Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

mkuu sehemu ya 27 naomba link yake... Maana 25 na 26 hazina link ya muendelezo... Nisaidie mkuu nna ka simu kadogo ka operamini siwezi kuscrol page nyingi
 
Hisia zangu Lyin lazima aliwe na Insparderman ,
na Lyin alifanya mch ezo ule kwa sababu ya kugundua alikuwa Anauzwa na mtu aliyemwamini ana maumivu mkubwa ndani
Pia Mimba ya Mtoto wa changanyikeni Wanaitegemea Familia Kama Mridhi kwani kwa Marry hawana Mtoto wa kiume endapo atazaliwa dume Insparderman ni Sherehe tu ,Kama haijatoka Lakini kwani Kuna hisia za hivyo ninazo
 
Hisia zangu Lyin lazima aliwe na Insparderman ,
na Lyin alifanya mch ezo ule kwa sababu ya kugundua alikuwa Anauzwa na mtu aliyemwamini ana maumivu mkubwa ndani
Pia Mimba ya Mtoto wa changanyikeni Wanaitegemea Familia Kama Mridhi kwani kwa Marry hawana Mtoto wa kiume endapo atazaliwa dume Insparderman ni Sherehe tu ,Kama haijatoka Lakini kwani Kuna hisia za hivyo ninazo
Yani Familia itegemee mjukuu aje arithi mali zao? Mzee unawaza kiuhalisia? Au unafikiri tupo kwenye Tamthilia?

Nimesikitika sana kwa Comment yako
 
Hisia zangu Lyin lazima aliwe na Insparderman ,
na Lyin alifanya mch ezo ule kwa sababu ya kugundua alikuwa Anauzwa na mtu aliyemwamini ana maumivu mkubwa ndani
Pia Mimba ya Mtoto wa changanyikeni Wanaitegemea Familia Kama Mridhi kwani kwa Marry hawana Mtoto wa kiume endapo atazaliwa dume Insparderman ni Sherehe tu ,Kama haijatoka Lakini kwani Kuna hisia za hivyo ninazo

Mzee mjukuu anarithi mali za babu imetokea wapi hii?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom