Nyie mlio waoa hao wanawake wakimarekani kwa ajili ya kupata makaratasi inaelekea mna shida sana. Kama mambo yenyewe ndiyo kama haya basi tunawaombea usalama. Rudini kwenu jamani njaa zitawauwa bure.
dah yani demu ni balaa asee..! ukipata kama hili halafu likakufumania mzee unakua mdogo kinyama yani..! unaishia kujuta kwanini umemuoa na kumuacha huwezi..! kuna jamaa tanga alikua anapewa mambo na wife wake..! kinyama ila..! alikua anamfichia siri mumewe..! hata alikua akimpa mambo alikua lazima afunge nyumba..! wacha kabisaa..!
Haiwezekani mtu yupo kwenye ugomvi ,tena amekandamizwa chini alafu anaomba fegi! Pili, barabara za wenzetu ni safi. Ingekuwa ugomvi huo umefanyika kwenye hizi barabara zetu, wangetoka wamechafuka sana!
Hii wala sio domestic violence, hii ni operation REPO! give me my ****in' money, bitch!
alafu inaonekana dada hakutaka kumpiga, alitaka tu amweke chini hadi pesa zake zitakapo fika.
Nyie mlio waoa hao wanawake wakimarekani kwa ajili ya kupata makaratasi inaelekea mna shida sana. Kama mambo yenyewe ndiyo kama haya basi tunawaombea usalama. Rudini kwenu jamani njaa zitawauwa bure.
he he hee,mmeogopa eeh?mbona kawaida sana tu hiyo,sema jamaa alijisahau sana hakuwa akimpa haki yake binti kabla hajatoka inavotakiwa ndo mana kaenda umbuliwa bara barani.ila demu ni noma nimemkubali sana,inaelekea jamaa kachukua hela za matumizi kaenda kununulia mapowder
Huyu dada mstaarabu sana, wala hakuwa na nia yakumtoa manundu huyu jamaa, maana angeweza kufanya hivyo ndani ya dakika 1 moja! Jamaa ndo mkorofi, hemu angalia, ameachiwa kaanza kurusha vingumi vyake,akarudishwa tena chini! Chakusikitisha huyu jamaa alikuwa anawania kumvua nguo huyu dada, anamvuta blauzi yake ili amuweke maziwa nje! Mpumbavu sana!
Nawapenda wanawake wote, nyie ndo mama zetu, dada zetu, wake zetu na wadogo zetu, anae waponda apate lana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.