Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 6,980
- 14,741
Hata Ikulu wanafuatiliwa na TCRA je?
hahahahhaaaagoogle wananijua vizuri lakini wameshindwa kujua muda wangu sahihi wa kupiga nyeto.
hizo notification zote nimeziblock sababu zinadisturb sana..nikifungua whatsapp tu ndio message zinaingia na sio kwa pop up notificationHivi kwa mfano kwa nini unatumia notification message ya what's app inapoingia. Ni kwa sababu umeruhusu background processing. Yaani ni mambo ambayo yanafanyika kwenye simu bila utashi wako
Kwa kifupi wanamjua hata jiwe, kuanzia michepuko mpaka madili yake... Siku marekan akiamua hapatakalika hapa tanzania...Si ajabu ukiulizwa leo hii nani anayekufahamu zaidi. Jibu linaweza kuwa mama yako au mpenzi wako.
Sasa kwa taarifa yako kama ulikuwa hujui, Google wanakujua zaidi kuliko mtu yeyote mwingine. Google wanajua kuanzia kuamka kwako, kulala kwako, mazungumzo yako, sehemu ulipo sahihi na hata ukitoka hapo watajua. Google wanajua karibu kila kitu kuhusu wewe. Wanajua unachofanya kwenye mtandao. Wanajua kuanzia muda unaotumia kuangalia porn, muda unaotumia kutazama video YouTube, ugomvi wako na mkeo. Sijui niseme ambacho Google hawajui kuhusu. Nafikiri hakuna.
Hatua hiyo ya kampuni ya Google kuhifadhi taarifa za siri za wateja imesababisha CEO wa Google kuitwa na kuhojiwa na Congress ya Marekani. Tuhuma kama hizo zimeikabili kampuni ya Facebook pia.
Kwahiyo hapo ulipo Google wanakucheki wanachekaa! Ni muhimu kuchukua tahadhari kuzima data, location, WIFI, BLUETOOTH unapokuwa sirini!
Tazama kibano alicho pewa CEO wa Google kutoka kwa Congress
Huo ni ujinga wako mwenyewe google hawahusiki.Ila hawa jamaa wajirekebishe, masuala unagoogle kitu yanaanza maneno ya ajabu hatutaki.
Mfano unataka kugoogle neno kutohoa , ukianza kutype kuto .... utaona maneno yanayokuja hapo halafu mbaya zaidi umekaa na mtoto.
Mama yako hajui muda gani unafanya kazi, lakini Google wanajuabkaza naomba niishie hapa. kwa maelezo zaidi kajisomee backdoor kwenye apps na application s mbali mbali utajua namaanisha nini
bye
Mama anajua kama unaangaliaga porn?Wooooiiii
Google hawanijui zaidi ya mama yangu... Over
Bye
Hapa sichangiiKwa kifupi wanamjua hata jiwe, kuanzia michepuko mpaka madili yake... Siku marekan akiamua hapatakalika hapa tanzania...
Wanajua; kama una simu ya kichana au ya tochiAta ka kifaa utumiacho akin selfie cam wanajua?
Huwa situmii simu kuangalia pornMama anajua kama unaangaliaga porn?
Sio simu tuHuwa situmii simu kuangalia porn
Apps na applications ni vitu viwili tofauti?bkaza naomba niishie hapa. kwa maelezo zaidi kajisomee backdoor kwenye apps na application s mbali mbali utajua namaanisha nini
bye
Huwezi kukwepaWewe bado unatumia search engine kama google
Ni apps ni kifupiApps na applications ni vitu viwili tofauti?
sawa na computer, tablet, ipad zote sichekii pornografiaSio simu tu
Unazipata wapi contentsawa na computer, tablet, ipad zote sichekii pornografia
no havina tofauti nilidhamiria kuandika kitu kingine kabisa probably setup za computerApps na applications ni vitu viwili tofauti?