Kweli leo arusha kuna mgomo mkali wa daladala hasa njia ya kisongo.kwamrombo na mbauda,hakuna hata daladala inayotoa huduma asubuhi na mapema mgomo umeanzia maeneo hayo kadiri muda ulivyoendelea kufika saa 1.20 sehemu zote wakasitisha na kuna vitisho kwa daladala yoyote itakayoonekana inapasuliwa vioo kwa mawe na masela wengi wana mawe kando ya barabara,kuna misururu mirefu ya watu wanachapa laoa kwa miguu kuelekea maofisini na bodaboda ndo hazishikiki na bei wamepandisha elfu tatu kwa umbali wowote,kisa hawa jamaa wanalalamika kuwa polisi wanawakamata sana na kuwatoza faini sana .nawakilisha toka A- town