Arien
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 11,245
- 11,777
shukrani sana boss
shukrani sana boss
Kwa hiyo Roho yangu imelaaniwa? au nini hasa kilicholaaniwa?
Hapana sio lazima kabisa na haya ni mambo ya kiroho zaidi huwa na tafsiri zake za kushangaza sanaKwa hiyo Roho yangu imelaaniwa? au nini hasa kilicholaaniwa?
Ha ha ha Nilifikiri Wachawi ndo wameilaani Roho yanguHapana sio lazima kabisa na haya ni mambo ya kiroho zaidi huwa na tafsiri zake za kushangaza sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawana huo uwezoHa ha ha Nilifikiri Wachawi ndo wameilaani Roho yangu
Bado nina mashaka, yaani mimi niwe a "divine spell?" mshana jr kwa kweli unanitafuta na yabidi utekwe haraka sana kabla watu atujaanza kushikana uchawi.
Mkuu siku moja Dingi alinikung'uta mangumi, nikachukia sana nikatamani kimoyomoyo afukuzwe
Linganisha na ulichokisoma kwenye jina lako la kichawiMkuu siku moja Dingi alinikung'uta mangumi, nikachukia sana nikatamani kimoyomoyo afukuzwe
kazi, siku ya pili akafukuzwa kweli.....!!!! (Alirudishwa baada ya mwaka mmoja) Hiyo nikiwa mdogo.
Pia nilikuwa namfukuzia binti fulani akanikubali lakini akawa safarini, nikatamani gari ikifika maeneo
fulani iharibike, nakumbuka ilikuwa 1999 kweli pale pale nilipotamani na gari ikaharibikia hapo hapo
vipi kuna uhusiano na haya mambo ya majina?
sio kweli roho yenye nguvu za ajabu kwa uzuri au ubaya, ni kwli mana washirikina wananichukia sana