Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 102,676
- 126,844
Wajinga nyie, hakuna wazawa wakuweza(wasukuma) kuwaongoza? mnapewa rushwa za elf 5 5 mnauza utu. AmkeniAsili ya Nyerere siyo utusini!?..ulishawahi kulia!?..mkapa siyo msumbiji!...ule uuzaji wa mashirika ya umma kwa Bei ya beberu 11 haikutokana na kuwa na asili ya msumbiji!?..ulibweka!?