DA HUSTLA
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 3,664
- 3,882
Nilisoma pale aliwachomea nyama njia ya Dar Free Market ...ndefu sana nimeshasahuHujaifuatilia vizuri yote kwa utulivu. Grizzman anamjua,wameshawahi kukutana
Nilisoma pale aliwachomea nyama njia ya Dar Free Market ...ndefu sana nimeshasahuHujaifuatilia vizuri yote kwa utulivu. Grizzman anamjua,wameshawahi kukutana
Hadi maji ataita mmaDuh! Iryn atakupelekea moto mpaka dunia uione chungu masta
mkuu sehemu ya 27 ni page namb ngap au nicopie link mkuuKesho saa ngap mzigo unashuka
mkuu sehemu ya 27 naomba link yake... Maana 25 na 26 hazina link ya muendelezo... Nisaidie mkuu nna ka simu kadogo ka operamini siwezi kuscrol page nyingiMambo mazuri hayataki haraka sikuzote
mkuu sehemu ya 27 naomba link yake... Maana 25 na 26 hazina link ya muendelezo... Nisaidie mkuu nna ka simu kadogo ka operamini siwezi kuscrol page nyingi
asante sana mkuu...Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
Round hii hatuwaachii waharibu nyuzi mimi na nyie bampa to bampaKAZI YANGU MOJA TUU KUDEAL NA WAPUUZI HAWA. NIMEPUMZIKA KWA MDA SABABU SIJAONA UPUMBAFUU WOWOTE ILA NIPO STANDBY KILA POST NAIZOOM. Sent using Jamii Forums mobile appwww.jamiiforums.com
Yani Familia itegemee mjukuu aje arithi mali zao? Mzee unawaza kiuhalisia? Au unafikiri tupo kwenye Tamthilia?Hisia zangu Lyin lazima aliwe na Insparderman ,
na Lyin alifanya mch ezo ule kwa sababu ya kugundua alikuwa Anauzwa na mtu aliyemwamini ana maumivu mkubwa ndani
Pia Mimba ya Mtoto wa changanyikeni Wanaitegemea Familia Kama Mridhi kwani kwa Marry hawana Mtoto wa kiume endapo atazaliwa dume Insparderman ni Sherehe tu ,Kama haijatoka Lakini kwani Kuna hisia za hivyo ninazo
Nini kinakuuma?Tangu mwanzo wa Simulizi hii, sijawahi kuumia kama nilivyoumia kwenye episode ya 52 dah aisee yani
NIMECHEKA KINOMA YAN !Yani Familia itegemee mjukuu aje arithi mali zao? Mzee unawaza kiuhalisia? Au unafikiri tupo kwenye Tamthilia?
Nimesikitika sana kwa Comment yako
HahahhaNIMECHEKA KINOMA YAN !
ETI UMESIKITIKA SANA !
Sema mwamba kanogewa Kwamba Insider Huwa mambo yake yanajitiki tu yenyewe kwa yenyewe
Hisia zangu Lyin lazima aliwe na Insparderman ,
na Lyin alifanya mch ezo ule kwa sababu ya kugundua alikuwa Anauzwa na mtu aliyemwamini ana maumivu mkubwa ndani
Pia Mimba ya Mtoto wa changanyikeni Wanaitegemea Familia Kama Mridhi kwani kwa Marry hawana Mtoto wa kiume endapo atazaliwa dume Insparderman ni Sherehe tu ,Kama haijatoka Lakini kwani Kuna hisia za hivyo ninazo
vocha ya jero😂Ataliwa tu, weka dau lako
Kaka stori saa ngapi? Nimeshaoga nimepaka mafuta , simu full charge nasubiri muendelezo.Hahaha kuna watu huko washatiwa 3 huko