ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,529
Ndio,
Mfano mzuri ni Muammar Mohammed Abu Minyar Gaddafi aliwafanyia Libya vitu vingi vizuri,
Pia alikuwa Rafiki Mkubwa wa Idd Amin Dada.
Ndio,
Mfano mzuri ni Muammar Mohammed Abu Minyar Gaddafi aliwafanyia Libya vitu vingi vizuri,
Pia alikuwa Rafiki Mkubwa wa Idd Amin Dada.
Ahaa!MNA aminishwa tuu, alicho waibia walibya ni kikubwa kuliko alicho wafanyia, Libya ni nchi tajiri sana.
Aah wapi, Amekufa kawaida tu ukimbizinisema alikufa kifo cha aibu,alifia huko Saudi arabia
Duh! Uko dunia gani. ..wamegeuka kuwa wakimbizi wanafia baharini kila siku wakijaribu kwenda Europe. .tusidanganyane, leo wapo huru
Achana na huyo, tafuta ya dikteta Mussolin, aisee madikteta sana strong language hatari, kwa Afrika nadhani alikuwa Col. Gaddaf na sasa amebaki Mugabe ingawa sio mtata sana.Tafuteni hotuba za Adolph Hitler. Nguvu alizokuwa anatumia kuongea kama vile mkulima anayepiga jembe. Jambo dogo anakiongelea kwa nguvu nyingi sana.
Halafu inaeleweka vizuriAlikuwa na English tamu kama ya Mukulu....
huyo ana familia na watoto kibao hapo,kazikwa kimya kimya ila kikawaida haikutakiwa kuanza kuweka attention na kuwakumbusha watu machungu waliyopitiaunajua alizikwaje, Rais unazikwa kama wale wa ruvu