Jiwejeusi
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 754
- 131
Wananchi wa jimbo la shinyanga mjini, baada ya kupiga kura walitarajia kupata mbunge wao kupitia chadema, lah hasha, kamwe haikuwa hivyo. Kilichofuata ni milio ya bunduki na mabomu ya machozi ambayo yalifanikisha kuweka mbunge bandia MASELE wa ccm. Mbunge wa wananchi, MAREHEMU SHELEMBI akaenda mahakamani kupinga ushindi haramu wa bunduk na mabomu ya machoz. Kabla kesi kusikilizwa, kamanda akafari baada ya kuugua kwa masaa 18.
Kufuatia tukio hilo, nasema jimbo halina mbunge, kama hupo aende jimboni kwake aitishe mkutano wa hadhara aone kitakachomtokea. Natoa wito kwa yeyeto atakayemuona masele huko dar, amwambie sio mbunge wa shy mjini na jiuzulu mara moja kabla ya maandamano makubwa hivi karibuni. Natanguliza salamu zangu.
Kufuatia tukio hilo, nasema jimbo halina mbunge, kama hupo aende jimboni kwake aitishe mkutano wa hadhara aone kitakachomtokea. Natoa wito kwa yeyeto atakayemuona masele huko dar, amwambie sio mbunge wa shy mjini na jiuzulu mara moja kabla ya maandamano makubwa hivi karibuni. Natanguliza salamu zangu.