Chinga boy
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 412
- 103
Hi wadau.Jana nilipigiwa cm kwa no Hii 0784610897.Huyu mtu alionyesha kunifahamu kwa jina na mahali nilipo ingawa sasa sipo hapo at that time nilikuwepo Nzega. Kwa ufupi alisema anaitwa Patrick Shija yupo kishapu kwa kilimo kwanza na deal anayotumia ni ununuzi wa majembe ya treka pale suma Jkt.sijuwi hizi no na majina na mahali ulipo wanatoa wapi.