GE2025 Jimbo la Segerea Dar es salaam tunaelekea kudanganywa tena Oktoba 2025 kwenye Ubunge

GE2025 Jimbo la Segerea Dar es salaam tunaelekea kudanganywa tena Oktoba 2025 kwenye Ubunge

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
40,516
Reaction score
46,602
Binafsi nimekuwa najiuliza sana, nchi nzima hii kila jimbo huwa linawakilishwa bungeni na mbunge ambae anaeleza shida za jimboni kwake na kupata utatuzi.

Huku Tabata nimeambiwa tupo ndani ya jimbo la Segerea, sasa nikauliza, mbona huu ubovu wa kutisha wa barabara huku Tabata, tena Dar es salaama centre kabisa, haujawahi kuzungumzwa hata mara moja toka kuanzishwa kwa hii nchi?

Nikauliza hatuna mbunge? Nimaambiwa yupo, anaitwa Bona Kaluwa, sasa nikajiuliza, huyu mbunge ni Bubu? Nikaambiwa hapana, ana mtundio wa Ubongo? Nikaambiwa hapana.., ni kipofu kwamba hizi barabara mbovu hazioni? Nikaambiwa sio kipofu.., nikashangaa sana!

Hapa majuzi nikaambiwa aliyechaguliwa na CCM (lazima atashinda tu) kwenye kutuwakilisha bungeni ni mtu mwingine anaitwa Kamoli, nikasema bora sasa tunaenda na sisi kusemewa huu ubovu wa barabara za Tabata huko bungeni, pengine tutasaidiwa na sisi.

Hee, si nikaja kuambiwa eti alikamatwa ugoni na mumewe, hivyo akaamrishwa aache kutumia jina la Kaluwa la mume wake.., ndio karudi kutumia la baba yake la Kamoli, kumbe ni bubu yule yule?!!

Sasa ni hivi, sisi Tabata hatutaki bubu bungeni, miaka 10 bungeni hujawahi kufungua mdomo hata siku moja!! Nani atajua kero za ubovu wa barabara Tabata?!

=======================
Huyu mtu aje aseme mwenyewe kwanini anakuwa bubu bungeni, vinginevyo kazi yetu itakuwa ni kupiga picha haya mashino ya Tabata na kuyaweka humu kila siku hadi 2030..,
 
Hilo neno moja kwenye kichwa cha habari kama vipi lingebadilishwa, kutokana na kuwa na ukakasi mwingi.
 
Binafsi nimekuwa najiuliza sana, nchi nzima hii kila jimbo huwa linawakilishwa bungeni na mbunge ambae anaeleza shida za jimboni kwake na kupata utatuzi.

Huku Tabata nimeambiwa tupo ndani ya jimbo la Segerea, sasa nikauliza, mbona huu ubovu wa kutisha wa barabara huku Tabata, tena Dar es salaama centre kabisa, haujawahi kuzungumzwa hata mara moja toka kuanzishwa kwa hii nchi?

Nikauliza hatuna mbunge? Nimaambiwa yupo, anaitwa Bona Kaluwa, sasa nikajiuliza, huyu mbunge ni Bubu? Nikaambiwa hapana, ana mtundio wa Ubongo? Nikaambiwa hapana.., ni kipofu kwamba hizi barabara mbovu hazioni? Nikaambiwa sio kipofu.., nikashangaa sana!

Hapa majuzi nikaambiwa aliyechaguliwa na CCM (lazima atashinda tu) kwenye kutuwakilisha bungeni ni mtu mwingine anaitwa Kamoli, nikasema bora sasa tunaenda na sisi kusemewa huu ubovu wa barabara za Tabata huko bungeni, pengine tutasaidiwa na sisi.

Hee, si nikaja kuambiwa eti alikamatwa ugoni na mumewe, hivyo akaamrishwa aache kutumia jina la Kaluwa la mume wake.., ndio karudi kutumia la baba yake la Kamoli, kumbe ni bubu yule yule?!!

Sasa ni hivi, sisi Tabata hatutaki bubu bungeni, miaka 10 bungeni hujawahi kufungua mdomo hata siku moja!! Nani atajua kero za ubovu wa barabara Tabata?!
Chakula cha wakubwa hicho mkuu watu wanataka Mali bungeni waziri wa nane nane anaichapa kisawa sawa sisi yetu macho tu.
 
Binafsi nimekuwa najiuliza sana, nchi nzima hii kila jimbo huwa linawakilishwa bungeni na mbunge ambae anaeleza shida za jimboni kwake na kupata utatuzi.

Huku Tabata nimeambiwa tupo ndani ya jimbo la Segerea, sasa nikauliza, mbona huu ubovu wa kutisha wa barabara huku Tabata, tena Dar es salaama centre kabisa, haujawahi kuzungumzwa hata mara moja toka kuanzishwa kwa hii nchi?

Nikauliza hatuna mbunge? Nimaambiwa yupo, anaitwa Bona Kaluwa, sasa nikajiuliza, huyu mbunge ni Bubu? Nikaambiwa hapana, ana mtundio wa Ubongo? Nikaambiwa hapana.., ni kipofu kwamba hizi barabara mbovu hazioni? Nikaambiwa sio kipofu.., nikashangaa sana!

Hapa majuzi nikaambiwa aliyechaguliwa na CCM (lazima atashinda tu) kwenye kutuwakilisha bungeni ni mtu mwingine anaitwa Kamoli, nikasema bora sasa tunaenda na sisi kusemewa huu ubovu wa barabara za Tabata huko bungeni, pengine tutasaidiwa na sisi.

Hee, si nikaja kuambiwa eti alikamatwa ugoni na mumewe, hivyo akaamrishwa aache kutumia jina la Kaluwa la mume wake.., ndio karudi kutumia la baba yake la Kamoli, kumbe ni bubu yule yule?!!

Sasa ni hivi, sisi Tabata hatutaki bubu bungeni, miaka 10 bungeni hujawahi kufungua mdomo hata siku moja!! Nani atajua kero za ubovu wa barabara Tabata?!
Pole sana. Kumbe wewe bado unaamini kuwa Tanzania sasa hivi kuna uchaguzi unaoweza kukupa wabunge bora. Pole kwa sababu bado unaamini CCM ni chama cha kujali wananchi. Pole kwa sababu bado unadhani watu wanasema NO REFORM NO ELECTION, hawana hoja!
 
Chakula cha wakubwa hicho mkuu watu wanataka Mali bungeni waziri wa nane nane anaichapa kisawa sawa sisi yetu macho tu.
Umanaamnisha Waziri wa kilimo sio? Basi huyo wa kilimo atusemee yeye huu ubovu wa kutisha wa Barabara huku Tabata, hali inatisha! Miaka 10mbunge hajawahi kufungua mdomo wake bungeni hata mara moja?!
 
Umanaamnisha Waziri wa kilimo sio? Basi huyo wa kilimo atusemee yeye huu ubovu wa kutisha wa Barabara huku Tabata, hali inatisha! Miaka 10mbunge hajawahi kufungua mdomo wake bungeni hata mara moja?!
Kiufupi wabunge wengi wanawake wa chama tawala ni mzigo sema kwasababu ni kipozeo cha wakubwa basi ngoja tuisome namba.
 
Kiufupi wabunge wengi wanawake wa chama tawala ni mzigo sema kwasababu ni kipozeo cha wakubwa basi ngoja tuisome namba.
Hakuna, mi sikubali, naunda timu ya watu wawe wananipigia picha za mashimo kila siku, kisgmha nitakuwa naweka humu kila wiki, hadi 2030
 
Bona MiTano Tena wapelekee moto waache bila Maendeleo... Dar kuna wanaume mashoga tu... Yaani jimbo linachukuliwa na mwanamke 💩💩💩🏳️‍🌈🏳️‍🌈
 
Binafsi nimekuwa najiuliza sana, nchi nzima hii kila jimbo huwa linawakilishwa bungeni na mbunge ambae anaeleza shida za jimboni kwake na kupata utatuzi.

Huku Tabata nimeambiwa tupo ndani ya jimbo la Segerea, sasa nikauliza, mbona huu ubovu wa kutisha wa barabara huku Tabata, tena Dar es salaama centre kabisa, haujawahi kuzungumzwa hata mara moja toka kuanzishwa kwa hii nchi?

Nikauliza hatuna mbunge? Nimaambiwa yupo, anaitwa Bona Kaluwa, sasa nikajiuliza, huyu mbunge ni Bubu? Nikaambiwa hapana, ana mtundio wa Ubongo? Nikaambiwa hapana.., ni kipofu kwamba hizi barabara mbovu hazioni? Nikaambiwa sio kipofu.., nikashangaa sana!

Hapa majuzi nikaambiwa aliyechaguliwa na CCM (lazima atashinda tu) kwenye kutuwakilisha bungeni ni mtu mwingine anaitwa Kamoli, nikasema bora sasa tunaenda na sisi kusemewa huu ubovu wa barabara za Tabata huko bungeni, pengine tutasaidiwa na sisi.

Hee, si nikaja kuambiwa eti alikamatwa ugoni na mumewe, hivyo akaamrishwa aache kutumia jina la Kaluwa la mume wake.., ndio karudi kutumia la baba yake la Kamoli, kumbe ni bubu yule yule?!!

Sasa ni hivi, sisi Tabata hatutaki bubu bungeni, miaka 10 bungeni hujawahi kufungua mdomo hata siku moja!! Nani atajua kero za ubovu wa barabara Tabata?!

=======================
Huyu mtu aje aseme mwenyewe kwanini anakuwa bubu bungeni, vinginevyo kazi yetu itakuwa ni kupiga picha haya mashino ya Tabata na kuyaweka humu kila siku hadi 2030..,
Ukweli ni Kwmba kama huyu.Bona atarudi ni moja ya dalili mbaya sana kabisa katika siasa za nchi, huyu demu hafai hata kuongoza kuku.
 
Ntakusaidia njia ya maji chumvi. Kimanga. Bonyolwa. Maji ya tabu. Barabara kuelekea zahanati. Kwa ufupi ni uozo tu
Kama ulikuwa kichwani mwangu, nilitaka nianze ile ya maji chumvi, kisha ifuate ya jiandae kutokea jeshini, yaani hali inatisha!!
 
Kazi aliyobaki nayo ni kuhakikisha Bashe analala akiwa amemwaga na magoti hayana nguvu. Alipouokota ubunge akaanza kumletea mapichapicha mumewe nadhani sijui ndio bashe alikuwa ameanza kuomba mzigo?

Ila demu ana mguu hata mimi nisingemuacha akipita kwenye eneo langu. Ilikuwa ni lazima awe chakula ya wazee wa kuhonga.

Ila nilijisikia vibaya sana. Mume wake alimpa sapoti kubwa sana kipindi anagombea kwa mara ya kwanza. Ila sasa demu alipofanikiwa tu akaanza kumzunguka mume wake na kuliwa na wakubwa.
 
Back
Top Bottom