Jifunzeni kwa Idd Amin Dada

Ndio,
Mfano mzuri ni Muammar Mohammed Abu Minyar Gaddafi aliwafanyia Libya vitu vingi vizuri,
Pia alikuwa Rafiki Mkubwa wa Idd Amin Dada.
no-8-moammar-khadafy.jpg
 
Tafuteni hotuba za Adolph Hitler. Nguvu alizokuwa anatumia kuongea kama vile mkulima anayepiga jembe. Jambo dogo anakiongelea kwa nguvu nyingi sana.
Achana na huyo, tafuta ya dikteta Mussolin, aisee madikteta sana strong language hatari, kwa Afrika nadhani alikuwa Col. Gaddaf na sasa amebaki Mugabe ingawa sio mtata sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom