Jifunze sayansi ya kiafrika

Jifunze sayansi ya kiafrika

mshidwe kwa Jina la YESU!Wanga wakubwa nyie
 
Mkuu The Prezident huku ni mbali hawawezi kuja na hizo ndege zao za ungo zitaanguka njiani kwa kuishiwa mafuta ya ndege.Ni mbali sana huku na kuna wachawi wa kizungu huku wataweza kuzizuia hizo ndege za ungo za kiafrika,zisiweze kuruka angani tena.

Kumbe kila mjanja ana mjanja wake
 
Mi ntakuja kuwahubiria injili wachawi wakubwa nyie
 
Umri kuanzia miaka mingapi na je naweza kumleta mdogo wangu aloshindikana, mtaani wanapenda kumwita teja akafuzu vizuri?

Mlete tu, kwetu hakina jambo linaloshindikana. Kushindikana ni moja kati ya mambo makuu tusiyo yaamini.
 
Mi ntakuja kuwahubiria injili wachawi wakubwa nyie

Neno hilo lilikuwepo tangu enzi za Pontyo wa Pilato, dont u know that hata Yesu aliwahi kuitwa Mchawi na wayahudi?
 
Kwa jinsi unavojibu watu wewe mtoa uzi inaonyesha wazi huna akili sasa cjui utafundishaje wenzio huo uchawi
 
alikuja kufurahisha tu hayuko makini ndio maana ana majibu ya kipumbaav.
 
alikuja kufurahisha tu hayuko makini ndio maana ana majibu ya kipumbaav.

Majibu ya kpumbavu ndio majibu ya namna gani? unaweza kuthibitisha madai yako?
 
Back
Top Bottom