakika 45 nilitumia mpaka nawasili pale kwake na baada ya kupiga honi alitoka dada kunifungulia geti.

Niliingiza gari mpaka karibu na usawa wa mlango wa nyuma kibarazani na nikashuka na niliacha gari on pamoja na double hazard. Niliingia ndani na nilimkuta Jane akiwa seblen na mama yake na dada mmoja alikuwa mgeni kwangu.

MIMI: “Shem njoo nina surprise yako.”

JANE: “Surprise gani hiyo shem mbona siioni.”

MIMI: “Wewe njoo iko nje hapo.”

Jane aliinuka na mimi nikamfumba macho kwa nyuma tukasogea mpaka usawa wa gari na nikamwambia “open your eyes”.

“This is your gift shem from Mr.Pama.”

“Insider mbona sikuelewi that is my gift?.”

Muda huu Jane alikuwa kama kapagawa maana alikuwa kama haamini ile gari ni yake, muda huu pia yule dada mgeni pamoja na mama yake walitoka pale nje.

“Ndio Mzee Pama alikununulia hii gari muda mrefu sana hata kabla hujaanza udereva ila alitaka uanze kwanza kujua kuendesha ndo akupe.”

“Jamani! alijuaje naipenda Dualis?”

Muda huu Jane alianza kulia lakini yalikuwa ni yale machozi ya furaha na mimi nikamsogelea nikamkumbatia nikatoa kitambaa nikamfuta machozi.

Jane aliingia kwenye gari akaanza kuishangaa gari mle ndani na hakuishia hapo akazunguka pande zote za gari na muda huu mama yake alikuwa anatabasamu tu.

Jane aliizima gari na akashuka pale,

“Shem mpaka umeipamba kwaajili yangu, leo nafuraha sana, twende tukale kwanza maana nilikuwa nakusubiri wewe tu ili tule pamoja.”

Wakati tunapata lunch nilikuwa namwelezea Jane jinsi tulivyoandaa mpango na Mzee wa yeye kwenda mafunzo na mpaka gari inanunuliwa.

“Shem una Roho nzuri sana, naamini Mungu atakubariki kwenye maisha yako. Suala la gari nilikuwa sijui kabisa kama Pama alinunua.”

“Usijali shem nilikuwa nabuy time ili uwe Dereva mzuri ndo nikupe gari yako maana Mzee alisisitiza sana hili.”

“Hata hivyo nashukuru sana shem kwa yote, itabidi tukitoka hapa tuingie wote barabarani na hio gari.”

Baada ya kupata lunch nilitoka kukaa pale nje kibarazani nikimsubiri Jane atoke tuondoke. Muda huu nikasema acha nimjulie hali mama kijacho wangu Prisca, ili nipate taarifa zozote kuhusu huko kwao. Nilimpigia simu kama mara mbili hivi hakupokea nikaamua kuachana naye, na muda huu Jane alikuwa katoka tayari.

“Shem tuondoke niko tayari.”

Wakati nataka kufungua mlango wa gari simu yangu ilianza kuita kucheki alikuwa ni Prisca na mimi nikapokea simu yake muda huu,

“Nambie swirry ulikuwa wapi? Hupokei simu.”

“Baby Nilikuwa bafuni, hata hivyo kuna jambo nilitaka kukuambia badae, sababu umenipigia acha nikwambie tu now.”

“Jambo gani tena unataka kuniambia?”

“Babe! Baba amejua nina mimba maana mama amemwambia yaani amefoka sana na amesema anataka kuongea na wewe na anataka akufaham”

Nilishusha pumzi zito sana muda huu, ofcourse nilijua ni lazima hili suala litafikia huku na nilijua Mzee lazima amind na pia suala la ndoa litafuata. Maana haiwezekani umjaze mimba mtoto wa watu afu wakuchekee sio kwa utamaduni wa Africa na hakuna mzazi ambaye atakubali huu ujinga.


TO BE CONTINUED
Mzee anakusuburi kwa hamu
 
EPISODE: 53

“A TRUE STORY BY INSIDER MAN”

Ilikuwa ni mwezi tayari umetimia tangu kifo cha Mzee Pama kitokee. Kwa upande wangu ndani ya huu mwezi nilikuwa nimepitia msoto sana kwani nilikuw namuota sana usiku na mara nyingi nilikuwa namuota yuko na mwanae. Nilikuwa naweweseka sana usiku honestly nilipata tabu sana kuzoea kifo chake kwa kipindi hiki, mpaka nilikuwa nawaza huenda Mzee hajafa.

Kwa upande mwingine kutokana na sakata la Muajemi niliwaza kumfanyia jambo la kimafia maana aliniharibia kwa Iryn afu akawa hajibu text. Nilikuwa najua sina maisha marefu sana kwa Iryn kwanza kitendo cha kuchukua gari kwa Mama Janeth kilinipa ukakasi sana.

Nilipanga kumpiga pesa Muajemi ili kulipiza machungu yangu na nilijisemea nitaandaa mpango mzuri wa kumuingia na kufanikisha hili suala. Nilicheki whatsapp nikaona text niliyo mtumia mara ya mwisho ilikuwa iko delivered lakini ilikuwa kama haijasomwa. Nikapata wazo la kumcheki Telegram maana ndo mtandao anaopenda sana kuutumia pia ameweka namba yake ya Iran.

Nilifungua Telegram na nika-scroll mpaka chat history zetu nikamuandikia ujumbe “Bro how are you? I have good news, please call me ASAP.”

Baada ya kumtumia ujumbe mimi niliendelea na mambo yangu muda huu, maana nilijua akiona ile text lazima atanirudia tu.

Wakati nikiendelea kufikiri pale mbinu ya kumpiga hela Muajemi nilipata ujumbe kwenye whatsapp yangu na alikuwa ni dada Gorata (Mbotswana). Baada ya kufungua ujumbe alionitumia alikuwa anataka nimfate Airport na anatarajia ku-land Tanzania saa 11 jioni akitokea Kenya.

Saa 15:30 alasiri niliondoka kwenda JNIA na baada ya kuwasili pale terminal 3 nilipark gari vizuri nikaenda kukaa kwenye kiukuta upande wa arrivals. Nilifika mapema sana maana 16:30 ilinikutia nikiwa pale Airport, na muda huu simu yangu ilianza kuita, naam ni Muajemi alikuwa anapiga.

Nilipokea simu yake kwa haraka sana ni kama nilivyotegemea lazima atapiga tu maana akisikia habari njema anajua ni Iryn, ni jinsi gani alivyokuwa fala kwa Iryn.

MIMI: “Bro! habari yako za ukimya.”

MUAJEMI: “Kaka salama sana, samahani sana nilipata emergence nikaondoka bila kukuaga.”

MIMI: “Toka uongee na Iryn ndo ukapata emergence hata text ukawa hujibu, hata hivyo umepiga sababu nimekwambia na habari njema.”

MUAJEMI: “Hapana bro nimebanwa sana nilikuwa naplan nikirudi nikucheki.”

MIMI: “Anyway tuachane na haya na habari njema kwaajili ya Iryn but naomba kwanza unambie nini kiliendelea ile siku? Maana Iryn alinichukia sana ni vile ananiamini ndomana bado niko naye.”

Kwa ufupi Muajemi alicheza rafu mbaya sana alikuwa anamtongoza Iryn kupitia mgongo wangu. Yaani yeye aliamini kupitia mimi angempata, alimwambia Iryn mimi ndo nili organize kwenda Zanzibar ile siku na mimi ndo ananitegemea kwenye kufanikisha hili suala. Japo alikuwa kuna vitu anahide kusema na mimi sikutaka endelea kumuuliza maswali maana nilikuwa naplan zangu.

MIMI: “Sasa ilikuwaje kaka ukasema hivyo?”

MUAJEMI: “Bro sorry niliingia kwenye trap yake maana alinambia niseme ukweli kuhusu kinachoendelea kati yangu na wewe. Pia bro ile siku niliyokupa pesa kule Zanzibar anasema alikuwepo room na alinibana sana nikafanya kumwambia ukweli. Baada ya kusikia alikuwa room yako niliumia kaka kuona mrembo kuwa analala kwako.”

MIMI: “Aisee bro ulifeli sana Iryn alikuwa anacheza na emotion zako tu yaani umezingua sana, uliingiaje kwa trap kijinga hivyo asee.”

MUAJEMI: “Kaka katika maisha yangu sijawai kutana na mwanamke mwenye challenge kama Iryn ana maswali very technical, nilipoteza mpaka confidence.”

MIMI: “Kaka shida uliingia kwa trap lakini nilikuambia mapema sana, so mlifikia wapi sasa kwenye mazungumzo yenu?.”

MUAJEMI: “Alisema hatuwezi kuwa kwenye mahusiano zaidi ya urafiki tu sababu nina familia. Kaka nafikiri nilikosea kumwambia ukweli suala la familia angekuwa amenikubalia.”

MIMI: “Hahahaha hamna bro! Ulikuwa unampata ila uliharibu pale uliponihusisha na mimi.”

MUAJEMI: “Kaka nimemwambia namjengea nyumba, namnunulia gari anayotaka pamoja na kumfungulia biashara kubwa anayotaka, akubali hata kunizalia tu lakini aligoma. Bro! sijawahi kukutana na mwanamke mgumu kama huyu nimekula warembo wengi ila huyu hatari. Baadae kabisa nikaomba mzigo ndo akanambia atanifikiria, atanipa jibu.”

MIMI: “Ok tuachane na haya, ulikosea padogo sana. Sasa mimi naplan ya wewe kumpata Iryn maana ananisikiliza sana, ila unatakiwa kufanya mambo mawili tu. Jambo la kwanza usimtafute kwasasa wala kumsumbua, la pili nina mpango nimeundaa ila nitahitaji kiasi cha pesa kidogo tu. Kwa huu mpango niliouandaa nakuhakikishia mrembo atakuwa kwenye himaya yako, uzuri mpaka sasa kashajua lengo lako kwa upande wangu haitakuwa shida.”

MUAJEMI: “Bro! always sina shida ila nambie ni mpango gani huo? Maana nishakata tamaa pale tayari.”

MIMI: “Bro! wanawake hawahitaji vitu vikubwa hasa kwa Iryn ambaye hana shida na pesa. Mpango wangu ni simple tu nitakwenda naye Serengeti National Park na tukaa huko hata siku 5 tu zinatosha. Kwa mazingira haya kwanza itakuwa surprise kwake hata nikiongea naye suala lako atakubali tu. Iryn kwa sasa yuko single labda nikwambie hivyo ndo utaelewa, pia unatakiwa utambue mwanamke anaye jitambua huwezi mtongoza papohapo na akakubalia hautakiwi kukata tamaa. Huu mpango unauonaje?”

MUAJEMI: “Bro! your fuckin genious. How much do you want for this plan.”

MIMI: “Kaka hapo kila kitu million 10 inatosha vizuri kabisa.”

MUAJEMI: “Nita transfer hii amount kwenye account yako ya bank soon.”

MIMI: “Ok bro! No problem.”

Baada ya kumaliza maongezi niliishia kumtukana tu muda huu maana niliona Muajemi ni boga-bogast kabisa.

Baada ya lisaa Gorata aliweza kuwasili pale Airport na baada ya kuniona tuliishia kukumbatiana tu muda huu.

“Ooh! my sister I have missed you.”

“Thank you so much for coming.”

Tulielekea parking niliko-park gari na tuliondoka kuelekea Golden Tulip hotel ya Masaki. Njiani tulikuwa tunapiga sana story na pia Gorata alisema hatakaa kabisa Dar kwani Jumatatu ataondoka kwenda Mozambique. Baada ya kuwasili pale Hotelin tulikwenda moja kwa moja mpaka chumba chake alichokuwa amebook.

Jambo lingine alisema kwa kesho jumapili angehitaji saloon ili atengeneze nywele zake. Nilimwambia kwa kesho sitoweza kuwepo lakini jumatatu nitakuwepo kumpeleka Airport na kuhusu saloon nilimwambia nitampa namba za dada (Sumaiya) ili amsaidie.

Ilikuwa saa 12 jioni tayari muda huu na mimi nilimuaga, wakati naondoka alitaka kunilipa lakini nilimkatalia nikamwambia ataunganisha na jumatatu.

******
Jumapili nilipanga kwenda kumkabidhi Jane gari yake na hii siku sikwenda kanisani. Nilianza kwenda pale Juliana kuosha gari ile asubuhi na baada ya gari kuoshwa niliondoka kwenda Namanga pale Mbuyuni.

Lengo la kwenda Namanga nikaonane na wale wauza maua ili waipambe gari kwaajili ya kuipeleka kama zawadi. Baada ya kuwasili pale na kuonana na wahusika niliwakabidhi gari waishughulikie. Gari ilipambwa vizuri sana pande zote mpaka kwenye rim za gari na kutokana na ile rangi yake iling’aa sana na ilipendeza.

Nilimpigia simu Jane na nikampa taarifa za kwenda pale kwake na nikamwambia aniwekee na lunch. Nilitoka pale Namanga na safari yangu ilikuwa ni kwenda Mbweni, ni mwendo wa dakika 45 nilitumia mpaka nawasili pale kwake na baada ya kupiga honi alitoka dada kunifungulia geti.

Niliingiza gari mpaka karibu na usawa wa mlango wa nyuma kibarazani na nikashuka na niliacha gari on pamoja na double hazard. Niliingia ndani na nilimkuta Jane akiwa seblen na mama yake na dada mmoja alikuwa mgeni kwangu.

MIMI: “Shem njoo nina surprise yako.”

JANE: “Surprise gani hiyo shem mbona siioni.”

MIMI: “Wewe njoo iko nje hapo.”

Jane aliinuka na mimi nikamfumba macho kwa nyuma tukasogea mpaka usawa wa gari na nikamwambia “open your eyes”.

“This is your gift shem from Mr.Pama.”

“Insider mbona sikuelewi that is my gift?.”

Muda huu Jane alikuwa kama kapagawa maana alikuwa kama haamini ile gari ni yake, muda huu pia yule dada mgeni pamoja na mama yake walitoka pale nje.

“Ndio Mzee Pama alikununulia hii gari muda mrefu sana hata kabla hujaanza udereva ila alitaka uanze kwanza kujua kuendesha ndo akupe.”

“Jamani! alijuaje naipenda Dualis?”

Muda huu Jane alianza kulia lakini yalikuwa ni yale machozi ya furaha na mimi nikamsogelea nikamkumbatia nikatoa kitambaa nikamfuta machozi.

Jane aliingia kwenye gari akaanza kuishangaa gari mle ndani na hakuishia hapo akazunguka pande zote za gari na muda huu mama yake alikuwa anatabasamu tu.

Jane aliizima gari na akashuka pale,

“Shem mpaka umeipamba kwaajili yangu, leo nafuraha sana, twende tukale kwanza maana nilikuwa nakusubiri wewe tu ili tule pamoja.”

Wakati tunapata lunch nilikuwa namwelezea Jane jinsi tulivyoandaa mpango na Mzee wa yeye kwenda mafunzo na mpaka gari inanunuliwa.

“Shem una Roho nzuri sana, naamini Mungu atakubariki kwenye maisha yako. Suala la gari nilikuwa sijui kabisa kama Pama alinunua.”

“Usijali shem nilikuwa nabuy time ili uwe Dereva mzuri ndo nikupe gari yako maana Mzee alisisitiza sana hili.”

“Hata hivyo nashukuru sana shem kwa yote, itabidi tukitoka hapa tuingie wote barabarani na hio gari.”

Baada ya kupata lunch nilitoka kukaa pale nje kibarazani nikimsubiri Jane atoke tuondoke. Muda huu nikasema acha nimjulie hali mama kijacho wangu Prisca, ili nipate taarifa zozote kuhusu huko kwao. Nilimpigia simu kama mara mbili hivi hakupokea nikaamua kuachana naye, na muda huu Jane alikuwa katoka tayari.

“Shem tuondoke niko tayari.”

Wakati nataka kufungua mlango wa gari simu yangu ilianza kuita kucheki alikuwa ni Prisca na mimi nikapokea simu yake muda huu,

“Nambie swirry ulikuwa wapi? Hupokei simu.”

“Baby Nilikuwa bafuni, hata hivyo kuna jambo nilitaka kukuambia badae, sababu umenipigia acha nikwambie tu now.”

“Jambo gani tena unataka kuniambia?”

“Babe! Baba amejua nina mimba maana mama amemwambia yaani amefoka sana na amesema anataka kuongea na wewe na anataka akufaham”

Nilishusha pumzi zito sana muda huu, ofcourse nilijua ni lazima hili suala litafikia huku na nilijua Mzee lazima amind na pia suala la ndoa litafuata. Maana haiwezekani umjaze mimba mtoto wa watu afu wakuchekee sio kwa utamaduni wa Africa na hakuna mzazi ambaye atakubali huu ujinga.


TO BE CONTINUED
Balaa na nusu insider weka vitu weka vitu tupoze machungu ya man u
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom