Jimama lamtembezea kipigo jamaa

kmdh

JF-Expert Member
May 19, 2010
503
120
Nyie mlio waoa hao wanawake wakimarekani kwa ajili ya kupata makaratasi inaelekea mna shida sana. Kama mambo yenyewe ndiyo kama haya basi tunawaombea usalama. Rudini kwenu jamani njaa zitawauwa bure.

 
Last edited by a moderator:
haha demu teja alafu hicho kitambi balaa


"ᵀᴴᴱ'ᴼᴿᴵᴳᴵᴻᴬᴸ✯

 
dah yani demu ni balaa asee..! ukipata kama hili halafu likakufumania mzee unakua mdogo kinyama yani..! unaishia kujuta kwanini umemuoa na kumuacha huwezi..! kuna jamaa tanga alikua anapewa mambo na wife wake..! kinyama ila..! alikua anamfichia siri mumewe..! hata alikua akimpa mambo alikua lazima afunge nyumba..! wacha kabisaa..!
 
Haiwezekani mtu yupo kwenye ugomvi ,tena amekandamizwa chini alafu anaomba fegi! Pili, barabara za wenzetu ni safi. Ingekuwa ugomvi huo umefanyika kwenye hizi barabara zetu, wangetoka wamechafuka sana!
 
Hahahaha!!! Na jamaa anaambiwa you ain't gettin down bitch....you wanna hit me bitch...give me my ****in money
 
Hii wala sio domestic violence, hii ni operation REPO! give me my ****in' money, bitch!
alafu inaonekana dada hakutaka kumpiga, alitaka tu amweke chini hadi pesa zake zitakapo fika.
 
wanawake kama hao ndo wanatakiwa,anadai haki yake bhana.
 
Nyie mlio waoa hao wanawake wakimarekani kwa ajili ya kupata makaratasi inaelekea mna shida sana. Kama mambo yenyewe ndiyo kama haya basi tunawaombea usalama. Rudini kwenu jamani njaa zitawauwa bure.


Hiyo ndy observation yako? Haujui kuna wabongo kibao wanadundwa na wake zao, hao nao utasema ni wamarekani? Hayo ni mawazo ya kijima bana!
 
Last edited by a moderator:
ila mdada ana sura nzuri...sijui kwa nini kajiachia mpaka kaharibika mwili jamani!
 
he he hee,mmeogopa eeh?mbona kawaida sana tu hiyo,sema jamaa alijisahau sana hakuwa akimpa haki yake binti kabla hajatoka inavotakiwa ndo mana kaenda umbuliwa bara barani.ila demu ni noma nimemkubali sana,inaelekea jamaa kachukua hela za matumizi kaenda kununulia mapowder
 
Huyu dada mstaarabu sana, wala hakuwa na nia yakumtoa manundu huyu jamaa, maana angeweza kufanya hivyo ndani ya dakika 1 moja! Jamaa ndo mkorofi, hemu angalia, ameachiwa kaanza kurusha vingumi vyake,akarudishwa tena chini! Chakusikitisha huyu jamaa alikuwa anawania kumvua nguo huyu dada, anamvuta blauzi yake ili amuweke maziwa nje! Mpumbavu sana!

Nawapenda wanawake wote, nyie ndo mama zetu, dada zetu, wake zetu na wadogo zetu, anae waponda apate lana!
 
Back
Top Bottom