Mpasuajipu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 836
- 52
View attachment 26343
mandhari ya jiji la dar ukiwa unaingia bandarini kutokea zanzibar. Kwa mbali mji unapendeza, lakini bado ipo haja ya kuweka mji katika mazingira ya usafi.
Hapo ndipo tulipokwama, usafi wa mji hakuna, hali ni mbaya sana ndani ya miji yetu.:angry: