Unapita? Fanya biashara hapo Mwanjelwa ndio utapajua vizur
Mchawi humuona mchawi mwenzake, kila siku napita mwanjelwa ila sijawahi ona nyoka au kitu chochote cha ulozi ( haimaanishi kwamba nakataa kuwa havipo) labda ushuhudie uliviona onaje wewe?