Jifunze kuhusu "Stock Market"

Investaa

JF-Expert Member
Jul 3, 2015
794
656
Habari wana JF!

Napokea message PM kuhusu platform ya ku invest stock market kwa watanzania, platform nyingi za stock market especially US STOCKS ni kama hakuna zaidi ya TRADING212 ambayo mimi nilijiunga 2020 nilitaka kununua US STOCKS kama AAL, PK, OIL STOCKS. Ambazo zinafanya vizuri sana kwenye stock exchange, kilichonikwamisha ni mtaji; Stocks kama huna $10k ni bora utrade IQOPTION.

Ukiangalia stocks nyingi zikiwepo hizo nilizotaji hapo juu kwa sasa nimepanda kiasi chake kutoka $10-$15 PK, $10-$13 AAL, $21-$65 OXY, walionunua oil stock kipindi cha corona kwa sasa ni wamepata faida kubwa sana.

Kwa watanzania sidhan kama kuna platform kwa sasa wanaruhusu kujiunga ili uwekeze , option iliopo ni IQOPTION kwaajili ya kutrade stocks.
Stocks ni biashara nzuri sana kama utapata access ya kuwekeza kwenye US STOCKS na uwe na mtaji wa $10k, kwa sasa kampuni nzuri za kuwekeza ni mashirika ya ndege maana bado yanasuasua kwenye bei ya hisa , mfano america airline bado ipo $13 .

1659214173688.png




PK
1659214245345.png


OXY

1659214338952.png



IQOption Platform

1659214701259.png



Kupata news(FUNDAMENTAL ANALYSIS)
Stock Market inaendeshwa na fundamental analysis usije ukajichanganya ukatumia technical analysis, utauguza akaunti fasta. Soma fundamental kwenye website hii hapa chini au pakua app yake set notifications uwe unapokea news , na muda mzuri wa kutrade stocks ni saa 16:30PM. Muda huo ndio US stock inafungulia so kuna kuwa na news nyingi sana na hiyo app inakupa diriection kama ku sell au ku buy kutokana na news.

1659215060720.png



Hapo nadhani nimekupa mwanga kidogo ila kama una swali unaweza kuuliza nitajitaid kujibu kutokana na resources zilizonazo.

Goodluck.
 
Sasa kama kuna hisa inauzwa hadi $13. Kwa nini niwe na dollar 10k ndio niweze kununua. Kwani huwezi kununua kwa $1000
 
Unazungumzia kutrade kama forex au ku invest kama kwenda DES na kununua stock.
Nazani unaweza kununua shares za stock, kama DSE yaani kama kuwekeza na pia unaweza bets/ speculate the prices movements of stocks, na ukapata faida.

Yaani mmoja anaweza akanunua sharex za kampuni X na baadae kuziuzaa baada ya kupanda na akapata faida.

Mwingine anaweza asimiliki shares za kampuni X ila akabets hizo shares za kampuni. X. Kupitia broker say iq options na akabuy na share prices ikipanda juu, naye pia atapata faida.
 
Mkuu hivi US30 Na Nas100. Zinamanishaa Nini??
Hizo ni stock index zinazo track movements za stocks za makampuni ya kimarekani.

US30 ni Dow jones Stock index ambayo imejumuisha makampuni 30 tu yanayotoka sekta mbalimbali ya kimarekani. Kupanda na kushuka kwa hii index huwa kama indicator ya namna uchumi wa Marekani unavyo perform.

NAS100 au USTEC ni another index pia ambayo imejumuisha stocks za makampuni 100 ya kimarekani.

Hizi index zinakupa uwezo wa kuinvest kwenye stocks za kimarekani bila ya kuzimiliki stocks zenyewe.
 
Hizo ni stock index zinazo track movements za stocks za makampuni ya kimarekani.

US30 ni Dow jones Stock index ambayo imejumuisha makampuni 30 tu yanayotoka sekta mbalimbali ya kimarekani. Kupanda na kushuka kwa hii index huwa kama indicator ya namna uchumi wa Marekani unavyo perform.

NAS100 au USTEC ni another index pia ambayo imejumuisha stocks za makampuni 100 ya kimarekani.

Hizi index zinakupa uwezo wa kuinvest kwenye stocks za kimarekani bila ya kuzimiliki stocks zenyewe.
Umesema US30 na USTECH- ni indicator, sasa kupitia hizi indeces tuna speculates price movements ya indices au? maana kama ni indicator huwezi kuinvest kama indicators. kuinvest means unabuy na kuuza kitu so huwezi kununua indicators kwa sababu sio shares au bidhaa.

Mi huwa naispeculates hiyo us 30 na Nas100, kupitia kwa broker maana huwa ina more volatility japo in deeply huwa siilewi. huwa natumia market structures tu then nabets futre movements.
 
Umesema US30 na USTECH- ni indicator, sasa kupitia hizi indeces tuna speculates price movements ya indices au? maana kama ni indicator huwezi kuinvest kama indicators. kuinvest means unabuy na kuuza kitu so huwezi kununua indicators kwa sababu sio shares au bidhaa.

Mi huwa naispeculates hiyo us 30 na Nas100, kupitia kwa broker maana huwa ina more volatility japo in deeply huwa siilewi. huwa natumia market structures tu then nabets futre movements.
Niliposema hizo index ni economic indicators, sikumaanisha indicators kama RSI, Fibonacci, EMA.

Nilikuwa na maana ya kuwa ukitaka kujua kama uchumi wa nchi fulani unakua vizuri au vibaya, unaweza kujua hilo kwa kuangalia stock index kama US30 na nyinginezo zinavyo perform. Us30 au Nas100 ikiwai ina trend upwards maana yake uchumi wa Marekani uko stable na una positive growth.

An index ni measure of something, hivyo basi index kama Nas100 ina measure movement ya stocks(Hisa) ya makampuni 100 yaliyomo kwenye huo mfuko.

Indexes zinakupa uwezo wa kutrade hisa za hayo makampuni bila kuzimiliki directly. So niki speculate kuwa hisa za makampuni ya us30 zitapanda basi na buy Us30 index.

Forex inakupa uwezo wa kutrade index as an asset. Index nyinginezo ni kama za ulaya na Asia kama Uk100, DE40 n.k

Unaweza kutrade hata index ya USD as an asset..yaani USDX. Kama ujuavyo huku kwetu tuna challenges kibao za kuweza ku nunua na kuuza hisa za Marekani, ni platform chache sana zinaturuhusu kufanya hivyo. Lakini index inakupa uwezo wa kutrade hisa za makampuni ya Marekani ingawa wewe ni non American citizen.
 
Nas100 zidhan kama utafika barakuda kama unatokea segerea chama, utakuwa hujauza akaunti.
Kwenye andiko umezungumzia mtaji mrefu kidogo wa dola elfu 10 ambayo majority wanaweza wasiumudu. Lakini habari gani kama nina dola elfu moja...si ninaweza kutrade hizo stocks kupitia indexes?

Hilo ndiyo lilikuwa lengo la swali..achilia mbali issue za kuchoma account.
 
Niliposema hizo index ni economic indicators, sikumaanisha indicators kama RSI, Fibonacci, EMA.

Nilikuwa na maana ya kuwa ukitaka kujua kama uchumi wa nchi fulani unakua vizuri au vibaya, unaweza kujua hilo kwa kuangalia stock index kama US30 na nyinginezo zinavyo perform. Us30 au Nas100 ikiwai ina trend upwards maana yake uchumi wa Marekani uko stable na una positive growth.

An index ni measure of something, hivyo basi index kama Nas100 ina measure movement ya stocks(Hisa) ya makampuni 100 yaliyomo kwenye huo mfuko.

Indexes zinakupa uwezo wa kutrade hisa za hayo makampuni bila kuzimiliki directly. So niki speculate kuwa hisa za makampuni ya us30 zitapanda basi na buy Us30 index.

Forex inakupa uwezo wa kutrade index as an asset. Index nyinginezo ni kama za ulaya na Asia kama Uk100, DE40 n.k

Unaweza kutrade hata index ya USD as an asset..yaani USDX. Kama ujuavyo huku kwetu tuna challenges kibao za kuweza ku nunua na kuuza hisa za Marekani, ni platform chache sana zinaturuhusu kufanya hivyo. Lakini index inakupa uwezo wa kutrade hisa za makampuni ya Marekani ingawa wewe ni non American citizen.
safi mkuu kwa maelezo yako, naomba kuuliza index us30 na NASA100 zinapima prices ya shares zipi za makampuni ?

hapa nimeelewa kwamba.. ukiwa na knowledge ya kuchambua indexes kwa ufasaha zaidi basi, hata ukinunua shares za kampuni husika mala nyingi unapata matokeo mazuri.

mimi napenda kufanya uchambuzi wa US 30 Na NASA100, maana unapata faida haraka sanaa.

nazani watu hapa wanachanganya kununua na kuuza shares na kuspeculate (kubet) indexes za stocks. yaani wape tofauti kati ya speculation of indexes na trading shares of stocks.
 
Kwenye andiko umezungumzia mtaji mrefu kidogo wa dola elfu 10 ambayo majority wanaweza wasiumudu. Lakini habari gani kama nina dola elfu moja...si ninaweza kutrade hizo stocks kupitia indexes?

Hilo ndiyo lilikuwa lengo la swali..achilia mbali issue za kuchoma account.
$10k , kwa stock ya $10 ; unapata 1000 . Ukiwa na hisa 1000 nirahisi kupata $10k - $50k ndani ya 1-5yrs. Ukiwa na hisa 100 naona kama muda unakuwa mwingi pesa kidogo.

Ila kama una trade ni sawa $1000, maana ukiwa mzuri kwenye fundamentals unaweza ukapata 10% ya $1000 kwa siku au news 1 au 2. Unaweza ukatrade Nas100 kwa $1000 na ukafanya poa sana maana inategemea sana fundamentals kuliko technical.
 
ASALI KUTOKA TABORA.

Nauza Asali Ya Jumla Na Rejareja
Ipo Ya Nyuki Wadogo Na Nyuki Wakubwa.

Tunafunga Kwa Vipimo Tofauti Tofautii

Bei Ya Rejareja
Lita1 - 10,000 (Nyuki Wa Kubwa)
Lita1 - 25,000 (Nyuko Wa Dogo)

Bei Ya Jumla
Tuwasiliane Maana Kuna Ofa Zaidi

0658 357537
Call/ WhatsApp/Sms
Tabora

Tunafanya Delivery Nchi Nzima.
 
Back
Top Bottom