Jimbo la Iramba Ushirikiano wa Wananchi na Viongozi Zero

Mnambua

JF-Expert Member
Jan 6, 2020
246
233
Jimbo la Iramba ni mojawapo ya Jimbo la Ubunge lililopo Mkoa wa Singida. Mwanzani Wilaya ya Mkalama ilikuwa pia ni Jimbo la Ubunge lililojulikana kama Iramba Mashariki.

Kwa maana hiyo Wilaya ya Iramba pamoja na ukubwa wake jimbo lake la Uchaguzi ni moja tu - ajabu sana!

Historia ya kisiasa kwa Jimbo na Wilaya hii inaonekana kuwa na wanasiasa wasiopata mafanikio sana sababu wengi wao wamekuwa wabinafsi.

Viongozi wa kisiasa na wale wasio wa kisiasa wamekuwa wakifika nafasi za juu basi kiburi kinawajaa - wanajiona wao ndiyo wao na wanakwama kabisa kuunganisha wanachi.

Ukiacha ubunge wa Nalingigwa na Nkurlu waliofuatia kama Nalaila Kiula walishindwa kabisa kuuunganisha wananchi.

Nalala Kiula alikuwa mara zote akinunua ubunge na kuwatelekeza watu wake na kujikweza kwa kufanya mambo ya Kitaifa alipokuwa Waziri na hivyo kufanya asionekana kuunganisha watu na kuiletea Iramba maendeleo.

Hakupenda kupata upinzani wowote na ndiyo maana alipoanza kupata misukosuko wanaIramba walimshiti na akapotea kweli.

Baada ya Kiula alifuata Shango ambaye alitawala kwa maneno ya kukashifu kashifu tu na hata Juma Kilimba alipoingia mambo yakawa yale yale tu - tena huyu ndiyo mbaya kabisa.

Mwigulu alipopata nafasi mwanzoni akiwa kijana mwenye ari kubwa akaonesha dalili za kuweza kuunganisha Iramba na kuiletea maendeleo.

Mara naye akatekwa na siasa za Kitaifa na kutamani Urais kwa udenda haraka kadri alivyoweza ilihali akiwa na muda mfupi tu katika Ubunge.

Hadi ikasemekana eti ana undugu na Ridhiwan Kikwete - ajabu kweli. Kwa sasa anatapatapa na amekuwa na kakikundi kadogo ka kisirisiri maeneo ya karibu na kwao Makunda, Ndago na Maluga akifikiri kuwa kanaweza kuiunganisha Iramba na kumpatia ushindi.

Mbaya zaidi amekuwa akisisitizwa na kupewa nafasi katika vikundi vivavyoangalia maendeleo ya Iramba lakini anavikwepa kwepa tu.

Ukweli Iramba inakosa sana mtu wa kuiunganisha pamoja na kuwa ina watu wengi wenye uwezo wa kuiunganisha na kusababisha maendeleo.

Mipango yote ya Iramba yenye mafanikio imekuwa ni ile ya Kitaifa na hamna hata kitu Mwigulu, Nalaila, Kilimba wala Shango wanaweza kujivunia waliunganisha wana Iramba wakapiga hatua za kimaendeleo zinazotokana na juhudi za wabunge wao.

Ndiyo maana Mwigulu baada ya kutolewa Uwaziri huko Bungeni kama mpole utafikiri bweha kanyeshewa mvua.

Bila kujirekebisha ukweli ubunge ushaota mbawa!
 
Mh. Mwigulu kwa sasa anayo shahada ya uzamivu, kwa hiyo hata nje ya kazi ya kisiasa ana fursa za kuendesha maisha yake kupitia taaluma yake. Ukizingatia umri wake bado ana fursa ya kurudi tena 2025 kujaribu kete yake katika nafasi ya Urais.

Huyu ni mtu ambaye ana wasifu uliosheheni zaidi sifa za uongozi wa kitaifa, na pia ni maarufu na mwenye ushawishi mkubwa ktk makundi ya vijan, na pia ni mwenye jina kubwa sana kwa upande wa CCM-Bara kutokana nafasi ambazo amewahi kuzishikilia ndani ya chama na hata serikalini akiwa na umri mdogo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mh. Mwigulu kwa sasa anayo shahada ya uzamivu, kwa hiyo hata nje ya kazi ya kisiasa ana fursa za kuendesha maisha yake kupitia taaluma yake. Ukizingatia umri wake bado ana fursa ya kurudi tena 2025 kujaribu kete yake katika nafasi ya Urais.

Huyu ni mtu ambaye ana wasifu uliosheheni zaidi sifa za uongozi wa kitaifa, na pia ni maarufu na mwenye ushawishi mkubwa ktk makundi ya vijan, na pia ni mwenye jina kubwa sana kwa upande wa CCM-Bara kutokana nafasi ambazo amewahi kuzishikilia ndani ya chama na hata serikalini akiwa na umri mdogo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Shahada za Uzamivu namna alivyoipata mhhh hamna tu watu wa kuichunguza na kuleta ukweli wake!
 
Mkuu Aya zako zimejaa neno kuunganisha,hebu fafanua una maanisha nini!
Ni kweli wanaIramba potentials kwa maendeleo ya jimbo wapo kibao lakini viongozi wao kama ilivyo Mwigulu na watangulizi wake akina Kiula, Shango na Kilimba hawakuwahi kuwaunganisha watu hawa na badala walikuwa wakiogopana tu. Mf. Mwigulu angeweza kushirikiana vizuri na watu kama kina David Jairo, akina Kilimba mwenyewe, kina Jumbe Katala, kina Zaipuna Yonah, kina Timothy Lyanga, kina Jesca Kishoa, kina Kitila Mkumbo, kina Richard Mkumbo, kina Mzee Kinswaga, William Shila wa pale Ulemo, kina Ugula, kina Manupa, na wengine wengi Iramba ingekuwa pazuri. Badala yake hawa watu wanaogopana kwa sababu wakisema wafanye mambo kwa pamoja basi inaonekana wanatishia ubunge wa Mheshimiwa.
 
Ni kweli wanaIramba potentials kwa maendeleo ya jimbo wapo kibao lakini viongozi wao kama ilivyo Mwigulu na watangulizi wake akina Kiula, Shango na Kilimba hawakuwahi kuwaunganisha watu hawa na badala walikuwa wakiogopana tu. Mf. Mwigulu angeweza kushirikiana vizuri na watu kama kina David Jairo, akina Kilimba mwenyewe, kina Jumbe Katala, kina Zaipuna Yonah, kina Timothy Lyanga, kina Jesca Kishoa, kina Kitila Mkumbo, kina Richard Mkumbo, kina Mzee Kinswaga, William Shila wa pale Ulemo, kina Ugula, kina Manupa, na wengine wengi Iramba ingekuwa pazuri. Badala yake hawa watu wanaogopana kwa sababu wakisema wafanye mambo kwa pamoja basi inaonekana wanatishia ubunge wa Mheshimiwa.
Nami nimepatikana kwenye hii orodha. Songela zig-zig. Nitarudi
 
Jimbo la Iramba ni mojawapo ya Jimbo la Ubunge lililopo Mkoa wa Singida. Mwanzani Wilaya ya Mkalama ilikuwa pia ni Jimbo la Ubunge lililojulikana kama Iramba Mashariki.

Kwa maana hiyo Wilaya ya Iramba pamoja na ukubwa wake jimbo lake la Uchaguzi ni moja tu - ajabu sana!

Historia ya kisiasa kwa Jimbo na Wilaya hii inaonekana kuwa na wanasiasa wasiopata mafanikio sana sababu wengi wao wamekuwa wabinafsi.

Viongozi wa kisiasa na wale wasio wa kisiasa wamekuwa wakifika nafasi za juu basi kiburi kinawajaa - wanajiona wao ndiyo wao na wanakwama kabisa kuunganisha wanachi.

Ukiacha ubunge wa Nalingigwa na Nkurlu waliofuatia kama Nalaila Kiula walishindwa kabisa kuuunganisha wananchi.

Nalala Kiula alikuwa mara zote akinunua ubunge na kuwatelekeza watu wake na kujikweza kwa kufanya mambo ya Kitaifa alipokuwa Waziri na hivyo kufanya asionekana kuunganisha watu na kuiletea Iramba maendeleo.

Hakupenda kupata upinzani wowote na ndiyo maana alipoanza kupata misukosuko wanaIramba walimshiti na akapotea kweli.

Baada ya Kiula alifuata Shango ambaye alitawala kwa maneno ya kukashifu kashifu tu na hata Juma Kilimba alipoingia mambo yakawa yale yale tu - tena huyu ndiyo mbaya kabisa.

Mwigulu alipopata nafasi mwanzoni akiwa kijana mwenye ari kubwa akaonesha dalili za kuweza kuunganisha Iramba na kuiletea maendeleo.

Mara naye akatekwa na siasa za Kitaifa na kutamani Urais kwa udenda haraka kadri alivyoweza ilihali akiwa na muda mfupi tu katika Ubunge.

Hadi ikasemekana eti ana undugu na Ridhiwan Kikwete - ajabu kweli. Kwa sasa anatapatapa na amekuwa na kakikundi kadogo ka kisirisiri maeneo ya karibu na kwao Makunda, Ndago na Maluga akifikiri kuwa kanaweza kuiunganisha Iramba na kumpatia ushindi.

Mbaya zaidi amekuwa akisisitizwa na kupewa nafasi katika vikundi vivavyoangalia maendeleo ya Iramba lakini anavikwepa kwepa tu.

Ukweli Iramba inakosa sana mtu wa kuiunganisha pamoja na kuwa ina watu wengi wenye uwezo wa kuiunganisha na kusababisha maendeleo.

Mipango yote ya Iramba yenye mafanikio imekuwa ni ile ya Kitaifa na hamna hata kitu Mwigulu, Nalaila, Kilimba wala Shango wanaweza kujivunia waliunganisha wana Iramba wakapiga hatua za kimaendeleo zinazotokana na juhudi za wabunge wao.

Ndiyo maana Mwigulu baada ya kutolewa Uwaziri huko Bungeni kama mpole utafikiri bweha kanyeshewa mvua.

Bila kujirekebisha ukweli ubunge ushaota mbawa!
Tumewasikia sasa tutawaletea Prof Kitila Mkumbo.

Kwani yule mke wa aka Tumbiri naye siyo mbunge wa Iramba?
 
Back
Top Bottom