Jiji la Dar kufumuliwa, Kupangwa upya

Jiji la Dar kufumuliwa, Kupangwa upya

JIJI.jpg


Waziri wa Nyumba, Ardhi na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amesema kuwa jiji la Dar es Salaam litafumuliwa na kisha kupangwa upya, baada ya Ramani ya Mipango Mji (Master Plan) mpya kukamilika.

Akizungumza na Wadau wa Sekta ya Uendelezaji Ujenzi jijini Dar es Salaam leo, Waziri Lukuvi amesema ameagiza mpango huo utakamilika kabla ya Julai ili mpango wa upangaji upya jiji hilo uanze.

Pia Waziri Lukuvi amesema kuwa nyumba zianazojengwa kwa sasa na kampuni na mashirika ya Umma, likiwemo Shirika la Nyumba la Taifa sio za bei nafuu kulingan na hali halisi ya kipato cha Watanzania wengi, na badala yake ameagiza NHC liwakusanye wabunifu wa nyumba za bei nafuu watoe muundo ili Watanzani ndio waamue aina ya nyumba za bei nafuu.

Source: Mwananchi
Wakati mwingine huyu Mh. Lukuvi huwaga simwelewi kwa kweli!!!
 
True that is an over ambitious statement and it does not make any sense. Moreover is next to impossible.
If Lukuvi dare to implement what would be in that Master Plan , it will be simply a huge wastage of a scance resource robbled from poor citizens.
More over it is not necessary to continue with a non starter issue. It is used to be said since the era of the first President of our Nation. Sinza was designed for have not who would be offloaded from Mazense, but what transpired is haves invaded the place instead of the intended Mazense people. For the time being is to prevent further developments on some of the areas and give room to those who want to upgrade their houses by
 
Back
Top Bottom