Jina lako lina-trend wapi leo?

Ila wewe dada, sijui kwanini bada ya kusoma haya yote, nimejikuta nacheka tu 🤣🤣!

Kumbe na wewe unasomaga mada za raha 😅

Basi, na Mungu wako unayemuamini akubariki uendelee kuifanya kazi yake kwa uaminifu 🙏🏽
 
Ila wewe dada, sijui kwanini bada ya kusoma haya yote, nimejikuta nacheka tu 🤣🤣!

Kumbe na wewe unasomaga mada za raha 😅

Basi, na Mungu wako unayemuamini akubariki uendelee kuifanya kazi yake kwa uaminifu 🙏🏽
Nilisoma mada yako kwa juu juu tu, moyo wangu ukaanza kuhuzunika kwa ajili yako. Ndio sababu naku-tag mara kwa mara. Nimefurahi umecheka baada ya kusoma majibu yangu. Naamini utatubu na kuokoka, soon. Na mimi nitaendelea kukuombea. Mungu akubariki sana. Amen
 
Siku nyingine urudi ukasome vizuri.

Asante kwa kunitag ila kwanini ulihuzunika mtumishi?

Kwani wewe huwa hupewi raha 🍑💦? au ndiyo unaamini ni mambo ya sirini?
 
Sawa
 
Hio Dua kufika kwake ni ngumu maana ilo jina la setfree mbiguni haliko na duniani liko Kwa jf tuh
😅😅nimekumbuka kuna nabii mmoja alitupiga ety kanisani alikuwa anampigia Mungu simu
 
Kwenye kula vichwa vya wale nyoka wa kijani.Wenye takwimu ya vichwa vya nyoka wa kijani vilivyoliwa leo,hawa pia wanaitwa green mamba,japo pia wapo black mamba nasumu zao na ukatili wao unafanana na ni waviwango vya juu kabisa.Anaombwa kutupia takwimu hapa jukwaani.
 
Unafurahia kula vichwa vya wengine, siku cha kwako kikiliwa itakuwaje
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…