uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 5,222
- 9,228
Tafuta kale kama ka miwani flani keusi unafunika uso na kuziba masikio huwa kuna vidude vya kuzibia masikio utasikia sauti kwa mbali hivyo usingizi pole pole utakujaNilidhan nikikua hofu itaisha ila wapi hata niwe usingizi nikishaona ule mwanga nashtuka ...radi ikipiga mapigo ya moyo yanaongezeka sana nakuwa na hofu na kutetemeka kabisa sijui nn hunipata ila nateseka sana