Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,949
- 952
Seif Gulamali (Mb) Tunaishukuru Serikali ya Chama cha Mapinduzi inayoongozwa na Dr . Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani kwa kutupatia fedha kutoka Serikali Kuu kutekeleza Miradi Mbalimbali Jimboni
1. Ujenzi wa vyumba 3 vya Madarasa Ziba secondari Milion 78,000,000/=
2. Ujenzi wa vyumba 2 vya Madarasa Choma secondari Milioni 52,000,000/=
3. Ujenzi wa Matundu 6 ya vyoo Mwisi secondari milioni 5,000,000/=
4. Ujenzi wa Matundu 6 ya vyoo Ziba Secondari Milioni 6,000,000/=
5. Ujenzi wa Matundu 9 ya Vyoo Shule ya Msingi Mwakabuta KATA ya UGAKA Milioni 9,800,000/=
6. Ujenzi wa Matundu 9 ya Vyoo Shule ya Msingi Ndembezi KATA ya NDEMBEZI Milioni 9,800,000/=
7. Ujenzi wa Matundu 9 ya Vyoo Shule ya Msingi Ncheli KATA ya SUNGWIZI Milioni 9,800,000/=
8. Ujenzi wa Matundu 9 ya vyoo Shule Msingi Mwina KATA ya IGOWEKO Milioni 9,800,000/=
9. Ukamilishaji wa Zahanati ya Kijiji cha Nguriti KATA YA SUNGWIZI Milioni 50,000,000/=
10. Ukamilishaji wa Zahanati ya Kijiji Cha Ntigu KATA ya KITANGILI Milioni 50,000,000/=
11. Ununuzi wa Vifaa Tiba kituo Cha Afya Ziba Milioni 300,000,000/=
12. Fedha za kuchochea Maendeleo Jimboni MFUKO WA JIMBO Milioni 74,540 , 000/=
13.Uenzi wa Nyumba Mpya ya kisasa ya Mkurugenzi Halimashauri ya Wilaya Igunga Milioni 180,000,000/=
14. Ukarabati Hospitali ya Wilaya ya Igunga Milioni 900,000,000/=
15.Chanjo ya Uviko na Chanjo nyinginezo(AFYA) Milioni 64,261,000/=
16. Usimamizi na Ufuatiliaji wa Miradi ngazi ya Halimashauri ( PO - RALG SEQUIP ) Milioni 8,000,000/=
17. HSBF FACLTIES Milioni 207,120,375.00/=
Fedha hizi
zimepokelewa tarehe 1Novemba 2023 kwenye Halimashauri yetu
MANONGA KAZI KWA VITENDO KAZI IENDELEE
IMETOLEWA NA OFISI YA MBUNGE
2 NOVEMBA 2023
1. Ujenzi wa vyumba 3 vya Madarasa Ziba secondari Milion 78,000,000/=
2. Ujenzi wa vyumba 2 vya Madarasa Choma secondari Milioni 52,000,000/=
3. Ujenzi wa Matundu 6 ya vyoo Mwisi secondari milioni 5,000,000/=
4. Ujenzi wa Matundu 6 ya vyoo Ziba Secondari Milioni 6,000,000/=
5. Ujenzi wa Matundu 9 ya Vyoo Shule ya Msingi Mwakabuta KATA ya UGAKA Milioni 9,800,000/=
6. Ujenzi wa Matundu 9 ya Vyoo Shule ya Msingi Ndembezi KATA ya NDEMBEZI Milioni 9,800,000/=
7. Ujenzi wa Matundu 9 ya Vyoo Shule ya Msingi Ncheli KATA ya SUNGWIZI Milioni 9,800,000/=
8. Ujenzi wa Matundu 9 ya vyoo Shule Msingi Mwina KATA ya IGOWEKO Milioni 9,800,000/=
9. Ukamilishaji wa Zahanati ya Kijiji cha Nguriti KATA YA SUNGWIZI Milioni 50,000,000/=
10. Ukamilishaji wa Zahanati ya Kijiji Cha Ntigu KATA ya KITANGILI Milioni 50,000,000/=
11. Ununuzi wa Vifaa Tiba kituo Cha Afya Ziba Milioni 300,000,000/=
12. Fedha za kuchochea Maendeleo Jimboni MFUKO WA JIMBO Milioni 74,540 , 000/=
13.Uenzi wa Nyumba Mpya ya kisasa ya Mkurugenzi Halimashauri ya Wilaya Igunga Milioni 180,000,000/=
14. Ukarabati Hospitali ya Wilaya ya Igunga Milioni 900,000,000/=
15.Chanjo ya Uviko na Chanjo nyinginezo(AFYA) Milioni 64,261,000/=
16. Usimamizi na Ufuatiliaji wa Miradi ngazi ya Halimashauri ( PO - RALG SEQUIP ) Milioni 8,000,000/=
17. HSBF FACLTIES Milioni 207,120,375.00/=
Fedha hizi
zimepokelewa tarehe 1Novemba 2023 kwenye Halimashauri yetu
MANONGA KAZI KWA VITENDO KAZI IENDELEE
IMETOLEWA NA OFISI YA MBUNGE
2 NOVEMBA 2023