Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,439
- 166,892
Matapeli wako wengi, lakini huyu ni miongoni mwao.
Anaitwa Abdubakari Kizango
TCRA imelala doro, mpaka ikija kuamka watu watakuwa wamesha umizwa sanaHao wako wengi wanatoa matangazo feki ya kazi then wanaanza kusumbua watu.TCRA shughulikieni hawa matapeli mara moja
Jamaa hata aibu haoniLaini yake ya tigo 0659777076 iko hewani kasajili kwa hilo jina la Aboubakary Kizango. anadai anatoka kampuni ya Milton Ltd, DSM. huyu mtu achunguzwe hatujui kawatapeli wangapi.
Laini yake ya tigo 0659777076 iko hewani kasajili kwa hilo jina la Aboubakary Kizango. anadai anatoka kampuni ya Milton Ltd, DSM. huyu mtu achunguzwe hatujui kawatapeli wangapi.