Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

EPISODE 45


IN LOVING MEMORY OF MR. PAMA (2022).

CONTINUE….

Taarifa za Jane kuhusu kifo cha Mzee Pama nilihisi kama utani hivi, niliwaza huenda Jane atakuwa kachanganyikiwa huko. Ni taarifa ambazo zilinishtua sana kwa upande wangu, nilikuwa nahisi kutetemeka.

“Mzee Pama nimeongea naye juzi tu leo hii awe amekufa haiwezekani, acha nitoke niende Mbweni kwa Jane.”

Nilitoka chumbani na niliwakuta Mama J na Iryn wako seblen wakipiga story na baada ya kuniona niko kimtoko, Mama J alianza kuniuliza,

“Baba Junior unakwenda wapi usiku huu?”

“Nimepata taarifa za msiba wa Mzee wangu mwenye hiyo gari.”

Ni taarifa zilizowashtua pale na zilionekana kuwagusa muda huu.

“Insider tunakwenda wote ngoja nikavae sweta” ilikuwa ni sauti ya Iryn akitaka tuondoke wote na mimi sikutaka kumzuia.

Tuliondoka pale nyumbani na tulitumia muda mfupi sana kuwasili pale Mbweni na tulifunguliwa geti, nikaingiza gari ndani.

Muda huu nilikuwa nikisikia sauti za vilio kwa mbali na tuliingia ndani seblen. Tuliwakuta Jane akiwa ameegemea kwa mama yake akilia na mama yake akimbembeleza mwanae. Niliona huruma sana kwa Jane maana Mzee Pama amekufa bado Jane ana mimba ndogo, ukweli iliniuma sana.

Nilitumia nafasi hii kuanza kumbembeleza Jane na Iryn naye alisogea karibu lakini ilikuwa ngumu sana wakati huu kumtuliza akilia. Na muda huu ilibidi nimsogelee mama nianze kuongea naye wamezipataje taarifa.

“Mama mmezipataje taarifa?”

“Kuna mtu amepiga simu toka saa 3 usiku na akampa Jane hizi taarifa.”

Ilibidi nimwambie mama amtulize Jane ili tupange mipango mapema kabla watu hawajaanza kujaa. Tulipanga tuandae ma-tent pamoja na mziki kwa asubuhi kukicha pamoja na suala la chakula.

Jane alitransfer kiasi cha milioni 3 kwenye simu yangu kwaajili ya kukamilisha hayo masuala yote muhimu. Baada ya kumaliza mipango yetu ilibidi tumwache Jane akapumzike maana alikuwa amelia sana kwakweli.

Baada ya lisaa walikuja wageni wengine watano na vilio viliendelea ilikuwa ni huzuni sana pale Mbweni. Saa 7 usiku Iryn aliondoka na aliniacha mimi pale Mbweni, sikuwa na jinsi ya kuondoka pale ilibidi nilale tu.

Muda huu nilikuwa nakumbuka matukio yote ambayo nilikuwa na Mzee kwa vipindi tofauti. Nilikumbuka ile siku ambayo tuliongea na Mzee Pama na akanitumia milion 6, niliwaza huenda ilikuwa ni kama farewell Mzee alikuwa ameona kifo chake. Pia na suala la kunisisitiza sana kumwangalia Jane nilihisi Mzee alikiona kifo chake Mapema sana. Niliwaza pale Mzee alikuwa anasumbuliwa na nini? Maana alikwenda India mara mbili.

Usiku nilikesha tu pale seblen kwakweli maana nilikuwa nahisi kama niko Dunia nyingine kabisa nilikuwa siamini kama kweli Mzee Pama amekufa, nilikuwa naona kama utani.

Asubuhi mapema sana nilikwenda kutoa taarifa kwa Mjumbe wa nyumba 10 kuhusu msiba na aliweza kunipa connection ambapo nitaweza pata matents na viti. Baada ya kufanya mawasiliano na hao wanaokodisha matent nilikwenda Boko Magengeni kuonana na mhusika ndo alikuwa anapatikana maeneo yale. Nilifanikiwa kupata matent mawili na viti 50 na pia nilifanikiwa kupata mtu wa mziki kupitia jamaa wa matent.

Tuliondoka Boko na kwenda Mbweni na nilimwacha jamaa akiendelea kutengeneza na mimi nilikwenda kutafuta vitu vingine kama vinywaji na mahitaji mengine. Kuhusu mtu wa chakula nilimpata mama mmoja alikuwa anakaa kulekule Mbweni. Mpaka kufika saa 3 asubuhi kila kitu kilikuwa kipo sawa tayari na DJ alishakuwa ameanza kuplay nyimbo.

Nilipata wazo la kuwasiliana na Mary na nilimpa taarifa za msiba wa Mzee maana alikuwa anamjua. Kwa upande wa Mary taarifa hazikuwa nzuri kwakweli na aliishia kuhuzunika tu, na Mary alilsema ndani ya muda mfupi atakuwa amefika eneo la tukio hivyo nimtumie location tu.

Saa 4 asubuhi Mary alikuwa kawasili tayari pale Mbweni hivyo kidogo nikawa na mtu wa kunipa kampani. Baada ya Mary kuwasili pale alianza kulia pale nje na mimi niliishia kumkumbatia na kumfuta machozi.

MARY: “Insider chanzo cha kifo ni nini?”

MIMI: “Kwakweli sijui mara ya mwisho kuongea na mzee ilikuwa jumatano na alisema anakwenda India. Nafikiri tutajua tu, nahisi mzee alikuwa anaumwa.”

MARY: “Yeah itakuwa hivyo, Mzee alikuwa ni mtu mzuri sana. Mungu amlaze mahali pema peponi.”

Mpaka muda huu nilikuwa sijui kifo cha Pama kimesababishwa na nini lakini Roho ilikuwa inaniambia ni ugonjwa. Kwa upande mwingine wageni walikuwa wakizidi kuingia taratibu na ilivyofika saa 5 Iryn alikuja pia.

Hii siku ukweli nilikuwa busy sana ni kama nilikuwa operation manager simu zote za wageni zilikuwa zinapigwa kwangu. Nilikuwa nakazi ya kuwalekeza wageni mpaka Mary akanipa wazo la kutengeneza mabango ya kuelekeza direction ya msiba ulipo.

Kwenye mida ya saa 6 mchana kuna wageni niliwapokea na walijitambulisha kwangu kama marafiki wa mzee Pama, na walisema wana mazungumzo private na Jane. Ukweli wote tulikuwa hatujui kilicho kuwa kinaendelea kuhusu taratibu zote za mazishi. Mipango na kila kitu vilikuwa vinafanyika Ununio kwa mke mkubwa, Jane alikuwa ni mchepuko tu.

Jioni nilikaa na Iryn akanambia kutokana na msiba hataondoka kwenda kwenye apartment yake mpya mpaka mambo ya msiba yaishe. Jioni Iryn aliomba kuondoka na mimi sikuona sababu ya yeye kuendelea kubaki maeneo haya hivyo nikafanya kurequest Uber impeleke home.

Mary alikuwa kampani yangu kubwa sana kipindi hiki na alikuwa akijituma sana asee, ungemwona usingekubali kama ni mtoto wa kishua. Mary alikuwa ananikosha sana mpaka nikaanza kujuta kwanini nilidate na Prisca?. Mary alikuwa kama wife material asee akiwa na khanga yake kiunoni.

Saa 4 usiku Mary aliniaga na akanambia asubuhi atakuja mapema, na mimi nikampa kampani ya usafiri mpaka kwao.

*******

Jumatano mwili wa marehem ulikuwa unatarajiwa kuwasili Dar es Salaam kutoka nje. Kwa upande mwingine ndugu wengi wa Mzee Pama walikuwa wanakuja kutoa pole kwa Jane.

Mzee Juma rafiki wa Pama alikuja Mbweni hii siku na tuliweza kuongea na kubwa alinambia ana maelekezo kutoka kwa Mzee Pama, hivyo taratibu zote za msiba zikikamilika tutaonana. Mzee Juma alinishukuru sana kwa jitihada zangu na jinsi navyojitolea pale msibani.

Jioni walitoka na Jane kwenda Airport kwaajili ya mapokezi ya Mwili wa marehem na ulikuwa unatarajiwa kuwasili usiku. Na taarifa nilizo zipata ni kwamba alhamis itakuwa ni siku ya kuaga mwili kwa hapa Dar na baada ya hapo utafirishwa mpaka Tabora na mazishi yatafanyika huko kwao.

Ile jioni nilimwambia Mary nitakwenda Tabora kwaajili ya mazishi na yeye akasema tutakwenda wote, na mimi sikuweza kumzuia. Niseme mimi na Mary tulikuwa bega kwa bega mpaka watu walikuwa wanafikiri sisi ni wenyeji wa pale.

Alhamis ndo ilikuwa siku maalumu ya kuaga mwili wa Mzee Pama pale kwake Ununio. Mwili ulikuwa unatarajiwa kuagwa saa 5 asubuhi na jioni ungesafirishwa kwenda Tabora.

Mimi na Mary tuliwasili mapema sana eneo la tukio tukitokea Mbweni. Hii siku kulikuwa na watu wenye hadhi, wakubwa na baadhi ya viongozi wa serikali hadi wastaafu. Mzee pama alikuwa ni mtu ambaye anajulikana sana na watu, hadi wazungu na foreigners walikuwepo hii siku.

Kwa upande mwingine Jane naye alikwenda mpaka Ununio kwaajili ya kuaga mwili na nilisikia kulikuwa na mke mwingine tena wa Mzee Pama alikuja pale.

Muda huu zilikuwa zinaonekana nyuso za huzuni sana, jinsi gani kifo cha Mzee Pama kilishika hisia za watu. Kila mtu alikuwa akimwongelea Mzee Pama kwa mazuri na pia aliwasaidia watu wengi sana enzi za uhai wake.

Mazingira yote ya pale kwa Pama zilionekana gari kali tu nazungumzia VX, V8, Range rovers, Jeeps, BMW, nknk. Gari zilijaa karibu mitaa yote ya karibu. Mzee Pama hakuwa mtu mdogo kabisa na eneo hili lilikuwa chini ya ulinzi mkali sana.

Mpaka saa 7 mchana zoezi la kuaga mwili lilikuwa limekamilika na mimi nilirudi Mbweni kwaajili ya kuweka mambo sawa kabla ya safari ya kwenda Tabora. Kwa upande mwingine Mary naye alikwenda home kujiandaa kwaajili ya safari ya baadae.

Ilibidi nirudi Mbweni ili kuweka mazingira vizuri kabla sijaondoka na lengo ilikuwa niwatambue watu ambao walikuwa wanabaki pale kwaajili ya usalama. Na watu waliobaki pale walikuwa ni ndugu wa Jane na baadhi ya rafiki zake. Na muda huu nilipata wazo nitafute Mlinzi wa kukaa pale getini kwaajili ya ulinzi.

Baada ya kuweka mambo sawa nilirudi home kubadilika na kuchukua baadhi ya nguo. Wakati naondoka nilimuaga Iryn naondoka kwenda Tabora na yeye alinitakia safari njema na akanikumbatia.

“Insider nawish nikupe kampani lakini itabidi nibaki kwaajili ya uangalizi wa biashara.”

“Usijali kuwa na amani mpaka sasa mchango wako umeonekana.”

Ilinibidi niache gari na nilirequest Uber ya Bajaji na wakati nasubiri pale kibarazani uliingia ujumbe wa TIGOPESA na kucheki Iryn alikuwa kaniingizia 500,000/=. Nilitabasamu ni kama alijua sina hela, ukweli ni kwamba nilikuwa nimetoboka sana hizi hela ndogo ndogo zilikuwa zinanitoka balaa pale msibani, hata ile Pesa aliyokuwa amenipa Mzee nilikuwa nishapunguza million 2 tayari kwenye masuala ya msiba.

Nilimpitia Mary pale kwao na alikuwa yuko tayari na alikuwa kavaa nguo full black kuanzia raba, T-shirt na miwani, kasoro skin jeans ilikuwa ya blue. Pia alikuwa kaninunulia miwani meusi na mimi kama zawadi.

Saa 9 alasiri tulikuwa pale Ununio kwajili ya kupata usafiri na tuliikuta costa moja tu imebaki na ilikuwa imejaa tayari. Wakati tukiendelea kushangaa pale na kuwaza namna ya kuondoka tulibahatika kupata gari landcruiser V8 ambayo ilikuwa inakwenda msibani na ilikuwa na seat 2 tu zimebaki.

Tuliondoka pale Ununio saa 10 jioni na Ilikuwa ni safari ya masaa 10 mpaka tunafika wilaya moja ya huko Tabora. Nakumbuka tulifika saa 8 usiku na baada ya kuwasili pale wilayani mjini tulikwenda moja kwa moja mpaka nyumbani kwa Mzee Pama, uzuri hakuwa mbali na pale mjini.

Mzee alikuwa amejenga bonge la mjengo na lilikuwa ni eneo kubwa sana ambalo alikuwa anaishi mama yake na baadhi ya ndugu zake. Ndani ya mjengo kulikuwa na garden kubwa na mazingira mazuri sana na yenye kuvutia.

Tulivyofika pale tulikuta msiba unaendelea na watu wengi walikuwa wame wasili tayari na wengine walikuwa wakiwasili. Mary aliingia ndani kuonana na Jane na sisi tulikaa pale nje tukiendelea na mkesha.

Story zilizokuwa zinasikika hapa ni pamoja na utajiri wa Mzee Pama, nilijua Mzee Pama alikuwa ni mstaafu moja ya kampuni kubwa ya uchimbani madini. Pia Pama alikuwa ana miliki vitalu vya dhahabu, bado alikuwa na kampuni ya madini. Alikuwa na mali na Pesa chafu bado alikuwa anamiliki mahotel na nyumba kibao, ila sasa ungemwona Pama jinsi alivyokuwa, alikuwa anaonekana wa kawaida sana.

*******

Ijumaa ndo siku ambayo Mzee Pama alilazwa kwenye Jumba lake la milele na mazishi yalianza mapema sana. Watu wa Tabora waliaga maiti na hata wengine wa Dar ambao hawakufanikiwa kuaga nao waliaga na wale waliotaka kuaga kwa mara ya mwisho walipewa nafasi.

Muda huu kulikuwa na vilio kila kona yaani daah moja ya siku ambayo siji kuisahau ni hii, watu walilia sana huku Tabora vilikuwa ni vilio na huzuni.

Kwa upande mwingine Mzee alikuwa kaandika waraka ambao aliwatambulisha wake zake wote kuanzia mke mkubwa, Jane na alikuwepo mke mwingine ambaye alikuwa na watoto 2 ambao wote ni wa kike. Mzee pama alikuwa na bahati sana na watoto wa kike ni Jane pekee ambaye alikuwa na mimba ya mtoto wa kiume.

Mzee Pama aliandika mambo mengi sana na mwisho kabisa alisema ameandika barua kuhusu mirathi itakavyogawiwa kwa wake zake, watoto na ndugu. Pia aliwataja baadhi ya marafiki zake akiwemo Mzee Juma wawe waangalizi wa Familia yake na baada ya kumaliza kusoma ule waraka kila mtu alibaki na huzuni. Ulikuwa ni waraka mrefu ambao ulikuwa umegusa sana hisia na mioyo ya watu.

Baada ya sala na kila kitu Pama aliingizwa ndani ya Jumba lake la milele. Ni kaburi ambalo lilikuwa limejengwa ndani na likafunikwa kwa nzege juu.

Familia ya Pama ilikuwa na makaburi yao na yalikuwa palepale kwake kwa upande wa nyuma na yalikuwa ndani ya uzio/fense. Makaburi yalikuwa na uzio wake ambao umeungana na nyumba na gate la kuingilia makaburini lilikuwa kwa nyuma linajitegemea na upande wa nyumba.

Kwa upande wa Familia ya Pama walizaliwa watoto wa4 tu kwa Baba yao, Pama alikuwa wa kwanza kuzaliwa, aliefuatia ni dada yake, watatu alikufa na wa mwisho alikuwa ni mdogo wao wa kiume. Baba yao alikufa na walikuwa wamebakiwa na mama yao tu, mpaka kifo cha Pama walikuwa wamebaki watoto 2 na Mama yao.

Hii siku pia nilibahatika kuwaona watoto wote wa Mzee Pama mpaka yule Binti yake wa kwanza mkubwa wa Canada na yule anayesoma Australia.

Mpaka saa 8 mchana mazishi yalikuwa yamekwisha na taratibu zote zilikuwa zimekamilika. Baada ya hapo tulirudi nyumbani kwaajili ya chakula huku taratibu zingine zikiendelea.

Baada ya kumaliza mazishi ule usiku watu walikuwa wamekaa kwenye magrupu wakinywa bia. Kulikuwa na bia za kila aina na nyama choma za kutosha maana kuna gari ilileta vinywaji na nyama kwa wingi, mbuzi na ng’ombe. Kama mnavyojua wabongo wakisha maliza kuzika wanasahau wanaanza kunywa ili kupunguza stress.

Na mimi muda huu nilikuwa nimekaa na watu wazima tukipigia story mbalimbali. Kwenye group letu kulikuwa na wazee na wababa ni mimi pekee nilikuwa kijana. Story zilizokuwa zinapigwa hapa ni siasa na biashara ofcourse nilipata idea nyingi sana za biashara ila shida maokoto tu ndugu zangu.

Mary alikuja akaliunga na sisi pale na story zilikuwa zikiendelea na kila mtu alikuwa anaelezea jinsi alivyokutana na Mzee Pama mpaka kifo chake. Mary alionekana kuchoka sana na aliishia kulala kwenye mapaja yangu.

Huu usiku pia niliweza kuongea na Mzee Juma na tukaagana maana alisema kwa kesho tusingeweza kuonana atakuwa busy na kikao. Mzee Juma alisema ataendelea kubaki pale kwa siku mbili na tutaonana Dar akirudi kwa ajili ya mazungumzo zaidi. Alinipa pesa ya nauli kwaajili ya kurudia Dar na baadae kuja kuhesabu ilikuwa ni laki 3.

Ile Jumamosi asubuhi watu wengu walianza kuondoka pale kwa Mzee Pama na mimi nilimwambia Mary tutaondoka na ileile V8 tuliyokuja nayo.

Saa 6 mchana tulitegemea kuanza safari ya kurudi Dar na kabla ya kuanza safari nilitumia kuongea na Jane. Jane alishukuru sana kwa kujitoa kwangu kwake na alisema yeye bado ataendelea kubaki mpaka vikao vya familia vitakapo kwisha.

Kwa upande mwingine aliniomba niendelee kumwangalizia nyumba yake maana kule alikuwa amebaki mama yake. Mnajua Jane alikuwa amelia mpaka sauti yake ilikauka na macho yalikuwa mekundu sana.

Saa 6 mchana mapema kabisa tulianza safari ya kurudi Dar na njiani tulikuwa hatujui vibao vya 50 ilikuwa ni spidi tu. Saa 4 usiku tuliwasilia Dar na walituacha pale Ubungo mataa wao walikuwa wanaelekea Tabata. Nilifanya kurequest usafiri kwaajili ya Mary na mimi nilichukua bajaji kwenda Changanyikeni kulala kwa Prisca.

Wiz khalifa ft Charlie Puth- See you Again.

TO BE CONTINUED
Aiseee...
Maisha ni fumbo.
Asante kwa story nzuri kaka
 
EPISODE 45


IN LOVING MEMORY OF MR. PAMA (2022).

CONTINUE….

Taarifa za Jane kuhusu kifo cha Mzee Pama nilihisi kama utani hivi, niliwaza huenda Jane atakuwa kachanganyikiwa huko. Ni taarifa ambazo zilinishtua sana kwa upande wangu, nilikuwa nahisi kutetemeka.

“Mzee Pama nimeongea naye juzi tu leo hii awe amekufa haiwezekani, acha nitoke niende Mbweni kwa Jane.”

Nilitoka chumbani na niliwakuta Mama J na Iryn wako seblen wakipiga story na baada ya kuniona niko kimtoko, Mama J alianza kuniuliza,

“Baba Junior unakwenda wapi usiku huu?”

“Nimepata taarifa za msiba wa Mzee wangu mwenye hiyo gari.”

Ni taarifa zilizowashtua pale na zilionekana kuwagusa muda huu.

“Insider tunakwenda wote ngoja nikavae sweta” ilikuwa ni sauti ya Iryn akitaka tuondoke wote na mimi sikutaka kumzuia.

Tuliondoka pale nyumbani na tulitumia muda mfupi sana kuwasili pale Mbweni na tulifunguliwa geti, nikaingiza gari ndani.

Muda huu nilikuwa nikisikia sauti za vilio kwa mbali na tuliingia ndani seblen. Tuliwakuta Jane akiwa ameegemea kwa mama yake akilia na mama yake akimbembeleza mwanae. Niliona huruma sana kwa Jane maana Mzee Pama amekufa bado Jane ana mimba ndogo, ukweli iliniuma sana.

Nilitumia nafasi hii kuanza kumbembeleza Jane na Iryn naye alisogea karibu lakini ilikuwa ngumu sana wakati huu kumtuliza akilia. Na muda huu ilibidi nimsogelee mama nianze kuongea naye wamezipataje taarifa.

“Mama mmezipataje taarifa?”

“Kuna mtu amepiga simu toka saa 3 usiku na akampa Jane hizi taarifa.”

Ilibidi nimwambie mama amtulize Jane ili tupange mipango mapema kabla watu hawajaanza kujaa. Tulipanga tuandae ma-tent pamoja na mziki kwa asubuhi kukicha pamoja na suala la chakula.

Jane alitransfer kiasi cha milioni 3 kwenye simu yangu kwaajili ya kukamilisha hayo masuala yote muhimu. Baada ya kumaliza mipango yetu ilibidi tumwache Jane akapumzike maana alikuwa amelia sana kwakweli.

Baada ya lisaa walikuja wageni wengine watano na vilio viliendelea ilikuwa ni huzuni sana pale Mbweni. Saa 7 usiku Iryn aliondoka na aliniacha mimi pale Mbweni, sikuwa na jinsi ya kuondoka pale ilibidi nilale tu.

Muda huu nilikuwa nakumbuka matukio yote ambayo nilikuwa na Mzee kwa vipindi tofauti. Nilikumbuka ile siku ambayo tuliongea na Mzee Pama na akanitumia milion 6, niliwaza huenda ilikuwa ni kama farewell Mzee alikuwa ameona kifo chake. Pia na suala la kunisisitiza sana kumwangalia Jane nilihisi Mzee alikiona kifo chake Mapema sana. Niliwaza pale Mzee alikuwa anasumbuliwa na nini? Maana alikwenda India mara mbili.

Usiku nilikesha tu pale seblen kwakweli maana nilikuwa nahisi kama niko Dunia nyingine kabisa nilikuwa siamini kama kweli Mzee Pama amekufa, nilikuwa naona kama utani.

Asubuhi mapema sana nilikwenda kutoa taarifa kwa Mjumbe wa nyumba 10 kuhusu msiba na aliweza kunipa connection ambapo nitaweza pata matents na viti. Baada ya kufanya mawasiliano na hao wanaokodisha matent nilikwenda Boko Magengeni kuonana na mhusika ndo alikuwa anapatikana maeneo yale. Nilifanikiwa kupata matent mawili na viti 50 na pia nilifanikiwa kupata mtu wa mziki kupitia jamaa wa matent.

Tuliondoka Boko na kwenda Mbweni na nilimwacha jamaa akiendelea kutengeneza na mimi nilikwenda kutafuta vitu vingine kama vinywaji na mahitaji mengine. Kuhusu mtu wa chakula nilimpata mama mmoja alikuwa anakaa kulekule Mbweni. Mpaka kufika saa 3 asubuhi kila kitu kilikuwa kipo sawa tayari na DJ alishakuwa ameanza kuplay nyimbo.

Nilipata wazo la kuwasiliana na Mary na nilimpa taarifa za msiba wa Mzee maana alikuwa anamjua. Kwa upande wa Mary taarifa hazikuwa nzuri kwakweli na aliishia kuhuzunika tu, na Mary alilsema ndani ya muda mfupi atakuwa amefika eneo la tukio hivyo nimtumie location tu.

Saa 4 asubuhi Mary alikuwa kawasili tayari pale Mbweni hivyo kidogo nikawa na mtu wa kunipa kampani. Baada ya Mary kuwasili pale alianza kulia pale nje na mimi niliishia kumkumbatia na kumfuta machozi.

MARY: “Insider chanzo cha kifo ni nini?”

MIMI: “Kwakweli sijui mara ya mwisho kuongea na mzee ilikuwa jumatano na alisema anakwenda India. Nafikiri tutajua tu, nahisi mzee alikuwa anaumwa.”

MARY: “Yeah itakuwa hivyo, Mzee alikuwa ni mtu mzuri sana. Mungu amlaze mahali pema peponi.”

Mpaka muda huu nilikuwa sijui kifo cha Pama kimesababishwa na nini lakini Roho ilikuwa inaniambia ni ugonjwa. Kwa upande mwingine wageni walikuwa wakizidi kuingia taratibu na ilivyofika saa 5 Iryn alikuja pia.

Hii siku ukweli nilikuwa busy sana ni kama nilikuwa operation manager simu zote za wageni zilikuwa zinapigwa kwangu. Nilikuwa nakazi ya kuwalekeza wageni mpaka Mary akanipa wazo la kutengeneza mabango ya kuelekeza direction ya msiba ulipo.

Kwenye mida ya saa 6 mchana kuna wageni niliwapokea na walijitambulisha kwangu kama marafiki wa mzee Pama, na walisema wana mazungumzo private na Jane. Ukweli wote tulikuwa hatujui kilicho kuwa kinaendelea kuhusu taratibu zote za mazishi. Mipango na kila kitu vilikuwa vinafanyika Ununio kwa mke mkubwa, Jane alikuwa ni mchepuko tu.

Jioni nilikaa na Iryn akanambia kutokana na msiba hataondoka kwenda kwenye apartment yake mpya mpaka mambo ya msiba yaishe. Jioni Iryn aliomba kuondoka na mimi sikuona sababu ya yeye kuendelea kubaki maeneo haya hivyo nikafanya kurequest Uber impeleke home.

Mary alikuwa kampani yangu kubwa sana kipindi hiki na alikuwa akijituma sana asee, ungemwona usingekubali kama ni mtoto wa kishua. Mary alikuwa ananikosha sana mpaka nikaanza kujuta kwanini nilidate na Prisca?. Mary alikuwa kama wife material asee akiwa na khanga yake kiunoni.

Saa 4 usiku Mary aliniaga na akanambia asubuhi atakuja mapema, na mimi nikampa kampani ya usafiri mpaka kwao.

*******

Jumatano mwili wa marehem ulikuwa unatarajiwa kuwasili Dar es Salaam kutoka nje. Kwa upande mwingine ndugu wengi wa Mzee Pama walikuwa wanakuja kutoa pole kwa Jane.

Mzee Juma rafiki wa Pama alikuja Mbweni hii siku na tuliweza kuongea na kubwa alinambia ana maelekezo kutoka kwa Mzee Pama, hivyo taratibu zote za msiba zikikamilika tutaonana. Mzee Juma alinishukuru sana kwa jitihada zangu na jinsi navyojitolea pale msibani.

Jioni walitoka na Jane kwenda Airport kwaajili ya mapokezi ya Mwili wa marehem na ulikuwa unatarajiwa kuwasili usiku. Na taarifa nilizo zipata ni kwamba alhamis itakuwa ni siku ya kuaga mwili kwa hapa Dar na baada ya hapo utafirishwa mpaka Tabora na mazishi yatafanyika huko kwao.

Ile jioni nilimwambia Mary nitakwenda Tabora kwaajili ya mazishi na yeye akasema tutakwenda wote, na mimi sikuweza kumzuia. Niseme mimi na Mary tulikuwa bega kwa bega mpaka watu walikuwa wanafikiri sisi ni wenyeji wa pale.

Alhamis ndo ilikuwa siku maalumu ya kuaga mwili wa Mzee Pama pale kwake Ununio. Mwili ulikuwa unatarajiwa kuagwa saa 5 asubuhi na jioni ungesafirishwa kwenda Tabora.

Mimi na Mary tuliwasili mapema sana eneo la tukio tukitokea Mbweni. Hii siku kulikuwa na watu wenye hadhi, wakubwa na baadhi ya viongozi wa serikali hadi wastaafu. Mzee pama alikuwa ni mtu ambaye anajulikana sana na watu, hadi wazungu na foreigners walikuwepo hii siku.

Kwa upande mwingine Jane naye alikwenda mpaka Ununio kwaajili ya kuaga mwili na nilisikia kulikuwa na mke mwingine tena wa Mzee Pama alikuja pale.

Muda huu zilikuwa zinaonekana nyuso za huzuni sana, jinsi gani kifo cha Mzee Pama kilishika hisia za watu. Kila mtu alikuwa akimwongelea Mzee Pama kwa mazuri na pia aliwasaidia watu wengi sana enzi za uhai wake.

Mazingira yote ya pale kwa Pama zilionekana gari kali tu nazungumzia VX, V8, Range rovers, Jeeps, BMW, nknk. Gari zilijaa karibu mitaa yote ya karibu. Mzee Pama hakuwa mtu mdogo kabisa na eneo hili lilikuwa chini ya ulinzi mkali sana.

Mpaka saa 7 mchana zoezi la kuaga mwili lilikuwa limekamilika na mimi nilirudi Mbweni kwaajili ya kuweka mambo sawa kabla ya safari ya kwenda Tabora. Kwa upande mwingine Mary naye alikwenda home kujiandaa kwaajili ya safari ya baadae.

Ilibidi nirudi Mbweni ili kuweka mazingira vizuri kabla sijaondoka na lengo ilikuwa niwatambue watu ambao walikuwa wanabaki pale kwaajili ya usalama. Na watu waliobaki pale walikuwa ni ndugu wa Jane na baadhi ya rafiki zake. Na muda huu nilipata wazo nitafute Mlinzi wa kukaa pale getini kwaajili ya ulinzi.

Baada ya kuweka mambo sawa nilirudi home kubadilika na kuchukua baadhi ya nguo. Wakati naondoka nilimuaga Iryn naondoka kwenda Tabora na yeye alinitakia safari njema na akanikumbatia.

“Insider nawish nikupe kampani lakini itabidi nibaki kwaajili ya uangalizi wa biashara.”

“Usijali kuwa na amani mpaka sasa mchango wako umeonekana.”

Ilinibidi niache gari na nilirequest Uber ya Bajaji na wakati nasubiri pale kibarazani uliingia ujumbe wa TIGOPESA na kucheki Iryn alikuwa kaniingizia 500,000/=. Nilitabasamu ni kama alijua sina hela, ukweli ni kwamba nilikuwa nimetoboka sana hizi hela ndogo ndogo zilikuwa zinanitoka balaa pale msibani, hata ile Pesa aliyokuwa amenipa Mzee nilikuwa nishapunguza million 2 tayari kwenye masuala ya msiba.

Nilimpitia Mary pale kwao na alikuwa yuko tayari na alikuwa kavaa nguo full black kuanzia raba, T-shirt na miwani, kasoro skin jeans ilikuwa ya blue. Pia alikuwa kaninunulia miwani meusi na mimi kama zawadi.

Saa 9 alasiri tulikuwa pale Ununio kwajili ya kupata usafiri na tuliikuta costa moja tu imebaki na ilikuwa imejaa tayari. Wakati tukiendelea kushangaa pale na kuwaza namna ya kuondoka tulibahatika kupata gari landcruiser V8 ambayo ilikuwa inakwenda msibani na ilikuwa na seat 2 tu zimebaki.

Tuliondoka pale Ununio saa 10 jioni na Ilikuwa ni safari ya masaa 10 mpaka tunafika wilaya moja ya huko Tabora. Nakumbuka tulifika saa 8 usiku na baada ya kuwasili pale wilayani mjini tulikwenda moja kwa moja mpaka nyumbani kwa Mzee Pama, uzuri hakuwa mbali na pale mjini.

Mzee alikuwa amejenga bonge la mjengo na lilikuwa ni eneo kubwa sana ambalo alikuwa anaishi mama yake na baadhi ya ndugu zake. Ndani ya mjengo kulikuwa na garden kubwa na mazingira mazuri sana na yenye kuvutia.

Tulivyofika pale tulikuta msiba unaendelea na watu wengi walikuwa wame wasili tayari na wengine walikuwa wakiwasili. Mary aliingia ndani kuonana na Jane na sisi tulikaa pale nje tukiendelea na mkesha.

Story zilizokuwa zinasikika hapa ni pamoja na utajiri wa Mzee Pama, nilijua Mzee Pama alikuwa ni mstaafu moja ya kampuni kubwa ya uchimbani madini. Pia Pama alikuwa ana miliki vitalu vya dhahabu, bado alikuwa na kampuni ya madini. Alikuwa na mali na Pesa chafu bado alikuwa anamiliki mahotel na nyumba kibao, ila sasa ungemwona Pama jinsi alivyokuwa, alikuwa anaonekana wa kawaida sana.

*******

Ijumaa ndo siku ambayo Mzee Pama alilazwa kwenye Jumba lake la milele na mazishi yalianza mapema sana. Watu wa Tabora waliaga maiti na hata wengine wa Dar ambao hawakufanikiwa kuaga nao waliaga na wale waliotaka kuaga kwa mara ya mwisho walipewa nafasi.

Muda huu kulikuwa na vilio kila kona yaani daah moja ya siku ambayo siji kuisahau ni hii, watu walilia sana huku Tabora vilikuwa ni vilio na huzuni.

Kwa upande mwingine Mzee alikuwa kaandika waraka ambao aliwatambulisha wake zake wote kuanzia mke mkubwa, Jane na alikuwepo mke mwingine ambaye alikuwa na watoto 2 ambao wote ni wa kike. Mzee pama alikuwa na bahati sana na watoto wa kike ni Jane pekee ambaye alikuwa na mimba ya mtoto wa kiume.

Mzee Pama aliandika mambo mengi sana na mwisho kabisa alisema ameandika barua kuhusu mirathi itakavyogawiwa kwa wake zake, watoto na ndugu. Pia aliwataja baadhi ya marafiki zake akiwemo Mzee Juma wawe waangalizi wa Familia yake na baada ya kumaliza kusoma ule waraka kila mtu alibaki na huzuni. Ulikuwa ni waraka mrefu ambao ulikuwa umegusa sana hisia na mioyo ya watu.

Baada ya sala na kila kitu Pama aliingizwa ndani ya Jumba lake la milele. Ni kaburi ambalo lilikuwa limejengwa ndani na likafunikwa kwa nzege juu.

Familia ya Pama ilikuwa na makaburi yao na yalikuwa palepale kwake kwa upande wa nyuma na yalikuwa ndani ya uzio/fense. Makaburi yalikuwa na uzio wake ambao umeungana na nyumba na gate la kuingilia makaburini lilikuwa kwa nyuma linajitegemea na upande wa nyumba.

Kwa upande wa Familia ya Pama walizaliwa watoto wa4 tu kwa Baba yao, Pama alikuwa wa kwanza kuzaliwa, aliefuatia ni dada yake, watatu alikufa na wa mwisho alikuwa ni mdogo wao wa kiume. Baba yao alikufa na walikuwa wamebakiwa na mama yao tu, mpaka kifo cha Pama walikuwa wamebaki watoto 2 na Mama yao.

Hii siku pia nilibahatika kuwaona watoto wote wa Mzee Pama mpaka yule Binti yake wa kwanza mkubwa wa Canada na yule anayesoma Australia.

Mpaka saa 8 mchana mazishi yalikuwa yamekwisha na taratibu zote zilikuwa zimekamilika. Baada ya hapo tulirudi nyumbani kwaajili ya chakula huku taratibu zingine zikiendelea.

Baada ya kumaliza mazishi ule usiku watu walikuwa wamekaa kwenye magrupu wakinywa bia. Kulikuwa na bia za kila aina na nyama choma za kutosha maana kuna gari ilileta vinywaji na nyama kwa wingi, mbuzi na ng’ombe. Kama mnavyojua wabongo wakisha maliza kuzika wanasahau wanaanza kunywa ili kupunguza stress.

Na mimi muda huu nilikuwa nimekaa na watu wazima tukipigia story mbalimbali. Kwenye group letu kulikuwa na wazee na wababa ni mimi pekee nilikuwa kijana. Story zilizokuwa zinapigwa hapa ni siasa na biashara ofcourse nilipata idea nyingi sana za biashara ila shida maokoto tu ndugu zangu.

Mary alikuja akaliunga na sisi pale na story zilikuwa zikiendelea na kila mtu alikuwa anaelezea jinsi alivyokutana na Mzee Pama mpaka kifo chake. Mary alionekana kuchoka sana na aliishia kulala kwenye mapaja yangu.

Huu usiku pia niliweza kuongea na Mzee Juma na tukaagana maana alisema kwa kesho tusingeweza kuonana atakuwa busy na kikao. Mzee Juma alisema ataendelea kubaki pale kwa siku mbili na tutaonana Dar akirudi kwa ajili ya mazungumzo zaidi. Alinipa pesa ya nauli kwaajili ya kurudia Dar na baadae kuja kuhesabu ilikuwa ni laki 3.

Ile Jumamosi asubuhi watu wengu walianza kuondoka pale kwa Mzee Pama na mimi nilimwambia Mary tutaondoka na ileile V8 tuliyokuja nayo.

Saa 6 mchana tulitegemea kuanza safari ya kurudi Dar na kabla ya kuanza safari nilitumia kuongea na Jane. Jane alishukuru sana kwa kujitoa kwangu kwake na alisema yeye bado ataendelea kubaki mpaka vikao vya familia vitakapo kwisha.

Kwa upande mwingine aliniomba niendelee kumwangalizia nyumba yake maana kule alikuwa amebaki mama yake. Mnajua Jane alikuwa amelia mpaka sauti yake ilikauka na macho yalikuwa mekundu sana.

Saa 6 mchana mapema kabisa tulianza safari ya kurudi Dar na njiani tulikuwa hatujui vibao vya 50 ilikuwa ni spidi tu. Saa 4 usiku tuliwasilia Dar na walituacha pale Ubungo mataa wao walikuwa wanaelekea Tabata. Nilifanya kurequest usafiri kwaajili ya Mary na mimi nilichukua bajaji kwenda Changanyikeni kulala kwa Prisca.

Wiz khalifa ft Charlie Puth- See you Again.

TO BE CONTINUED
nilichukua bajaji kwenda Changanyikeni kulala kwa Prisca.

 
Mzee Pama alikuwa si kinyonge mshiko alikuwa anao. Mnyamwezi mnyamwezi kweli. Wosia ndo kila kitu hapo hakuna ndugu kugombana wala wake kutupiana majini kugombea mali. All in All the story is too amazing. Congrats once again Mr Insider and very sorry for Man United defeat.

Arsenal angefungwa nisingekuja hapa.
 
EXTRA EPISODE 03

IN LOVING MEMORY OF MR. PAMA

Mzee Pama alikuwa na sumbuliwa na ugonjwa uliomtesa kwa zaidi ya miaka 12, mpaka kifo chake kinatokea ilikuwa ni tayari muda umefika. Hata kusurvive kwa kipindi chote hicho ni sababu ya Pesa tu, la sivyo angekuwa alikufa muda sana.

Mzee Pama aliandika waraka toka May na aliandika barua ya Mirathi June week moja kabla ya kifo chake, ni kama alikiona kifo chake mapema.

Mzee Pama alikufa akiwa na watoto watano (5) ambao wote ni mabinti na aliacha mjamzito ambaye ni Jane ambaye alikuwa anatarajia kupata mtoto wa kiume. Hata waraka ulivyosomwa kuwa Jane atapata mtoto wa kiume watu walionekana kufurahishwa sana na zile taarifa.

Mzee pia aliacha Jina la kuitwa mtoto wake wa kiume akizaliwa na baada ya Jane kujifungua alipewa hilo jina X.

Mzee Pama alikuwa ni mstaafu wa Kampuni moja kubwa tu ya kimataifa inadeal na uchimbaji wa madini hapa nchini. Licha ya kustaafu bado walikuwa wanamtumia kwenye Project zao kwenye nchi nyingi hapa Africa. Pia mzee Pama alikuwa ana kampuni zake za kununua na kuuza madini na alikuwa na vitalu pia so alikuwa ana Pesa balaa.

Siku ambayo alikuwa anaagwa pale kwake Ununio mimi na Mary si tulikwenda kujiandikisha kwenye daftari la mahudhurio?. Kimbembe ni kwamba ulikuwa unaandika Majina yako, unakotokea, namba ya simu, Mahusiano yako na Marehemu, kiasi chako cha mchango wako na mwisho kabisa ulikuwa una sign.

Mary ndo alikuwa wa kwanza kuanza kuandika na mimi sikuwa siriazi muda ule sasa baada ya kumaliza nilifata mimi. Nilivyofika kwenye mchango nikasema ngoja niangalie wengine wameandikaje kwakweli nilidata maana watu walikuwa wanatoa michango mikubwa balaa.

Niliona watu wameandika michango mikubwa sana hizi milioni 5, 10 zilikuwa kibao kwenye ile page, wa laki walikuwa wakuhesabika. Kabla ya Mary Pesa ndogo ilikuwa ni laki 5 sasa baada ya kuona Mary kaandika laki 2 ilibidi nicheke kimoyomoyo. Mimi ukweli nilichangia laki 5 maana pesa yenyewe nilitoa kwa zile ambazo alikuwa kanitumia Mzee Pama.

Niliwaza muda ule kutoa pesa yote iliyokuwa imebaki milion 4 kwa account maana milion 2 nilikuwa nishaiutoa tayari kule Mbweni. Lakini nikakumbuka Mzee alisema ananipa Pesa kwaajili ya Shukran na kunipa assist nilikokwama niliamua kuchangia laki 5. Na niliwaza pesa itakayobaki nitafanya jambo kwaajili ya ukumbusho wake.

Malipo yalikuwa yanafanyika kwa bank au Lipa namba na zilikuwa palepale kwa daftari. Nilishangaa sana kuona watu wakichanga pesa nyingi vile hapo watu Karibu 500 kasoro walikuwa washajiandikisha tayari.

Mary alishangaa sana alinambia “Insider hata nilikuwa sijui niweke kiasi gani maana niliona watu wanatoa michango mikubwa balaa ikabidi nijivute na mimi sio mbaya”.

Nilicheka sana kwakweli, hapa ndo nikawaza ukiwa maskini utazikwa na maskini ukiwa Tajir utazikwa na matajiri.

Kitu kingine msiba ulisimamiwa na Kikundi cha Mzee Pama ambacho huwa wanasaidiana kwenye shida na Raha. Walisimamia kila kitu mpaka mazishi na bado walitoa rambirambi kwa wafiwa. Yaani ile michango ilikuwa sio kitu tuseme haikutumika kabisa.

Mzee Pama nilifanya naye kazi nyingi na alinisaidia sana kiuchumi kielimu nk. Bado tumetoka sana out kama Samaki Samaki tumekwenda sana. Ni mambo mengi sana ambayo sikuyandika humu, alikuwa ni rafiki, Mzazi na mshauri kwangu.

Mzee Pama alinifundisha sana maisha na jinsi ya kuishi na watu, pia mzee aliniamini na alinipenda sana kama kijana wake. Kitu ambacho kilimkosesha raha Mzee Pama ni kukosa mtoto wa kiume tu.

R.I.P mzee Pama kila June nitaendelelea kukumbuka na kukuenzi kwa yote. Uliniachia task ya kuwa karibu na Jane na sasa ana mtoto wako wa Kiume wa miezi 9 na ana afya tele.

Ni vitu vingi sana vilitokea kwenye huu msiba ikiwemo watoto zake wote kusomeshwa mpaka chuo, siwezi kumbuka vyote.

Kingine June hii tulikwenda Tabora na Jane kulitembelea kaburi lake na kuweka maua. Niliteseka sana baada ya kifo chake nilikuwa na stress sana na nilikuwa nikimwota sana usiku Mzee na ndotoni nilikuwa naona akicheza na mwanae.

Baada ya kifo cha Mzee Pama niliamua
kuachana na Biashara ya Uber/Bolt kama heshima yangu kwake.

Hii ni moja ya kumbukumbu kubwa na mbaya sana ambayo biashara ya Uber iliniachia kwenye historia ya maisha yangu. Kumbukumbu ingine tutaikuta huko mbele kidogo.

R.I.P MZEE PAMA MUNGU AENDELEE KUKULAZA MAHALI PEMA PEPONI.

Romans 14:8
"If we live, we live for the Lord, and if we die, we die for the Lord. So, whether we live or die, we belong to the Lord."

Warumi 14:8
"Kwa maana kama tukiishi, twaishi kwa Bwana, au kama tukifa, twafa kwa Bwana. Basi kama tukiishi au kama tukifa, tu mali ya Bwana"



AMEN

EPISODE 46
Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
 
ADDITION

IN LOVING MEMORY OF MR. PAMA

Mzee Pama alikuwa na sumbuliwa na ugonjwa uliomtesa kwa zaidi ya miaka 12, mpaka kifo chake kinatokea ilikuwa ni tayari muda umefika. Hata kusurvive kwa kipindi chote hicho ni sababu ya Pesa tu, la sivyo angekuwa alikufa muda sana.

Mzee Pama aliandika waraka toka May na aliandika barua ya Mirathi June week moja kabla ya kifo chake, ni kama alikiona kifo chake mapema.

Mzee Pama alikufa akiwa na watoto watano (5) ambao wote ni mabinti na aliacha mjamzito ambaye ni Jane ambaye alikuwa anatarajia kupata mtoto wa kiume. Hata waraka ulivyosomwa kuwa Jane atapata mtoto wa kiume watu walionekana kufurahishwa sana na zile taarifa.

Mzee pia aliacha Jina la kuitwa mtoto wake wa kiume akizaliwa na baada ya Jane kujifungua alipewa hilo jina X.

Mzee Pama alikuwa ni mstaafu wa Kampuni moja kubwa tu ya kimataifa inadeal na uchimbaji wa madini hapa nchini. Licha ya kustaafu bado walikuwa wanamtumia kwenye Project zao kwenye nchi nyingi hapa Africa. Pia mzee Pama alikuwa ana kampuni zake za kununua na kuuza madini na alikuwa na vitalu pia so alikuwa ana Pesa balaa.

Siku ambayo alikuwa anaagwa pale kwake Ununio mimi na Mary si tulikwenda kujiandikisha kwenye daftari la mahudhurio?. Kimbembe ni kwamba ulikuwa unaandika Majina yako, unakotokea, namba ya simu, Mahusiano yako na Marehemu, kiasi chako cha mchango wako na mwisho kabisa ulikuwa una sign.

Mary ndo alikuwa wa kwanza kuanza kuandika na mimi sikuwa siriazi muda ule sasa baada ya kumaliza nilifata mimi. Nilivyofika kwenye mchango nikasema ngoja niangalie wengine wameandikaje kwakweli nilidata maana watu walikuwa wanatoa michango mikubwa balaa.

Niliona watu wameandika michango mikubwa sana hizi milioni 5, 10 zilikuwa kibao kwenye ile page, wa laki walikuwa wakuhesabika. Kabla ya Mary Pesa ndogo ilikuwa ni laki 5 sasa baada ya kuona Mary kaandika laki 2 ilibidi nicheke kimoyomoyo. Mimi ukweli nilichangia laki 5 maana pesa yenyewe nilitoa kwa zile ambazo alikuwa kanitumia Mzee Pama.

Niliwaza muda ule kutoa pesa yote iliyokuwa imebaki milion 4 kwa account maana milion 2 nilikuwa nishaiutoa tayari kule Mbweni. Lakini nikakumbuka Mzee alisema ananipa Pesa kwaajili ya Shukran na kunipa assist nilikokwama niliamua kuchangia laki 5. Na niliwaza pesa itakayobaki nitafanya jambo kwaajili ya ukumbusho wake.

Malipo yalikuwa yanafanyika kwa bank au Lipa namba na zilikuwa palepale kwa daftari. Nilishangaa sana kuona watu wakichanga pesa nyingi vile hapo watu Karibu 500 kasoro walikuwa washajiandikisha tayari.

Mary alishangaa sana alinambia “Insider hata nilikuwa sijui niweke kiasi gani maana niliona watu wanatoa michango mikubwa balaa ikabidi nijivute na mimi sio mbaya”.

Nilicheka sana kwakweli, hapa ndo nikawaza ukiwa maskini utazikwa na maskini ukiwa Tajir utazikwa na matajiri.

Kitu kingine msiba ulisimamiwa na Kikundi cha Mzee Pama ambacho huwa wanasaidiana kwenye shida na Raha. Walisimamia kila kitu mpaka mazishi na bado walitoa rambirambi kwa wafiwa. Yaani ile michango ilikuwa sio kitu tuseme haikutumika kabisa.

Mzee Pama nilifanya naye kazi nyingi na alinisaidia sana kiuchumi kielimu nk. Bado tumetoka sana out kama Samaki Samaki tumekwenda sana. Ni mambo mengi sana ambayo sikuyandika humu, alikuwa ni rafiki, Mzazi na mshauri kwangu.

Mzee Pama alinifundisha sana maisha na jinsi ya kuishi na watu, pia mzee aliniamini na alinipenda sana kama kijana wake. Kitu ambacho kilimkosesha raha Mzee Pama ni kukosa mtoto wa kiume tu.

R.I.P mzee Pama kila June nitaendelelea kukumbuka na kukuenzi kwa yote. Uliniachia task ya kuwa karibu na Jane na sasa ana mtoto wako wa Kiume wa miezi 9 na ana afya tele.

Ni vitu vingi sana vilitokea kwenye huu msiba ikiwemo watoto zake wote kusomeshwa mpaka chuo, siwezi kumbuka vyote.

Kingine June hii tulikwenda Tabora na Jane kulitembelea kaburi lake na kuweka maua. Niliteseka sana baada ya kifo chake nilikuwa na stress sana na nilikuwa nikimwota sana usiku Mzee na ndotoni nilikuwa naona akicheza na mwanae.

Baada ya kifo cha Mzee Pama niliamua
kuachana na Biashara ya Uber/Bolt kama heshima yangu kwake.

Hii ni moja ya kumbukumbu kubwa na mbaya sana ambayo biashara ya Uber iliniachia kwenye historia ya maisha yangu. Kumbukumbu ingine tutaikuta huko mbele kidogo.

R.I.P MZEE PAMA MUNGU AENDELEE KUKULAZA MAHALI PEMA PEPONI.

Romans 14:8
"If we live, we live for the Lord, and if we die, we die for the Lord. So, whether we live or die, we belong to the Lord."

Warumi 14:8
"Kwa maana kama tukiishi, twaishi kwa Bwana, au kama tukifa, twafa kwa Bwana. Basi kama tukiishi au kama tukifa, tu mali ya Bwana"


AMEN
Daah!
 
ADDITION

IN LOVING MEMORY OF MR. PAMA

Mzee Pama alikuwa na sumbuliwa na ugonjwa uliomtesa kwa zaidi ya miaka 12, mpaka kifo chake kinatokea ilikuwa ni tayari muda umefika. Hata kusurvive kwa kipindi chote hicho ni sababu ya Pesa tu, la sivyo angekuwa alikufa muda sana.

Mzee Pama aliandika waraka toka May na aliandika barua ya Mirathi June week moja kabla ya kifo chake, ni kama alikiona kifo chake mapema.

Mzee Pama alikufa akiwa na watoto watano (5) ambao wote ni mabinti na aliacha mjamzito ambaye ni Jane ambaye alikuwa anatarajia kupata mtoto wa kiume. Hata waraka ulivyosomwa kuwa Jane atapata mtoto wa kiume watu walionekana kufurahishwa sana na zile taarifa.

Mzee pia aliacha Jina la kuitwa mtoto wake wa kiume akizaliwa na baada ya Jane kujifungua alipewa hilo jina X.

Mzee Pama alikuwa ni mstaafu wa Kampuni moja kubwa tu ya kimataifa inadeal na uchimbaji wa madini hapa nchini. Licha ya kustaafu bado walikuwa wanamtumia kwenye Project zao kwenye nchi nyingi hapa Africa. Pia mzee Pama alikuwa ana kampuni zake za kununua na kuuza madini na alikuwa na vitalu pia so alikuwa ana Pesa balaa.

Siku ambayo alikuwa anaagwa pale kwake Ununio mimi na Mary si tulikwenda kujiandikisha kwenye daftari la mahudhurio?. Kimbembe ni kwamba ulikuwa unaandika Majina yako, unakotokea, namba ya simu, Mahusiano yako na Marehemu, kiasi chako cha mchango wako na mwisho kabisa ulikuwa una sign.

Mary ndo alikuwa wa kwanza kuanza kuandika na mimi sikuwa siriazi muda ule sasa baada ya kumaliza nilifata mimi. Nilivyofika kwenye mchango nikasema ngoja niangalie wengine wameandikaje kwakweli nilidata maana watu walikuwa wanatoa michango mikubwa balaa.

Niliona watu wameandika michango mikubwa sana hizi milioni 5, 10 zilikuwa kibao kwenye ile page, wa laki walikuwa wakuhesabika. Kabla ya Mary Pesa ndogo ilikuwa ni laki 5 sasa baada ya kuona Mary kaandika laki 2 ilibidi nicheke kimoyomoyo. Mimi ukweli nilichangia laki 5 maana pesa yenyewe nilitoa kwa zile ambazo alikuwa kanitumia Mzee Pama.

Niliwaza muda ule kutoa pesa yote iliyokuwa imebaki milion 4 kwa account maana milion 2 nilikuwa nishaiutoa tayari kule Mbweni. Lakini nikakumbuka Mzee alisema ananipa Pesa kwaajili ya Shukran na kunipa assist nilikokwama niliamua kuchangia laki 5. Na niliwaza pesa itakayobaki nitafanya jambo kwaajili ya ukumbusho wake.

Malipo yalikuwa yanafanyika kwa bank au Lipa namba na zilikuwa palepale kwa daftari. Nilishangaa sana kuona watu wakichanga pesa nyingi vile hapo watu Karibu 500 kasoro walikuwa washajiandikisha tayari.

Mary alishangaa sana alinambia “Insider hata nilikuwa sijui niweke kiasi gani maana niliona watu wanatoa michango mikubwa balaa ikabidi nijivute na mimi sio mbaya”.

Nilicheka sana kwakweli, hapa ndo nikawaza ukiwa maskini utazikwa na maskini ukiwa Tajir utazikwa na matajiri.

Kitu kingine msiba ulisimamiwa na Kikundi cha Mzee Pama ambacho huwa wanasaidiana kwenye shida na Raha. Walisimamia kila kitu mpaka mazishi na bado walitoa rambirambi kwa wafiwa. Yaani ile michango ilikuwa sio kitu tuseme haikutumika kabisa.

Mzee Pama nilifanya naye kazi nyingi na alinisaidia sana kiuchumi kielimu nk. Bado tumetoka sana out kama Samaki Samaki tumekwenda sana. Ni mambo mengi sana ambayo sikuyandika humu, alikuwa ni rafiki, Mzazi na mshauri kwangu.

Mzee Pama alinifundisha sana maisha na jinsi ya kuishi na watu, pia mzee aliniamini na alinipenda sana kama kijana wake. Kitu ambacho kilimkosesha raha Mzee Pama ni kukosa mtoto wa kiume tu.

R.I.P mzee Pama kila June nitaendelelea kukumbuka na kukuenzi kwa yote. Uliniachia task ya kuwa karibu na Jane na sasa ana mtoto wako wa Kiume wa miezi 9 na ana afya tele.

Ni vitu vingi sana vilitokea kwenye huu msiba ikiwemo watoto zake wote kusomeshwa mpaka chuo, siwezi kumbuka vyote.

Kingine June hii tulikwenda Tabora na Jane kulitembelea kaburi lake na kuweka maua. Niliteseka sana baada ya kifo chake nilikuwa na stress sana na nilikuwa nikimwota sana usiku Mzee na ndotoni nilikuwa naona akicheza na mwanae.

Baada ya kifo cha Mzee Pama niliamua
kuachana na Biashara ya Uber/Bolt kama heshima yangu kwake.

Hii ni moja ya kumbukumbu kubwa na mbaya sana ambayo biashara ya Uber iliniachia kwenye historia ya maisha yangu. Kumbukumbu ingine tutaikuta huko mbele kidogo.

R.I.P MZEE PAMA MUNGU AENDELEE KUKULAZA MAHALI PEMA PEPONI.

Romans 14:8
"If we live, we live for the Lord, and if we die, we die for the Lord. So, whether we live or die, we belong to the Lord."

Warumi 14:8
"Kwa maana kama tukiishi, twaishi kwa Bwana, au kama tukifa, twafa kwa Bwana. Basi kama tukiishi au kama tukifa, tu mali ya Bwana"


AMEN
pole kaka aisee
 
Huu uzi unafuatiliwa sana, kwa sasa views imefika one Million (1M) sio mchezo, yani pamoja na baadhi ya wajinga waliojitokeza katikati kuuponda wakadhani watu wataacha kuufatilia ila watu WANAUFATILIA KWA KARIBU na nadhani kuna watu wengi huwa wanasubiria muendelezo ila hawacomment wala nini wal kulalamika ila wapo bampa to bampa congratulations kwa INSIDER Mtu mbad umewashika masikio watu million moja JF sio jambo la kitoto aisee your the best 2023, episode 42 Ila views 1M je zingalikuwa episodes 100 view wangekuwa 2.5M. Leo nijumapili tunasubiria muendelezo Mubashara hapa. We keep on waiting.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu uzi unafuatiliwa sana, kwa sasa views imefika one Million (1M) sio mchezo, yani pamoja na baadhi ya wajinga waliojitokeza katikati kuuponda wakadhani watu wataacha kuufatilia ila watu WANAUFATILIA KWA KARIBU na nadhani kuna watu wengi huwa wanasubiria muendelezo ila hawacomment wala nini wal kulalamika ila wapo bampa to bampa congratulations kwa INSIDER Mtu mbad umewashika masikio watu million moja JF sio jambo la kitoto aisee your the best 2023, episode 42 Ila views 1M je zingalikuwa episodes 100 view wangekuwa 2.5M. Leo nijumapili tunasubiria muendelezo Mubashara hapa. We keep on waiting.

Sent using Jamii Forums mobile app
@utajua ujui nishaandaa zana zote za kukudidimizia msumari nikupake bamia au wesee????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ADDITION

IN LOVING MEMORY OF MR. PAMA

Mzee Pama alikuwa na sumbuliwa na ugonjwa uliomtesa kwa zaidi ya miaka 12, mpaka kifo chake kinatokea ilikuwa ni tayari muda umefika. Hata kusurvive kwa kipindi chote hicho ni sababu ya Pesa tu, la sivyo angekuwa alikufa muda sana.

Mzee Pama aliandika waraka toka May na aliandika barua ya Mirathi June week moja kabla ya kifo chake, ni kama alikiona kifo chake mapema.

Mzee Pama alikufa akiwa na watoto watano (5) ambao wote ni mabinti na aliacha mjamzito ambaye ni Jane ambaye alikuwa anatarajia kupata mtoto wa kiume. Hata waraka ulivyosomwa kuwa Jane atapata mtoto wa kiume watu walionekana kufurahishwa sana na zile taarifa.

Mzee pia aliacha Jina la kuitwa mtoto wake wa kiume akizaliwa na baada ya Jane kujifungua alipewa hilo jina X.

Mzee Pama alikuwa ni mstaafu wa Kampuni moja kubwa tu ya kimataifa inadeal na uchimbaji wa madini hapa nchini. Licha ya kustaafu bado walikuwa wanamtumia kwenye Project zao kwenye nchi nyingi hapa Africa. Pia mzee Pama alikuwa ana kampuni zake za kununua na kuuza madini na alikuwa na vitalu pia so alikuwa ana Pesa balaa.

Siku ambayo alikuwa anaagwa pale kwake Ununio mimi na Mary si tulikwenda kujiandikisha kwenye daftari la mahudhurio?. Kimbembe ni kwamba ulikuwa unaandika Majina yako, unakotokea, namba ya simu, Mahusiano yako na Marehemu, kiasi chako cha mchango wako na mwisho kabisa ulikuwa una sign.

Mary ndo alikuwa wa kwanza kuanza kuandika na mimi sikuwa siriazi muda ule sasa baada ya kumaliza nilifata mimi. Nilivyofika kwenye mchango nikasema ngoja niangalie wengine wameandikaje kwakweli nilidata maana watu walikuwa wanatoa michango mikubwa balaa.

Niliona watu wameandika michango mikubwa sana hizi milioni 5, 10 zilikuwa kibao kwenye ile page, wa laki walikuwa wakuhesabika. Kabla ya Mary Pesa ndogo ilikuwa ni laki 5 sasa baada ya kuona Mary kaandika laki 2 ilibidi nicheke kimoyomoyo. Mimi ukweli nilichangia laki 5 maana pesa yenyewe nilitoa kwa zile ambazo alikuwa kanitumia Mzee Pama.

Niliwaza muda ule kutoa pesa yote iliyokuwa imebaki milion 4 kwa account maana milion 2 nilikuwa nishaiutoa tayari kule Mbweni. Lakini nikakumbuka Mzee alisema ananipa Pesa kwaajili ya Shukran na kunipa assist nilikokwama niliamua kuchangia laki 5. Na niliwaza pesa itakayobaki nitafanya jambo kwaajili ya ukumbusho wake.

Malipo yalikuwa yanafanyika kwa bank au Lipa namba na zilikuwa palepale kwa daftari. Nilishangaa sana kuona watu wakichanga pesa nyingi vile hapo watu Karibu 500 kasoro walikuwa washajiandikisha tayari.

Mary alishangaa sana alinambia “Insider hata nilikuwa sijui niweke kiasi gani maana niliona watu wanatoa michango mikubwa balaa ikabidi nijivute na mimi sio mbaya”.

Nilicheka sana kwakweli, hapa ndo nikawaza ukiwa maskini utazikwa na maskini ukiwa Tajir utazikwa na matajiri.

Kitu kingine msiba ulisimamiwa na Kikundi cha Mzee Pama ambacho huwa wanasaidiana kwenye shida na Raha. Walisimamia kila kitu mpaka mazishi na bado walitoa rambirambi kwa wafiwa. Yaani ile michango ilikuwa sio kitu tuseme haikutumika kabisa.

Mzee Pama nilifanya naye kazi nyingi na alinisaidia sana kiuchumi kielimu nk. Bado tumetoka sana out kama Samaki Samaki tumekwenda sana. Ni mambo mengi sana ambayo sikuyandika humu, alikuwa ni rafiki, Mzazi na mshauri kwangu.

Mzee Pama alinifundisha sana maisha na jinsi ya kuishi na watu, pia mzee aliniamini na alinipenda sana kama kijana wake. Kitu ambacho kilimkosesha raha Mzee Pama ni kukosa mtoto wa kiume tu.

R.I.P mzee Pama kila June nitaendelelea kukumbuka na kukuenzi kwa yote. Uliniachia task ya kuwa karibu na Jane na sasa ana mtoto wako wa Kiume wa miezi 9 na ana afya tele.

Ni vitu vingi sana vilitokea kwenye huu msiba ikiwemo watoto zake wote kusomeshwa mpaka chuo, siwezi kumbuka vyote.

Kingine June hii tulikwenda Tabora na Jane kulitembelea kaburi lake na kuweka maua. Niliteseka sana baada ya kifo chake nilikuwa na stress sana na nilikuwa nikimwota sana usiku Mzee na ndotoni nilikuwa naona akicheza na mwanae.

Baada ya kifo cha Mzee Pama niliamua
kuachana na Biashara ya Uber/Bolt kama heshima yangu kwake.

Hii ni moja ya kumbukumbu kubwa na mbaya sana ambayo biashara ya Uber iliniachia kwenye historia ya maisha yangu. Kumbukumbu ingine tutaikuta huko mbele kidogo.

R.I.P MZEE PAMA MUNGU AENDELEE KUKULAZA MAHALI PEMA PEPONI.

Romans 14:8
"If we live, we live for the Lord, and if we die, we die for the Lord. So, whether we live or die, we belong to the Lord."

Warumi 14:8
"Kwa maana kama tukiishi, twaishi kwa Bwana, au kama tukifa, twafa kwa Bwana. Basi kama tukiishi au kama tukifa, tu mali ya Bwana"


AMEN
pole sana
 
Hongera kwa Utu na upendo ulionao juu wa wale wa karibu yako.

Maisha yanatufundisha vitu vingi sana,sema binadamu tumeumbiwa kusahau.

Naomba kujua ile gari ulimpa Jane,au ulifanya utaratibu gani,na kuna kipi kikubwa Mzee Juma alihitaji kukushilikisha?

Thanks in advance
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom