kichomi
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 507
- 54
Habari zenu wakuu madadaz na makakaz,
nimesikia uvumi nikiwa kwenye daladala nikaona bora nije kuuliza hapa jamvini,
kwa kuwa hapa ndio sehemu tunayopatia habari za nchi nzima,
nimeona bora nije kuuliza na ninajua ntapata majibu,
Inasemekana kwamba Arusha,Mwanza na Mbeya,
neno CCM limekuwa tusi kubwa sana lenye maana zaidi ya 10,
mlioko mikoa hiyo je ni kweli?
nasubiri majibu.
nimesikia uvumi nikiwa kwenye daladala nikaona bora nije kuuliza hapa jamvini,
kwa kuwa hapa ndio sehemu tunayopatia habari za nchi nzima,
nimeona bora nije kuuliza na ninajua ntapata majibu,
Inasemekana kwamba Arusha,Mwanza na Mbeya,
neno CCM limekuwa tusi kubwa sana lenye maana zaidi ya 10,
mlioko mikoa hiyo je ni kweli?
nasubiri majibu.