SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,923
Watu hamuipendi Mbeya
ni ya kitambo sana,mkwenzulu,na riftvalley,hizo ni kongwe xnmbeya hotel kama nakumbuka ipo sambamba na uwanja wa sokoine na bank ya crdb..mbona ile hotel ya zamani sana.au alijua ipo hiyo tu.zipo hotel nzuri sana tu..labda mtoa maada alitaka aione benjamini mkapa tower,ppf,bot,azione mbeya wakati akiwa huku tu anaishia maisha club
Watu hamuipendi Mbeya
Tanzania kuna mji unatamanika kipindi cha mvua?. Njoo upige wali na "makatapera", acha jungu.mkuu ndo hivy hapo mjini tu mwanjerwa kubaya af mbeya kuchafu mwezi wa mvua hakutamaniki
Si ungesubiri ufike kwanza ndo uje hapaSijawahi kufika huko ila nikifika nitatoa maoni
Hyo ilikua zamani mkuu kuanzia 2012 kushuka chini, kipindi hicho pale mabatini watu ikifika saa mbili usiku kama unataka kutoka vaa helmet kichwani, lakin saiz kumetulia sana.
Tupo tunavuna viazi ukitaka hata kyepe cha jero utapata. Karibu
Yap 2006 ndio nimesepa mbeyaHyo ilikua zamani mkuu kuanzia 2012 kushuka chini, kipindi hicho pale mabatini watu ikifika saa mbili usiku kama unataka kutoka vaa helmet kichwani, lakin saiz kumetulia sana.
Tupo tunavuna viazi ukitaka hata kyepe cha jero utapata. Karibu
Wakuu naomba mtuchane kuhusu mji wetu wa moro townUkisikia jiji la mbeya utafikiri bonge la jiji kumbe upuuzi mtupu. sasa hapa kati nilipata safari ya mbeya nikakwepa fastjet ile kutua kwa kweli uwanja wa songwe ni mzuri kiasi (pengine kwa sababu ya upya) sasa tukapanda shuttle kwenda mjini 10,000/= (bei ya kulangua) nikafika hoteli ambayo ndio wanaisifia ni classic (Mbeya hotel) duuh ni kama nyumba ya makumbusho nikamuambia dereva nipeleke nyingine tukaenda Paradise Hotel (nayo ya kipuuzi pia) nikaenda nyingine (GR City) daah ndo nikajua kumbe zile sifa za wanyakyusa hapo Dar kwao hamna lolote sasa sehemu ya kula ndo ishu yaani labda uende CITY PUB hakuna sehemu nzuri ya kupata varieties.
Poor Mbeya inastahili kuitwa KIJIJI CHA MBEYA si JIJI LA MBEYA mmekalia UCHAWI tu.
**Changamkieni fursa ya Mipaka ya KASUMULU & TUNDUMA kufunguka kibiashara.
*** Cape 2 Cairo Road inayopita Mbeya nayo ni fursa za kiutalii lakini mmekalia kuzugia dini Jumapili mchana, USIKU kama kawa.
Wakuu naomba mtuchane kuhusu mji wetu wa moro townUkisikia jiji la mbeya utafikiri bonge la jiji kumbe upuuzi mtupu. sasa hapa kati nilipata safari ya mbeya nikakwepa fastjet ile kutua kwa kweli uwanja wa songwe ni mzuri kiasi (pengine kwa sababu ya upya) sasa tukapanda shuttle kwenda mjini 10,000/= (bei ya kulangua) nikafika hoteli ambayo ndio wanaisifia ni classic (Mbeya hotel) duuh ni kama nyumba ya makumbusho nikamuambia dereva nipeleke nyingine tukaenda Paradise Hotel (nayo ya kipuuzi pia) nikaenda nyingine (GR City) daah ndo nikajua kumbe zile sifa za wanyakyusa hapo Dar kwao hamna lolote sasa sehemu ya kula ndo ishu yaani labda uende CITY PUB hakuna sehemu nzuri ya kupata varieties.
Poor Mbeya inastahili kuitwa KIJIJI CHA MBEYA si JIJI LA MBEYA mmekalia UCHAWI tu.
**Changamkieni fursa ya Mipaka ya KASUMULU & TUNDUMA kufunguka kibiashara.
*** Cape 2 Cairo Road inayopita Mbeya nayo ni fursa za kiutalii lakini mmekalia kuzugia dini Jumapili mchana, USIKU kama kawa.
kwa suala la misosi ukishindwa kuishi mbeya huwezi kuishi sehemu nyingine yyte tanzania hii, karibu sanaYap 2006 ndio nimesepa mbeya
Najua lzm kutakuwa kumebadilika sana tofaut na kipind kile
Nataman kuja ila hope karibuni ntatembelea mbeya tena ,viazi bei chee sana.kwa masuala ya chakula najua mbeya hakuna gharama ,watu wa mby kwa hilo wanabahati sana
hapana mkuu, hakuna ishu yyte zaidi ya maneno ya watu, karibu sana bossi wanguAsante kwa update mkuu
Nataka kwenda huko Na nilianza kuogopa
Nimeishi Mbeya kwa kweli kama wewe sio mchawi huwezi kufanya biashara pale..hasa maeneo ya Mwanjelwa Kabwe mpaka Uhindini ni uchawi tu customer care ziro wanachojua ni kufuga manyoka tuMbeya punguzeni ULOZI ("Uchawi")
kwa suala la misosi ukishindwa kuishi mbeya huwezi kuishi sehemu nyingine yyte tanzania hii, karibu sana
hapana mkuu, hakuna ishu yyte zaidi ya maneno ya watu, karibu sana bossi wangu
Mkuu hakuna kitu kule aiseeeNimeishi Mbeya kwa kweli kama wewe sio mchawi huwezi kufanya biashara pale..hasa maeneo ya Mwanjelwa Kabwe mpaka Uhindini ni uchawi tu customer care ziro wanachojua ni kufuga manyoka tu
Mchawi humuona mchawi mwenzake, kila siku napita mwanjelwa ila sijawahi ona nyoka au kitu chochote cha ulozi ( haimaanishi kwamba nakataa kuwa havipo) labda ushuhudie uliviona onaje wewe?Nimeishi Mbeya kwa kweli kama wewe sio mchawi huwezi kufanya biashara pale..hasa maeneo ya Mwanjelwa Kabwe mpaka Uhindini ni uchawi tu customer care ziro wanachojua ni kufuga manyoka tu
Nimeishi Mbeya kwa kweli kama wewe sio mchawi huwezi kufanya biashara pale..hasa maeneo ya Mwanjelwa Kabwe mpaka Uhindini ni uchawi tu customer care ziro wanachojua ni kufuga manyoka tu