Mnyonge Namba1
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 402
- 81
- Kwa maneno mengine ni Jimbo langu, I grew up there na infact nina shamba na nyumba kule, I pray for my good friend Mahanga to survive, otherwise it sound interesting, yaani iwapo jimbo litakuwa open!
William @DSM City!
Kwa CCM yetu lolote lawezekana.........- Kwa wanasiasa hii yako tunaita changamoto, na kama kawaida yako ni FEAR tupu unaniogopa, nilipokuwa huko ulikuwa hulali nimeondoka bado kivuli changu kinakutesa! ha! ha! ha! ha!
- Ngoja niguze hoja zako mufilisi japo kidogo, nimerudi bongo in three months nimepitia Sekretariat, nikapita CC, nikapita kura za maoni za wabunge wote wa Jamhuri wa CCM, nikaingia Finally na kushindwa kwa kushika nafasi ya Tano, NOW WITH ALL THIS ACCOMPLISHMENTS NINATAKIWA KUSIKILIZA HIZI NGONJERA ZAKO? REALLY? ha! ha! ha! ha! ha! pole sana mkuu wa majuuu!
Willie @DSM City!
Wagogo kwa kupenda sifa, kwani jimbo na nyumba vina uhusiano gani? wewe baba yako alishaproove failure unataka nini tena? Baba yako ndo ameitafuna nchi hii mpaka tunaishi hali ngumu namna hii. Hebu na nyie mkae pembeni mwone uchungu wa maisha ulivyo. We pumzika endelea kula pension ya baba yako tu. Kwani kilichokukimbiza marekani nini?
- ha! ha! ha! kwa sisi politicians hii yako inaitwa changamoto! saafi sana kumbe mnaniogopa hivi, saafi sana kujua! ha! ha! ha! ha!
- Keeep it on!
Willie @DSM City!
Kwa CCM yetu lolote lawezekana.........
Ni kama Sioi Sumari alivyoingia kwenye siasa mara moja tu na kupitishwa kugombea Ubunge......
Na kote huko ulipita kwa sababu ya surname ya mzee Cigwiyemisi.....lol
Ila ukweli ni kwamba wewe si mwanasiasa.......Unalazimisha tu aisee,wewe ni mganga njaa.....period!..
I respect your words ila siku ukigombea Mtera isiwadanganye wana Mtera kuwa 'I grew up in Mtera' maana huwa hamkawii kukataa maneno yenu.- I grew up in Segereea, ndio maana mpaka leo nina Shamba na nyumba huko. Sina mpango wa kuongelea baba yako wala wa members wengine hapa maana ni irrelevant to the ishu,
- Kabla hujauliza kilichonirudisha US, nafikiri ni muhimu ungeuliza kilichonipeleka kwanza, ndio uulize kilichonirudisha au? ha! ha! ha1 ha! ha!
- Wenye akili humu wanaficha uoga wao, ila wengine mnsadhindwa kabisa kuficha uoga wenu, mnaniogopa hivi? WHY?
Willie @DSM City!
Willie.....- Mkuu mimi ninaitwa William Malecela, nothing to do na wagombea wa Arumeru, ha! ha! ha! ha!, waganga njaa wanabaki huko majuu kuuza maduka, na madegree kichwani kwa sababu tu ya kuogopa kurudi nyumbani! ha! ha! ha!
- Naona bado mzuka wangu unakutesa sana maana unalia FEAR tupu! ha! ha! ha! ha!, karibu bongo uje tucheze rumba hapa uona kama utakwua na haya matusi, hata muda hutakwua nao, huku usipocheza the game huli, bakia huko huko na kurusha matusi, huku wanaume tunahangaika na kinaeleweka! ha! ha1 ha1 ha!
Willie @DSM City!
Punguza munkar, acha jazba tumwache Jaji afanye kazi yake na kutoa hukumu yake.
Kumbuka kuwa mambo mazuri hayataki papara.
Acha sharia ifuate mkondo wake.
- Sijawahi kunywa pombe wala kuvuta sigara maishani mwangu, lakini thaanks anyways bro ila baadaye nipo Break Point kwenye Ugali wa Muhogo na Makange ya Samaki! ha! ha! ha! ha!
- See yah there!
Willie @DSM City!
Willie.....
Ukweli ni kwamba sina FAER yoyote kwako.....Ninachojaribu ni kukueleza tu kwamba wewe si MWANASIASA na SIASA hauiwezi,Hauna sifa ya kuwa Mwanasiasa....
Waachie wanasiasa wafanye kazi ya siasa.....Wewe sasa ni kama mfamaji ambaye katu haishi kutapatapa,ndio maana mara unagombea EALA,leo unalitamani Segerea,kesho utalitamani la Ubunge,kesho kutwa utalitamani la Arusha,mara utaenda kugombea udiwani kule Segerea na mwishowe utaangukia kwenye uchaguzi wa Serkali za mitaa 2014......Amini nakuambia kote huko UTAANGUKIA PUA.......Watanzania sio wajinga tena....Hawahadaiki na majina...
Hivi unaweza kuniambia ni kwa nini mzee Cigwiyemisi alishindwa kwa aibu kura za maoni na Kibajaji Livingstone Lusinde?
Mwisho......Ukweli ni kwamba haumjui Bala in person......Ungekuwa unamjua nadhani ungemblock kwenye list yako ya marafiki wa Facebook.....Maana kule Bala ni rafiki yako sana...
I respect your words ila siku ukigombea Mtera isiwadanganye wana Mtera kuwa 'I grew up in Mtera' maana huwa hamkawii kukataa maneno yenu.
Willie,
Angalia sana hayo Makange ya Break Point na Rose Garden...Kitambi hicho.
- Kuna dalili kubwa sana kwamba huenda hili jimbo likaishia kuwa open soon, I hope CCM wana plan B in works!, na siamini CDM watasimamisha the same candidate, lakini muhimu CCM wakaaanza kufikiria plan B! now!
Es!
Hahaha. Mimi ameniblock fb. Anataka likes tu hata akiandka *****. Anataka kucfiwa tu. Kudadadeki.
Njoo ugombee, Mahanga atakwenda na maji uje wewe ugombee usimame na Mpendazoe
Willie.....
Ukweli ni kwamba sina FAER yoyote kwako.....Ninachojaribu ni kukueleza tu kwamba wewe si MWANASIASA na SIASA hauiwezi,Hauna sifa ya kuwa Mwanasiasa....
Waachie wanasiasa wafanye kazi ya siasa.....Wewe sasa ni kama mfamaji ambaye katu haishi kutapatapa,ndio maana mara unagombea EALA,leo unalitamani Segerea,kesho utalitamani la Ubungo,kesho kutwa utalitamani la Arusha,mara utaenda kugombea udiwani kule Segerea na mwishowe utaangukia kwenye uchaguzi wa Serkali za mitaa 2014......Amini nakuambia kote huko UTAANGUKIA PUA.......Watanzania sio wajinga tena....Hawahadaiki na majina...
Hivi unaweza kuniambia ni kwa nini mzee Cigwiyemisi alishindwa kwa aibu kura za maoni na Kibajaji Livingstone Lusinde?
Mwisho......Ukweli ni kwamba haumjui Bala in person......Ungekuwa unamjua nadhanizuka w ungemblock kwenye list yako ya marafiki wa Facebook.....Maana kule Bala ni rafiki yako sana...
Huyu CDM hata wakiweka JIWE hapiti!
- Kwa maneno mengine ni Jimbo langu, I grew up there na infact nina shamba na nyumba kule, I pray for my good friend Mahanga to survive, otherwise it sound interesting, yaani iwapo jimbo litakuwa open!
William @DSM City!