Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,371
- 14,515
mimi hii post yako nairipoti lakini nakushauri ifute utapata shida wadau wakiingia humu wapo wengi kichizi. Hujui hao unaowaita Wachawi ndio wanaolisha familia yako!? mimi nimekaa hapo mbeya kwa miezi 6 mfululizo. Huwezi kufananisha na mkoa mwingine wowote kwa mahitaji muhimu, chakula, hewa safi, utulivu, watu wastaarabu yaani mimi huwa naliita jiji la mbeya StressFree City.
Kweli wakina Malafyale, Ngambongali na BUJIBUJI etc!!!
kama mnaona wamelala kwanini msiitumie hiyo fursa kufungua hotel na pub za hadhi muitakayo?
Kama vp mtuache watu wa mbeya ,tumeridhika na mji wetu
uliyesema sisi wachawi , ni uchawi gani unaozungumzia hapa?..maana unafki kama wa mtoa thread nao ni uchawi pia!
Karibuni mbeya muwekeze, ili iwe vile mnavyoiwazia
Du Wanyakyusa tena wametoka wapi na dharau zako hizo? wewe ni mkabila na uwezo wako wa kichwani mdogo sana! Wewe umetokea nchi gani? ni Tz hii hii tunayoijua? Kama umeona watu wa Mbeya ni watu wa hovyo tu kama ulivyoandika basi una heri wewe uliyotokea Jiji zuri tuachie kijiji chetu usitukane watu hapa na kuleta chuki zako za kijinga. Wewe kwenu wapi ambako ni kuzuri sana na hakuna wachawi? hata kama n kubaya sisi ni kwetu tu,hongera zako uliyotoka sehemu isiyo ya hovyo hapa Tanzania. Ama kweli jf imevamiwa na watu wenye akili ndogo!
Mkuu lakini si unajua Jiji lazima linakuwa na Hadhi fulani...??
Wanaweza kuwa pia wanatofautiana ktk hisia na mitizamo mengine iliyoamua mbeya iwe jiji.Kwa hiyo ndo kusema wewe una akili sana kuliko wataalamu wote walioipandisha hadhi Mbeya hadi kuwa jiji.
karibu arusha jiji la kimataifa..
Njoo jiji la Tanga ulale Tanga Beach Resort,si unapenda maeneo mazuri ya kulala?Ukisikia jiji la mbeya utafikiri bonge la jiji kumbe upuuzi mtupu. sasa hapa kati nilipata safari ya mbeya nikakwepa fastjet ile kutua kwa kweli uwanja wa songwe ni mzuri kiasi (pengine kwa sababu ya upya) sasa tukapanda shuttle kwenda mjini 10,000/= (bei ya kulangua) nikafika hoteli ambayo ndio wanaisifia ni classic (Mbeya hotel) duuh ni kama nyumba ya makumbusho nikamuambia dereva nipeleke nyingine tukaenda Paradise Hotel (nayo ya kipuuzi pia) nikaenda nyingine (GR City) daah ndo nikajua kumbe zile sifa za wanyakyusa hapo Dar kwao hamna lolote sasa sehemu ya kula ndo ishu yaani labda uende CITY PUB hakuna sehemu nzuri ya kupata varieties.
Poor Mbeya inastahili kuitwa KIJIJI CHA MBEYA si JIJI LA MBEYA mmekalia UCHAWI tu.
Ukisikia jiji la mbeya utafikiri bonge la jiji kumbe upuuzi mtupu. sasa hapa kati nilipata safari ya mbeya nikakwepa fastjet ile kutua kwa kweli uwanja wa songwe ni mzuri kiasi (pengine kwa sababu ya upya) sasa tukapanda shuttle kwenda mjini 10,000/= (bei ya kulangua) nikafika hoteli ambayo ndio wanaisifia ni classic (Mbeya hotel) duuh ni kama nyumba ya makumbusho nikamuambia dereva nipeleke nyingine tukaenda Paradise Hotel (nayo ya kipuuzi pia) nikaenda nyingine (GR City) daah ndo nikajua kumbe zile sifa za wanyakyusa hapo Dar kwao hamna lolote sasa sehemu ya kula ndo ishu yaani labda uende CITY PUB hakuna sehemu nzuri ya kupata varieties.
Poor Mbeya inastahili kuitwa KIJIJI CHA MBEYA si JIJI LA MBEYA mmekalia UCHAWI tu.
Kwahiyo unataka kuniambia Sehemu kupandishwa hadhi kuwa mji,manispaa,hadi jiji inategemea Hisia za watu na sio Vigezo vya kitaalamu kadri ya Tasnia ya Mipango miji siyo???.Wanaweza kuwa pia wanatofautiana ktk hisia na mitizamo mengine iliyoamua mbeya iwe jiji.
Ndio nimekuambi sio nataka kuambia.Kwanini shida nini km mawaziri wanachaguliwa kishikaji na kutoheshimu taaluma wala weledi.Kwanini mikakati ya kipuuzi isitumike hata ktk haya majiji?Kwahiyo unataka kuniambia Sehemu kupandishwa hadhi kuwa mji,manispaa,hadi jiji inategemea Hisia za watu na sio Vigezo vya kitaalamu kadri ya Tasnia ya Mipango miji siyo???.
Sio nataka ,ila nimekuambia.Kwani haliwezekani?Kwahiyo unataka kuniambia Sehemu kupandishwa hadhi kuwa mji,manispaa,hadi jiji inategemea Hisia za watu na sio Vigezo vya kitaalamu kadri ya Tasnia ya Mipango miji siyo???.
Mkuu pole sana inaonekana wamekuboa sana hapo Mbeya...
Kwenye suala la hotels nakubaliana na wewe, the last time nimeenda hapo biz trip nililala Beaco ambayo ndo walikuwa wanasema ni iko juu,, but ni kawaida sana. Anyway kwa kuwa ndio wamefunguka angani recently labda zitajengwa standard hotels maana hiyo Paradise vyumba vidogo kama gesti hausi
Kama weee siyo mchawi sasa unajuaje wenzako wachawi ??? Ila sikushangiii kwani utakuwa ulijichanganya watu wakakuombea basi ukawaita wachawi hooooooiiiiiii mbeya patam bana acha ujima wako haaaaMbeya ni mji wa kipuuz kama alivyosema mtoa mada. wao wanapenda sifa za kijinga tu lakini opportunities zipo ukizingatia upo njia panda ya MALAWI, ZAMBIA/ZIMBABWE/CONGO DR lakin kinachoiangusha mbeya ni UCHAWI narudia tena UCHAWI halafu ukiwakuta jumapili wanajazana makanisani utafikiri kweli wacha Mungu kumbe sanaa tu.