Huwa unawamudu vipi wateja wapenda punguzo?

Canabian Rasta

JF-Expert Member
Aug 18, 2022
773
1,708
Inafika wakati biashara inakatisha tamaa, kuna hawa wateja wanao penda kupunguziwa kila kitu asee wanakera. mtu anakuja dukani anaulizia karibu kila bidhaa ukimtajia bei utasikia……..,

Duh! We unabei sana!
Mbona wenzako wanauza bei nafuu!
Punguza bei nimekuja kukuchangia!
Tuuzie kama unauza sio utuuzie kama hutaki kuuza bhana!!
Mmm, ngoja nikanunue sehemu fulan we hutaki kuuza.
wengine wanakulilia hadi unaona sasa huu mtihani yan kiasi kwamba usipopunguza akitoka pale anakuchukia!


Kuna wakati nashusha bei sana ili niuze tuu hata nipate faida kidogo niagize mzigo mwingine unakuta still mteja anataka upunguze zaidi na ela yake anaweka mezani kabisa, ukikataa anatoka na hasira, Kuna wateja wa jumla nilowahi kuwakazia kuwauzia bei ya hasara naona sikuzi wanafunga mizigo kwa watu wengine ila nilipochunguza nakuta wanauziwa bei sawa na yangu sa nachojiuliza kwa nini mimi nikitaja bei wanaona sio sawa ila wakienda kwa wengine kua iyo ndo bei wananunua!!

sasa ndugu zangu nisaidieni mbinu mnazotumia kudeal na wateja wapenda discount na wapenda kujipangia bei kwenye biashara za watu.
 
Inafika wakati biashara inakatisha tamaa, kuna hawa wateja wanao penda kupunguziwa kila kitu asee wanakera. mtu anakuja dukani anaulizia karibu kila bidhaa ukimtajia bei utasikia……..,

Duh! We unabei sana!
Mbona wenzako wanauza bei nafuu!
Punguza bei nimekuja kukuchangia!
Tuuzie kama unauza sio utuuzie kama hutaki kuuza bhana!!
Mmm, ngoja nikanunue sehemu fulan we hutaki kuuza.
wengine wanakulilia hadi unaona sasa huu mtihani yan kiasi kwamba usipopunguza akitoka pale anakuchukia!


Kuna wakati nashusha bei sana ili niuze tuu hata nipate faida kidogo niagize mzigo mwingine unakuta still mteja anataka upunguze zaidi na ela yake anaweka mezani kabisa, ukikataa anatoka na hasira, Kuna wateja wa jumla nilowahi kuwakazia kuwauzia bei ya hasara naona sikuzi wanafunga mizigo kwa watu wengine ila nilipochunguza nakuta wanauziwa bei sawa na yangu sa nachojiuliza kwa nini mimi nikitaja bei wanaona sio sawa ila wakienda kwa wengine kua iyo ndo bei wananunua!!

sasa ndugu zangu nisaidieni mbinu mnazotumia kudeal na wateja wapenda discount na wapenda kujipangia bei kwenye biashara za watu.
😅😅Kuna watu wanajua kulia Yani karibu mnyongane eti hutaki kuuza mbona we unabei

Bro make note kitu kimoja ukiwa ofisini kwako kubwa official means communication zako na wateja usitumie maneno makali/matusi/ya kihuni. Kuna wateja huhama duka sababu ya mawasiliano hafifu hajajibiwa vizuri basi tu hataki tena hata kama atauziwa bei juu zaidi ile yakwako atanunua mradi kuna maelewano


Mteja akiomba discount mpaka unapata faida ndogo bado akakwambia basi we hutaki kuuza naenda kununua kwa flani usimwambie nenda sikulazimishi , mjibu tu sawa ndugu kuna siku atarudi nakwambia
 
Inafika wakati biashara inakatisha tamaa, kuna hawa wateja wanao penda kupunguziwa kila kitu asee wanakera. mtu anakuja dukani anaulizia karibu kila bidhaa ukimtajia bei utasikia……..,

Duh! We unabei sana!
Mbona wenzako wanauza bei nafuu!
Punguza bei nimekuja kukuchangia!
Tuuzie kama unauza sio utuuzie kama hutaki kuuza bhana!!
Mmm, ngoja nikanunue sehemu fulan we hutaki kuuza.
wengine wanakulilia hadi unaona sasa huu mtihani yan kiasi kwamba usipopunguza akitoka pale anakuchukia!


Kuna wakati nashusha bei sana ili niuze tuu hata nipate faida kidogo niagize mzigo mwingine unakuta still mteja anataka upunguze zaidi na ela yake anaweka mezani kabisa, ukikataa anatoka na hasira, Kuna wateja wa jumla nilowahi kuwakazia kuwauzia bei ya hasara naona sikuzi wanafunga mizigo kwa watu wengine ila nilipochunguza nakuta wanauziwa bei sawa na yangu sa nachojiuliza kwa nini mimi nikitaja bei wanaona sio sawa ila wakienda kwa wengine kua iyo ndo bei wananunua!!

sasa ndugu zangu nisaidieni mbinu mnazotumia kudeal na wateja wapenda discount na wapenda kujipangia bei kwenye biashara za watu.
Wateja wengi ni washenzi ukiwa uswahilini anataka bei chee ata kama anaona Tecno fantomu imo kwenye box na inang'aa ulikataa anaenda town anauziwa Bei hiyo hiyo au zaidi hata kuguna hawezi.

Wana tabia za hovyo wabongo wengi hasa ukiwafata uswazi nenda town
 
Inafika wakati biashara inakatisha tamaa, kuna hawa wateja wanao penda kupunguziwa kila kitu asee wanakera. mtu anakuja dukani anaulizia karibu kila bidhaa ukimtajia bei utasikia……..,

Duh! We unabei sana!
Mbona wenzako wanauza bei nafuu!
Punguza bei nimekuja kukuchangia!
Tuuzie kama unauza sio utuuzie kama hutaki kuuza bhana!!
Mmm, ngoja nikanunue sehemu fulan we hutaki kuuza.
wengine wanakulilia hadi unaona sasa huu mtihani yan kiasi kwamba usipopunguza akitoka pale anakuchukia!


Kuna wakati nashusha bei sana ili niuze tuu hata nipate faida kidogo niagize mzigo mwingine unakuta still mteja anataka upunguze zaidi na ela yake anaweka mezani kabisa, ukikataa anatoka na hasira, Kuna wateja wa jumla nilowahi kuwakazia kuwauzia bei ya hasara naona sikuzi wanafunga mizigo kwa watu wengine ila nilipochunguza nakuta wanauziwa bei sawa na yangu sa nachojiuliza kwa nini mimi nikitaja bei wanaona sio sawa ila wakienda kwa wengine kua iyo ndo bei wananunua!!

sasa ndugu zangu nisaidieni mbinu mnazotumia kudeal na wateja wapenda discount na wapenda kujipangia bei kwenye biashara za watu.
Taja bei kubwa 🤓🤓 mkianza kupunguza mnakutana katikati.....
 
Be formal. Yaani zungumza kitaalamu na usiingize mzaha wa kusifia sifia bidhaa.
Muelimishe mteja kuhusu bidhaa anayotaka kununua.
Taja bei inayokulipa wewe sio inayomfurahisha mteja.
Umemaliza.....asipotoa hela mwache aende.
 
Mfano bidhaa gan izo zisizokua na bei elekezi mkuu? Mfano mi nauza feni, pasi, solar panels kufuri n.k ivo si vinabei elekezi?
Bidhaa zenye bei elekezi zinajulikana mkuu. Hizo mara nyingi serikali lazima iingilie kati kuweka bei elekezi ili wananchi wasipate kuteseka kuzipata. Ni bidhaa zile muhimu kabisa kwenye maisha ya kila siku kama mafuta, sukari, n.k

Bidhaa nyingine kama zako ambazo mtu hata akizikosa haimuathiri kwa kiasi kikubwa hizo mfanyabiashara inabidi upange bei kulingana na market factors kama supply and demand, competition n.k
 
Wateja sometimes n wasumbufu sana.
Niliwahi kuwa nauza mafuta ya kula tu, akaja mtu mmoja, akaangaliaaa kwa muda kama dakika 1, halafu akauliza, "hapa mnauza mafuta?"
Nikamjibu, '" hapana, hapa tunauza spana".
Kumbe boss yuko nyuma ananiskiliza, hyo ndo siku ya mwisho kuwekwa dukani. Nkaondolewa nkapewa gari nisambaze kwa wauzaji wa rejareja.
 
Kuna watu wanajua kulia Yani karibu mnyongane eti hutaki kuuza mbona we unabei

Bro make note kitu kimoja ukiwa ofisini kwako kubwa official means communication zako na wateja usitumie maneno makali/matusi/ya kihuni. Kuna wateja huhama duka sababu ya mawasiliano hafifu hajajibiwa vizuri basi tu hataki tena hata kama atauziwa bei juu zaidi ile yakwako atanunua mradi kuna maelewano


Mteja akiomba discount mpaka unapata faida ndogo bado akakwambia basi we hutaki kuuza naenda kununua kwa flani usimwambie nenda sikulazimishi , mjibu tu sawa ndugu kuna siku atarudi nakwambia

Nikiwepo mimi hua ni mkarimu sana ila tukishidwana bei wao ndo hua wanaondoka wamenuna mi nakua nipo cool kabisa.
 
Wateja sometimes n wasumbufu sana.
Niliwahi kuwa nauza mafuta ya kula tu, akaja mtu mmoja, akaangaliaaa kwa muda kama dakika 1, halafu akauliza, "hapa mnauza mafuta?"
Nikamjibu, '" hapana, hapa tunauza spana".
Kumbe boss yuko nyuma ananiskiliza, hyo ndo siku ya mwisho kuwekwa dukani. Nkaondolewa nkapewa gari nisambaze kwa wauzaji wa rejareja.

we kiboko.
 
Wateja sometimes n wasumbufu sana.
Niliwahi kuwa nauza mafuta ya kula tu, akaja mtu mmoja, akaangaliaaa kwa muda kama dakika 1, halafu akauliza, "hapa mnauza mafuta?"
Nikamjibu, '" hapana, hapa tunauza spana".
Kumbe boss yuko nyuma ananiskiliza, hyo ndo siku ya mwisho kuwekwa dukani. Nkaondolewa nkapewa gari nisambaze kwa wauzaji wa rejareja.
😂😂Umenikumbusha nilikuwa dukani kipindi flani duka la ndugu , alikuja mteja akauliza hapa mnauza nini ilinichukua muda kama dk1 kumpa jibu
 
Tanzania hatuna formal business ndio maana ujanjaujanja mwingi kuanzia kwa muuzaji hadi kwa mteja.
Ndio maana malls hapa nchini hazifanyi vizuri na ni chache sana.
Ukitaka uepukane na mambo ya discount kwenye biashara yako basi ifanye iwe rasmi.
Kuna mhindi mmoja pale Arusha (Benson) huwa hana hayo mambo, ikiingia dukani kwake utakuta bidhaa zote zina bei hivyo mteja unachagua inayolingana na mfuko wako japo sijajua kwa sasa bado anafanya hivyo.
Ukinunua unapewa risiti yako ya EFD.
Sasa wafanyabiashara walio wengi hawaendeshi biashara zao formally ndio maana utakutana na wateja wanaojua.
Kwanza mimi nikishafika kwa mfanyabiashara anaanza kunitajia bei mbili kwa sababu ya risiti ya EFD najua tu huyu ni mjanjamjanja.
 
Back
Top Bottom