Jifunze Kutengeneza wateja wako mwenyewe, Wateja ndio Msingi wa biashara yako

Pamoja Sana japo somo la leo limeniona nasubiri mwendelezo wake #iamslowlearner
Nakuelewa mkuu,ukiwa hujaelewa somo Pita na comment za wadau

Jinsi ninavyowajibu mwisho utapata kapicha mwishoni ya nn lengo la mada.
 
Unajua ujasiriamali ni Kitu pana yenye inahitaji elimu kila siku jinsi ya kui master na kujua nini ufanye na nini usifanye ili kuepuka kile watu wanaita HASARA,hamna mtu anapenda hasara kila mtu anafungua biashara ili apate faida na hii faida huwa huwezi kufungua tu droo ukakuta hela zimeongezeka,hii faida inaletwa na watu.

watu ambao sisi tunawaita wateja,unajua hamna biashara nzuri na tamu kama ile yenye wateja,ukiniuliza mimi biashara gani nzuri ya kufanya nitakujibu simple and short "biashara yeyote yenye wateja" hiyo ndio biashara ya kufanya na nzuri.

Mziki wake unakujaga sasa jinsi ya kuwapata hao wateja,hapa ndio panafanyaga sharobaro atembee peku,boss ajigeuze mfanyakazi kufanya kazi za wafanyakazi wake sio kwamba yeye hana kazi,au sio kwamba kakosa chakufanya ila yote hiyo ni Tafuta ya wateja.

Umeshawahi enda sehemu ukaingia ukashindwa gundua boss nani mfanyakazi nani? najua umewahi..Sasa basi huyo boss usifikiri yeye hana kazi zingine la hasha! kaamua kuuingia front ili kuzidi kunasa wateja akikaa chini akabweteka yule mteja akakosa huduma unafkiri atabaki? hapana lazima aondoke,sasa ili asiondoke ni lazima apate huduma na nani wakumpa hiyo huduma sasa kama wafanyakazi wote wako busy? ndipo BOSS anaaingia kati anaokoa jahazi ili asimpoteze yule mteja.

Tutoke huko kwenye mastory ya town!

SASA leo nataka niseme kidogo na wale iba iba,wezi wezi,macho kodo wa wateja wa wengine!

Unajua kila biashara ina ups and down mpk inafikia unaona biashara ya mtu wateja wanapishana kama wanaingia kukata ticket za kuingia taifa ujue yule mtu alisota,alivumilia,aliumia lakini hakukata tamaa alisimama na leo ndio hivyo unaona wateja wanapishana.

sasa kuna mtu mmoja kajibanza mahali baada ya kuona wateja wa mwenzake ni wengi,anaona hii ndio fursa sasa (kosa kubwa sana) Labda nitolee mfano Kuna sehemu kuna BAR imefunguliwa mpya,kufunguliwa tu yule mwenye bar kila week end analeta band,wanamuziki,wanatumbuiza so inapelekea wateja kwenda kwa wingi sana kwenye ile BAR.

sasa kuna kajizi ka wateja kamoja baada ya kuona wateja wanafurika kwenye ile bar anaona yes hapa hapa,kichwani mwake anakuja na Idea za biashara akilenga wateja watakua ni wale wale wa ile bar. Utamuona huyooo anakurupuka anaenda kuweka mpesa/tigo pesa pembeni ya ile BAR, utamuona huyooo anakurupuka anaenda kufungua saloon pembeni ya ile BAR,utamuona huyo kurupu kurupu anaenda fungua CARWASH pembeni ya ile BAR yaniiii ni fujoo kwa kwenda mbele.

wakishafungua hizo biashara zao sasa unajua kinachofuata ni nini? kwakua wao akili yao haikuwaza kutafuta wateja wao binafsi ila waliwaza kuiba wateja wa wengine ili waje wawe wao kinachofuata sasa...

Mwenye ile BAR anapata tatizo la kibinadamu ambalo mimi na wewe hatulijui,anayumba ki pesa ule uwezo wa kuleta band kila week end hana tena,ule uwezo wakuleta wasanii hana tena,BAR inapoteza mvuto,kasoro zinaongezeka na kwakua wateja wanapenda vitu vizuri huwa Woteeeee wanaanza ondoka mmoja mmoja,week end wateja walikua wanakuja 1000 taratbu namba inashuka 500 mara 300 mara 100 mara 50 Bar inabaki jina tu.

kasheshe linakuja kwa wale ndugu zetu kule nnje,utawasikia mkipishana huko njian anakwambia "Biashara ngumu ndugu yangu" utamsikia Biashara ya Tigo Pesa saivi haina hela kabisa,utamsikia akilalamika tu wateja hamna, Unajua kwann hawa watu wanalalamika? wanalalamika kwasababu vichwani mwao walijua Biashara ni MTAJI tu (ooh maskini) wakasahau biashara ni MTAJI + WATEJA.

Unapofungua biashara yako mahali lazima ujue wateja wangu ni kina nani? wanatoka wapi? nitadumu nao kwa muda gani? lazima ujiulize hayo maswali yote kabla hujafungua biashara yako.

Unakuta mtu anakwambia controla Nataka kwenda kufungua biashara paleeee,namuuliza wapi? ananiambia Pembeni ya ile shule pale kuna wanafunzi sana,yani nikifungua pale nitapiga sana hela unajua....

au mtu anakwambia Controla nataka kufungua biashara paleee nimepata eneo flani amaizing sana,namuuliza wapi hapo? anakwambia si pale kwenye lile soko Jipya,au si pale kwenye ile STAND MPYA yani ile stand ikifunguliwa ni hatari nakwambia kutakua na biashara sana.

Basi mimi huwa ni mtu wakumkodolea sana mtu macho anaponiambia kitu chake,muda wote huo ananisimulia mimi kimyaa namsikiliza tu,Moyoni namsikitikia sana kwasababu namuona Huyu kwenye biashara BADO SANA kuna kitu ana miss.

unajua ndugu zangu ukiona unataka kufungua biashara mahali halafu wateja wako unategemea wale wa eneo lile unaloenda kufanya biashara "My dear usifungue hiyo biashara" utalia tu siku 1.Trust me.

Shida sio kufungua biashara shule,shida sio kufungua biashara stand mpya,nk nk shida nii Wewe kutojua jinsi yakutafuta wateja wako permenent,tuache kudanganyika na wateja wa "msimu" tuache kudanganywa na wateja wanaokuja kama vipindi vya Mvua leo wapo kesho wapo,mtu anaenda fungua biashara pembeni ya shule,shue zikifungwa au serikali ikisema wanafunzi wabaki majumbani "mtu analalamika biashara mbaya".

Mtu anaenda weka biashara stand ikifika saa 12 jioni hamna hata mpita njia wa maana halafu analalamika biashara mbaya,siku ikifululiza kunyesha mvua siku nzima ndio kabisaa anapiga ukunga biashara mbaya,sasa unalalamika biashara mbaya wakati unajua kbsa eneo hili wateja wake wapo vipi..

Jifunze kujua unapata wapi wateja wako kabla hujafungua biashara yako mahali popote,kama unamezea mate wateja wa wengine tambua hutochukua round kwasababu biashara yako inategemea ufanisi na ubora wa biashara ya mwingine.

Mimi ni mtu nisietaka wateja wa msimu au wateja wa Muda tu,unakuta unafungua biashara eneo ambalo wateja wapo asubuhi - 12 jioni kwisha,au mtu anafungua biashara pembeni ya kanisa as if kila siku ni jumapili,yani kuna watu hawafikiriii kbsaaaaa.

Ili uweze furahia ujasiriamali/biashara yako Jifunze mbinu za kutafuta wateja,kuvuta wateja wawe wako,watu wengine ndio kupitia wewe walete huduma yani waje kwasababu wewe ndio soarce ya wateja sio wewe uende wakati wao ndio soarce (chanzo) usikubali.

Serikali ikifungua stand MTAA A hautoisha mwezi ule mtaa utakua na biashara nyingi sana,kwanini? kwasababu stand ni chanzo cha wateja,sasa usitake kwenda kufanya biashara mahali ambapo source ya wateja sio wewe (sijui naeleweka) kwasababu kwakufanya hivyo ikitokea serikali ikisema hii STAND ihame maana yake hata wale wateja uliotegemea nao watahama lakini wewe kiwa ndio chanzo cha wateja STAND ihame isihame,ije isije wateja wako watakua pale wapo muda wote.

Guys hivi naeleweka kweli?! namalizia kwakurudia tena kwamba Unapofungua biashara yyte hakikisha wewe binafsi uwe chanzo cha wateja eneo unaloenda kufungua,kama unajiona huwezi kuwa chanzo cha wateja huwezi sababisha wateja wakatokea ACHA HIYO BIASHARA UNAYOTAKA KWENDA FUNGUA ACHA.

inatakiwa uweze ku master kutafuta/kuzalisha wateja wako mwenyewe kwa asilimia 70% kisha hizi 30% acha ndio ziongezwe na mazingira yanayotuzunguka lakini kumbua 70% inatakiwa iwe wewe,na sio iwe vice versa.

wewe unaetaka fungua biashara pembeni ya shule,chuo,kanisa,stand,barabarani,nk Hii naomba uichukue na uipokee kama jinsi ilivyo ukiona haikufai iache hapa kisha endelea na plan zako usije sema hukuambiwa.

Biashara zote ni nzuri Guys Zoteeee kama tu Utajua wateja wako wanatoka wapi.
Kama kawaida yako mkuu unatema MADINI tupu...kongore kwako! Asante kwa moyo wako wa kiuungwana hivi,Mungu atazidi kukubariki naamini. Hii ni zaidi ya Elimu ya kawaida...Ni Mafanikio ya kudumu. Shukrani sana Mkuu.
 
Kawaida yangu ni kuingiza watu chaka Lady (kwa maono yako)

Yes According to me ni kilaza mzuri tu,otherwise awe ni mtu mwenye biashara nyingi nyingi na sio awe anategemea hiyo biashara ya kuvizia wateja wa msimu.

Kuna wafanyabiashara wenye biashara nyingi (wapo imara tayari) hawa sina shida nao kwasababu hawategemei income ya sehemu 1,wafanyabiashara hawa hawawezi kuacha fursa impite,hawa hawaoni shida kuzunguka hata nchi nzima wakitafuta fursa ya kile wanachokifanya.

Mfano no.1

Harmonize (konde boy mgahawa)

View attachment 1609380

Huyu ni mfanyabiashara mkubwa lakini angekua mdogo kwa biashara anayofanya tungemuita (BABA NTILIE),huyu hana shida ya mtaji my dear,huyu haungi ungi,yuko njema. Anazunguka na gari anatoa huduma.

Mfano.no 2

Biashara za Minadani

sijui kama umeshawahi kwenda mnadani lakini kama tayari utakubaliana namimi kule si wote ni wafanyabiashara wadogo unga unga mwana,kule kuna wafanyabiashara wenye capital nzito wanaenda minadani,anavyoenda mnadani sio kwamba hiyo ndio biashara anayoitegemea na kama ujuavyo minada haikai sehemu 1 leo iko hapa kesho iko pale lakini kote huko utawakuta hawa ma giants wapo minadani.

Jiulize je hao machinga wadogo,mama ntilie wadogo wadogo stand zikibomolewa au zikihamishwa huwa wanakuaga ktk hali gani? waulize machinga waliojengewa Machinga complex walipofukuzwa barabarani waende kwenye lile jengo nini kiliwakuta?

Uliza wale waliowekewa X frem kisha wakahama hizo frem za barabarani walipohamia frem zingine biashara zao zilikua ktk hali gani? kusanya data za hao watu kisha rudi soma tena Comment yako ulionijibu kisha utaniambia kati ya mimi au wewe nani anataka kuingiza wenzake chaka.

Suala la kukimbizana na Fursa linakuja baada ya kusimama na kuimarika ktk biashara yako,hao kina harmonize,kina Bakhressa,kina MO,na wengineo Walijiiimarisha wao kiuchumi kwanza kisha ndio wakaanza kukimbizana na fursa zinazokuja mbele yao.

Una ka biashara kamoja hako kabiashara ndio unakatagemea kakulishe kakuweke mjini kakusomeshee watoto halafu una risk eti unaenda kukaweka pembeni ya Kusanyiko la watu ambalo muda na siku yyte lile kusanyiko litapotea,haupo serious dear.



Sina shida na mtu anaefanya kazi posta yeye kama anaona eneo lake linamfaa na idadi hiyo ya wateja inamtosha ni vizuri tu kila mtu aangalie upande wake,wewe kama hutaki wateja 24/7 na unaridhika na wateja wa 12/5 ni vizuri kabisa yani tena vizuri kwasababu malengo yangu na yako yametofautiana,sijui plan zako kwa miaka miwili ijayo na wala hujui plan zangu kwa miaka miwili ijayo kwahyo ishu ni kila mtu aangalie TARGETS zake.


Kama huijui uliza uambiwe ila usiseme "biashara gani"! biashara za ku run 24hrs zipo kibao kasumba ya watu kufunga biashara saa 12 jioni hadi 6 usiku maduka yamefungwa ni kutokana na tamaduni za kivivu watu walizokuzwa nazo tangu utotoni.

kama hadi leo hujawahi ona mahali popote bango limeandika Service 24 hours na bado unadiriki uliza eti ni Biashara Gani ya kufanya 24 hrs Utakua haupo serious na swali lako.


Atleast umemaliza vizuri na hiyo Line.


Namalizia kwa kusema TENGENEZA WATEJA WAKO MWENYEWE uwe na uhakika na kesho yako,kuna watu ofisi wanafungua saa 6 mchana wanafunga saa 1 usiku,hao watu usiwaige wana wateja zao Permanent wapo pale,wewe jifanye unakimbizana na fursa wakati corona imekuja mwezi tu Vilio kila kona na hapo hatujapigwa Lockdown,tungepigwa je si ndio makamasi yangewatoka watu?

Jifunze kutengeneza wateja na usiingize watu Chaka Asante kwa challenge ya comment yako inayotaka ingiza wengine CHAKA.
Dah, mkuu huachi kitu...!
 
Niko nameza na kupractise magic ya kuvuta ninachotaka maishani kupitia hiki kitabu....nitakuja kuwapa mrejesho after 30 days. THE SECRETE by RHONDA BYREN
 

Attachments

  • 61xJPg75-lL._SL500_.jpg
    61xJPg75-lL._SL500_.jpg
    35.2 KB · Views: 5
Wewe una wateja wa kudumu kwa biashara yako?, ulitumia njia gani kuwatengeneza. nipe siri
 
Unajua ujasiriamali ni Kitu pana yenye inahitaji elimu kila siku jinsi ya kui master na kujua nini ufanye na nini usifanye ili kuepuka kile watu wanaita HASARA,hamna mtu anapenda hasara kila mtu anafungua biashara ili apate faida na hii faida huwa huwezi kufungua tu droo ukakuta hela zimeongezeka,hii faida inaletwa na watu.

watu ambao sisi tunawaita wateja,unajua hamna biashara nzuri na tamu kama ile yenye wateja,ukiniuliza mimi biashara gani nzuri ya kufanya nitakujibu simple and short "biashara yeyote yenye wateja" hiyo ndio biashara ya kufanya na nzuri.

Mziki wake unakujaga sasa jinsi ya kuwapata hao wateja,hapa ndio panafanyaga sharobaro atembee peku,boss ajigeuze mfanyakazi kufanya kazi za wafanyakazi wake sio kwamba yeye hana kazi,au sio kwamba kakosa chakufanya ila yote hiyo ni Tafuta ya wateja.

Umeshawahi enda sehemu ukaingia ukashindwa gundua boss nani mfanyakazi nani? najua umewahi..Sasa basi huyo boss usifikiri yeye hana kazi zingine la hasha! kaamua kuuingia front ili kuzidi kunasa wateja akikaa chini akabweteka yule mteja akakosa huduma unafkiri atabaki? hapana lazima aondoke,sasa ili asiondoke ni lazima apate huduma na nani wakumpa hiyo huduma sasa kama wafanyakazi wote wako busy? ndipo BOSS anaaingia kati anaokoa jahazi ili asimpoteze yule mteja.

Tutoke huko kwenye mastory ya town!

SASA leo nataka niseme kidogo na wale iba iba,wezi wezi,macho kodo wa wateja wa wengine!

Unajua kila biashara ina ups and down mpk inafikia unaona biashara ya mtu wateja wanapishana kama wanaingia kukata ticket za kuingia taifa ujue yule mtu alisota,alivumilia,aliumia lakini hakukata tamaa alisimama na leo ndio hivyo unaona wateja wanapishana.

sasa kuna mtu mmoja kajibanza mahali baada ya kuona wateja wa mwenzake ni wengi,anaona hii ndio fursa sasa (kosa kubwa sana) Labda nitolee mfano Kuna sehemu kuna BAR imefunguliwa mpya,kufunguliwa tu yule mwenye bar kila week end analeta band,wanamuziki,wanatumbuiza so inapelekea wateja kwenda kwa wingi sana kwenye ile BAR.

sasa kuna kajizi ka wateja kamoja baada ya kuona wateja wanafurika kwenye ile bar anaona yes hapa hapa,kichwani mwake anakuja na Idea za biashara akilenga wateja watakua ni wale wale wa ile bar. Utamuona huyooo anakurupuka anaenda kuweka mpesa/tigo pesa pembeni ya ile BAR, utamuona huyooo anakurupuka anaenda kufungua saloon pembeni ya ile BAR,utamuona huyo kurupu kurupu anaenda fungua CARWASH pembeni ya ile BAR yaniiii ni fujoo kwa kwenda mbele.

wakishafungua hizo biashara zao sasa unajua kinachofuata ni nini? kwakua wao akili yao haikuwaza kutafuta wateja wao binafsi ila waliwaza kuiba wateja wa wengine ili waje wawe wao kinachofuata sasa...

Mwenye ile BAR anapata tatizo la kibinadamu ambalo mimi na wewe hatulijui,anayumba ki pesa ule uwezo wa kuleta band kila week end hana tena,ule uwezo wakuleta wasanii hana tena,BAR inapoteza mvuto,kasoro zinaongezeka na kwakua wateja wanapenda vitu vizuri huwa Woteeeee wanaanza ondoka mmoja mmoja,week end wateja walikua wanakuja 1000 taratbu namba inashuka 500 mara 300 mara 100 mara 50 Bar inabaki jina tu.

kasheshe linakuja kwa wale ndugu zetu kule nnje,utawasikia mkipishana huko njian anakwambia "Biashara ngumu ndugu yangu" utamsikia Biashara ya Tigo Pesa saivi haina hela kabisa,utamsikia akilalamika tu wateja hamna, Unajua kwann hawa watu wanalalamika? wanalalamika kwasababu vichwani mwao walijua Biashara ni MTAJI tu (ooh maskini) wakasahau biashara ni MTAJI + WATEJA.

Unapofungua biashara yako mahali lazima ujue wateja wangu ni kina nani? wanatoka wapi? nitadumu nao kwa muda gani? lazima ujiulize hayo maswali yote kabla hujafungua biashara yako.

Unakuta mtu anakwambia controla Nataka kwenda kufungua biashara paleeee,namuuliza wapi? ananiambia Pembeni ya ile shule pale kuna wanafunzi sana,yani nikifungua pale nitapiga sana hela unajua....

au mtu anakwambia Controla nataka kufungua biashara paleee nimepata eneo flani amaizing sana,namuuliza wapi hapo? anakwambia si pale kwenye lile soko Jipya,au si pale kwenye ile STAND MPYA yani ile stand ikifunguliwa ni hatari nakwambia kutakua na biashara sana.

Basi mimi huwa ni mtu wakumkodolea sana mtu macho anaponiambia kitu chake,muda wote huo ananisimulia mimi kimyaa namsikiliza tu,Moyoni namsikitikia sana kwasababu namuona Huyu kwenye biashara BADO SANA kuna kitu ana miss.

unajua ndugu zangu ukiona unataka kufungua biashara mahali halafu wateja wako unategemea wale wa eneo lile unaloenda kufanya biashara "My dear usifungue hiyo biashara" utalia tu siku 1.Trust me.

Shida sio kufungua biashara shule,shida sio kufungua biashara stand mpya,nk nk shida nii Wewe kutojua jinsi yakutafuta wateja wako permenent,tuache kudanganyika na wateja wa "msimu" tuache kudanganywa na wateja wanaokuja kama vipindi vya Mvua leo wapo kesho wapo,mtu anaenda fungua biashara pembeni ya shule,shue zikifungwa au serikali ikisema wanafunzi wabaki majumbani "mtu analalamika biashara mbaya".

Mtu anaenda weka biashara stand ikifika saa 12 jioni hamna hata mpita njia wa maana halafu analalamika biashara mbaya,siku ikifululiza kunyesha mvua siku nzima ndio kabisaa anapiga ukunga biashara mbaya,sasa unalalamika biashara mbaya wakati unajua kbsa eneo hili wateja wake wapo vipi..

Jifunze kujua unapata wapi wateja wako kabla hujafungua biashara yako mahali popote,kama unamezea mate wateja wa wengine tambua hutochukua round kwasababu biashara yako inategemea ufanisi na ubora wa biashara ya mwingine.

Mimi ni mtu nisietaka wateja wa msimu au wateja wa Muda tu,unakuta unafungua biashara eneo ambalo wateja wapo asubuhi - 12 jioni kwisha,au mtu anafungua biashara pembeni ya kanisa as if kila siku ni jumapili,yani kuna watu hawafikiriii kbsaaaaa.

Ili uweze furahia ujasiriamali/biashara yako Jifunze mbinu za kutafuta wateja,kuvuta wateja wawe wako,watu wengine ndio kupitia wewe walete huduma yani waje kwasababu wewe ndio soarce ya wateja sio wewe uende wakati wao ndio soarce (chanzo) usikubali.

Serikali ikifungua stand MTAA A hautoisha mwezi ule mtaa utakua na biashara nyingi sana,kwanini? kwasababu stand ni chanzo cha wateja,sasa usitake kwenda kufanya biashara mahali ambapo source ya wateja sio wewe (sijui naeleweka) kwasababu kwakufanya hivyo ikitokea serikali ikisema hii STAND ihame maana yake hata wale wateja uliotegemea nao watahama lakini wewe kiwa ndio chanzo cha wateja STAND ihame isihame,ije isije wateja wako watakua pale wapo muda wote.

Guys hivi naeleweka kweli?! namalizia kwakurudia tena kwamba Unapofungua biashara yyte hakikisha wewe binafsi uwe chanzo cha wateja eneo unaloenda kufungua,kama unajiona huwezi kuwa chanzo cha wateja huwezi sababisha wateja wakatokea ACHA HIYO BIASHARA UNAYOTAKA KWENDA FUNGUA ACHA.

inatakiwa uweze ku master kutafuta/kuzalisha wateja wako mwenyewe kwa asilimia 70% kisha hizi 30% acha ndio ziongezwe na mazingira yanayotuzunguka lakini kumbua 70% inatakiwa iwe wewe,na sio iwe vice versa.

wewe unaetaka fungua biashara pembeni ya shule,chuo,kanisa,stand,barabarani,nk Hii naomba uichukue na uipokee kama jinsi ilivyo ukiona haikufai iache hapa kisha endelea na plan zako usije sema hukuambiwa.

Biashara zote ni nzuri Guys Zoteeee kama tu Utajua wateja wako wanatoka wapi.
Huu ndio ukweli
 
Mie napinga kwa sababu ukitaka kufungua biashara fungua upande wa Kaskazini wa eneo husika utauza sana, kamwe usifungue Kusini wala mashariki utaumia shauri yako!!

Mfano utajiri wowote Duniani uko Kaskazini Duniani. kaskazini kumeneemeka zaidi, MABARA YOTE kaskazini ndiyo kuna Mali, na watu wenye akili. chunguza; Ulaya yote. Africa, Asia, Latin America, USA, eg. Tanzania Mtwara -Lindi pamoja na gas yao hawatakaa wafikie Kaskazini, hao wazungu watachimba tu lkn watalala na kula Hotel za Kaskazini. South africa Kaskaizini ni bomba,

DSM- Bongo Kinondoni ni kaskazini, Temeke ni Kusini japo kuna viwanda vingi, RTD KONGWE, Bandari, hakuna tajiri anaetokea Temeke, kuna uwanja wa taifa lkn wateja wanatokea Kinondoni nk.

Fanya haya; Usafi, mwonekano nadhifu, Lugha nzuri, ucheshi, Ukweli, uaminifu upendo na huruma, kujiamini, uchaji Mungu vitakubeba sana hata iweje. piga ua garagaza utauza mpaka udongo!

Urenge wateja wkt umevaa kininja? umefuga Rasta- Bongo!! umevaa jeans yenye matobo matobo! utapata marasta wenzako, ambao sio wengi wenye hela!! ila kwa ulaya utauza lkn ziwe safi siyo km Rsta za kibongo chafuu!! watoto watakuogopa!! mteja anakuja ndo kwanza mfanyakazi anamsikiliza huku amekaa chini anasukwa? kweli umerenga hiii? ...mkono unauma ntarudi!!!
 
Unajua ujasiriamali ni Kitu pana yenye inahitaji elimu kila siku jinsi ya kui master na kujua nini ufanye na nini usifanye ili kuepuka kile watu wanaita HASARA,hamna mtu anapenda hasara kila mtu anafungua biashara ili apate faida na hii faida huwa huwezi kufungua tu droo ukakuta hela zimeongezeka,hii faida inaletwa na watu.

watu ambao sisi tunawaita wateja,unajua hamna biashara nzuri na tamu kama ile yenye wateja,ukiniuliza mimi biashara gani nzuri ya kufanya nitakujibu simple and short "biashara yeyote yenye wateja" hiyo ndio biashara ya kufanya na nzuri.

Mziki wake unakujaga sasa jinsi ya kuwapata hao wateja,hapa ndio panafanyaga sharobaro atembee peku,boss ajigeuze mfanyakazi kufanya kazi za wafanyakazi wake sio kwamba yeye hana kazi,au sio kwamba kakosa chakufanya ila yote hiyo ni Tafuta ya wateja.

Umeshawahi enda sehemu ukaingia ukashindwa gundua boss nani mfanyakazi nani? najua umewahi..Sasa basi huyo boss usifikiri yeye hana kazi zingine la hasha! kaamua kuuingia front ili kuzidi kunasa wateja akikaa chini akabweteka yule mteja akakosa huduma unafkiri atabaki? hapana lazima aondoke,sasa ili asiondoke ni lazima apate huduma na nani wakumpa hiyo huduma sasa kama wafanyakazi wote wako busy? ndipo BOSS anaaingia kati anaokoa jahazi ili asimpoteze yule mteja.

Tutoke huko kwenye mastory ya town!

SASA leo nataka niseme kidogo na wale iba iba,wezi wezi,macho kodo wa wateja wa wengine!

Unajua kila biashara ina ups and down mpk inafikia unaona biashara ya mtu wateja wanapishana kama wanaingia kukata ticket za kuingia taifa ujue yule mtu alisota,alivumilia,aliumia lakini hakukata tamaa alisimama na leo ndio hivyo unaona wateja wanapishana.

sasa kuna mtu mmoja kajibanza mahali baada ya kuona wateja wa mwenzake ni wengi,anaona hii ndio fursa sasa (kosa kubwa sana) Labda nitolee mfano Kuna sehemu kuna BAR imefunguliwa mpya,kufunguliwa tu yule mwenye bar kila week end analeta band,wanamuziki,wanatumbuiza so inapelekea wateja kwenda kwa wingi sana kwenye ile BAR.

sasa kuna kajizi ka wateja kamoja baada ya kuona wateja wanafurika kwenye ile bar anaona yes hapa hapa,kichwani mwake anakuja na Idea za biashara akilenga wateja watakua ni wale wale wa ile bar. Utamuona huyooo anakurupuka anaenda kuweka mpesa/tigo pesa pembeni ya ile BAR, utamuona huyooo anakurupuka anaenda kufungua saloon pembeni ya ile BAR,utamuona huyo kurupu kurupu anaenda fungua CARWASH pembeni ya ile BAR yaniiii ni fujoo kwa kwenda mbele.

wakishafungua hizo biashara zao sasa unajua kinachofuata ni nini? kwakua wao akili yao haikuwaza kutafuta wateja wao binafsi ila waliwaza kuiba wateja wa wengine ili waje wawe wao kinachofuata sasa...

Mwenye ile BAR anapata tatizo la kibinadamu ambalo mimi na wewe hatulijui,anayumba ki pesa ule uwezo wa kuleta band kila week end hana tena,ule uwezo wakuleta wasanii hana tena,BAR inapoteza mvuto,kasoro zinaongezeka na kwakua wateja wanapenda vitu vizuri huwa Woteeeee wanaanza ondoka mmoja mmoja,week end wateja walikua wanakuja 1000 taratbu namba inashuka 500 mara 300 mara 100 mara 50 Bar inabaki jina tu.

kasheshe linakuja kwa wale ndugu zetu kule nnje,utawasikia mkipishana huko njian anakwambia "Biashara ngumu ndugu yangu" utamsikia Biashara ya Tigo Pesa saivi haina hela kabisa,utamsikia akilalamika tu wateja hamna, Unajua kwann hawa watu wanalalamika? wanalalamika kwasababu vichwani mwao walijua Biashara ni MTAJI tu (ooh maskini) wakasahau biashara ni MTAJI + WATEJA.

Unapofungua biashara yako mahali lazima ujue wateja wangu ni kina nani? wanatoka wapi? nitadumu nao kwa muda gani? lazima ujiulize hayo maswali yote kabla hujafungua biashara yako.

Unakuta mtu anakwambia controla Nataka kwenda kufungua biashara paleeee,namuuliza wapi? ananiambia Pembeni ya ile shule pale kuna wanafunzi sana,yani nikifungua pale nitapiga sana hela unajua....

au mtu anakwambia Controla nataka kufungua biashara paleee nimepata eneo flani amaizing sana,namuuliza wapi hapo? anakwambia si pale kwenye lile soko Jipya,au si pale kwenye ile STAND MPYA yani ile stand ikifunguliwa ni hatari nakwambia kutakua na biashara sana.

Basi mimi huwa ni mtu wakumkodolea sana mtu macho anaponiambia kitu chake,muda wote huo ananisimulia mimi kimyaa namsikiliza tu,Moyoni namsikitikia sana kwasababu namuona Huyu kwenye biashara BADO SANA kuna kitu ana miss.

unajua ndugu zangu ukiona unataka kufungua biashara mahali halafu wateja wako unategemea wale wa eneo lile unaloenda kufanya biashara "My dear usifungue hiyo biashara" utalia tu siku 1.Trust me.

Shida sio kufungua biashara shule,shida sio kufungua biashara stand mpya,nk nk shida nii Wewe kutojua jinsi yakutafuta wateja wako permenent,tuache kudanganyika na wateja wa "msimu" tuache kudanganywa na wateja wanaokuja kama vipindi vya Mvua leo wapo kesho wapo,mtu anaenda fungua biashara pembeni ya shule,shue zikifungwa au serikali ikisema wanafunzi wabaki majumbani "mtu analalamika biashara mbaya".

Mtu anaenda weka biashara stand ikifika saa 12 jioni hamna hata mpita njia wa maana halafu analalamika biashara mbaya,siku ikifululiza kunyesha mvua siku nzima ndio kabisaa anapiga ukunga biashara mbaya,sasa unalalamika biashara mbaya wakati unajua kbsa eneo hili wateja wake wapo vipi..

Jifunze kujua unapata wapi wateja wako kabla hujafungua biashara yako mahali popote,kama unamezea mate wateja wa wengine tambua hutochukua round kwasababu biashara yako inategemea ufanisi na ubora wa biashara ya mwingine.

Mimi ni mtu nisietaka wateja wa msimu au wateja wa Muda tu,unakuta unafungua biashara eneo ambalo wateja wapo asubuhi - 12 jioni kwisha,au mtu anafungua biashara pembeni ya kanisa as if kila siku ni jumapili,yani kuna watu hawafikiriii kbsaaaaa.

Ili uweze furahia ujasiriamali/biashara yako Jifunze mbinu za kutafuta wateja,kuvuta wateja wawe wako,watu wengine ndio kupitia wewe walete huduma yani waje kwasababu wewe ndio soarce ya wateja sio wewe uende wakati wao ndio soarce (chanzo) usikubali.

Serikali ikifungua stand MTAA A hautoisha mwezi ule mtaa utakua na biashara nyingi sana,kwanini? kwasababu stand ni chanzo cha wateja,sasa usitake kwenda kufanya biashara mahali ambapo source ya wateja sio wewe (sijui naeleweka) kwasababu kwakufanya hivyo ikitokea serikali ikisema hii STAND ihame maana yake hata wale wateja uliotegemea nao watahama lakini wewe kiwa ndio chanzo cha wateja STAND ihame isihame,ije isije wateja wako watakua pale wapo muda wote.

Guys hivi naeleweka kweli?! namalizia kwakurudia tena kwamba Unapofungua biashara yyte hakikisha wewe binafsi uwe chanzo cha wateja eneo unaloenda kufungua,kama unajiona huwezi kuwa chanzo cha wateja huwezi sababisha wateja wakatokea ACHA HIYO BIASHARA UNAYOTAKA KWENDA FUNGUA ACHA.

inatakiwa uweze ku master kutafuta/kuzalisha wateja wako mwenyewe kwa asilimia 70% kisha hizi 30% acha ndio ziongezwe na mazingira yanayotuzunguka lakini kumbua 70% inatakiwa iwe wewe,na sio iwe vice versa.

wewe unaetaka fungua biashara pembeni ya shule,chuo,kanisa,stand,barabarani,nk Hii naomba uichukue na uipokee kama jinsi ilivyo ukiona haikufai iache hapa kisha endelea na plan zako usije sema hukuambiwa.

Biashara zote ni nzuri Guys Zoteeee kama tu Utajua wateja wako wanatoka wapi.
Nimesoma uzi wako mzuri sana.

Swali ambalo naomba kuuliza ni.

NAMNA GANI SASA NITAFANYA ILI NIWE NA WATEJA WANGU AMBAO MIMI NDIO SOURCE YENYEWE ?
 
Wewe una wateja wa kudumu kwa biashara yako?, ulitumia njia gani kuwatengeneza. nipe siri
Ukishaita kitu siri nadhani unaelewa nini maana ya siri ni kitu cha ndani cha mtu ambacho hawezi kukuambia.

kwenye swali lako nilichoelewa unahitaji nikupe mbinu hizi ndio ninazoweza kukupa,mbinu za kutengeneza wateja wako.

siku 1 utaamka tu utakuta uzi wa "Mbinu za kutengeneza wateja wako permanent" nishautupia humu jamvini,uwe tu na subra.
 
NAMNA GANI SASA NITAFANYA ILI NIWE NA WATEJA WANGU AMBAO MIMI NDIO SOURCE YENYEWE ?
Siku 1 nitaleta namna ya kufanya lakini wakati ukiendelea kusubiri nitakayoyaandika

na wewe endelea kujitafutia/kujisomea sehemu tofauti tofauti maana sio siri kuubwaa ni vikitu vidogo sana

ambavyo ukivifanya kwenye biashara yako mteja hachomoki,huyo ni wako siku zote atapokua na uhitaji wa kitu chchte unachouza.
 
Unajua ujasiriamali ni Kitu pana yenye inahitaji elimu kila siku jinsi ya kui master na kujua nini ufanye na nini usifanye ili kuepuka kile watu wanaita HASARA,hamna mtu anapenda hasara kila mtu anafungua biashara ili apate faida na hii faida huwa huwezi kufungua tu droo ukakuta hela zimeongezeka,hii faida inaletwa na watu.

watu ambao sisi tunawaita wateja,unajua hamna biashara nzuri na tamu kama ile yenye wateja,ukiniuliza mimi biashara gani nzuri ya kufanya nitakujibu simple and short "biashara yeyote yenye wateja" hiyo ndio biashara ya kufanya na nzuri.

Mziki wake unakujaga sasa jinsi ya kuwapata hao wateja,hapa ndio panafanyaga sharobaro atembee peku,boss ajigeuze mfanyakazi kufanya kazi za wafanyakazi wake sio kwamba yeye hana kazi,au sio kwamba kakosa chakufanya ila yote hiyo ni Tafuta ya wateja.

Umeshawahi enda sehemu ukaingia ukashindwa gundua boss nani mfanyakazi nani? najua umewahi..Sasa basi huyo boss usifikiri yeye hana kazi zingine la hasha! kaamua kuuingia front ili kuzidi kunasa wateja akikaa chini akabweteka yule mteja akakosa huduma unafkiri atabaki? hapana lazima aondoke,sasa ili asiondoke ni lazima apate huduma na nani wakumpa hiyo huduma sasa kama wafanyakazi wote wako busy? ndipo BOSS anaaingia kati anaokoa jahazi ili asimpoteze yule mteja.

Tutoke huko kwenye mastory ya town!

SASA leo nataka niseme kidogo na wale iba iba,wezi wezi,macho kodo wa wateja wa wengine!

Unajua kila biashara ina ups and down mpk inafikia unaona biashara ya mtu wateja wanapishana kama wanaingia kukata ticket za kuingia taifa ujue yule mtu alisota,alivumilia,aliumia lakini hakukata tamaa alisimama na leo ndio hivyo unaona wateja wanapishana.

sasa kuna mtu mmoja kajibanza mahali baada ya kuona wateja wa mwenzake ni wengi,anaona hii ndio fursa sasa (kosa kubwa sana) Labda nitolee mfano Kuna sehemu kuna BAR imefunguliwa mpya,kufunguliwa tu yule mwenye bar kila week end analeta band,wanamuziki,wanatumbuiza so inapelekea wateja kwenda kwa wingi sana kwenye ile BAR.

sasa kuna kajizi ka wateja kamoja baada ya kuona wateja wanafurika kwenye ile bar anaona yes hapa hapa,kichwani mwake anakuja na Idea za biashara akilenga wateja watakua ni wale wale wa ile bar. Utamuona huyooo anakurupuka anaenda kuweka mpesa/tigo pesa pembeni ya ile BAR, utamuona huyooo anakurupuka anaenda kufungua saloon pembeni ya ile BAR,utamuona huyo kurupu kurupu anaenda fungua CARWASH pembeni ya ile BAR yaniiii ni fujoo kwa kwenda mbele.

wakishafungua hizo biashara zao sasa unajua kinachofuata ni nini? kwakua wao akili yao haikuwaza kutafuta wateja wao binafsi ila waliwaza kuiba wateja wa wengine ili waje wawe wao kinachofuata sasa...

Mwenye ile BAR anapata tatizo la kibinadamu ambalo mimi na wewe hatulijui,anayumba ki pesa ule uwezo wa kuleta band kila week end hana tena,ule uwezo wakuleta wasanii hana tena,BAR inapoteza mvuto,kasoro zinaongezeka na kwakua wateja wanapenda vitu vizuri huwa Woteeeee wanaanza ondoka mmoja mmoja,week end wateja walikua wanakuja 1000 taratbu namba inashuka 500 mara 300 mara 100 mara 50 Bar inabaki jina tu.

kasheshe linakuja kwa wale ndugu zetu kule nnje,utawasikia mkipishana huko njian anakwambia "Biashara ngumu ndugu yangu" utamsikia Biashara ya Tigo Pesa saivi haina hela kabisa,utamsikia akilalamika tu wateja hamna, Unajua kwann hawa watu wanalalamika? wanalalamika kwasababu vichwani mwao walijua Biashara ni MTAJI tu (ooh maskini) wakasahau biashara ni MTAJI + WATEJA.

Unapofungua biashara yako mahali lazima ujue wateja wangu ni kina nani? wanatoka wapi? nitadumu nao kwa muda gani? lazima ujiulize hayo maswali yote kabla hujafungua biashara yako.

Unakuta mtu anakwambia controla Nataka kwenda kufungua biashara paleeee,namuuliza wapi? ananiambia Pembeni ya ile shule pale kuna wanafunzi sana,yani nikifungua pale nitapiga sana hela unajua....

au mtu anakwambia Controla nataka kufungua biashara paleee nimepata eneo flani amaizing sana,namuuliza wapi hapo? anakwambia si pale kwenye lile soko Jipya,au si pale kwenye ile STAND MPYA yani ile stand ikifunguliwa ni hatari nakwambia kutakua na biashara sana.

Basi mimi huwa ni mtu wakumkodolea sana mtu macho anaponiambia kitu chake,muda wote huo ananisimulia mimi kimyaa namsikiliza tu,Moyoni namsikitikia sana kwasababu namuona Huyu kwenye biashara BADO SANA kuna kitu ana miss.

unajua ndugu zangu ukiona unataka kufungua biashara mahali halafu wateja wako unategemea wale wa eneo lile unaloenda kufanya biashara "My dear usifungue hiyo biashara" utalia tu siku 1.Trust me.

Shida sio kufungua biashara shule,shida sio kufungua biashara stand mpya,nk nk shida nii Wewe kutojua jinsi yakutafuta wateja wako permenent,tuache kudanganyika na wateja wa "msimu" tuache kudanganywa na wateja wanaokuja kama vipindi vya Mvua leo wapo kesho wapo,mtu anaenda fungua biashara pembeni ya shule,shue zikifungwa au serikali ikisema wanafunzi wabaki majumbani "mtu analalamika biashara mbaya".

Mtu anaenda weka biashara stand ikifika saa 12 jioni hamna hata mpita njia wa maana halafu analalamika biashara mbaya,siku ikifululiza kunyesha mvua siku nzima ndio kabisaa anapiga ukunga biashara mbaya,sasa unalalamika biashara mbaya wakati unajua kbsa eneo hili wateja wake wapo vipi..

Jifunze kujua unapata wapi wateja wako kabla hujafungua biashara yako mahali popote,kama unamezea mate wateja wa wengine tambua hutochukua round kwasababu biashara yako inategemea ufanisi na ubora wa biashara ya mwingine.

Mimi ni mtu nisietaka wateja wa msimu au wateja wa Muda tu,unakuta unafungua biashara eneo ambalo wateja wapo asubuhi - 12 jioni kwisha,au mtu anafungua biashara pembeni ya kanisa as if kila siku ni jumapili,yani kuna watu hawafikiriii kbsaaaaa.

Ili uweze furahia ujasiriamali/biashara yako Jifunze mbinu za kutafuta wateja,kuvuta wateja wawe wako,watu wengine ndio kupitia wewe walete huduma yani waje kwasababu wewe ndio soarce ya wateja sio wewe uende wakati wao ndio soarce (chanzo) usikubali.

Serikali ikifungua stand MTAA A hautoisha mwezi ule mtaa utakua na biashara nyingi sana,kwanini? kwasababu stand ni chanzo cha wateja,sasa usitake kwenda kufanya biashara mahali ambapo source ya wateja sio wewe (sijui naeleweka) kwasababu kwakufanya hivyo ikitokea serikali ikisema hii STAND ihame maana yake hata wale wateja uliotegemea nao watahama lakini wewe kiwa ndio chanzo cha wateja STAND ihame isihame,ije isije wateja wako watakua pale wapo muda wote.

Guys hivi naeleweka kweli?! namalizia kwakurudia tena kwamba Unapofungua biashara yyte hakikisha wewe binafsi uwe chanzo cha wateja eneo unaloenda kufungua,kama unajiona huwezi kuwa chanzo cha wateja huwezi sababisha wateja wakatokea ACHA HIYO BIASHARA UNAYOTAKA KWENDA FUNGUA ACHA.

inatakiwa uweze ku master kutafuta/kuzalisha wateja wako mwenyewe kwa asilimia 70% kisha hizi 30% acha ndio ziongezwe na mazingira yanayotuzunguka lakini kumbua 70% inatakiwa iwe wewe,na sio iwe vice versa.

wewe unaetaka fungua biashara pembeni ya shule,chuo,kanisa,stand,barabarani,nk Hii naomba uichukue na uipokee kama jinsi ilivyo ukiona haikufai iache hapa kisha endelea na plan zako usije sema hukuambiwa.

Biashara zote ni nzuri Guys Zoteeee kama tu Utajua wateja wako wanatoka wapi.
Controla kwenye ubora
 
Back
Top Bottom