KILA KONA YA JIJI LA DAR ES SALAAM, ni uchafu, uvundo na harufu mbaya...je tumekosa ubunifu ni jinsi gani tunaweza kutatua tatizo hili? je ni uzembe wa viongozi wetu au? mbona kuna vikao vingi vinafanyika ndani ya jiji na manispaa... inamaana tatizo la uchafu kwa dar huwa alizungumziwi? je wamelizika sana kiasi hicho? je nasisi kama wanajamii husika tufanyeje?