Unatumia nini, mgando au AYUgoogle wananijua vizuri lakini wameshindwa kujua muda wangu sahihi wa kupiga nyeto.
una app ya chrome kwa simu yako? kama ipo nenda setting kisha apps bonyeza kwenye chrome kisha bonyeza sehem walipo andika permission uniambie app kama hiyo kwanini imetaka acces kwenyeNajihadhari ndio lakini msiwaaminishe watu kuwa Google ndio kila kitu
Very smart...Huyo CEO wa Google yuko vizuri sanaa kichwani.
Kama nikitoa simu dukani na enable kila permission.una app ya chrome kwa simu yako? kama ipo nenda setting kisha apps bonyeza kwenye chrome kisha bonyeza sehem walipo andika permission uniambie app kama hiyo kwanini imetaka acces kwenye
location
microphone
contacts n.k na kama u.ekuta hizo features zipo enabled jiulize wamekurekodi mangapi mpaka sasa bila wewe kujua
Hiyo app ipo ila siitumii as a default browser mkuuuna app ya chrome kwa simu yako? kama ipo nenda setting kisha apps bonyeza kwenye chrome kisha bonyeza sehem walipo andika permission uniambie app kama hiyo kwanini imetaka acces kwenye
location
microphone
contacts n.k na kama u.ekuta hizo features zipo enabled jiulize wamekurekodi mangapi mpaka sasa bila wewe kujua
Search engine yako ni ipi mkuuHiyo app ipo ila siitumii as a default browser mkuu
Nakuabiliana na wewe. Na wakati mwingine data hizo zinanunuliwa na watu ambao wanazitumia kwa mambo ya siasaNdio maana Putin alisema barua zote za ikulu ziandikwe kwa typewriters za zamani
Mitandao haipo tu kujua unaangalia nini bali ni kwa ajili ya takwimu,data na kibiashara zaidi.
Wanajua unapenda kuvaa aina gani za nguo, unapendelea chakula gani na hizo data zako huuzwa kwenye makampuni na masoko makubwa
Usishangae ukaona kwenye simu yako matangazo ya biashara kwa kitu ulichoangalia juzi
huitumii ila ume grant access kwenye mambo niliyoyataja hapo juu na huja restrict background process na app imekuja na simu hujui nyuma ya pazia inafanya mambo gani. wakati wewe upo bize na firefox yenyewe ipo bize na ya kwake chini kwa chiniHiyo app ipo ila siitumii as a default browser mkuu
BING na YahooSearch engine yako ni ipi mkuu
Na wao wanahifadhi piaBING na Yahoo
huitumii ila ume grant access kwenye mambo niliyoyataja hapo juu na huja restrict background process na app imekuja na simu hujui nyuma ya pazia inafanya mambo gani. wakati wewe upo bize na firefox yenyewe ipo bize na ya kwake chini kwa chini
ila sio google unaowapigia chapuo hapa au sio?Na wao wanahifadhi pia
bkaza naomba niishie hapa. kwa maelezo zaidi kajisomee backdoor kwenye apps smbali mbali utajua namaanisha niniHuko kuwa bize chini kwa chini ni kupi ambako matumizi yake haitumiwi na mimi
Sema Wana uwezo wa kujua vitu vingi juu yako hasa unapokua connected to network>satelite>internet, wanafanya hvyo wakitaka, sasa wewe mwenzangu na mimi mbeba maparachich huku ushirombo wakufuatilie ili?
BTW not to that extent mzee, google wakujue zaid ya mama yako? Bora hata ungesema unapokua mafichoni google ni rahisi kukupata zaid ya mama yako, usilinganishe teknology na Mind, ni vitu viwili tofauti sana, mind itakuelewa, tecnology itafanya.
Hivi kwa mfano kwa nini unatumia notification message ya what's app inapoingia. Ni kwa sababu umeruhusu background processing. Yaani ni mambo ambayo yanafanyika kwenye simu bila utashi wakoHuko kuwa bize chini kwa chini ni kupi ambako matumizi yake haitumiwi na mimi
bkaza naomba niishie hapa. kwa maelezo zaidi kajisomee backdoor kwenye apps na application s mbali mbali utajua namaanisha nini
bye