Jiji la Mbeya kama kijiji

Jiji la Mbeya kama kijiji

Mfano...hii ni dual carriage with six lanes...
1465897212738.jpg
 
Mkuu mchome Jr ni kweli hiyo ndio concept sahihi kuhusu dual carriage way lakini nilikuwa najaribu kumpa maelezo rahisi aliyeniuliza maana ya bypass na dual carriage way na simply kwa sasa haitazidi 4 lanes.Natamani hata bypass iwe dual carriage badala ya single but ngoja tusubiri design zake.Mliopo Arusha hiyo Bypass inajengwa ni single au dual carriage?
 
Ndugu Gwatu,sina taarifa za hiyo mipango ngoja nitaifanyia kazi.Kuna mpango tena ni mda mrefu sana wa kujenga upya ofisi za mkoa lakini ni juu ya TAMISEMI.Ila opposite Rufaa upande wa nyuma kuna hostel mpya gorofa 4 each block za Chuo cha Wizara ya Afya
 
Kwenye red nipe sababu Mr,
Hiyo yote ni uvivu wa kufikiri. Kuna utafiti ulifanywa na taasisi ya kuendeleza majenzi - BRU miaka ya 1974; walitoa mapendekezo kwamba mji wa Mbeya na Dodoma haiwezi kujengwa majengo yenye ghorofa zaidi ya Sita, sababu miji hiyo iko eneo la Bonde la Ufa. Kwa tabia, maeneo yaliyo kwenye bonde la ufa huwa kunatokea matetemeko ya ardhi kwa hiyo sio salama kwa majengo marefu.

Hicho ndicho nikiitacho uvivu wa kufikiri. Katika zama hizi za tekinolojia, hakuna kizuizi cha kujenga chochote mahali popote. Kama hicho ndicho kigezo cha kuzuia majengo marefu Mbeya, basi kiondolewe!
 
Wahandisi uchwara wa kizamani ndio walikuwa na outdated ideas kama hizo,kwa sasa hicho kikwazo uchwara hakipo tena kwa vile teknologia ya ujenzi imebadilika,eg sio lazima kutumia reinforced concrete colums/beams or block walling,kuna mawili gorofa 7 na 4 yamejengwa kwa steel colums/beams then ndo yakawekwa blocks.Lakini kuna mjengo wa NHIF 10Flrs limejengwa kwa ujenzi wa kawaida na mengine mengi,so sababu za sijui bonde la ufa,mara tetemeko,sijui watertable au poor soil bearing capacity hazina mashiko zama hizi za teknologia
 
jiji zuri ila watu wake sijui wakoje yaaan wana mawenge flan hasa hawa mabint unakuta hana silka za kike veeeepeeeee mbeya
 
Mbeya ni mji wa kipuuz kama alivyosema mtoa mada. wao wanapenda sifa za kijinga tu lakini opportunities zipo ukizingatia upo njia panda ya MALAWI, ZAMBIA/ZIMBABWE/CONGO DR lakin kinachoiangusha mbeya ni UCHAWI narudia tena UCHAWI halafu ukiwakuta jumapili wanajazana makanisani utafikiri kweli wacha Mungu kumbe sanaa tu.

Unatutisha tunaotaka kwenda huko
 
mimi hii post yako nairipoti lakini nakushauri ifute utapata shida wadau wakiingia humu wapo wengi kichizi. Hujui hao unaowaita Wachawi ndio wanaolisha familia yako!? mimi nimekaa hapo mbeya kwa miezi 6 mfululizo. Huwezi kufananisha na mkoa mwingine wowote kwa mahitaji muhimu, chakula, hewa safi, utulivu, watu wastaarabu yaani mimi huwa naliita jiji la mbeya StressFree City.
Umenena mkuu
 
labda kama umetokea nje ya nchi ila jiji la ovyo kuliko yote duniani ni Dar, alafu kama hujielewi vile uzuri wa jiji kwako ni hotel tu? poor you!
Umenena vyema mkuu,anaona dar ndo the best city kwake
 
mimi hii post yako nairipoti lakini nakushauri ifute utapata shida wadau wakiingia humu wapo wengi kichizi. Hujui hao unaowaita Wachawi ndio wanaolisha familia yako!? mimi nimekaa hapo mbeya kwa miezi 6 mfululizo. Huwezi kufananisha na mkoa mwingine wowote kwa mahitaji muhimu, chakula, hewa safi, utulivu, watu wastaarabu yaani mimi huwa naliita jiji la mbeya StressFree City.
yeye anaangalia nyumba za wageni tuu ndo kipimo chake cha uzuri wa mji,au anataka kutugegedea dada zetu
 
Sasa wewe si katake advantage maana una akili zaidi ya hao unao wadharau,umetokea mkoa wa wenye akili! poor Tanzanian!
mkoa wenyewe alikotoka unaweza ukakuta ni dar,mkoa ambao watu wanagegedeana makaburini
 
pole sana na mawazo yako mgando kwa kuzani maendeleo ni magorofa marefu na majumba ya starehe kuna watu wapo dar wanaishi maisha mabaya sijawaiona sasa nani bora kati ya mimi nilie kijijini naish maisha mazuri nalala pazur nakula vizuri na wewe ulioko mjin lakin maisha yako ya mabaya ila unafurahia tu magorofa ya wenzio na majumba ya starehe pole sana wenzako huku ni raha tu
 
Back
Top Bottom