Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,586
- 161,451
Majina yana maana kubwa sana kwenye maisha yetu.
Tabia na muonekano wetu umejengwa kwa kiasi kikubwa na majina tuliyopewa.
Mtoto akiitwa siwema, kamwe hawezi kuwa mwema.
Ukimuita mwanao Majuto, daima atakuwa anajuta.
Haya sasa oneni maajabu haya yaliyotokea Sinza.
Tabia na muonekano wetu umejengwa kwa kiasi kikubwa na majina tuliyopewa.
Mtoto akiitwa siwema, kamwe hawezi kuwa mwema.
Ukimuita mwanao Majuto, daima atakuwa anajuta.
Haya sasa oneni maajabu haya yaliyotokea Sinza.