Jiji la Mbeya kama kijiji

Jiji la Mbeya kama kijiji

mbeya ilipaswa kupewa hadhi ya mamlaka ya mji mdogo tu ingetosha.
 
Ukichunguza kwa jicho la 3 utaona future ya mbeya city ni kubwa kuliko na mji utapangika kwa ujenzi wa kazazi ya kisasa kuliko majiji mengine ukiacha Dom.Mbeya ina maeneo makubwa kama iwambi,uyole+JKT,airport ya zamani ambayo yako ndani ya jiji,haya maeneo yatabadili taswira ya jiji na kufunika slums pindi yatakapoanza kujengwa
 
Mtu atakuwa akiingia jijini kuanzia Uyole mashamba ya Kilimo to City centre na kuanzia Mbalizi upande wa Iwambi mpya along TANZAM mwenyewe utapenda mji wa kisasa.Pia inajengwa dual carriage way frm Uyole to Mbalizi/TANZAM Highway,pia Songwe Bypass km40
from Uyole-Mbalizi miradi hii itabadili hadhi na taswira ya jiji la Mbeya
 
Currently kuna ujenzi/majengo hadi gorofa 10,7,6 etc unlike upotoshaji wa zamani eti mwisho gorofa 3,kuna industrial zones zimetengwa Uyole,Iyunga/TAZARA na maeneo ya Songwe jirani na Songwe intl.airport,University campus za kutosha,jam ya maana na traffic lights,barabara kuu zote za kuingia na kutoka jijini ni lami japo ujenzi unaendelea kati ya Chunya-Makongolosi-Rungwa-Tabora/Singida to link Lake zone na Southern Highlands.So mbeya ya jana sio ya leo,but baridi mmmhh! ni noma sana.
 
Mimi nafikiri Arusha inajulikana kimataifa zaidi ya Miji yote Tanzania....DAhh...ninabahati kuzaliwa Arusha..
Vipi ile maugoro,migorore,lodwaa,ngiloriti na mkuyati ya kunywa yenyewe na ile ya kunywa na supu?,halafu vipi ile chinja chinja na kitu cha arachuga? bila kusahau kufuga rasta(dread locks)?
 
Currently kuna ujenzi/majengo hadi gorofa 10,7,6 etc unlike upotoshaji wa zamani eti mwisho gorofa 3,kuna industrial zones zimetengwa Uyole,Iyunga/TAZARA na maeneo ya Songwe jirani na Songwe intl.airport,University campus za kutosha,jam ya maana na traffic lights,barabara kuu zote za kuingia na kutoka jijini ni lami japo ujenzi unaendelea kati ya Chunya-Makongolosi-Rungwa-Tabora/Singida to link Lake zone na Southern Highlands.So mbeya ya jana sio ya leo,but baridi mmmhh! ni noma sana.
Mkuu barudi ni noma kwa kweli,si unajua ni highland? THE HIGHER YOU GO THE COOLER IT BECOMES au vipi?laikini wakora wanasema eti ikiwa baridi unatafuta VICHENCHEDE?
 
Mtu atakuwa akiingia jijini kuanzia Uyole mashamba ya Kilimo to City centre na kuanzia Mbalizi upande wa Iwambi mpya along TANZAM mwenyewe utapenda mji wa kisasa.Pia inajengwa dual carriage way frm Uyole to Mbalizi/TANZAM Highway,pia Songwe Bypass km40
from Uyole-Mbalizi miradi hii itabadili hadhi na taswira ya jiji la Mbeya


naomba ufafanuzi wa wa lugha rahisi wa hiyo dual carriage na by pass umetumia lugha ngumu kidogo ...yaani hivyo vitu ni nini na vitapita wapi
 
andreakalima,
Bora umaskini wa mali kuliko umaskini wa mawazo. Ww umeamua kiwadhalilisha watu wa mbeya

Labda utuambie huko mkoani kwako umessidia nn hadi uone dsm ipo juu kuliko mbeya.....?

Kuwa juu wa dsm n sababu ya serikali ndo makao makuu yake, wizara zote, makao makuu ya makampuni & mashirika mengi sna
Mm mwenyewe nipo dsm, ila bora kuishi mbeya kuliko dsm maana ....

Ila kuwa mstarabu
 
Dual carriage way-barabara ya njia 4(lanes) kama hizo za dar(Sam Nujoma,Mandela or Morogoro roads),Bypass-manake ni njia maalumu ya mchepuko lengo lake ni kufanya magari yasilazimike kupita katikati ya mji na kuleta jam,kwa hapa mbeya itasaidia malori yanayoenda nje ya nchi yasipite katikati ya mji
 
OK asante bypass nikajua barabara za madaraja ya chini na juu kama kule Nairobi.
 
Mkuu Gwa myetu,Bypass na barabara za Nairobi ni standard ya juu na complex kulingana na hadhi ya Jiji lenu.Bypass ya huku ita devert from TANZAM highway at Uyole to mbalizi/songwe then ita join TANZAM highway tena ila ndo wanafanya feasibility study nimeona kwenye bajeti 2016/17.Likewise the current TANZAM highway itajengwa kuwa dual carriage way from Uyole to Mbalizi,TANROADS imewalipa watu fidia 30m each side from the centreline na ubomoaji unaendelea.
 
Dual carriage way-barabara ya njia 4(lanes) kama hizo za dar(Sam Nujoma,Mandela or Morogoro roads),Bypass-manake ni njia maalumu ya mchepuko lengo lake ni kufanya magari yasilazimike kupita katikati ya mji na kuleta jam,kwa hapa mbeya itasaidia malori yanayoenda nje ya nchi yasipite katikati ya mji
Mmmmm, mkuu hapo kwenye bypass nilidhani ni Under/Overpass nikajiuliza mara mbili mbili!
 
Currently kuna ujenzi/majengo hadi gorofa 10,7,6 etc unlike upotoshaji wa zamani eti mwisho gorofa 3,kuna industrial zones zimetengwa Uyole,Iyunga/TAZARA na maeneo ya Songwe jirani na Songwe intl.airport,University campus za kutosha,jam ya maana na traffic lights,barabara kuu zote za kuingia na kutoka jijini ni lami japo ujenzi unaendelea kati ya Chunya-Makongolosi-Rungwa-Tabora/Singida to link Lake zone na Southern Highlands.So mbeya ya jana sio ya leo,but baridi mmmhh! ni noma sana.


vipi kuna mpango wa kujenga ofisi mpya za mkuu wa mkoa? maana zilizopo ni bonge la aibu hapo Mbeya, vipi kuhusu ujenzi wa uwanja mpya wa mpira ni tetesi au kweli ? na ni nini lengo la kujenga ile fence opposite na uwanja wa sokoine?
 
Dual carriage way-barabara ya njia 4(lanes) kama hizo za dar(Sam Nujoma,Mandela or Morogoro roads),Bypass-manake ni njia maalumu ya mchepuko lengo lake ni kufanya magari yasilazimike kupita katikati ya mji na kuleta jam,kwa hapa mbeya itasaidia malori yanayoenda nje ya nchi yasipite katikati ya mji
Mkuu kwa uelewa wangu dual carriage sio lazima iwe na four lanes...zinaweza zikawa sita hata nane...simply ni high way with two separate sides..!
 
Back
Top Bottom