I am way above your league mate.
Wakati unaendesba maboksi mchangani , tayari tulikuwa barabarani
I doubt kama mzazi walo alikuwa hata na hela ya kupanda UDA in the early 80’s.
You idiots have a way of propping your selves into heights of stupidity.
Ukishaona mtu anajiongelesha kimagharibi elewa ashatindikiwa. Waulize wenzio humu jf walioonana na Nyadikwa watakusimulia na siku hiyohiyo utashika adabu. Fake ID zinawadanganya sana
Ukishaona mtu anajiongelesha kimagharibi elewa ashatindikiwa. Waulize wenzio humu jf walioonana na Nyadikwa watakusimulia na siku hiyohiyo utashika adabu. Fake ID zinawadanganya sana
hapana mtoa mada 100% una makosa wewe unajua kusoma na pia unalijua gari lako linatumia mafuta gani unapofika kituo cha mafuta kwanza unasoma pump ni diesel au petrol ndio unapark sehemu wewe unajua gari yako inatumia mafuta yapi
Kama sio ORYX hayo makosa ni ya kawaida mno. Kuna mwana aliwekewa kwenye Vogue kerosene kwenye sheli ya mhindi flan simtaji jiran na Kamata. Mzee Sheli ni ORYX tu