faby_mollel
Member
- Dec 13, 2017
- 14
- 8
Asila ni mbegu nzuri sana.. Je we unaiekea miti?inaitwa Assila
Asila ni mbegu nzuri sana.. Je we unaiekea miti?inaitwa Assila
Yaah, kilimo bila timing, na utunzaji mzuri wa bustan yako utakula za usoKazi ipo, ila nimejifunza kuwa ukitaka kumchinja Kobe inahitaji Timing
Uwa na kilo 45-50Cret linabeba kilo ngapi?
OkUwa na kilo 45-50
vp mkuu mimi niko arusha nataka nijifunze kulima nyanya nlikua naomba kama naweza kukutembelea field kwa more infoKaribu sana mkuu
Ilala 15,000Jamani Bei ya Nyanya ikoje huko Masokoni? kwa maana Huku niliko (Tanga) Bei ni Maumivu, Creti linaenda mpaka elfu kumi (10) Na nikicheki shambani zianiva kwa fujo. Kichwa kimepata Moto.
Ni 56,000 au 560,000hii mbegu ya assila gramu 50 inauzwa 560,000/=
Kwa hiyo bei ya 560,000 mbegu ni za kupanda ekari ngapi au ni gramu ngapi?ni 560,000/= zina gharama sn Ila zinazaa sn ni kubwa na ngumu wafanyabiashara wanazipenda sn zinafanya vzr sokoni hata bei take tofauti na za nyanya za kawaida
Uni PM namba yako Kakatunauza kwa box sio kwa kilo, unapata box nyingi kama utalima kwenye shamba zuri na utahudumia vzr
Heka moja inaweza kugharimu mil 2-3 itategemea na changamoto za magonjwa na madawa kadri inavyojitokeza
faida itategemea na bei Ila ikianzia 10000 tu unapata faida, sababu inatoa box nyingi na unavuna sn
ukianza kuchuma unachuma kila wiki sasa hizi nyanya zina michumi mingi inafika hadi michumo 9
ExactlyHongereni wakulima wa nyanya, nimeona first page mambo ya mbegu naomba nichangie,
Ukulima nyanya hybrid/chotara au unalima za kawaida/opv tambua huduma zake ni sawa yaani kiasi cha dawa, mbolea,maji,muda wa palizi,vibarua,shamba kama la kukodi bei ni ile ile tofauti iliyopo kati ya kutumia mbegu chotara na mbegu ya kawaida ni mosi bei mbegu chotara ghali kuliko za kawaida na pili mavuno mbegu chotara ina mavuno mengi sana kuliko za kawaida na other advantage chotara inauvumilivu wa magonjwa kuliko za kawaida.
Huwa iko hivi kulima nyanya ya faida kwa asilimia Mia moja za mavuno basi asilimia 10 inatoka kwenye mbegu na asilimia 90 inatoka kwenye huduma. Hivyo unapoona mbegu chotara ghali ukanunua za kawaida tambua umeshajiandaa kupata hasara sababu huduma ni the same.
Tuondoke kwenye kulinganishiana maeneo yaani alielima pakubwa ndio mkulima lah tuje kwenye kulima eneo ambalo unaweza kuhudumia vyema na unapata mavuno bora basi utafanikiwa.
Kama unalima let's say jarrah rz unapata crate 1000 kwa ekari (ndio uzao wake) na mwingine analima rio grand akapata crate 200 kwa ekari na muda Huo Huo uduma sawa sawa kote basi alielima jarrah atapata faida hata kama nyanya itauzwa elf 10 kwa crate na alielima rio grand atapata hasara hata crate likiuzwa elf 40
Hatuwekei miti mkuuAsila ni mbegu nzuri sana.. Je we unaiekea miti?
Kanintangaze ni hatari sana, ila ukipiga dawa from the begin inasaidia kumthibiti
Naomba unipatie naomba yako m nko morogoro pia natak kujifunza zaid na huu mwak nna plan za kulima nyanya za kisasa namba yangu 0767459480. Naomba nipgiemiche ni mingi huwezi kuhesabu Ila inatosha heka 1 na kubaki inaweza kupanda heka 1 na nusu kama hazita kufa sn maana kuna zoezi la kurudishia miche kwenye mashimo yaliyokufa
hiyo gharama niliyokwambia nimejumlisha kila kitu kuanzia kukodi shamba, kulima kwa trekta, kupiga shimo, kupanda, kurudishia, palizi, madawa yani kila kitu hadi kuvuna