Jiji la Arusha kupendezeshwa

Uko sawa barabara hiyo itapita Ngaramtoni ya juu mpaka Njiro lakini hata hizi za ndani nazo zimo katika programe hiyo ya kuwekwa lami. Hivi CrashWise Arusha hakuna barabara za maana kabisa na hiyo ni programe ambayo ni lazima itekelezwe ili Arusha liwe jiji, moja ya sababu ya kuvuliwa ni hiyo ya barabara.
Mzee wa Rula hizo ni habari njema kwa mji wetu wa ARUSHA, lakini nani anasimamia hizo kandarasi??????????? Kama ni waziri Maghufuri naweza kidogo kuwa na matumaini!!!!!!!!!!!
 
MPG & fmpiganaji

Ujenzi wa hizi barabara hauna uhusiano na CDM au Lema kwa taarifa yako hizi barabara zinagaramiwa na WB chini mradi wa kuboresha miundombinu ya EAC.Barabara itapitia maeneo ya Kisongo ,Njiro ,Moshono,KIA hadi Holili.

Barabara za katikati ya mji zipo chini ya mipango ya uendelezaji wa Jiji usisahau CDM wamewazuia madiwani wake wasishiriki nakushangaa unasahau mliwafukuza madiwani waligoma kususia vikao.Viongozi wa CDM wajue kuna baadhi ya maamuzi yatakuja kuwagharimu sana.

Ngongo kama kawaida yako, akitajwa Lema ama chadema lazima utie neno.

Mbona unataka kuwawekea maneno mdomoni, wapi wamesema kwamba chadema haikuwafukuza madiwani hadi ulazimike kuwakumbusha?
 
Valid Statement.

Unaweza kuwa sahihi nilitegemea madiwa wa upinzani wangefanya kazi ya vyema kusimamia matumizi sahihi ya fedha za umma lakini CDM wamewalazimisha madiwani wao wasihudhurie vikao vya jiji la Arusha.



kazi ingine ilobaki ni halmashauri kusimamia hizo fedha za ujenzi.
Mana ccm watafuna hela lazima wamege mihela hapo.
 
Mkuu Mwita Maranya.

Ukisoma post zote utakutana na post ya mwanaukumbi anadai ujenzi wa hizo barabara ni juhudi za CDM na mbunge wa Arusha Mhe Lema nikatoa angalizo kwamba barabara hizo ni sehemu ya miradi ya EAC chini ya ufadhili wa WB.Nikaendelea kumwelimisha barabara za katikati ya jiji zipo chini ya halamashauri ya jiji nikaendelea kumpatia darsa kwamba ndani ya hiyo halmashauri ya jiji madiwani wa CDM hawashiriki vikao vya maamuzi au usimamizi wa hiyo miradi.Ebu niambie mpaka hapo kosa langu nini ?.


Ngongo kama kawaida yako, akitajwa Lema ama chadema lazima utie neno.

Mbona unataka kuwawekea maneno mdomoni, wapi wamesema kwamba chadema haikuwafukuza madiwani hadi ulazimike kuwakumbusha?
 
Kuna miradi miwili itatekelezwa wa kwanza ni mkopo kutoka WB,ambao umelenga kuboresha miundombinu ya barabara za ndani ya mji,mradi huu unaanza mwishoni mwa mwezi huu October,barabara zitakazojengwa kwa kiwango cha lami ni pamoja na kutoka roundabout ya florida kupita selian hadi kambi ya fisi,mitaa yote kutoka stend kuu ya mikoani hadi idara ya maji yaani chaga road,mtaa wa rombo shine hadi barabara ya Nairobi kupitia nyuma ya Father babu,Majengo crokoni hadi sakina barabara ya Nairobi
Pia kutaweka taa za kuongozea magari eneo la Kuingia stendi kuu,friends corner pamoja na corner esso,mradi huu utagharimu 8bilion
Mradi wa pili ni wa upanuzi wa barabara kutoka eneo la Machinjioni hadi Usa river,(four ways),pia barabara kutoka iliyokuwa dodoma road eneo la Ngaramtoni inateremka hadi International school moshi,kupitia viwanja vya magereza,olasiti,Terat,njiro hadi eneo la Chekereni inaungana na Old moshi road hadi usariver itajengwa kwa kiwango cha Lami,chini ya ADB,na mradi utaanza mwakani,mradi huu unatekelezwa kwenye miji(majiji) ya EA ili yawe na kiwango
 
Barabara ya Dodoma,itaboreshwa kuanzia corner esso hadi uwanja wa ndege.mradi utatekelezwa na Tanroad kuanzia mwisho wa November
 
Mkuu Mwita Maranya.

Ukisoma post zote utakutana na post ya mwanaukumbi anadai ujenzi wa hizo barabara ni juhudi za CDM na mbunge wa Arusha Mhe Lema nikatoa angalizo kwamba barabara hizo ni sehemu ya miradi ya EAC chini ya ufadhili wa WB.Nikaendelea kumwelimisha barabara za katikati ya jiji zipo chini ya halamashauri ya jiji nikaendelea kumpatia darsa kwamba ndani ya hiyo halmashauri ya jiji madiwani wa CDM hawashiriki vikao vya maamuzi au usimamizi wa hiyo miradi.Ebu niambie mpaka hapo kosa langu nini ?.

Ngongo maelezo yako ni sahihi kwa kiwango kikubwa.

Mahali ambapo nimepingana na wewe ni pale unapojaribu kuwakumbusha kwamba wasisahau kwamba chadema imewafukuza madiwani wake wakati kila mmoja anafahamu hivyo na wao hawajasema hivyo.

Hao madiwani ilikuwa ni lazima wafukuzwe kwa kushindwa kuheshimu katiba ya chadema na mbaya zaidi wakaonyesha dharau kubwa kwa katibu mkuu wa chadema Dr. Slaa.
 
Kuna miradi miwili itatekelezwa wa kwanza ni mkopo kutoka WB,ambao umelenga kuboresha miundombinu ya barabara za ndani ya mji,mradi huu unaanza mwishoni mwa mwezi huu October,barabara zitakazojengwa kwa kiwango cha lami ni pamoja na kutoka roundabout ya florida kupita selian hadi kambi ya fisi,mitaa yote kutoka stend kuu ya mikoani hadi idara ya maji yaani chaga road,mtaa wa rombo shine hadi barabara ya Nairobi kupitia nyuma ya Father babu,Majengo crokoni hadi sakina barabara ya Nairobi
Pia kutaweka taa za kuongozea magari eneo la Kuingia stendi kuu,friends corner pamoja na corner esso,mradi huu utagharimu 8bilion
Mradi wa pili ni wa upanuzi wa barabara kutoka eneo la Machinjioni hadi Usa river,(four ways),pia barabara kutoka iliyokuwa dodoma road eneo la Ngaramtoni inateremka hadi International school moshi,kupitia viwanja vya magereza,olasiti,Terat,njiro hadi eneo la Chekereni inaungana na Old moshi road hadi usariver itajengwa kwa kiwango cha Lami,chini ya ADB,na mradi utaanza mwakani,mradi huu unatekelezwa kwenye miji(majiji) ya EA ili yawe na kiwango

Mkuu ahsante sana kwa kunyoosha maelezo na kutatua utata.

Bila shaka Ngongo atakuwa amekusoma vizuri.
 
Kuna miradi miwili itatekelezwa wa kwanza ni mkopo kutoka WB,ambao umelenga kuboresha miundombinu ya barabara za ndani ya mji,mradi huu unaanza mwishoni mwa mwezi huu October,barabara zitakazojengwa kwa kiwango cha lami ni pamoja na kutoka roundabout ya florida kupita selian hadi kambi ya fisi,mitaa yote kutoka stend kuu ya mikoani hadi idara ya maji yaani chaga road,mtaa wa rombo shine hadi barabara ya Nairobi kupitia nyuma ya Father babu,Majengo crokoni hadi sakina barabara ya Nairobi
Pia kutaweka taa za kuongozea magari eneo la Kuingia stendi kuu,friends corner pamoja na corner esso,mradi huu utagharimu 8bilion
Mradi wa pili ni wa upanuzi wa barabara kutoka eneo la Machinjioni hadi Usa river,(four ways),pia barabara kutoka iliyokuwa dodoma road eneo la Ngaramtoni inateremka hadi International school moshi,kupitia viwanja vya magereza,olasiti,Terat,njiro hadi eneo la Chekereni inaungana na Old moshi road hadi usariver itajengwa kwa kiwango cha Lami,chini ya ADB,na mradi utaanza mwakani,mradi huu unatekelezwa kwenye miji(majiji) ya EA ili yawe na kiwango



Asante sana Mkuu kwa ufafanuzi!
 
Ina maana hao madiwani waliozuiwa/fukuzwa ndio wajenzi wa hizo barabara au ndio walio tafuta huo mkopo (kumbuka ni mkopo wa WB na mchakato wa kuupata hauchukui chini ya miaka 10)?

MPG & fmpiganaji

Ujenzi wa hizi barabara hauna uhusiano na CDM au Lema kwa taarifa yako hizi barabara zinagaramiwa na WB chini mradi wa kuboresha miundombinu ya EAC.Barabara itapitia maeneo ya Kisongo ,Njiro ,Moshono,KIA hadi Holili.

Barabara za katikati ya mji zipo chini ya mipango ya uendelezaji wa Jiji usisahau CDM wamewazuia madiwani wake wasishiriki nakushangaa unasahau mliwafukuza madiwani waligoma kususia vikao.Viongozi wa CDM wajue kuna baadhi ya maamuzi yatakuja kuwagharimu sana.
 
Hii mimi nilisikia kuwa ile kampuni iliyopewa tender ya kutengeza barabara toka Namanga - Arusha iliingia mkataba wa kutengeneza barabara zote za ndani ya Arusha baada ya kuvuliwa hadhi ya jiji. Na lingine Arusha ni mji unaotegemea barabara moja tu ya uhuru hivyo kusababisha msongamano mkubwa sana magari, hivyo solution pekee iliyoonekana ni kuweka lami njia za mtaani muhimu ambazo zinakwepwa na wenye magari kutokana na ubovu wake.


jamani mimi sina habari, lini arusha imevuliwa hadhi ya jiji?
 
Kipindi cha kampeni mwaka jana niliona baadhi ya vijibarabara maeneo ya makao mapya eneo la pale keni garden waliweka vijilami vya kiushikaji nikajua ujenzi wa hizo barabara ndio umeanza lakini baada ya uchaguzi kuisha huyo mkandarasi akaingia mitini, kumbe ilikua ni gia ya Magambaz kuwahadaa wananchi ili wapate kura! Pumbaffffffffffffu.
 
Kawaida, ni wajibu wao kufanya hivyo! After all ni makao makuu ya jumuiya ya Afrika Mashariki.
 
Back
Top Bottom