asubuhi sana
JF-Expert Member
- Mar 18, 2015
- 1,669
- 1,418
Mshana hapa hujanishawishi ......





Achana naye huyo na mimi ni CURSED CHARM.... Naomba tafsiri tafadhari
Duh mbona nachukia uchawi sana?
Nitafsirie na CURSED SOUL
CURSED WENCH
Haya mambo ni elimu tu za ufahamu si lazima zifanye kaziDuh mbona nachukia uchawi sana?
Basi hii itakuwa haina maana kwangu.
Hapo sawa maana nilishatishika
Ya kwanza ni mtafuta uchawiYa kwanza ni "Sorcerous Seeker"
Ya pili ni "Meg Toadstool"
Tafsiri hapo mkuu mshana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mamaeee ngoja nianze kuusaka mashariki na magharibi, kusini na kaskazini.Ya kwanza ni mtafuta uchawi
Ya pili ni mega (kubwa) haja ya chura..![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Mamaeee ngoja nianze kuusaka mashariki na magharibi, kusini na kaskazini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mungu langu hapo halipoNiwatakie baraka tele na amani kwa wale watakaojaaliwa kwenda ibadani.... Ni jambo jema, tena la kheri.... Mkawaombee na wote wenye shida mbalimbali za kiroho na kimwili pia, ugongwa na taabu, wasafirio nchi kavu angani na bahatini..... Muwakumbuke yatima na wajane pia... Aamen
Kama ilivyo kwenye maisha yetu kila mmoja hakosi jina, liwe la kimila ama la kizungu au la kiarabu ni jina lako, liwe la kujipachika mwenyewe, la utani ama la bandia bado litabaki kuwa jina lako.....
Lakini vile vile kila mmoja wetu hapa ana siku yake! I mean siku ya kuzaliwa na kufa pia! Kila mmoja wetu ana bahati yake, nyota yake nknk... Huo ndio ukamilifu wa mwanadamu KUMILIKI.....
Tunamiliki vizuri na vibaya! Visivyoonekana na vinavyoonekana.... Tusivyovijua na tunavyovijua... Jina la kichawi ni mojawapo ya vitu unavyomiliki kiasili
Imekaaje hii? Utajuaje? Unalipataje jina lako la kichawi?
Chukua herufi ya kwanza ya jina lako na herufi ya kwanza ya ubini wako kisha linganisha na tafsiri yake kwenye jedwali la kizungu hapa chini.... Ni rahisi mnoView attachment 580503kama kuna shida kidogo ya lugha tafuta kamusi ama lete hapa utapata tafsiri yake sahihi kwa kiswahili fasaha (sio kikwenu) linganisha tafsiri hiyo na maisha yako... Unaweza kujikuta wewe ni mchawi mahiri bila kujijua
Zingatia wale tunaowaita wana midomo mibaya! Kwamba akikutamkia jambo baya lazima likutokee... Akikwambia UTAKUFA.... Utakufa kweli![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
uongo wa wazungu wa kwenye biblia umekukamata mkuu...nyinyi ndo mnaoamini mungu ni mzunguWote mnaotekwa na huyu, mna ujinga wa kiwango cha uprofessa!
Eti angalia jina la kichawi nawe unajikurupukia. Tena leo ni jumapili Mungu anawaona.
Kwani hilo jukwaa kachora mtumweusi?Na kuna WATU MTAAMINI. DAH, KWELI MTU MWEUSI AKILI YAKE KAMA BENDERA
Kaka naomba maana ya jumla ya Ursula na Splindlefinger kama ni mwevyo jifaham kwenye Light ArcaneLight ni mwanga ama kitu chepesi arcane ni kitu kinachojulikana na wachache, Ursula ni kitu kitamu kuliko vyote na splindlerfinger ni sawa na kuweka kidole cha shahada chini kisha kuzunguka
Sent using Jamii Forums mobile app