William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,464
- Thread starter
- #201
Willy hizi ziara zako kwenye hivi vyuo ulivyoviorodhesha ni kwenda kuangalia mabinti au what is special there? can you Explain to me? ni hafadhali hata ungeomba ushauri wa kuwatembelea vijana wa jimbo la Segerea ambako sasa kuna mechi za vikombe zinaendelea wiki hii angalau ukutane na vijana wanaoishi in THug Life!!...
Willy you have a bad company in your political dream, unapoteza muda wako pasi na sababu yeyote, njoo kitaa straight ukutane na hao unaotaka kuwaongoza, wenzako sisi tunaheshimika miongoni mwao kwa sababu tunatenga muda wa kuwa nao na tunajitambulisha kama watoto tuliokulia street.
Wewe njoo na mbwembwe za kusema ulikuwa Interns UN New York halafu ndio utawajuwa vyema watoto wa kitaa jimbo la Segerea na nilishahakikisha timu zangu zote za mipira na vijana wa macamp wote wana shahada za kupiga kura, nakusubiri kwa hamu Jimbo la Segerea nikufundishe siasa na ujuwe jinsi nilivyo na Influence ndani ya CCM na nje ya CCM ndio sina hata la kusema.
- Matola ni wapi nimesema ninataka kugombea ubunge wa Segerea?
Willie @DSM City!