Jina lako kamili ni nani?

Jina lako kamili ni nani?

fiter

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2013
Posts
1,144
Reaction score
79
Jamani humu wengi tunatumia majina feki je jina lako kamili ni nani?

Mimi langu ni GRACE ANDERSON.
 
Nifiche nini?me naitwa Nelson Mnyasenga.....kudadadek,kama umetumwa ndo ivo sasa!
 
Mbona bado hilo si jina lako kamili? Ungetueleza, ulichojaaliwa na jina hilo lilitokea vipi? Pia Anderson ana baba na ukoo pia na mkoa ulio zaliwa. Hapo ndo tutajua kuwa weye mkweli
 
Ikiwa nimeamua kuweka jina batili kuna haja gani tena ya kujianika?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom