Jiji la Mbeya kama kijiji

Mwanza gani unayoisema? hata Arusha ninayojua! Ndiyo maana tunadharauliwa na nchi za jirani! hivi ni wapi Tanzania hii ambapo mtu anaweza kuwacheka sehemu nyingin ya Tz,hebu acheni kuleta ujinga wenu hapa.
njomba baada ya dar ni mwanza njomba kwingine ndy kunafuatia
 
Ila tuache masihara ....siku nimefika hapo jirani tu Kigali ....niliufyata kimyaaaaa ....kama mbwa kaona chatu ....
 
mbeya ni uchafu tupu hamna jipya mule zaid ya uloziiiiiii
 

Wewe acha kuongea uschikijua Umeshafika Tanga? Tanga ndiyo Mji uliopangika kuliko yote hapa TanZania, ndiyo Mji pekee ambao ukifika unamwambia dreva teksi nataka kwenda br. fulani nyumba namba fulani na anakufikisha bila ya kukariri sijui baa gani kontena fulani kama Mikoa mingine!
 
Mbeya ilipaswa kubaki level ya MANISPAA kama ilivyo HALMASHAURI YA MJI MPANDA
 
1. Wewe kwako una nyumba nzuri kiasi gani na ya bei gani?
2. Wazazi wako je wanamakazi au umewajengea nyumba ya tshs ngapi?
3. Wajomba, shangazi, binamu na nduguzo wengi hakuna hata mmoja mwenye nyumba ya tope?
4. Kama ndio namba tatu hapo juu! Usidharau Mbeya city
 
Mwambie aende akaione Tanga Hotel
 
Mbeya ni ushamba tu umewajaaa. By the way! Maadhimisho ya ile LIFT ya kwanza "JIJINI" mbeya ni lini?
 
ha ha ha lift ile iliyozinduliwa na mkuu wilaya? Wanyakyusa mnakera na kuboa asee
 

5.6 Vigezo vya kuanzisha Halmashauri ya Jiji

i. Kuwe idadi ya watu wasiopungua laki tano (500,000);

ii. Kuwa na uwezo wa kujitegemea kwa asilimia tisini na tano (95%) kwamapato yake ya ndani; na

iii. Kuwepo sifa nyingine zaidi ya sifa za kawaida za Manispaa kama vilemaeneo ya kihistoria, maeneo ya utalii; Makao Makuu ya Mkoa; kituo chashughuli za Kimataifa na nyinginezo.
 
mbeya ni umbea ndo wanaujua haswaa mengine hayo ya kuendeleza mji kibiashara tuwaachie wachaga
 
Mbeya bado sana jamani. Ni kama vile upo kata flani hivi na wala si jiji. INASIKITISHA KUITA MBEYA eti ni JIJI
 
ha ha ha lift ile iliyozinduliwa na mkuu wilaya? Wanyakyusa mnakera na kuboa asee

vipi wasukuma waliopanga foleni kuingia kwenye lifti majuzi wakati wa uzinduzi wa supermarket jirani na kilumba?
 
wanyakyusa mnaboa kwa kweli. jiongezeni watani zangu
 
Tabby,
umenena vyema, mbeya wamezidi ukabila, majungu na uchawi..mji umedumaa hueleweki kuanzia mwanjelwa mpaka uhindini mji umeisha, mbeya wachawi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…