Jiji la Mbeya kama kijiji

Jiji la Mbeya kama kijiji

Mbeya ni sawa sawa tu na Kigoma, Rukwa, Sumbawanga, Tabora....sehemu yeyote ambayo wameweka uchawi as kipaumbele hainaga maendeleo.
 
hii post itawafanya hawa jamaa wa hame kabisa kwao, kwangu naiona ni kama consipiracy theory ili wakaskazini waje watawale huko nako.
 
Sijawahi ona uzuri wa mji wa Mbeya. Kinyakyusa kila kona vumbi mbavu za mbwa mpaka mjini mama ntilie kila kona vijisoko kila uchochoro mipango mji ovyo ... kwa mtazamo wangu.
 
Sijawahi ona uzuri wa mji wa Mbeya. Kinyakyusa kila kona vumbi mbavu za mbwa mpaka mjini mama ntilie kila kona vijisoko kila uchochoro mipango mji ovyo ... kwa mtazamo wangu.
Mji gani Tanzania hii hauna vumbi? Mbeya ndio mji pekee usiokuwa na mbavu za mbwa mjini. Wewe na akili yako fupi ukiona nyumba zimejengwa na tofali za udongo unaona ni mbavu za mbwa, unazijua mbavu za mbwa wewe? Wapi Mbeya mjini umewah ona nyumba imewekwa miti na kukandikwa udongo? Hakuna huo ushenzi Mby.
 
Hivi ninyi mnao sema kuwa mbeya wachawi, mlijuaje? Maama uchawi hauonekani kwa macho, na sidhani kama kuna sehemu hakuna uchawi kwa Tz hapa

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Tatizo "ULOZI" kila mwenyeji ana tunguri japo jumapili hamkosi kanisani
Mchawi humjua mchawi mwenzie, na vile wewe hata dini hujui ukienda kuroga wana Mbeya unapigwa na neno maskini hadi unahisi ni uchawi jinsi akili yako ilivyo fupi.😀😀😀
 
nadhani uchawi umewazidi ndo maana hata sura zenu ngumu sana. Mola tuepushe na balaa hili
 
mbona nyuzi za kuhusu mbeya jiji zimekuwa nyingi sana humu?ngoja nikatafute uwanja huko!
*mti wenye matunda ndio hupigwa mawe* haya ni maneno ya WAHENGA!
 
Tuacheni unafiki humu. Miji mingi nchini ambayo haikubahatika kuwa makaa makuu ya taasisi za umma lazima hauwezi ukawa mzuri kulinganisha na miji iliyobahatika/pendelewa kuwa na taasisi nyingi. Jiji la Mbeya ni mfano wa Mwanza, miji iliyokuwa sana nchini kwa uwekezaji wa wenyeji tofauti na Dar, Arusha na sasa Dodoma.
Tuifahamu kwanza miji yetu ili kuelewa changamoto zinazopitia. Mji wa Tanga ulikuwa umesinyaa baada ya reli ya Kaskazini kuwa na bandari ya Tanga kunyang'anywa haki fulani. Mji wa Tabora ambao hadi 1960s ulikuwa wa nne nchini kwa kubwa kutokana na nguvu ya reli, leo uko wapi?
Mbeya Serikali imeweka nini, kiwanda cha simenti? Kwa nini tusisifie Jiji hilo la "TATU" kwa ukubwa nchini kutokana na kukua kwa kutegemea nguvu zake lenyewe?
 
Back
Top Bottom