Jini wa daraja la Salendar

Jini wa daraja la Salendar

Dear sir,
James Erick Shigongo
nakukabithi huyu mtu labda mnaweaza kufanya kazi ya kuburudisha jamii
vizuri zaidi.
ubarikiwe kiongozi
 
Au nije nikupe kampan best wangu!
Hadithi tamu hii! Hivi huyu jini hawezi kutufuata tulio mbali na sie baada ya kuijua siri yake? Maana naogopa kweli mwenzio humu chumbani, huwa nazima taa wakati wa kulala lakini leo inaweza kulala on!
 
Asante kwa burudani MziziMkavu! We real appreciate your story! Kama IPO na nyingine usisite kutupa burudani watanzania wenzako tunaonyonywa na mafisadi WA kitanzania! At least utufariji!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
asante kwa hadithi nzuri! imeniweka bize kama nafanya mtihani vile... big up Mzizi Mkavu
 
Last edited by a moderator:
Au nije nikupe kampan best wangu!
hahaha njoo best! Mungu ndo mlinzi mkubwa lakini huwa si msahau kamwe kila siku sikosi kuuweka uso wangu chini kumuomba! Balkis hana nafasi kwangu hehehe GOOGLE
 
Last edited by a moderator:
Asante MziziMkavu kwa story ila mimi napendekeza wewe na yule Chai Chungu mfungiwe japo kwa wiki moja ili watu tufanye kazi kidogo wiki ijayo maofisini!! Loool. Au MODs kutusaidia wasiruhusu wewe na CC muwe mnarusha story zenu kwa wakati mmoja asee kwani hii ina affect sana utendaji makazini.....
 
Uliniogopesha ndo mana sikuja best. Lkn bora kumekucha!
hahaha njoo best! Mungu ndo mlinzi mkubwa lakini huwa si msahau kamwe kila siku sikosi kuuweka uso wangu chini kumuomba! Balkis hana nafasi kwangu hehehe GOOGLE
 
Last edited by a moderator:
Daraja la Salenda bridge!

Kwani hujaelewa nini mkuu Magano? Au nikuongezee dozi? Haya sasa, 'barabara ya Morogoro road', ahahahahahaaaaa sisi ndiyo watanzania bwana!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Mkuu.@muuza ubuyu Yule Mgonjwako wako wa Maradhi ya kwikwi alipona? ulimpa ile Dawa yangu niliyokufundisha?

Alipona mkuu wangu MziziMkavu! Niliwapa taarifa ya dawa ila hawakumpatia aina hiyo! Ila nashukuru sana kwa elimu ya dawa hiyo kwani sijaisahau hivyo tatizo la aina hiyo likijitokeza lazima niifanyie kazi!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom